Bony Mwaitege - MWALIMU (Official lyrics Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Ila uwalimu ni wito kweli me zile home work mwanangu anazopewa nyumbani tu zinanitoa jasho kumfundisha walimu mungu hawabariki
Hakika Mungu ni muweza wa yote azidi kukutunza siku hadi siku kwa kutuhuburia mambo mema🎉
Nyimbo ambayo popotee penye graduation ni lazima ipigwe hii sio ombi iwe nursery,primary, secondary,vyuoni na n.k hapo umekamata kila sehemu aseee.. kila DJ lazima awe nayo hiii
Asante
Napenda hii
😊
Safi sana Bony Mungu akubariki kwa kuliona hilo kupitia uwezo wake Mola
Mtumishi mungu akupe afya tunawetegemea sana.....from kyela mbeya
Mungu amubariki sana mtumishi wake bony kwa nyimbo nzuri
Walimu mungu awabariki kwani uwalimu ni wito
Ukweli kupitia wimbo huu nawapa salamu walimu wangu, ( milele ( na sebaru na shemdoe na bibiana na singano na kabonda na singano na jambia na chakae na umii , ukweli Mimi niseme Asanteni mulitukisha bali kielimu, pale shule ya msingi mbongoi wilaya ya lushoto tarafa ya mlola kata makanya kijiji cha mdando muheza, pia niwape Asanteni walimu wangu wadini kina sheh daudi na sheh riziwani na sheh swahibu na sheh Amdi na sheh amdala na sheh muhamadi na sheh imamu na sheh asumani fumu na sheh juma hale mungu awape umri mrefu tuendelee kupata elimu kutaka kwao na mungu na Sisi wanafunze atujalie ufahamu mzuri
Mi toka 2009 toka apo nikaanza kuzifatilia, Kuna wimbo unaitwa 《mama 》ndoo nilianzia kuskiliza pamoja na wimbo 《maisha foleni 》endelea kumtukuza mungu niko Dr
Asante sana
Ukweli ndo huo mwalimu ndo Kila kitu mtumishi wa MUNGU umeimba Kwa kuongozwa na MUNGU ni wimbo ambao sitausahau mpaka kufa kwangu naomba serikeri iwangalie walimu wasisubiri mshahara tu katikati ya mwezi kuwepo na posho walimu wote muwe na maisha marefu mbeke za MUNGU.
Be BLESS Pastor Mwaitege to send this sms to the TZ Government.
Amina! Mungu atujalie heri sana,maana kazi ngumu sana lakini Kwa msaada wa Mungu tunafanikiwa mno❤💯👏
Zamani tulijuaga walimu wapo mashulen tu kumbe hata makanisani walimu wapo wimbo mzuri sana na maana kubwa🙌
Muimbaji WA nyimbo zaijili bony mwaiyege Ni muogoni Mwa waimbaji wazamani nilio wapenda sana adi leo
Asante
Huyu nimwamba ila analala Sana Bila kutoa nyimbo piga kazi mwaitege
Asante ndugu yangu
Iyi ndirimbo ninziza yesu aguhe umugisha
Ooooo yes tunashukuru mwaitege mtumishi wa mungu kutambua hilo
Ukweli Mimi niseme tu, kupitia huu wimbo naomba niwape Asante walimu wangu, ( bilele mrangi na bibiana na shem
Hogera sana bony nyimbo nzuri saana God bless you
Mungu akubariki sana baba kwa wimbo ulio beba maudhui makubwa sana
Kabsa barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Bongo la ngoma barikiwa sana
hakika nimebarikiwa na content nzuri sana .
amen nyimbo nzuri sana mtumishi wa mungu ,.
Ubarikiwe baba mchungaji
Ameen
Barikiwa sana mtumishi
Kazi nzuri sana
Asante
Nyimbo nzuri sana,Tena ya ukweli Hongela sana
Asante
Keep up the good work, man of God be blessed
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hongera San brother bon Kaz nzur🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Wimbo mzuri sana Kwa kweli walimu wa kila sekta watafurahi kusikia umewakumbuka walimu🙌🙌🙌🙌
Iam teacher from Kenya and I am proud of it. I just like your songs man of God, from MKE MWEMA to MWALIMU. Be blessed.
Asante
God bless you dear brother
Your songs are inspired by the Almighty God! As a man, nothing I may do for you, indeed, I contribute saying that God bless much more in the Might Name of Jesus Christ our Lord and Saviour, AMEN AMEN AMEN
Good work. Bonny
He is able more grace to you sir
Kwa asilimia Mia moja bony hana mfano n mtunzi mkamilivu
Asante
Ni sawa sana
I enjoy your songs because I'm able to read 🔥🔥🔥
Kazinzuri❤❤
Hongera sana sana mutumishi wa Mungu. Wimbo mzuri kabisa
Asante
🙏🙏🙏🙏 safi mtumish God bless you
amen
Hii imeenda. Itachezwa sana graduation hii.
Asante
Afadhali kuwakumbuka walimu wengine hawatambui mchango wao kabisa
Na Wewe Bony Mwaitege ni Mwalimu
Asante sana.
KAZI nzuri kaka,twangoja video
Asante
Pastor nabarikiwa sana na hasa kwa darasa lako la uimbaji. Ila naomba hii beat niifanyie kazi
Hapo kwa a e i o u nimepafurahia SANA kk na Mtumishi-Mwenzangu katika SHAMBA LA BWANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante
Baraka zakutosha 🎉🎉🎉
Asante
Great song mtumishi
Asante
En tout cas papa que le Dieu du très haut vous bénis encore et qu'il vous ajoute la sagesse 👏👏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
mersii
GOD BLESS YOU MWALIMU
Amen
Asnt mungu kwazawad bony❤❤
Asante
Barikiwa
Barikiwa Sana Baba 🙏
Asante
Tuko hivi tulivyo Leo sababu ya mwalimu,walimu Wanafanya kwa wanafunzi hta wazazi hawawezi.
Me being a secondary teacher am blessed! Thank you bonny mwaitege for singing us a song. Love you from Zambia
Thank you so much.
Hii nayo ni tamu aje ❤❤❤
asante
Much love all the way from Zambia❤❤
Thanks
Ev DOMINIC Nyabuto kutoka Kenya bony tuende mbele na injili
asante
Great song bro, keep up 👏👏
Thanks
Asante sana kwa kukumbuka walimu kupitia nyimbo zako za Injili.Mwenyezi Mungu akupe uzima na ujasiri zaidi katika kazi yako Baba.🇰🇪
Asante sana
Nasubiri mtumishi wa mungu 🇰🇪🇰🇪
Asante sana
Asante Sana babaangu,kwa ufunuo huu,nadhani wewe ni wa kwanza kufunuliwa hili,wamesahaulika,be blessed my dad
Asante Mwanangu
ma me mi mo mu kweli alipambana Mwalimu
Kazi nzuri
Asante
Walimu tujuane HAPA.
Asante
@@BonyMwaitegeOfficial ndaga fijho kutulumbila.
Wow Great song ...
thanks
Bonnie ww ni singer composed sana napenda content zako Gutsylucabee from 254 nipitie huku kwangu msupport kijana wenu unit is strength 💪 na spread good news about Jesus Christ 🙏🫶
Thanks
Mungu akupe maisha marefu
Asante sana Napokea
Ayonimambo ya kijamii kunawatu wakuyasema!!tuambie kuusu Mungu ndokazi aliyokupa.
Kwan hujui kam uimbaj n Sanaa nakaz yake nikuelemish jamii au hujaona kam anaelimish jamii juu ya umhim wa mwalim ktk jamii! nivizur kam kitu hukijui ukakaa kimy
Punguza hasira,,,mbele Kuna mteremko mkali
Unamatatizo ya akili, hujui uwimbaji n Sanaa,punguza kelele ,na wivu .sasa watu wa kuwasemea n akina nani, 😂😂😂
@@FredLui-jd8yw wakuwasemea ni wewe🤣🤣
Wimbo mzuri
Asante
Much blessings to you bro!
Thanks
Wimbo Powa sana
Uko viziri mtumishi
Asante
Nakutambua bonny toka uimbe was make mwema,nasikia roho yangu ikitulia Na nyimbo zako Sana.ubarikiwe sana
Asante sana
Nyimbo nzuri
Asante
Mwalimu🔑🙌
mwalimu
ubarikiwe mtumixhi Kwa kazi Yako nzr ,by pastar Denice j nipo Kagera w.ya muleba
Wow! Wengi wanatudharau sana walimu😢.. Huu wimbo umenifuta machozi na kunibariki sana.. Umetuheshimisha sana walimu.. Ubarikiwe sana Baba..
Amen Ubarikiwe Mwalimu HAPPY.
Wale walimu wa chekechea kama Mimi piteni hapa Baba katukumbuka,,,,gonga like twende sawa Walimu hoyeeeeee!!
Aminaa ubarikiwe zaidi mchungaji Boniface Mwaitege 🙏
Asante Mwanangu
Wimbo mtamu...tuheshimu walimu
Asante
Asante Kwa wimbo mzuri.
Nice song
Thanks mtumishii wa Mungu. Mungu mkubwaa kutokaa aeiou Leo hii mwalimu thanks madam bomboo wanguu bila wewe nisingejuaa kusomaa
Asante sana
Iam a teacher from Kenya, just proud of it.
Thanks
good song for all teachers may GOD bless you bonny
Amen
Amen 🙌🙌
Amen sana baba
Asante
Aeiou ulinipambana mwalim wangu niweze kusoma ubarikiwe sana mtumishi baba
Asante sana
MUNGU azidi kukuinua ktk utumishi wako
Asante
Ndagha ni mbombo jha kyala Kikolo..
Ena Malafyale
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU wimbo huu mzuri sana aiisee 🔥🔥🔥🙌🙌🙌🥰🥰
Asante sana
The greater song for we teachers.
Hongera sana kaka @Bony Mwaitege
Kichwa cha Shairi...nakukubali ..niite Prd Selee toka Kagera
Asante sana
Amen,walimu watu muhimu sana kwa jamii,barikiwa sana mtumishi.Huwa wakati mwingine: najiuliza kwanini madaktari walipwa pesa kuuubwaa zaidi ya walimu walio pambana tujuwe kusoma.This world is not fair.Mbarikiwe sana walimu na hasaa,wadarasa la kwanza,Mungu awabariki sana
Unafanya poa 👍👍 bonny mwaitege. Yenyewe god abariki ngoma zako. Wale vijana wako wenye mlicheza mama ni mama walienda wapi
Asante sana
Burundi wakwanza nipe like zangu
Habari? Naomba nisaidie kupata namba za wachungaji walioko burundi au nitumie namba yako ya whatsup
asante
❤❤❤Dios te siga bendiciendo , como quisiera que mi hijo siga tu ejemplo💖💖💖🙏🙏🙏
Kaka yangu Boniface mtumish wa Mungu hakika Mungu akuinue viwango vingine nyimbo zako zinanibariki sana
Asante
Wow! What a hit song,walimu n watu wa baraka sana hakika
Nice song🇿🇲🇿🇲🇿🇲
thanks
Congo DR Mwalimu ni Sawa na kikolopo, wanasaahu , pasipo Mwalimu hakuna Raïs,Mbunge, gavana, doctor, mganga etc....
Nikweli Asante
@@BonyMwaitegeOfficial ubarikiwe Sawa Mtumishi Wa Mungu, zidi kusonga mbele Hadi Muumba wetu aseme.
Mungu akubariki bonny nakufuatiliaga sana napenda Sana nyimbo zako ikiwemo wakusamehe.
Asante sana
Kazi nzuri kaka boni asante kwakutambua umuhimu wetu kwny jamii
Asante sana