Mwanaume aliyerekodiwa akiteswa Mombasa ajitokeza

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 179

  • @mavutibenson2231
    @mavutibenson2231 3 ปีที่แล้ว +17

    It does not matter how long it takes but God is always watching and He is a just Judge

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 3 ปีที่แล้ว +12

    ☠️💀😭😭😭😢People are wicked!! Pole Sana, na siwangempeleka polisi, alafu those who were watching him, their couldn't rescue him 👀

  • @sallysally9011
    @sallysally9011 3 ปีที่แล้ว

    Ukoloni. Mwafrica ana fanyia hivi mwenzake

  • @assumtajane7820
    @assumtajane7820 3 ปีที่แล้ว +1

    I'm happy ikiwa ako uhai woiii aki aliteshwa.. na uyo jamaaa achukuliwe hatua

  • @Snager001
    @Snager001 3 ปีที่แล้ว +19

    Ajab, Kenya should stop buying ajab, am first,as much as loved it, I can't buy something to pay hooligans.

  • @dickensojiambo275
    @dickensojiambo275 5 หลายเดือนก่อน +1

    Boycott ajab

  • @muhruzmohamed5818
    @muhruzmohamed5818 3 ปีที่แล้ว +17

    Nyinyi hamujawahi kushikiwa panga na mwizi

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 3 ปีที่แล้ว

      Eeeh nimwizi umemuona ameiba au vile sio mtu wako tuweni na moyo wa uzazi

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 3 ปีที่แล้ว

      Muhruz Halby, mimi nimeshikiwa bunduki asubuhi na mapema. Mwizi ni mwizi according to me.

    • @richardochola6382
      @richardochola6382 3 ปีที่แล้ว

      Hata huyu kwangu anikalia mwizi tuu...eti hakumbuki kituo cha polisi alikoripoti kisa hicho.

    • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
      @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 ปีที่แล้ว

      @@ummiissaabdulissaabdul8117 🙌🙌🙌

  • @mwenifiona797
    @mwenifiona797 3 ปีที่แล้ว +14

    Fala yeye Hao watu Wana dharau watu weusi Sana haki kwa kijanaaa

  • @jacksonmutukujacksonmutuku7454
    @jacksonmutukujacksonmutuku7454 3 ปีที่แล้ว +2

    Unyama huu wa waislamu,,tunawaelewa

    • @Dymitri-Babushka.
      @Dymitri-Babushka. 3 ปีที่แล้ว +2

      Sasa dini nzima unailaume na alie tenda hicho kitendo ni mtu mmoja ,rudi shule ukajifinze kuongea na watu,it shows una tatizo na waislam na ujichunge sana

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 3 ปีที่แล้ว +14

    Htakama ameiba Kwa nn achukue sheria Kwa mkono wake na serikali iko tena adhabu ya Moto hio ni adhabu ya mwenyezimungu pekeake huyo swabir ashtakiwe apate adhabu mzuri iwe funzo

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 ปีที่แล้ว +3

    We want justice for this MAN,plz Raisi uhuru🌞🙏🇰🇪

  • @zuhurasuleiman434
    @zuhurasuleiman434 3 ปีที่แล้ว +11

    Ni amlipe Kwa kumpiga alafu achukuliwe Sheria hiyo kampuni.ifungwe

    • @mstevens832
      @mstevens832 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @muhruzmohamed5818
      @muhruzmohamed5818 3 ปีที่แล้ว +2

      Wewe una bifu na kampuni hujui stori yote lakini unajijibia

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 3 ปีที่แล้ว

      Hapo kuna kasiasa cha biashara umetumwa na kutia chuki kwa company ya Ajab ili ifungwe haya nenda kachukuwe ulicho ahidiwa kazi unshaifanya lakini kwa uwezo wa mungu Ajab haitafungwa

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 3 ปีที่แล้ว +2

    Ubadhilifu wa binadamu afungwe huyo alimfanyia mwana wa mwenzie. Kitendo kibaya... Na amlipe muda wake aliouguza majeraha... Mshenzi sana huyo.... Punmbavu linavuta bangi haliezani hilooo... 😳🙄🙄🙄👌👌👌

  • @angelawambui1468
    @angelawambui1468 3 ปีที่แล้ว +5

    Yes we need social justice for this fellow of little means.

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto3612 2 ปีที่แล้ว

    Mulikuwa hapo Na mkawa mwaangalia tu,Mkingoja3 auwawe!

  • @natashachao2862
    @natashachao2862 3 ปีที่แล้ว +4

    I will never buy ajab unga

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 ปีที่แล้ว +6

    Amlipe kwanini anafanya unyama kama waarabu ugaibuni

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 3 ปีที่แล้ว

      Bado hujaibiwa ukisha patikana utajuwa ladha au utamu wa kuibiwa pole mama

  • @swalehali5042
    @swalehali5042 3 ปีที่แล้ว

    Mm binafsi nawajua hawa mateja ni wabaya wanaiba mbaya sana

  • @faizislam2378
    @faizislam2378 3 ปีที่แล้ว +7

    Nyinyi munao coment kua waarabu wana roo mbaya.mumesahau waizi wamabunduki mombasa ni kina nani?si ni watu kutoka bara.juzi kuna kesi jamaa amemchinja grandmother wake huko bara.mbona hio hamuongelei?acheni ukabila shenztyp nyinyi

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 3 ปีที่แล้ว

      Sielewi kwa nini wanaingiza swala la kabila hapa. Wezi huuliwa kila mwezi katika sehemu mbalimbali.

    • @Thuon_
      @Thuon_ 3 ปีที่แล้ว

      Huyo chinja unaemsema si yumo ndani ama yuko huru..

    • @tafari988
      @tafari988 3 ปีที่แล้ว +3

      Kenya sio saudi Arabia wacha ujinga na upuzi 😒

    • @faizislam2378
      @faizislam2378 3 ปีที่แล้ว

      @@tafari988 wacha nyege wewee.

    • @faizislam2378
      @faizislam2378 3 ปีที่แล้ว

      @@tafari988 origin ya watu wa coast ni arab.sio mkikuyu wala mkalee wala wewee takataka

  • @marynyaga4911
    @marynyaga4911 3 ปีที่แล้ว +1

    What a criminal that is? He should be investigated thoroughly whether he's a sadist murderer. Unless he's used to that kind of violence, there's no way he should have applied such cruelty towards the poor man.
    Justice should be accorded to the victim. Period.

  • @rodgerthegreat9192
    @rodgerthegreat9192 3 ปีที่แล้ว +19

    Si jamaa anasema kwa video ni mara yake ya kwanza?

    • @carolynegatere5785
      @carolynegatere5785 3 ปีที่แล้ว +1

      My question too alisema ni mara ya kwanza

    • @rodgerthegreat9192
      @rodgerthegreat9192 3 ปีที่แล้ว +3

      @@carolynegatere5785 mi nashuku kuna mtu ana beef na ajab na hii ndio tu weak link anayowezatumia kuwaumiza.

    • @haithamdahillard8746
      @haithamdahillard8746 3 ปีที่แล้ว +3

      Lazima akubali ili iwr rahisi kuhukumiwa kama ni kichapo. Kika ukikataaa wanakupija.

    • @richardochola6382
      @richardochola6382 3 ปีที่แล้ว

      Reporters are also in this mix...rotten Kenya. (Zaidi ya mwaka mmoja)

    • @maryannonalo8872
      @maryannonalo8872 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa lakini he has people backing him up

  • @maggie7makoha414
    @maggie7makoha414 3 ปีที่แล้ว +1

    Masikini wa .mngu pole uta shgulikiwa

  • @umma6654
    @umma6654 3 ปีที่แล้ว

    Mwamtetea wizi labda nynyi wenyewe ni wezi ndio maaana.hamujui uchungu wa kuibiwa washenzi nyny munaotetea wizi

  • @TafariIssack
    @TafariIssack 3 ปีที่แล้ว +3

    ni Mara yangu ya kwanzaaa 😂😂😂😂😂😂

  • @alicembugua5246
    @alicembugua5246 3 ปีที่แล้ว +7

    fanyeni uchunguzi kwanza

    • @maurynshicco9224
      @maurynshicco9224 3 ปีที่แล้ว

      Story kama hii haiwezi letwa kwa news bila kuchunguzwa vizuri,obvious kuna cctv zimetumika kutoa ukweli na zingeonyesha kijana alikuwa ameiba hangeileta wakimtafutia justice. So which is that further uchunguzi you meant?

  • @ahmedyussuf9496
    @ahmedyussuf9496 3 ปีที่แล้ว

    Waizi wana sumbuwa Mombasa junguza kabla ya kufunga hiyo jama hiyo ni hasira wana ebaa kila kito hawa paka wana funja mnyumba tuki anda safari

  • @franciswarutumo1627
    @franciswarutumo1627 3 ปีที่แล้ว +2

    whether he is guilty or not, torture is not allowed.

  • @peninahwambua4926
    @peninahwambua4926 3 ปีที่แล้ว

    Sheria ifanye kazi watu wamezoea kuwa wengine

  • @ruthmukuyu725
    @ruthmukuyu725 3 ปีที่แล้ว +1

    Nivibaya Sana 💔💔💔 haki etendeke

  • @naftalguto5474
    @naftalguto5474 3 ปีที่แล้ว

    Hawa waharabu ni wabaya sana,

  • @muhruzmohamed5818
    @muhruzmohamed5818 3 ปีที่แล้ว +15

    Huyo jamaa kwenye video si amesema kuwa ni mara yake ya kwanza kuiba mbona sasa nyasema hakuiba

    • @astolafisto5660
      @astolafisto5660 3 ปีที่แล้ว +11

      Sababu wame myadhibu ndo maan amesema ivo ili awachwe hapo mm nakubali hakuiba sababu kuna ma CCTV na kuna electric wire kwa ukuta

    • @mwenifiona797
      @mwenifiona797 3 ปีที่แล้ว +9

      Wacha niwaambie Kuna situation unaeza. Pitia ukitolewa bunduki lazima ukumbali ndio usichomwe

    • @xjxjxnxn2673
      @xjxjxnxn2673 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mwenifiona797 kweli sister

    • @muhruzmohamed5818
      @muhruzmohamed5818 3 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa alikua ana fanya kazi ya kufagia unga kule kwa hivyo aliiba baada ya kushikwa ndo akakimbia

    • @salminsalimn9115
      @salminsalimn9115 3 ปีที่แล้ว +2

      @@muhruzmohamed5818 ,Hata kama aliiba that was not the way to go about it...sasa ndio watajua kuna power of Internet

  • @MercyMazmida
    @MercyMazmida 3 ปีที่แล้ว +13

    Sorry brother ..
    Also people need to stop stealing hustle for yourself stop expecting others to struggle then u come to get it by force

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 3 ปีที่แล้ว

      Very well said my dear

    • @vanhelsing4041
      @vanhelsing4041 3 ปีที่แล้ว +3

      Stupid- Politicians grab land, embezzlement of public funds- you are judging a poor man

    • @marynjengah2771
      @marynjengah2771 3 ปีที่แล้ว +1

      @@vanhelsing4041 So you justify taking something that isn't yours 🤔

    • @vanhelsing4041
      @vanhelsing4041 3 ปีที่แล้ว

      @@marynjengah2771 Is there evidence he was taking what doesn't belong to him.
      The idea coming from a woman is appalling considering that you seem to be justifying what happened to the man.
      Like Feminists state:don't blame the victim

  • @sevenscounty409
    @sevenscounty409 3 ปีที่แล้ว +2

    Siulisema ni mara yako ya kwanza?

  • @rishadmohamed3154
    @rishadmohamed3154 3 ปีที่แล้ว +1

    He must pay kumamake

  • @karimabdul3928
    @karimabdul3928 3 ปีที่แล้ว +1

    Haki ya mnyonge haiwezi potea ,itachelewa tu

  • @agnesodipo1265
    @agnesodipo1265 3 ปีที่แล้ว

    Adhibiwe ili iwe funzo kwa mabwenyenye wenye wanakuja inchini mwetu na wanaleta tabia ya kuoza that was very bad

  • @hassanajiruu5128
    @hassanajiruu5128 2 ปีที่แล้ว

    Mpambe nuksi zenu zako zimewadia unafiki na kujipendekeza kwa matajiri hole wako. wewe wamchoma mfanya kazi mwenzio kwa Mali ya tajiri Linalokushuhulisha lipii...😂😂

  • @ApostleJasonWinner
    @ApostleJasonWinner 3 ปีที่แล้ว +5

    So do we expect a thief to say, that he has stolen?

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว +1

      He was tortured to a point of accepting any accusation, you could say he has raped and him agree just to save his skin!

    • @muhruzmohamed5818
      @muhruzmohamed5818 3 ปีที่แล้ว

      @@qerysir4410 ukikubali kuiba unauliwa lakini baada ya kumpiga huyo security guard alimpeleka polisi ambapo polisi walimpiga na wakamwachilia wakisema ni teja

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว

      @@muhruzmohamed5818 hayajakupata, ukasingiziwa kosa kisha ukapigwa hadi ukajiona unakubali tu na kuomba msamaha ili upone!

  • @michaelblumer69
    @michaelblumer69 3 ปีที่แล้ว +6

    Hawa watu huwa na roho ngumu za kishetani ata sijui wale mwaenda Uarabuni huwa mwatoa wapi hizo nguvu 🤧

    • @kassimmwamambeya4489
      @kassimmwamambeya4489 3 ปีที่แล้ว

      Mimi sio mwarabu lakini nakurekebisha kidogo africa watu wanauana zaidi ya huko uarabuni unakosema.

    • @michaelblumer69
      @michaelblumer69 3 ปีที่แล้ว

      @@kassimmwamambeya4489 still doesn't change my stand 🖐️

    • @kassimmwamambeya4489
      @kassimmwamambeya4489 3 ปีที่แล้ว

      @@michaelblumer69 ok...xawa lakini xahii naangalia news tayari afisa wa polisi amedunga mtu kisu ya shingo na amemuua huko baringo

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 3 ปีที่แล้ว +1

      Habari zenu twaziona daily kwa t.v mtoto amuuma mamake na babake ama baba amnajisi mwanae ama mama amchinja mume wake mume nae amnyonga mke wake ama jamaa amnajisi mbuzi yani zoooote zafanywa hapa kenya hata kwa waarabu kuna nafuu lakini chuki zenu twazijua

    • @theblessedone7526
      @theblessedone7526 3 ปีที่แล้ว

      @@arabianlady6304 basi wewe mwarabu au chotara🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pthoooooooooo

  • @janembinya9767
    @janembinya9767 3 ปีที่แล้ว +2

    Unga hajab bye

  • @angelawanguinjuguna894
    @angelawanguinjuguna894 3 ปีที่แล้ว

    My question is had he stolen or not?

  • @richardray2680
    @richardray2680 3 ปีที่แล้ว +4

    Some guys are just helping this guy so that if he sues the company and gets compensation they can split the money among each other. That's how it always goes. They have even told him to not admit he stole yet in the video he shouts and screams that it's his 1st time to steal. But the security guards can't use that video in court because he was under duress when he said that. 🤷🏽‍♂️.

    • @teresangugi6508
      @teresangugi6508 3 ปีที่แล้ว

      He meant it's his first time trespassing. He stole nothing

    • @theblessedone7526
      @theblessedone7526 3 ปีที่แล้ว +2

      @@teresangugi6508 ambia tena hio nugu ikuskue inakaa kiziwi. Hajui tofauti ya trespassing na stealing

  • @jarantinekyania2201
    @jarantinekyania2201 3 ปีที่แล้ว +4

    Haki kidini unaeza torture mtu juu ya Unga so sad indeed hata kama alikua ameiba vituo vya polisi vipo angepelekwa station.

    • @darweshswabir9489
      @darweshswabir9489 3 ปีที่แล้ว

      Mwizi ni mwizi awe mweusi mweupe ni Mwizi

    • @t.c7915
      @t.c7915 3 ปีที่แล้ว

      @@darweshswabir9489 alikubali ameiba, msamaha pia iko sio kuchoma mtu..

  • @annkimani9434
    @annkimani9434 3 ปีที่แล้ว

    That lord ju kijana ako hai

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona watu wako ivo

  • @watirim915
    @watirim915 3 ปีที่แล้ว

    Thats inhuman,achukuliwe hatuwa.

  • @stevekioi2044
    @stevekioi2044 3 ปีที่แล้ว

    He is supposed to be compensated anything upto. KSH 200,000, 000 . these are the things that happen to a common Mwana inchi kama viongozi wanashughulikia uchaguzi na njia za kuongeza utajiri wao

  • @williamobegi3093
    @williamobegi3093 3 ปีที่แล้ว

    I can't breath

  • @omarbachu1074
    @omarbachu1074 3 ปีที่แล้ว

    Anafaa afungwe 30 yrs behind bars

  • @inahazan9339
    @inahazan9339 3 ปีที่แล้ว +1

    Meh suali niko nayo ni....... Ni nini alikuwa analia akisema ni Mara yake ya kwanza? 🤔

  • @khalidahmed8050
    @khalidahmed8050 3 ปีที่แล้ว

    wajuluo wapi raila..

  • @majidsaid08
    @majidsaid08 3 ปีที่แล้ว +4

    Sawa amekosea..... jee wale waizi waliopigwa kilifi video zikaenda viral mbona hakushikwa mtu??? Na juzi kisumu yule jamaa aliiba boda boda aliyechomwa hadharani mbona hakujashikwa mtu?? Ama sheria ni tofauti??? N waizi wangapi wanauliwa na wala hakuna kitu chafanyika?? Hebu nielimisheni

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 3 ปีที่แล้ว +1

      Hapa kuna watu wanataka kuangusha kampuni ya ajab. Wezi huuliwa na kuadhibiwa kila mara sehemu mbalimbali za nchi, hii imeangaziwa sababu za kibiashara

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 3 ปีที่แล้ว

      Zao hua hawaoni lakini ikiwapata wao mbio washaingiza ukabila wanachuki zao hawa watu

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 3 ปีที่แล้ว

      @@queenbee1588 hapo umeongea ukweli wa mambo kuna siasa ya kibiashara

    • @theblessedone7526
      @theblessedone7526 3 ปีที่แล้ว

      Waizi wa kilifi walipigwa na mob huyu ni mmoja kajifanya kidume jua kutofautisha mambo

    • @majidsaid08
      @majidsaid08 3 ปีที่แล้ว

      @@theblessedone7526 kwa hivyo mob yaruhusiwa??

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza5813 3 ปีที่แล้ว

    Mbona achapwe?

    • @sallysally9011
      @sallysally9011 3 ปีที่แล้ว +1

      Yap. Adults aren’t supposed to be beaten. Taking law in his hands is wrong

  • @dennismukhebi3434
    @dennismukhebi3434 3 ปีที่แล้ว +4

    this man I lying to us because in the clip he is heard saying it is just his first time, here this story to have the security guy into jail is a master plan by some people with interest, even look who are complaining on behalf of the person. apa tunachezwa kabisa,

    • @phillipmsamire937
      @phillipmsamire937 3 ปีที่แล้ว

      Watu wengi wakianza kupigwa na mob watu wengi utapata wanaconfess ili waachwe huru

    • @abdab8466
      @abdab8466 3 ปีที่แล้ว

      Denis nakubaliana na wewe kuna master plan kabisa tena kama huyu anayetoa ushahidi muarabu walipatana vp na huyo jonalist na huyo kijana

    • @vanhelsing4041
      @vanhelsing4041 3 ปีที่แล้ว

      Blaming the victim

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 3 ปีที่แล้ว

      @@abdab8466 ukweli kabisa kuna chuki ya kibiashara inaendelea kwa kuwa unga wa Ajab watu wameupenda sana sasa utaona vibaraka wanatumwa kusema hata hiyo company ya Ajab ifungwe na wakijuwa hiyo company haija mtuma mtu kuvunja sheria,tuwache uchochezi na company ya Ajab sababu unga wa Ajab ni wa AJAB

    • @abdab8466
      @abdab8466 3 ปีที่แล้ว

      @@chozilasamaki5473 dah, si haki Allah ndio atoae rizki na Allah ndio atoae hukumu ya haki

  • @djishagoldenmaina6608
    @djishagoldenmaina6608 3 ปีที่แล้ว

    Sad Sana anafaa punishment ya nguvu

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 3 ปีที่แล้ว

    This is the reason why watu wanakuwa wezi huyu mtu afungwe kabisa

  • @MwariwaMukurino
    @MwariwaMukurino 3 ปีที่แล้ว +1

    Justice delayed is not just denied

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @phoebemukhwana3058
    @phoebemukhwana3058 3 ปีที่แล้ว

    God Knows

  • @ezramuruka7719
    @ezramuruka7719 3 ปีที่แล้ว

    Very unfortunate

  • @koechgedeon9581
    @koechgedeon9581 3 ปีที่แล้ว

    it has taken too long

  • @ApostleJasonWinner
    @ApostleJasonWinner 3 ปีที่แล้ว +1

    When police beat and tortured innocent kenyans nobody spoke

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 ปีที่แล้ว +1

    N'gambo vipigo hivyo vipo na serekali hawashuhulikii jee hio iliotokea kenya huo afungwe na pia amlipe tena afungwe kidungo milele musilete tabia za waarabu na wakoloni kutesa wananchi

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 3 ปีที่แล้ว

      Na wale waarabu walopigwa kilifi mbona hamusemi kitu wacheni ukabila na chuki zenu

    • @saadiaali5609
      @saadiaali5609 3 ปีที่แล้ว

      @@arabianlady6304 wanafaa kupigwa lwasababu watu wetu wakienda nchi yao huwatesa

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 3 ปีที่แล้ว

      Nani asema wao watoka nchi za huko sisi sote ni wakenya lakini ukabila na chuki ziko ndani ya damu yenu mwafananisha waarabu wa huko na huku mbona basi kama mwateswa huko mpaka leo mwaenda na wengine mpaka kesho wako huko si kila kitu muamini hizo chuki sababu mwaskiza upande mmoja tu wakija kutoka huko arabuni mwadanganywa mwaamini mbona mpaka leo wanaenda kufanya kazi huko si wakae basi

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 3 ปีที่แล้ว

      @@saadiaali5609 kama kweli mwateswa huko mbona kila siku mwaenda huko kwa waarabu kutafuta kazi kama kweli mwateswa

    • @saadiaali5609
      @saadiaali5609 3 ปีที่แล้ว

      @@arabianlady6304 ndio wanaenda kutafuta kazi wakibahatika wengine hupata mahali kwenye afadhali lakini wengi huangukia pabaya na nasema hivyo kuna jirani yangu mtoto wake alisafiri akapewa mateso hata alipopata usaidizi ndio aliponea chupu chupu kurudi na wengi tuu tunawaona kwa habari wengine wanakuja uguza majaraha nchi zao wengine wanaletwa ni maiti hivi nikuambiavyo wengine wako kwa ofisi na hawana chakula video kama ushawahi kuziona zasambaa maana wanasema wamesafirishwa juzijuzi arabuni wameshtukizia viza haikuandikwa kafili wao bali zimeangikwa ni za matembezi na wengine wanalia wameletwa na maboss wao mateso yamezidi wakakimbia sahii hawajui watasafiri vipi ww unayajuwa hao musione wanao enda arabuni wanaraha ni kutia mkono gizani

  • @wauwaupikpok2533
    @wauwaupikpok2533 3 ปีที่แล้ว +1

    this young man could be lying.but to burn and torture someone is just inhuman.all the security guy had to do was hand him over to the police.see now where his sadist behavior got him into.

  • @davidwandera6948
    @davidwandera6948 3 ปีที่แล้ว

    wacha uongo ww kinjana, , , , , , na bona ulikuwa unasema ni Mara yako yakwanza????

    • @theblessedone7526
      @theblessedone7526 3 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga wewe . First time trespassing not stealing

  • @fly69jamual62
    @fly69jamual62 3 ปีที่แล้ว

    I saw that video sometimes back but i couldn't finish it was so traumatic, they were burning him with a nylon paper in his body while whipping him, his boss was wither an arab or somali, he either gave those police some money and case was thrown through the window, am happy people and lawyers as well as honest police have decided to step up for him, that boss will pay him handsomely!

  • @aminabashir5843
    @aminabashir5843 3 ปีที่แล้ว +2

    Afanana na Jamaa mwizi hapa mtaa wetu tuko jirani na Hiyo company na sisi kama wakazi wa hapo hizo company zinatuudhi na moshi zao naona tutafanya madano ya hizo moshi wtto wanaumia na asmatic

    • @junior.k.wambua8792
      @junior.k.wambua8792 3 ปีที่แล้ว

      How did you reach here??
      Ati anafanana na jamaa mwizi wewe ndio unajua wezi wote😂😂

    • @aminabashir5843
      @aminabashir5843 3 ปีที่แล้ว

      @@junior.k.wambua8792 😂😂

  • @edwinokoth1891
    @edwinokoth1891 3 ปีที่แล้ว +1

    kama ni mwizi

  • @geraldgm1217
    @geraldgm1217 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂

  • @abdallatwaha4884
    @abdallatwaha4884 3 ปีที่แล้ว

    Nothing makes sense here... All witness accounts are mere PR.
    I think there is more than what meets the eyes... huyo jamaa might have tried to Steal (though I dont support him being tortured)

  • @SuperMartolo
    @SuperMartolo 3 ปีที่แล้ว

    This is a case dead on arrival

  • @muhruzmohamed5818
    @muhruzmohamed5818 3 ปีที่แล้ว

    Wewe hujaiba mbona wakimbia

  • @SalmaSalma-sd5we
    @SalmaSalma-sd5we 3 ปีที่แล้ว

    Sorry

  • @farhiyajamaa7717
    @farhiyajamaa7717 3 ปีที่แล้ว

    Sorry sorry sorry

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 ปีที่แล้ว

    😎😎😎

  • @motivatedfitnesscentreyoga
    @motivatedfitnesscentreyoga 3 ปีที่แล้ว

    Sasa huyo ni mukikiyu alishikwa akiiba, kwa bahati mbaya huyo kijana angekuwa mukikiyu ungeona vile hawa wacresto hapa wangeongea mafi sai wajifanya wazuri nonsense

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 ปีที่แล้ว +3

    We want justice for this MAN,plz Raisi uhuru🌞🙏🇰🇪

  • @swalehelshabiby5915
    @swalehelshabiby5915 3 ปีที่แล้ว

    Dhulma mbaya sana.