Usalama Maskani | Jinsi magenge yanazidi kuhangaisha wakazi wa Mombasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 51

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier5444 ปีที่แล้ว +6

    Risasi piga mtu hakuna mchezo

  • @elijahthuram
    @elijahthuram ปีที่แล้ว +6

    Eti ni umaskini unafanya waibe? Shame on you, hawa watoto wakishikwa mamazao hutoa hata laki ili waachiliwe na polisi. Huku msa mpaka watoto wa matajiri hupiga watu mapanga my frd. Hata polisi wanawajua wengine kwao ni matajiri na wakishikwa hela sio tatizo kutoa bora wawe huru.

    • @sarahokoth
      @sarahokoth ปีที่แล้ว

      yah wanakata wabara tu mapanga lakini waislamu hawashikwi

  • @fhhfd8449
    @fhhfd8449 ปีที่แล้ว +3

    Siwachomwe na wauliwe vile walivyofanyiwa mtaa wa kongowea walikuwa wanatolewa kwa nyumba usiku na masungusungu wanauliwa kisha wanachomwa wakati huo kongowea ilitulia kindogo coz ukishikwa kabla uliwe wanataja wenzao wanaandikwa kwenye list

  • @goldenbabluuz202
    @goldenbabluuz202 ปีที่แล้ว +6

    The king pin who is controlling these gangs his or her family is living a good lifestlye,
    For me police officers to be secretly selected under cover to stay at certain place with firearm,hidden camera n speaker,radio call to alert police in patrol shift or workiñg shift .
    Ap,GSU,swat,are in good numbers they can secure than bulking in accomodation sleeping ,
    These gangs are young age ,parents whom kids are in the gangs never complain why was he killed or done something else .
    FINAL MESSAGE TO THE KING PIN YOUTHS NEEDS BETTER JOB OF RESPECT.
    MUGOKAA TO BE BANNED TO BE SALE IN MOMBASA REGION .
    WE NEED GOOD IMAGE NOT ZOMBIES OF MERU MOGOKAAAA.

    • @joycepeter1284
      @joycepeter1284 ปีที่แล้ว

      When your belly is full you do not need to involve yourself with crime... hunger makes people get involve in crimes.
      When the righteous are in authority, the people rejoice: but when the wicked beareth rule, the people mourn

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 ปีที่แล้ว

      Police wenyewe wanshusika wanafanya biashara wanashika kijana wNapiga simu ww mama leta pesa ama tunampeleka kotini mama apeka kesi hakuna ob hawandiki kitu

  • @nelsonomollo5154
    @nelsonomollo5154 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nashangaa na haapa mombasa ,kwani wale watoto wa congo ,Tanzania , Uganda, wanakuja hapa na wanauza mandazi na chai ,mtaani kwani mbona watoto wa mombasa kwa nini wasiuze chai ,🖕🖕🖕🖕🖕

  • @hassanajiruu5128
    @hassanajiruu5128 ปีที่แล้ว +1

    Wakenya wakenya wakenya Uhuru aliwambia Ruto hana lolote atakalo wafanyia wakenya Urais sio rahisi Ruto awezani nao Wawekezaji Amna Viwando Amna sababu Stima Bei juu Maji Bei Juu Ushuru Bei juu Hongo juu Wawekezaji Wana'guria TZ na UG. Kenya Ujambazi Utapeli Ufisadi Uwongo Uwizi kazi amna Ushuru wa juu NJAA TUPU.Matokeo yake USALAMA AMNA HATARI TUPU!

  • @muhammadhariz1100
    @muhammadhariz1100 ปีที่แล้ว +4

    Kisha wakiuwawa muhuri yasimama nao ooh vijana wauwawa ovyoo na police

  • @tkk3852
    @tkk3852 ปีที่แล้ว +4

    Ama wapigwe copper. Wauwawe tu watuondokee.

  • @azamazam3279
    @azamazam3279 ปีที่แล้ว +2

    Wavivu

  • @gaza1677
    @gaza1677 ปีที่แล้ว +5

    Piga hawa vijana kabisa

  • @teechake_0018
    @teechake_0018 ปีที่แล้ว +1

    hivyo ndo tunaishi huku,tukiwaletea mnawaachilia alafu mnajifanya wachambuzi...polisi muna mchango mkubwa sana kwenye uhuni,watu wanauwa mbona msiwaue ama kuwahukumu?
    Kama utendakazi wenu ni huo mnaleteana mazoea na wahuni uhuni hautaisha mombasa...hamuwajibiki ipasavyo,mtamaliza magenge lakini sio uhuni.

  • @syliviahgesare2911
    @syliviahgesare2911 ปีที่แล้ว +4

    Wakali kwanza weeeee then mateja

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 ปีที่แล้ว +2

    Hio sio sababu ya kazi watoto WA miaka chini yamiaka kumi na nane hata kitambulisho hauna utapata wapi kazi hao bunduki ndio muhimu ashikwae na kisu ,panga auliwe

  • @adamabdulrahman7426
    @adamabdulrahman7426 ปีที่แล้ว

    Suluhisho vijana hao wapewe makazi ya kuangalia usalama ea sehemu zao kwa kuajiriwa kama county police officers na wapewe mishahara na mahitaji mengine kama vile serikali kuu inavyofanya hapo utaondoa ujambazi na utumiaji mihadarati gavana wetu kijana mshupavu anza sasa mradi huu kama wataka kufaulu kuweka serikali yako ikamilike uwe na hawa vijana kama county police officers chukua hiyo

  • @sarahokoth
    @sarahokoth ปีที่แล้ว

    wakiambiwa waende shule hawataki na pia hawataki kazi za mkono...ni wastarehe na bado wanataka pesa. creating jobs will not help the situation...iwe ni ukipatikana wafanya haya maovu ni uuliwe tena mbele za watu ndio iwe funzo.

  • @joycepeter1284
    @joycepeter1284 ปีที่แล้ว +5

    Proverbs 29:2
    When the righteous are in authority, the people rejoice: but when the wicked beareth rule, the people mourn

    • @Godsfavourite.1507
      @Godsfavourite.1507 ปีที่แล้ว

      Very true

    • @hamadmohamed3056
      @hamadmohamed3056 ปีที่แล้ว

      Is The Bible from God?if it's from God why there is Soo many contradictions and confusions and God he is NOT the author of confusion

    • @Godsfavourite.1507
      @Godsfavourite.1507 ปีที่แล้ว +1

      @@hamadmohamed3056 Yes the bible is Gods own words. And God does not contradict himself so Confusion is not from God. It is the devil who brings confusion so as to mislead God's people.

    • @hamadmohamed3056
      @hamadmohamed3056 ปีที่แล้ว

      @@Godsfavourite.1507 if it's from God why there is alot of confusion and contradictions in your Bible and God can't Contradict himself??✅ do you wanna base your Salvation on a scripture with fully of corruptions and confusions?

    • @Godsfavourite.1507
      @Godsfavourite.1507 ปีที่แล้ว +1

      @@hamadmohamed3056 where is the bible contradicting my brother? I have never read a verse that support corruption

  • @omarrajab6498
    @omarrajab6498 ปีที่แล้ว

    Tuna sema ukosefu wa ajira wakati kuna watu wanarauka kongowea kubeba mizigo haya yote yana changiwa na wazazi wenyewe kushindwa kudhibiti watoto wao tusiseme hakuna kazi ni wangapi ambao hatuna kazi na hatuibi tafuteni kazi vijana

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga7770 ปีที่แล้ว +1

    ni watu wengi sana hawana kazi yet they aren't stealing

  • @ericabaga9738
    @ericabaga9738 ปีที่แล้ว +3

    Wazazi weengi wanatetea watoto wao

    • @ericabaga9738
      @ericabaga9738 ปีที่แล้ว +1

      Kama hakuna kazi lazima wawe wezi?Kuna wenye wameandikwa kazi lakini bado ni wezi.wacha kutumia madawa ya kulevya kama kizingizio.Wazazi wengi wanapenda kutetea watoto wao wakati wameshikwa na police.

  • @evalynewanjiru9685
    @evalynewanjiru9685 ปีที่แล้ว +2

    Jesus,vile wamebebea binadamu mapanga😭😭nikama wanataka kukataa nyasi

  • @mkaliwacoast5476
    @mkaliwacoast5476 ปีที่แล้ว +2

    Kazi zote wanazo WAooo lazma vijana waangaike wajitaftie ndo hayo sasa

  • @shukabol8438
    @shukabol8438 ปีที่แล้ว +8

    Piga hao mateja risasi ama mtupe baharini..Swahili poor parenting is the reason behind these shitholes.

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu ปีที่แล้ว +4

      Kweli wanafaa kutiwa adabu kisawasawa bt nakuambia tu kwa heshma don't victimize the word SWAHILI hapo unakosea...hukumu mtu kwa tabia yake bt sio useme Swahili 👍

    • @swabrisoud7307
      @swabrisoud7307 ปีที่แล้ว +4

      are they only swahili these kids i guess they are frm all ways

    • @charlesrachier5444
      @charlesrachier5444 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaa

  • @bernardoloo2023
    @bernardoloo2023 ปีที่แล้ว +1

    The government of now is focused more on religious prayers than INDUSTRIALISATION...God will still open a door

  • @nobertkarisa2380
    @nobertkarisa2380 ปีที่แล้ว

    Kilakitu ni ruto

  • @Faizamideva-bv6oo
    @Faizamideva-bv6oo 10 หลายเดือนก่อน

    Kabisa

  • @SilasNjoroge-xr9ue
    @SilasNjoroge-xr9ue ปีที่แล้ว

    No no

  • @daprince7545
    @daprince7545 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini serikali haezi kukabiliana na drugs.

  • @felister2457
    @felister2457 ปีที่แล้ว +2

    Kazi ni kazi ruto alisema!!

  • @victoriamima2547
    @victoriamima2547 ปีที่แล้ว +2

    PRESIDENT MESSED KENYANS WHEN HE SAID
    "KAZI NI KAZI"
    NIFIKISHENI 1K PLZ

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 ปีที่แล้ว

    ZAENI TUPENI WATOTO. WANAKUWA CHOKORAA NA MONGOKAA. SASA KULENI MATUNDA YAKE. MUNASHINDWA NA PAKA HURAMBA WATOTO WAKE.

  • @cecilykimani4400
    @cecilykimani4400 ปีที่แล้ว

    Watoto wa mombasa wapenda sitarehe

  • @tatujuma8781
    @tatujuma8781 ปีที่แล้ว

    Upumbavu na ujinga wa kenya

  • @gabrielkabogo1050
    @gabrielkabogo1050 ปีที่แล้ว

    0

  • @dominicat3
    @dominicat3 ปีที่แล้ว +1

    Wauwawe wote, hii serikali ina mchezo sana

  • @eriminahmshai
    @eriminahmshai ปีที่แล้ว

    Mama hàpo uwongo usema eti ameshindwa na ulezi la hasha makazi hakuna vijana wanatabika sana na si wakiume pekee hata wakike ana umri wakuwa awe na kazi yako mwenyewe hana wakubwa nao pia kazi za vijana wamechukuwa hayo ndio majibu hayo mama uwache kuongea vibaya kwa ukalelewa,

  • @Dillie-dally
    @Dillie-dally ปีที่แล้ว

    Mwanasiasa ndo mlanguzi

  • @jameskaze
    @jameskaze ปีที่แล้ว

    Bottoms up economy inabidi kutumia ma drugs na pombe kukill stress.