ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Natamani kuanzisha hii biashara..Mungu anijalie
AMIIN ..ni bishara nzur hasa ukipata maeneo ya shule
Asante kwa SoMo zuri
Aise nikatafute ukwajuuuuu kwakwelii..this is too helpful
Thank you dear 🥰
munno glam shilngap ?
Haiwekwi kilainishi??@@ikamalle
Nzurii sanaaa❤️🥰🥰🥰
Asante vipi namna ya upangaji ndani ya defriza
Mm barafu yangu ya ukwaju inakuwa kali sana na ninachemsha ukwaju
Ubarikiwe my napenda Sana ukwaju😋😋
Salaam.Hongera sana kwa askrim nzuri na inaonesha pia tamu 🥰.Mi pia nazihitaji hizi kontena naweza kupata wapi?Shukran.
😋😋saivi ntaacha kununua barafu.... ♥️😋😋
Napenda ukwaju anything as long as Ina ukwaju 😋😋
Wow. Nice
Hongera dada nimependa kazi yako
Asante sana
Napenda biashara ya barafu
Wlhi your videos are always helpful mum💯♥️
Thank you
I agree 💯💯
Naomba unitumie 🙈😣😋😋😋
Usihofu dear, ngoja zigande vyakutosha tuu
Naomben mnisaidie kupata freezer ya barafu pekeyake
Mbona mm frizer langu linachelewa kugandisha
Hivyo vikopo vinaitwaje?
Ni nzuri sana je vikopo hivyo nivipate wapi? Naomba msaada wakò
Leo ni mekuwa wakwanza.. Manager nipo vizuri
😂😂😂😂 Manager uko Vizuri sana 👍🏽
Napenda kweli😋😋😋
Naitaji muongozo ili kujua baadhi ya products zinapopatikn
So smart
Na hivo vikopo na vijit vinapatika wapi
Hivyo vikopo virefu vinauzwa wapi
Nzuri, ila ingependeza kueka na rangi ya chakula nyekundu kubadili rang ya ukwaju
Mashallah
❤❤
Good
Asante
Unaweza kuweka rangi wowote?
I like that
Wow
Barafu 100 au 200 natumia ukwaju kiasi gan
M bona hukuosha ukwaju
Mi Nahitaji kwa ajil ya biashara kl moja Maj Kias gan
Uwii ika Malle umenitamanisha jamani 😋 namiss barafu kwa kweli
Dear kutengenez barafu za ubuyu je...inakua hivohivo kama ya ukwaju.????
Unaweza kuweka rangi au ladha nyingine ?
Je Cmc inafaa kueka?
Ukwaju lovers🔥🔥🔥🔥🔥
Yeaas😋
Alike
Nice recipe
Weka cmc
😋😋😋
🥰🥰🥰
Nahitaji hiyo freezer naipata wapi na kwa bei gani
Barafu za ukwaju haziwekewi kitu kingne?
Vicontena vya blue na weupe ivo vinapatikana wap?
Ivo vifaa vyengine ntapata wapi
Nimekupenda bureeeee
Shukrani
Ukwaju haina mchanga?
Mbona sip nzito nitam mojakwa moja au Ina Baki maji
Sukari ni aina gani??
Hio iliki Huezi chemsha na ukwaju ili ikolee
asnte lkn mm Nina swali je barafu za ukwaju unaweza kuweka rangi??
Nice mrembo
Haika natamani hivyo vicontaina vya kutengenezea barafu sijui vinapatikana wapi.
Kwenye maduka ya vyombo
Sukari mbichi???
unaweza kuuchemsha pia??
Namani uniorodheshee vitu vyote mhimu vinavyoitajika pia nakiwango kila hatua
Sorry sis hvyo vkopo navjit naweza nkavpatajee navhtaj sana
Samaani dada mimi zakwangu niliziwekaga kwenye firiji usiku,cha ajabu vyakula vyote viliganda ila ice cream mpaka saa tano azubui zilikua hazijaganda iyo inatokana na nin?
Uliweka kwa freezer au fridge
hivyo vikopo vinapatikana wapi my
Nimependa jinsi unavyotengeneza.nisaidie niwapi vinapatikana hivyo vikopo
Nimeipenda sana ila mbona hujaweka flavour yeyote
Flaver ya ukwaju tia potesa arki ni tam san
jamani minikionaga ukwaju tu mate yana nitokaaa
Kilo moja unaweka maji kiasi gani
Hi hivyo vidude nithapata wapi?,Niko mombasa
Mimi nilinunua kwenye maduka ya vyombo
@@ikamalle naNimethafutha nimekosa naomba kujua haswa ni duka lipi?sorry mwanzo ww mkaazi wa mombasa au tanzania?
Mi ni mkazi wa Tanzania
@@ikamalle kwa huko ni bei ngapi?kwa pesa ya kenya ni ngapi
Vikombe 2 sawa na nusu kilo au vp
Kuna haha ya kusema cm?
Vikopo vinauzwaje
Barafu za ukwaju zinawekwa juis cola au
Mimi sijaweka
Mbona zangu haziwi laini nafeli wapi
maji umeweka kuasi gani
Mm nauliza kw nn mm nikitengenez unajichuja
Hivyo vikopo navipataje
Naezaje Pata freezer kama hio yako
Mwenzangu namie wewe mimi ishu iko kwenye freezer tu
Mamy hzo popsticks znauzwa kwenye maduka ya nini....maana nmetafta sjapata
nitapataje ivo vikontena
😋😋😋😘
Dada mm nahitaji kufinya ivyo vitu ila mahitaji yake nayapata VP km ivyo vikontena
Uko wapi km Dar nenda kkoo
Hio kilo moja unachanganya na maji kiasi gani
Mahitaji nisukari nanini
Unauza sh ngapi
Mimi naomba tuwasiliane namba yangu ni hiyo nataka huo ufundi lakini kutumia karkadela badala ya ukwaju
Yaani niko tayari kulipia mafunzo niko namba 0716140342
znavutia sana hizo barafu dada mm nna shida ya hivo vicontena vya kutengenezea lambalamba naomba unsaidie
hivi vikona Huwa vinauzwa
Ndio
Hi hivyo vidude vya mfiniko wa blue ununua kwa pesa ngapi?
Nzuri
Nataka kuanza biashara shida mifuko
Naomba namba yako
Ivo vikopo vyenye ufuniko wa bahar vinapatkan wap
Karibu sana
Natamani kuanzisha hii biashara..Mungu anijalie
AMIIN ..ni bishara nzur hasa ukipata maeneo ya shule
Asante kwa SoMo zuri
Aise nikatafute ukwajuuuuu kwakwelii..this is too helpful
Thank you dear 🥰
munno glam shilngap ?
Haiwekwi kilainishi??@@ikamalle
Nzurii sanaaa❤️🥰🥰🥰
Asante vipi namna ya upangaji ndani ya defriza
Mm barafu yangu ya ukwaju inakuwa kali sana na ninachemsha ukwaju
Ubarikiwe my napenda Sana ukwaju😋😋
Salaam.Hongera sana kwa askrim nzuri na inaonesha pia tamu 🥰.Mi pia nazihitaji hizi kontena naweza kupata wapi?
Shukran.
😋😋saivi ntaacha kununua barafu.... ♥️😋😋
Napenda ukwaju anything as long as Ina ukwaju 😋😋
Wow. Nice
Hongera dada nimependa kazi yako
Asante sana
Napenda biashara ya barafu
Wlhi your videos are always helpful mum💯♥️
Thank you
I agree 💯💯
Naomba unitumie 🙈😣😋😋😋
Usihofu dear, ngoja zigande vyakutosha tuu
Naomben mnisaidie kupata freezer ya barafu pekeyake
Mbona mm frizer langu linachelewa kugandisha
Hivyo vikopo vinaitwaje?
Ni nzuri sana je vikopo hivyo nivipate wapi? Naomba msaada wakò
Leo ni mekuwa wakwanza.. Manager nipo vizuri
😂😂😂😂 Manager uko Vizuri sana 👍🏽
Napenda kweli😋😋😋
Naitaji muongozo ili kujua baadhi ya products zinapopatikn
So smart
Na hivo vikopo na vijit vinapatika wapi
Hivyo vikopo virefu vinauzwa wapi
Nzuri, ila ingependeza kueka na rangi ya chakula nyekundu kubadili rang ya ukwaju
Mashallah
❤❤
Good
Asante
Unaweza kuweka rangi wowote?
I like that
Wow
Asante sana
Barafu 100 au 200 natumia ukwaju kiasi gan
M bona hukuosha ukwaju
Mi Nahitaji kwa ajil ya biashara kl moja Maj Kias gan
Uwii ika Malle umenitamanisha jamani 😋 namiss barafu kwa kweli
Dear kutengenez barafu za ubuyu je...inakua hivohivo kama ya ukwaju.????
Unaweza kuweka rangi au ladha nyingine ?
Je Cmc inafaa kueka?
Ukwaju lovers🔥🔥🔥🔥🔥
Yeaas😋
Alike
Nice recipe
Weka cmc
😋😋😋
🥰🥰🥰
🥰🥰🥰
Nahitaji hiyo freezer naipata wapi na kwa bei gani
Barafu za ukwaju haziwekewi kitu kingne?
Vicontena vya blue na weupe ivo vinapatikana wap?
Ivo vifaa vyengine ntapata wapi
Nimekupenda bureeeee
Shukrani
Ukwaju haina mchanga?
Mbona sip nzito nitam mojakwa moja au Ina Baki maji
Sukari ni aina gani??
Hio iliki Huezi chemsha na ukwaju ili ikolee
asnte lkn mm Nina swali je barafu za ukwaju unaweza kuweka rangi??
Nice mrembo
Haika natamani hivyo vicontaina vya kutengenezea barafu sijui vinapatikana wapi.
Kwenye maduka ya vyombo
Asante
Sukari mbichi???
unaweza kuuchemsha pia??
Namani uniorodheshee vitu vyote mhimu vinavyoitajika pia nakiwango kila hatua
Sorry sis hvyo vkopo navjit naweza nkavpatajee navhtaj sana
Samaani dada mimi zakwangu niliziwekaga kwenye firiji usiku,cha ajabu vyakula vyote viliganda ila ice cream mpaka saa tano azubui zilikua hazijaganda iyo inatokana na nin?
Uliweka kwa freezer au fridge
hivyo vikopo vinapatikana wapi my
Nimependa jinsi unavyotengeneza.nisaidie niwapi vinapatikana hivyo vikopo
Nimeipenda sana ila mbona hujaweka flavour yeyote
Flaver ya ukwaju tia potesa arki ni tam san
jamani minikionaga ukwaju tu mate yana nitokaaa
Kilo moja unaweka maji kiasi gani
Hi hivyo vidude nithapata wapi?,Niko mombasa
Mimi nilinunua kwenye maduka ya vyombo
@@ikamalle na
Nimethafutha nimekosa naomba kujua haswa ni duka lipi?sorry mwanzo ww mkaazi wa mombasa au tanzania?
Mi ni mkazi wa Tanzania
@@ikamalle kwa huko ni bei ngapi?kwa pesa ya kenya ni ngapi
Vikombe 2 sawa na nusu kilo au vp
Kuna haha ya kusema cm?
Vikopo vinauzwaje
Barafu za ukwaju zinawekwa juis cola au
Mimi sijaweka
Mbona zangu haziwi laini nafeli wapi
maji umeweka kuasi gani
Mm nauliza kw nn mm nikitengenez unajichuja
Hivyo vikopo navipataje
Naezaje Pata freezer kama hio yako
Mwenzangu namie wewe mimi ishu iko kwenye freezer tu
Mamy hzo popsticks znauzwa kwenye maduka ya nini....maana nmetafta sjapata
nitapataje ivo vikontena
😋😋😋😘
Dada mm nahitaji kufinya ivyo vitu ila mahitaji yake nayapata VP km ivyo vikontena
Uko wapi km Dar nenda kkoo
Hio kilo moja unachanganya na maji kiasi gani
Mahitaji nisukari nanini
Unauza sh ngapi
Mimi naomba tuwasiliane namba yangu ni hiyo nataka huo ufundi lakini kutumia karkadela badala ya ukwaju
Yaani niko tayari kulipia mafunzo niko namba 0716140342
znavutia sana hizo barafu dada mm nna shida ya hivo vicontena vya kutengenezea lambalamba naomba unsaidie
hivi vikona Huwa vinauzwa
Ndio
Hi hivyo vidude vya mfiniko wa blue ununua kwa pesa ngapi?
Nzuri
Nataka kuanza biashara shida mifuko
Naomba namba yako
Ivo vikopo vyenye ufuniko wa bahar vinapatkan wap
Kwenye maduka ya vyombo
Asante sana
Karibu sana
Asante
M bona hukuosha ukwaju