ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Asante sana dada umetumia vitu vinavyopatikana kirahisi Mungu akufanikishe😊
Asante umetumia vitu simple na vinavyopatikana kwa urahisi🙏🇹🇿🙋❤️
Asante kwa Somo sikuwahi kutumia na unga wa ngano,MUNGU AZIDI KUKUINUA KWA VIWANGO VYA JUU...OMBI NAOMBA UTUWEKEE NA YA CORN FLOUR🙏
Asante sana kuanzia kesho naanza rasmi
safi sana dada. mungu akuongoze. umefanya mke wangu asilemae nyumbani
Axante Kwa somo
Ubarikiwe sana mamy
Ahsante dear tuwekee na za maziwa dear za biashara
Asante sana my mm nauza ila zinakua ngum ila leo umenipa somo
Asante umetumia vitu simple kuvipata
You're the best
Thanks Dinna. Simple and perfect.
Thanx dada Dina,mpaka naingia humu maana yake nina interest na hii kitu.nimepata somo zuri.unarikiwe
Namba unielekeze vipimo mfano lt 20 unaweka unga kiasi ngani?
Asante njia rahis
asante dada -.maji ya ubuyu naweza kupasha yawe na uvuguvugu ubuyu unawahi kuyeyuka
Hongera dada nilikuwa sijui kama ngano unaweka kwenye aiskrim
Kwanini hajatumia super dipu umetuma sukali?
Safi sana umenisaidia sana utengwe
Asante sana dada nimetoka kununua vifaa naanza rasmi kesho biashara
Shoga nicheki kama ulishaanza biashara
Nimeipenda sana natamani kuifanya hiyo
Asante kwa somo zuri lkn naomba kujua mfano ubuyu ni sado 1 je unga wa ngano ni kias gn?Na hua nasikiaga kua icecrem ina sukar ya aina yake je ilo nalo lipoje?
Ngano ipi unatumia ya mabumunda au?
Ahsante kutuwezesha kimaisha
Asante kwa somo
Maji ni ya moto au ya barid
Nmependa unatumia vitu simple
Asantee dada kwa somo lakini haina haha ya Radha na sukari kali
Asante Sana Ila nilikua natakakujua eti rangi zinakua na chumvi
Kunarangi nimenunua zinachumi kabisa nimewekea ice cream zimekua na ladha ya chumvichumvi
Rangi zna chumv ndio so weka kdg mno na inakubal
Yummy 😋😋
Wahooo
Vipimo tafadhali my dear
Acha tujaribu kwanza
Kwenye hii video uliweza kutengeneza ice cream ngapi?na kwa vipimo gani?
Asante Ila nikitengeneza zinajitenga rangi upande mmoja na upande mwingine inabaki haina rangi
Atamm jamn ivyoivyo sijui nakwama wp
Jamani nakwama kwenye Radha naweka Radha ipi,nahata sijui zinapatikana wapi
Asant kumbe ngano inafanya ipendeze
Thanks 🙏🙏
🙏
mashaAllah naomba namba yako
Nimejifunza leo
Nawuriza kama hawuna izorage unanda kutumiya juwisi binawezekana nawuriza hivo kwanjo kwenye turipo hatuwezi kuzipata tuko ishi ya mozambipue
Huwek sukari
Naitaji aina ya rangi unayotumia
Je na ladha huwekii au ndo hyo rangi tuu
Naomba kuuliza mfano hiyo sad moja unaweka ngano kiasi gan na rangi kiasi gan naomba kujua
Asante kwa somo tusaidie vipimo❤❤❤❤❤
Naitaji kujifunza naomba maelekezo
Hiweki sukari
samahan ukitengenez hivo unakua huweki radha
Unajiongeza dear huwezi fundishwa Kila kitu😅
Una Waka saizi Gani ya bishara unga
Naomba namba yako
Khaa ndo ufikicha kiuchafu hvo
Sante dada
Ngano ya Chapo ama
Eti naweza kutumia unga wa muhogo
Asante sana ila naomba uwe ukituambia viwango vya vitu inavyo tumia
Okay sawa dear nitakuwa nafanya hivyo
kama unafanya za biashara ngano natakiwa kuchukua kiasi gani
ngano inategemeana na kipimo cha ubuyu mamy kikubwa cha kuzingatia inabidi uji uwe mwepesi sana
Ivi ngano ndio flour
@@RahabuTimoth hahahaaaAaa,ngano ni wheat 🌾 kwa kizungu na sio flour 🤣
Sorry naomba kuuliza unga wa ubuyu robo naweka huo unga wa ngano kias gani na sukari
Mpenz sukari atuweki
sukari unaweka dear kutokana na kipimo unacho hitaji
Asante kwa kutufundisha maana nilikuwa nakosea kidogo
Sorry unaeka unga wa ngano kabisa au corn flour
mimi nimeweka unga wa gano lakini pia hata corn flour unaweza kutumia
Naomba unielekeze kipimo kinakuwajee
Kwa zilivyo tunauza sh ngapi
Asante sana dada umetumia vitu vinavyopatikana kirahisi Mungu akufanikishe😊
Asante umetumia vitu simple na vinavyopatikana kwa urahisi🙏🇹🇿🙋❤️
Asante kwa Somo sikuwahi kutumia na unga wa ngano,MUNGU AZIDI KUKUINUA KWA VIWANGO VYA JUU...OMBI NAOMBA UTUWEKEE NA YA CORN FLOUR🙏
Asante sana kuanzia kesho naanza rasmi
safi sana dada. mungu akuongoze. umefanya mke wangu asilemae nyumbani
Axante Kwa somo
Ubarikiwe sana mamy
Ahsante dear tuwekee na za maziwa dear za biashara
Asante sana my mm nauza ila zinakua ngum ila leo umenipa somo
Asante umetumia vitu simple kuvipata
You're the best
Thanks Dinna. Simple and perfect.
Thanx dada Dina,mpaka naingia humu maana yake nina interest na hii kitu.nimepata somo zuri.unarikiwe
Namba unielekeze vipimo mfano lt 20 unaweka unga kiasi ngani?
Asante njia rahis
asante dada -.maji ya ubuyu naweza kupasha yawe na uvuguvugu ubuyu unawahi kuyeyuka
Hongera dada nilikuwa sijui kama ngano unaweka kwenye aiskrim
Kwanini hajatumia super dipu umetuma sukali?
Safi sana umenisaidia sana utengwe
Asante sana dada nimetoka kununua vifaa naanza rasmi kesho biashara
Shoga nicheki kama ulishaanza biashara
Nimeipenda sana natamani kuifanya hiyo
Asante kwa somo zuri lkn naomba kujua mfano ubuyu ni sado 1 je unga wa ngano ni kias gn?
Na hua nasikiaga kua icecrem ina sukar ya aina yake je ilo nalo lipoje?
Ngano ipi unatumia ya mabumunda au?
Ahsante kutuwezesha kimaisha
Asante kwa somo
Maji ni ya moto au ya barid
Nmependa unatumia vitu simple
Asantee dada kwa somo lakini haina haha ya Radha na sukari kali
Asante Sana Ila nilikua natakakujua eti rangi zinakua na chumvi
Kunarangi nimenunua zinachumi kabisa nimewekea ice cream zimekua na ladha ya chumvichumvi
Rangi zna chumv ndio so weka kdg mno na inakubal
Yummy 😋😋
Wahooo
Vipimo tafadhali my dear
Acha tujaribu kwanza
Kwenye hii video uliweza kutengeneza ice cream ngapi?na kwa vipimo gani?
Asante Ila nikitengeneza zinajitenga rangi upande mmoja na upande mwingine inabaki haina rangi
Atamm jamn ivyoivyo sijui nakwama wp
Jamani nakwama kwenye Radha naweka Radha ipi,nahata sijui zinapatikana wapi
Asant kumbe ngano inafanya ipendeze
Thanks 🙏🙏
🙏
mashaAllah naomba namba yako
Nimejifunza leo
Nawuriza kama hawuna izorage unanda kutumiya juwisi binawezekana nawuriza hivo kwanjo kwenye turipo hatuwezi kuzipata tuko ishi ya mozambipue
Huwek sukari
Naitaji aina ya rangi unayotumia
Je na ladha huwekii au ndo hyo rangi tuu
Naomba kuuliza mfano hiyo sad moja unaweka ngano kiasi gan na rangi kiasi gan naomba kujua
Asante kwa somo tusaidie vipimo❤❤❤❤❤
Naitaji kujifunza naomba maelekezo
Hiweki sukari
samahan ukitengenez hivo unakua huweki radha
Unajiongeza dear huwezi fundishwa Kila kitu😅
Una Waka saizi Gani ya bishara unga
Naomba namba yako
Khaa ndo ufikicha kiuchafu hvo
Sante dada
Ngano ya Chapo ama
Eti naweza kutumia unga wa muhogo
Asante sana ila naomba uwe ukituambia viwango vya vitu inavyo tumia
Okay sawa dear nitakuwa nafanya hivyo
kama unafanya za biashara ngano natakiwa kuchukua kiasi gani
ngano inategemeana na kipimo cha ubuyu mamy kikubwa cha kuzingatia inabidi uji uwe mwepesi sana
Ivi ngano ndio flour
@@RahabuTimoth hahahaaaAaa,ngano ni wheat 🌾 kwa kizungu na sio flour 🤣
Sorry naomba kuuliza unga wa ubuyu robo naweka huo unga wa ngano kias gani na sukari
Mpenz sukari atuweki
sukari unaweka dear kutokana na kipimo unacho hitaji
Asante kwa kutufundisha maana nilikuwa nakosea kidogo
Asante kwa kutufundisha maana nilikuwa nakosea kidogo
Asante kwa kutufundisha maana nilikuwa nakosea kidogo
Asante kwa kutufundisha maana nilikuwa nakosea kidogo
Sorry unaeka unga wa ngano kabisa au corn flour
mimi nimeweka unga wa gano lakini pia hata corn flour unaweza kutumia
Naomba unielekeze kipimo kinakuwajee
Kwa zilivyo tunauza sh ngapi
Asantee dada kwa somo lakini haina haha ya Radha na sukari kali