Asante sana dada nimejifunza kitu hapo,nilikuwanatamani Sana na mimi nijuebkutengeneza barafu za ubuyu , thanks very much Madam,nitaendelea kukufuatilia niendelee kujifunzab zaidi
Shukran M/mungu akusameh madhambi yako yasiri na dhahiri namm pia M/mungu anisameh pia.. Sina chakukulipa zaidi hiyo duwa.. Kwan kupunguwa kwadhambi ndio huwend M/mungu akatufanyia wepes mambo yetu
Niko na freezer 4 wima mda mrefu bila kazi... ALLAH akinwezesha zitantambua.asante.. nikama umetolewa sumu si wengi walo na moyo kama wako.ALLAH ibarik Duniani na akhera
Ahsante najifunza, sana dada daima utabaki kuwa juu, smhn nauliza ktk utengenezaji wa Ice cream au barafu ni lazima kutumia Tylose( kilainishi) au sio lazima?
@@mziwandabakers8297 ahsante mno maa Mungu azidi kukuinua ktk viwango vya juu, uzidi kuwa na Moyo Wa kushare na sisi Kwa kile unachokijua wewe. Ubarikiwe Namaanisha kutoka rohoni
Assalam aleikum cmckwahuku mombasa Una shida kwa huko kama kuipata ni wepesi kama naeza pata na freezer n bei ngap mmi niko mombasa kunifikia haitakua tabu
Shukrun sana na Mm nimeanza biashara yngu, lkn tatizo kwenye sukari inakua ndogo hadi niweke gr 400 ndio inakua sw, kemikol inakua ni gr ngapi nangojea Ya ukwaju 😋
Asante sana dada nimejifunza kitu hapo,nilikuwanatamani Sana na mimi nijuebkutengeneza barafu za ubuyu , thanks very much Madam,nitaendelea kukufuatilia niendelee kujifunzab zaidi
Asante sana kwa kazi nzuri nimejifunza
Asante nimejifunza
Kama una blender saga kilainishi utarahisisha kazi
Mungu akubari sn nimefata maelekezo barafu nzr👌 tamu balaaa 😚
Asante dada Kwa upendo wako
Asante sanaa Mungu akubariki...nimeweza kusoma kutoka kwako
Amiin
Hicho kilainishi nakiulziaje dukani?
Tyrose
Thank you for your good training. What is bawbaw powder or substitute
Asante dada nimepata ujuzi zaidi🙏
Asante sana umeniongezea ujuzi, nitafanya biashara.
Asante dada kwa maelezo mazuri
Asante mnauza Bei gan
Asante Sana kwa darasa.
Asalam aleyku Dada naomba nifundishe kutengezeza chokstik za maziwa na karanga jazakah lah kheri
Dada unajua kufundisha nimejua kupika vitumbua Asante nashukuru
Shukran M/mungu akusameh madhambi yako yasiri na dhahiri namm pia M/mungu anisameh pia.. Sina chakukulipa zaidi hiyo duwa.. Kwan kupunguwa kwadhambi ndio huwend M/mungu akatufanyia wepes mambo yetu
Amiin Yaa Rabb, 🙏🙏🙏🙏
@@mziwandabakers8297 barikiwa mnoo madam wangu kipenzi
I'm Metumia sukari tu au na keikei
Asante sana dada
Dada kwa maji Lita 5 umetumia sukari kiasi gani na unga wa ubuyu kiasi gani
MashaaAllah mpx video zako zote zinanivutia na unafundisha makini mungu akuongezee ujuxi zaidi🙏
Ajira kiganjan...asante
Safi sana
Asante nimejifunza ila cmc kipimo cha lita tano please
Masha'allah nimependa
Dada samahani kilainishi kinapatika wap duka la vyakula au na jee bila kilainishi haitafaa
Asante sana kwa haya masomo Mungu azid kukubariki..plz video ya maandazi ya biashara
Shukran nitaifanya pia
Ahsante Dada unatufunza wengi
a tip: watch series at flixzone. Been using it for watching loads of movies during the lockdown.
@Kendrick Elliott definitely, I have been watching on Flixzone for since november myself :D
Asante sana ngoja nijaribu ntakupa mlejesho
Nausubiri dear
Asante kwa somo zuri
Uko vizuri sana nakukubali
Hivo virahinish navipata wapi ahsante kwa ujuzu nimependa mno
uko vizuri mwalimu
Mbona maji yalikuwa lt5 lkn yamejaza ndoo???
Asante sana
Iyo tylose inauzwa bei gan Dada?
Nimeipenda dada video Yako umetoa maelekezo Kwa lugha fasaa kbs
Kilainishi ni kitu ganihicho?
Kilainishi cha patikana wapi
cmc inapatika maduka gani?
bei yk pia
Niko na freezer 4 wima mda mrefu bila kazi... ALLAH akinwezesha zitantambua.asante.. nikama umetolewa sumu si wengi walo na moyo kama wako.ALLAH ibarik Duniani na akhera
Amiin Yaa Rabb, Allah akusimamie ufanyie kazi hizo freeze pleaseee
Asante
ah safi sanaaaa
Mungu akupe pepo inshallah
asante kwa darasa nzuri linalotuelimisha vifaa vinapatikana wapi hasa cmc
Maduka yenye vifaa vya keki
Honger, lakn hicho kilainishi kinapatikanaje
Alikujibu icho kilainishi kinauzwa wapi na maduka gani
Hii kilainishi na cmc huwa nini
Ice cream powder Ni unga gani?
Ahsante najifunza, sana dada daima utabaki kuwa juu, smhn nauliza ktk utengenezaji wa Ice cream au barafu ni lazima kutumia Tylose( kilainishi) au sio lazima?
Shukran,ni muhimu inasaidia sana kuzifanya laini
@@mziwandabakers8297 ahsante mno maa Mungu azidi kukuinua ktk viwango vya juu, uzidi kuwa na Moyo Wa kushare na sisi Kwa kile unachokijua wewe. Ubarikiwe Namaanisha kutoka rohoni
@@dionisiajonas6305 Amiin shukran sana
Umesema friza mnazo ni bei gani natamani kufanua hii biashara pia
HIZO FREEZER SHINGP MNAUZA?
Habar, napta wp vikopo vya lambalamba used
Assalam aleikum cmckwahuku mombasa Una shida kwa huko kama kuipata ni wepesi kama naeza pata na freezer n bei ngap mmi niko mombasa kunifikia haitakua tabu
Cmc kwa huku mombasa ulizia ni Unga wa ice cream ndo hutumika kwa milk sheak kuwa nzito Marikiti wapata Hatha mimi nimenunua huko
Bei za firiji na aina ya friji naomba kujua
Naomba namba yako...kwamafunzo nakujua vitu navipataje
Umesema mnauza freezer je ni bei gani.?
Hii nimependa
Maa shaa Allah! Uko vzr sn, nataman kuona juisi ya tende na maziwa kutoka kwako😋
😋😋😋
Naomba mnisaidie kupata freezer ya kugandisha barafu
Friza mnauzaje?
Nakupenda unavofindisha vipimo ungetuelewesha kwa nusu au kilo
kaz nzuri
Video zako zote ni nzuri sana. Keep up
Hiko kilainishi nikienda dukani nakiuliziaje au kinaitwaje
UNga waubuy napata wapi
Asante kwa elimu nzuri na video zako zote nzuri. Wadau wa Mwanzaa, nisaidieni napata wapi CMC?
Maduka ya vitu vyakutengenezea km ice cream cakes
@afarahi Kassim Asante dear
Kuna duka stendi ya dampo utapata hapo
Dada freezer lita 200 naipata kwa sh ngapi
Naomba msaada wa namba yako nipate elimu zaidi
Mm nko mombasa hiki kilainishi Kiko na jina gan kwa huku pole Kwa usumbufu
Tyrose ama cmc
Ubarikiwe Sana dada kwa elimu. Kilainishi kinapatikana wapi dada
Kinapatika kwenye maduka ya keki
Sokoni au supermarket omba cmc ya kutengenezea barafu
Shukran asante
Nashukuru nimejifunza kitu, ila icho kilainishi dukani naulizaje yaani jina lake.
Tyrose ...cmc
Mmh!? Uko vizuri
Shukran karibu
Nimeipenda asante
Shukran karibu
dada unavitabu vya kuoka vitafunwa?
Good job
Tailos ndiyo nini?
Shukrun sana na Mm nimeanza biashara yngu, lkn tatizo kwenye sukari inakua ndogo hadi niweke gr 400 ndio inakua sw, kemikol inakua ni gr ngapi nangojea Ya ukwaju 😋
Kemikol pkt2 ni utamu wa 2ltrs za maji
jamani nzuri mno. freeza km hiyo mnauzaje? Nina shida na freeza ya wima. yaani kuanzia juu mpaka chini
Asante Sana hizo ladha za juice cola unaweza kuweka kwenye maziwa
Waweza
Dada nilipoteza namba yako nashida sana nawewe plz dada naomba namba
habar.. cjaelewa hyo CMC
Thanks mumy👏
Hongera nahitaji mashine ya chostic nitapata wapi?
Hi hv mtaj n shngap w hzo za ubuy
Kuanzia 8000
Hongera sana 👍👍👍👍👍👌
mifuko ya kuhifadhia unapatia wap?
Mashallah nzuri sana. Lakini unga wa ubuyu umenunu 500/ na umetoa barafu 65 pekee iko faida kweli
Ubuyu 500,sukari 700,vingine 1500,umeme 1000 jumla 3700 unabaki na 2800 toa hiyo 800 baki na pesa 2000 inatosha sana kwa Biashara kuwa ni faida mob
Asantee mamy kwa mafuzo
Dear naomba unitumie hiyo video WhatsApp na mahitaji jinsi ya kutengeneza
Friza kama hyo ya wima.yoote friza kiasi gani na mnapatikana wapi.
Dada ahsante sana
Nimependa sanaa
Shukran nauliza hio tylose inapatikana wapii au maduka gani
Maduka ya vifaa vya keki
Hbr nikienda dukani nauliziaje icho kilainishi na maduka yapi yanauzwa
sokon maduka ya viungo uliza CMC kilainishi
Ubarikiwe kipenzi Mimi ninaanza Leo inshaallah
🤝🤝💪💪
@@mziwandabakers8297 maji umetumia ya baridi
@@mziwandabakers8297 dada nashida na wewe
Samahan dada kupima hcho cmc unatumia nn ili ujue GM naomba unijibu
Kilainish kinapatikana wap
naomba namba yako
Nimeipenda
Amna usichojua I love u
Love you more🥰🥰
Waeza nionesha packet yke plz
Nauliziaje hiyo cmc