Hali ya Kiuchumi kwa Mzee Yusuph Yabadilika Sana Kutokana na Dini.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
barakallahu fik mini pia nilikuwa mwanamźiki na napenda Sana mziki Lakin alhamdulillah nimeacha kwa ajili ya dini yang muziki ni haramu na allah Ndio mpaji allah AKBAR !!
mungu akupe nguvu na kukupatia ridhiki katika maisha yako na kukusamehe makosa yako umenifundisha
lnshaallah
Neema Josephu ameen
Amin
Neema Josephu amiin
mwenye amjaalie yusufu aweze kuilinda imani yake wala asiteteleke. na maisha !zahoro magera wa msimmba SUNUKA kigoma
mwanzon sikuafiki kbsa kuacha kwake muziki lkn kwa sasa nime elewa Mungu akujaalie kila lenye kher na baraka. nimejifunza mengi kupitia wewe Mungu awe nawe na kukujaalia kila lenye kher
mwenyezi Mungu akujaalie kipato cha halali na akuzidishie imani zaidi
wa LLAH raha bora uwe n ALLAH pesa zikiondoka kuwa n subira riziki mtoaji n MOLA hata ukiwa nazo utaziacha hphp kaburin amali zako tu
Mungu yuko pamoja na wenye kusubirri Mungu akupe subira inshallah
ama kweli mwenyezi mungu s.w.t humuongoza atakae,Allah akuzidishie imaan
Allah ndo alikupa sauti ili uimbe taarab ujiingizie kipato ulee wake zako na watoto zako. Umempiga chini Allah na kipaji alokujalia, utaisoma namba aise
Allah akuzidishie hidaya kwa vile umejihidi na ushauri wangu usiimbe kasida toka ktk makundi ya fisabililah na ushikamane na madarsa basi
Allah awe pamoja na kaka yetu kipenzi
Seif Abdullah Ameen
mashaallah uckate tamaa kwani palipo dhuruba kali ndipo palipo njia Allah atakuvusha salama na ramadhali hii inshaallah
MashaaLLAH ALLAH azidi kukuhifadhi
Mungu atakufanyia wepesy utapata kazi ya halali
m
geofrey makoye nikwelmunguhunfezahatakanyemiminikiwasaudiaharebia
Allah akubariki sanaaa SHEKH wangu
pore sana mzee yusufu
Subhanallah kweli allah humchagua amtakae
Mzee yusuph ameingia katika nuru ya allah
Amakweli analolitaka allah ndo huwa
Yaani kweli hii pepo ni yake mungu na humuingiza amtakae.
mashallaah Broo mungu akupe ..subraa n akupe nguv kW Kila atuaa ....allaaah ajaaliaa 2...inaallaaa maswabilinaaaaa...
inshallah allah akupe za kheri na halali chochote ambacho hakifurahishi allah huwa na wasiwasi mno good luck kwa mafundisho mwema.
muuza gongo ana hatia lakini wanawe hawalali njaa wala kukosa karo.Mungu hukataza maaswia kwa sababu ya mashadhra yake ya baadae msiishi karne za zama za ujinga limbukeni
Laana TuLLAHI ALEIYK.Utazeekea kwenye TAATABU KAMA BI KIDUDE.UNAMCHEZA SHERE ALLAH S.W.??????
Allah atujalie mwisho mwema waislaam wote, atushibishe iman katika vifua vyote
Jadida Jadida
Inshaallah
mungu akupe subira inshallah mungu umuongoza amtakae utafanikiwa tu mtawakali Allah
th-cam.com/video/f0naON_Av3M/w-d-xo.html
Hawa ndio mashetani wanao msaidia mzee yusufu
maashallah I salute you man
dah mitihani inakuandama mzee yusuph lkn uckate tamaa $pole kwa kufiwa na mke wako 😢😢😢inna lilahi wainna ilayhi rajiuun .
yaaan wallah ra'adhim brother sema alhamdulillah Allah Kareem omba sana Dua
mashaallah,mungu akuongoze zaidi,usife moyo mungu akujaalie mwisho mwema,umenifunza kitu kikubwa sana.
alhamdu lillah hakuna kisichowezekana mbele ya Allah
Thank you for your message mullah messagea e barcshada whata patey mashey sechooo
n mtihan too
in
sha
Allah
wpesi
utapatikana
Allah atamtakabalia touba yake na kumbadilishia maovu yake kuwa mema. Ameen
maashaallah mungu atakupa wepesi
allah akuongoe usirud nyuma kaka angu, allah tayr amekuonesha hakki
Allah akusamehe dhambi zako na akupe ridhiki ya halali
Alihamdulilai Munguu Akuzidishiye imani zaidiu
Hoomy Alkhatti a
mungu akupe nguvu na kukupatia ridhiki katika maisha yako na kukusamehe makosa yako nimekupenda sana na nimejigunza mengi lazima nyote vipotee ili mungu ajuei kweli uko tayar kupanda safar yake ya misuko suko mingi hayo ni .ajalibu utapata zaid ya Mali Dha mwanzo
Napenda nyimbo zako sana Mzee Yusuf and naamini this change is a calling from God. Mungu akupe strength ya kusimama na kuifanya kazi yake and may you and your family never lack.
Siku zote Mwenyezi Mungu ni mwema, hukunyang'anya vya dunia vilivyo haram, na kukupa vilivyo vyake vya halali. Inshaallah
yote hayo nimajaaribu ya Allah anakuangalia utapac au utashindwa. naami kuwa hayo ni maari na pia naamini kunaneema inakujaa utaneemeka kuliko mwanzo. Mubgu anataka upate va halali ndomana kapoteza vote va zamani amavo hakuvifurahi. kuwa nafubra tu
jazaaka llahu khayra hongera kaka pia kuwa na subra kwa msiba mkubwa inna li llahi wa inna ilayhi raajiuun
masha Allah mungu atakupa za khalali zenye kheri ishallah
ni mitihan ya mungu Allah anakupima uctetereke.
eddy Eddy
wow!!! it's good speech. inshallah mungu akuzidishie apa na ahrah
naskiliza 2 n ku watch. sina mengi y kusema
Murielle Harushamagara nitafute 0655300600
Allhamdulilah Allah akutie nguvu katika msimamo wako @Mzee_yusufu
Am happy for that no matter what mzee yusuf big up
mashallah mungu mkubwa hakuna zaidi ya Allah
mzee yusphu anakuwa kama padri safi lakini
Allah akufanyie wepesi maalim utapata riziki yenye kheri na ww inshaallah!
Ashukuriwe Mungu aliyekuokoa na alishakusamehe,songa mbele brother!
Allah akujaalie kila la kheri tunaambiwa tuombe mwisho mwema
Omary Mwigubbjj
MASHAALLAH Allah atakuongz INSHAALLAH
hongera Sana umejitambua u hai na ALLAH atakuongoza utazoea maisha mazuri haya
Arudi tu kwenye taarabu kafilisika kuna jambo lililokua linamuingizia pesa sasa hakuna karudi mwenyewe kwenye taarabu
Masha Allah simama na Allah hakika yy ndo hupeana Rizk
Allah atujaze iman katika vifua vyetu
ALlah atakupa wepec in sha allah
shekhe yusufu amshukuru Allah kwa kumbadilisha katika imani take !Hakika mwenyezimungu ni mkubwa sana
mashaallah m.mungu akuzidishie
Mashaallah
Allah akupe ya duniani na akhera.
mashaallah mungu atakusaidia ishaallah
.mambo vip
Mohamed Kisijin
I salute you Mzee Yussuf,ishaallah Allah atakufungulia milango kwengine ili uweze kupata riziki yako ya halali.
Miaka mingapi Allah amekupa neema Sasa acha bro Kama ni Anasheed mashAllah sawa saidia dini Awareness to our youths bila bendi na instrument siunajua sio vyema uliza mashehe vizuri Kisha utajua
Asc mzee Yusuf usijali hii Mali ya dunia utaziwacha Haina maana fikiria Akhera yako usijali na uchumi fikiria kaburi Allah anakupenda Sana amekupa a new page in life Anza zero hamna shida kweli Imani unayo usirudi nyuma
Mungu akupe wepesi baba yang amiin
Mungu hakukosea kukupa kipaji, unachotakiwa ni kukitumia vizuri tu na si vinginevyo
Maashaallh
Amen inshallah Allah akupe wepesi
Hiyo ni hatua Moja safi.Lakini kuna Mungu wa kweli unapaswa kumfuata
Hiyo ni hatua Moja safi.Lakini kuna Mungu wa kweli unapaswa kumfuata
Mzikiwanitasikilizadaimaulikujakolonsikuwezakufika
Mungu atakujaalia inshaallah
mungu akupe wepes
Allah akulinde na mtiani dunia (Amin )
Maashallah hakika mungu ni mwemaa
good
mungu atuongezee na sisi
Hongera lkn nakushauri Qasida usiimbe
mashaallah umenifrasha sana kaka angu kumludia Mumbai wako
Allah amekupenda sana
😂😂😂😳😳😳😳 dah sasa hivi kama sio wewe kabisa
Mzeeyufurudiakuimbanitakusaidiakutubia
Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu kristo uliyemtuma
HERI WENYE MOYO SAFI MAANA HAO WATAMWONA MUNGU.
Subhannallah!!!
Hawakuamini kama umeacha sababu hukuwa serious
kwaiyo umekuja kutangaza MAISHA yako magumu ili upate msaada au? Tafuta kazi ufanye...ushaacha dhambi...Ss tafuta kazi ufanye...Achana na Media kutangaza Maisha yako...
allah ivi ndo mungu au
Maasha Allah
Kiukweli cjakuunga mkono kabisa. Kwahapo umebugi kabisa. Asiefanya kazi Naasile. Weunaacha muziki.
mungu akuongoze inshaAllah
Ma shaa Allah TabarakAllah❤....
mashaallah mzee
Allah yupamoja nawe
ummy Issa naam
Amin inshaallah
mashaallah tabarakallah
mungu yupo pamoja nawewe
Jakaze kaka....Jikaze!
Masha Allah
hata Mm sikuamini but yote tisa kumi tumikia mungu
Inshallah
MashaAllah ...Mungu akupe baraka zaidi na hekma mzee yusuf.Wallahy yataka moyo ulilolifanya kwa ajili ya Allah..najua c rahisi kwa wasanii wengi kuamua hvo ulivoamua kuacha mziki na kufanya ibada.Jazaa yako kwa Allah usivunjike moyo ndugi yangu...dunia mapito.
Sheikh yussuf hv sasa usikubali kuhojiwa hojiwa kiholela kwa mambo ambayo umeshayawacha,hao watu watakufanya ukosee sasa,kilichobakia ni kuyasahau yaliopita na pia usiitoe siri ya maisha yako. Kilichobakia ni kumuelekea Allah tu,na Allah yuko pamoja na ww kwa uwamuzi yako,na tukumbuke kua risk zote zinatoka kwa Allah.
Mzeeyufuunawakewangapi?
Hiyo ni hatua Moja safi.Lakini kuna Mungu wa kweli unapaswa kumfuata
Joshua kweli Moto Mungu gani weye
Joshua Mungu wa kweli yupo na akuzaa wala akuzaliwa na wala afananishwi na chochote. Na Yesu tambua sio Mungu.