MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris
    Contact: +255652796450 (WhatsApp)
    Instagram Link:
    / holyspiritconnect
    Facebook Link:
    / holyspiritconnect
    TH-cam Link:
    / holyspiritconnect

ความคิดเห็น • 161

  • @tumainimdindile
    @tumainimdindile 16 วันที่ผ่านมา

    Kwa dam
    Ya Yesu nafuta maneno mabaya niyotamkiwa kwenye ndoa yangu na kwenye biashara yangu dam ya Yesu safisha kila baya juu yangu

  • @agneskhambaita7961
    @agneskhambaita7961 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nafuta maneno yote mabaya ninayo tamkiwa na watu wote , majirani, jumuiya, ndugu zangu,na watu wote wanao haribu ndoa yangu, afya, watoto wangu, kila nguvu za kichawi zipate kuteketea kwa jina la yesu na ndamu ya yesu ikateketeze yote yaliyosemwa kwangu.🙏

    • @LindaAmani-qq3ps
      @LindaAmani-qq3ps 19 วันที่ผ่านมา

      Nafuta maneno yote niliyotamkiwa,au kutamka katika jina la yesu

    • @agneskhambaita7961
      @agneskhambaita7961 18 วันที่ผ่านมา

      Amina amina na iwe hivo🙏

  • @NellyKombe
    @NellyKombe 3 วันที่ผ่านมา +1

    Amen MUNGU akubariki sana mtumishi

  • @elizabethmwendwa7357
    @elizabethmwendwa7357 ปีที่แล้ว +1

    Kwa damu ya yesu natamka baraka na urejesho kwa doa yangu,natamka baraka kwa watoto wangu na kazi yangu,nafuta maneno mabaya kwa damu ya yesu.amen

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 14 วันที่ผ่านมา

    Nayafuta maneno mabaya niliyowahi kuwatamkia wanangu na Mimi mwenyewe na watu wengine Kwa jina la Yesu

  • @happpyfuraha
    @happpyfuraha ปีที่แล้ว +1

    Natmk mema walisema sitafanikiwa natmk mema kwa jina la yesu nitafanikiwa mpk ninunua gari kwa jina la yesu kristor

  • @anuciatamlay7447
    @anuciatamlay7447 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa Damu ya Yesu Kristu nafuta kila neno baya nililojitamkia mwenyewe nikiwa katika hali yoyote kwa kujua au kutokujua au kutaamkiwa ambayo leo hii yamekuwa mwiba kwangu nayafuta kwa Damu Yesu Kristu ,,,nageuza maneno hayo kuwa baraka kwangu 🙏🙏🙏

  • @MbogolinyoJp
    @MbogolinyoJp 4 หลายเดือนก่อน

    Ameen nafuta maneno mabaya yote watu walionitamkia juu yangu au nilojitamkia mm mwenyew dhidi ya hii mimba washindwe kwa jina la yesu wanaonitamkia vibaya juu ya hii mimba yangu

  • @zawadiz482
    @zawadiz482 หลายเดือนก่อน

    Nafuta maneno yote mabaya niliyotamka kwa watoto wangu yale niliyotamkia mwenyewe kwa jina la yesu

  • @isariashoo660
    @isariashoo660 ปีที่แล้ว +1

    Ameen nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mwenyewe na yote niliyotamkiwa na mtu yeyote nayafuta kwa jina la YESU

    • @isariashoo660
      @isariashoo660 ปีที่แล้ว

      Najitamkia mema juu ya afya yangu,kazi yangu watoto wangu na kila eneo la maisha yangu

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 6 หลายเดือนก่อน

    Amen nafuta maneno yote mabaya niliotamkiwa na mtu yeyote ama mimi mwenyewe nafuta maneno yote kwa damu ya Yesu na jitamkia matamko mema

  • @catherinesamwel1909
    @catherinesamwel1909 2 ปีที่แล้ว +5

    Amen Mungu akubarik zaid 🙏 najitamkia baraka katika masomo yangu, amani ktk maisha yangu, afya yangu, mafanikio na uchumi wangu, mahusiano yangu, uhai wangu na imani yangu katka jina la Yesu Kristo🙏

    • @nowadianice4801
      @nowadianice4801 ปีที่แล้ว

      Amina mtumishi napokea maombi haya kwa jina la Yesu yakazae matunda katika kila eneo la maisha yangu barikiwe sana mtumishi

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 ปีที่แล้ว +1

    Kwa Damu ya Yesu nafuta kila maneno niliyotamkiwa au niliyotamka mwenyewe,najitamkia afya njema ustawi pamoja na familia yangu

  • @NeemajuliusKalembi
    @NeemajuliusKalembi 2 หลายเดือนก่อน

    Damu ya yesu ikawe juu yangu na yote niliyotamkiwa

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 14 วันที่ผ่านมา

    Najitamkia afya njema na baraka tele Kwa jina la Yesu

  • @theresiagisberth6197
    @theresiagisberth6197 2 ปีที่แล้ว +3

    Amina Mtumishi naaimi nimefungiliwa maana ulipoanza maombi kwamba nifuyafuteaneno niliyotamkiwa au kujitamkia nimeguatisha ghafla nimenza kupiga miayo ya ajabu Sana, Mungu akutie nguvu uzidi kutufungua.

  • @martinkihumbe
    @martinkihumbe 5 หลายเดือนก่อน

    Nafuta maneno yote mabaya yaliyotamkwa dhidi yangu, au nimejitamkia mwenyewe. Wote walionuia dhidi ya maisha yangu. Nayafuta kwa damu ya Yesu mwana wa Mungu aliye hai. AMEN

  • @lall2037
    @lall2037 ปีที่แล้ว

    Kila maneno mabaya aliyonitamkia uyu amina na nadia haji husein nisipate kazi nayafuta kwa jina la yesu kristo

  • @apostlerebeccamunguaniinul7073
    @apostlerebeccamunguaniinul7073 ปีที่แล้ว

    Amen amen baba

  • @janemwakapila5771
    @janemwakapila5771 ปีที่แล้ว

    Nafuta maneno yote niliyotamka au kutamkiwa mabaya yoyote nafuta kwa damu ya yesu nakuyafuta nakuw nataka kwajina la yesu ameni

  • @user-qh4de7gz6i
    @user-qh4de7gz6i 6 หลายเดือนก่อน

    Damu ya yesu ikafute maneno ambayo nilitamukiwa au kujitamkia mm mwenyewe

  • @bensonmwadime-pc1cy
    @bensonmwadime-pc1cy 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa jina la yesu hi maombi yawe yangu Kila nguvu za ngiza sikatike kwanzia in the name of Jesus Christ amen

  • @janengala1398
    @janengala1398 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen , najitamkia afya irudi ,navunja maneno yaliyo tamkwa na jirani yangu kumtamkia mwanangu kiwa atakufa mungu wamgu naomba maneno haya yasikifanyike

  • @gaudensianjile1729
    @gaudensianjile1729 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nafuta Kila kitu kinilichowai kutamkiwa kibaya au kujitamkia au kujiwazia au walioniwazia maneno mabaya mm na wtt wangu nayafuta kwa jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI na Damu ya YESU KRISTO itufunike in the name of JESUS 🙏🙏🙏

  • @user-np4io9vq4z
    @user-np4io9vq4z 8 หลายเดือนก่อน

    Amen mutumishi wamungu

  • @user-nb6qg2qb9g
    @user-nb6qg2qb9g ปีที่แล้ว +1

    Amina👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏👏👏🙏🙏🙏🙏

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 ปีที่แล้ว +1

    Ninafuta kwa damu ya Yesu kristo damu ya Yesu ikanene mema IJN AMEN 🙏🙏🙏

  • @AnabAbdallah-ii7ou
    @AnabAbdallah-ii7ou 2 หลายเดือนก่อน

    Ninafuta Kila mata mshi kwenye maisha yangu

  • @beatricedemason7364
    @beatricedemason7364 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen,nimetangaza ushindi wa Kila kitu Asante mtumish.🇰🇪barikiwa

  • @elizabethkaonga2552
    @elizabethkaonga2552 ปีที่แล้ว +1

    Kwa damu ya yesu kristu nafuta maneno mabaya juu ya maisha yangu liwe nimetamkiwa ama nlijitamkia nafuta kwa damu ya yesu kristu 🙏

  • @mwagala12
    @mwagala12 ปีที่แล้ว

    Natamka nataka ya afya yangu kwa jina layesu dami ya yesu ikanene mema katika jina la yesu kristo

  • @janekyando
    @janekyando ปีที่แล้ว +1

    mungu akubariki mtumishi

  • @carolyneangeli3625
    @carolyneangeli3625 2 ปีที่แล้ว +1

    Natamka baraka katika maisha yangu kwenye ndoa afya uchumi wokovu familia ameeen

  • @elizabethkaonga2552
    @elizabethkaonga2552 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana mtumiahi kwa neno lako ameen

  • @paulinastephano196
    @paulinastephano196 ปีที่แล้ว

    Ameen ameen tunayavunjakwa jina yesu

  • @rechopeter3644
    @rechopeter3644 2 ปีที่แล้ว

    Amen nafuta Sasa kwa damu ya Yesu kristo

  • @inessclara1250
    @inessclara1250 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa damu ya yesu christo nina tamuka baraka katika maicha yangu afia uzawo nina tamuka neema ya milele amani ndoa n'a mambo yote mema kwangu kwajina la yesu christo AMEN Jina la bwana libarikiwe milele

  • @gaudensialugome7223
    @gaudensialugome7223 ปีที่แล้ว +1

    Amina 🙏🙏 ubarukiwe mtumishi, naomba namba zako tafadhali

  • @MbogolinyoJp
    @MbogolinyoJp 4 หลายเดือนก่อน

    Amen amen

  • @rosemarymghoi3581
    @rosemarymghoi3581 ปีที่แล้ว

    Amen nime barikiwa sana na maombi na pia nimefunguliwa

  • @jamilahmodrick65
    @jamilahmodrick65 ปีที่แล้ว

    Kwa damu ya yesu na kwa jina la yesu nafuta kila maneno mabaya niliyotamkiwa na ndugu ,,marafiki majirani zangu ,,navifuta kwa jina la yesu aliehai🙏🙏🙏🙏

  • @kirimiamwakipesile4947
    @kirimiamwakipesile4947 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @mukandmarieclaudine6386
    @mukandmarieclaudine6386 2 ปีที่แล้ว

    Ni kweli Mutumishi wa Mungu wa kati hunaona shida inakulemelewa hunanzakusema bora nifwe Basi Mungu Baba anisamehee Na ndamu ya Yesu ivute maneno yote mabaya ilitoka kinjwanyi yangu katika njina la Yesu CHRISTU Amen

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 ปีที่แล้ว

    Ameni nawe Mungu akubariki myumishi

  • @rachelrichard1091
    @rachelrichard1091 2 ปีที่แล้ว +1

    Yesu wewe ni mwema kwangu

  • @TofilaInyasi
    @TofilaInyasi 2 หลายเดือนก่อน

    Nafuta kila chochote nilijitamkia mwenyewe Au kutamkiiwa nayafuta kwa damu ya yesu nafuta kwa damu yesu

  • @gelitepaulo9292
    @gelitepaulo9292 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi

  • @aishamwende-po6ls
    @aishamwende-po6ls ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana najitamkia mema kwa maisha yangu watoto wangu familia yangu be blessed 🙏🙏🙏🙏

    • @holyspiritconnect
      @holyspiritconnect  ปีที่แล้ว

      Ameen

    • @MorinZadok
      @MorinZadok ปีที่แล้ว

      Amen yesu ni mlinzi na tegemeo langu nashukuru mtimishi wa mungu,mungu wa amani azidi kukulinda asante kwa maombi

  • @ernestboy3411
    @ernestboy3411 ปีที่แล้ว

    God bleees me in my life

  • @frolaalex8734
    @frolaalex8734 ปีที่แล้ว

    Aminaa ubalikiwe mtumishi

  • @mwagala12
    @mwagala12 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi umetufundisha jinsi ya kuomba barikiwa sana

  • @lilianmbeyu7622
    @lilianmbeyu7622 ปีที่แล้ว

    Amen naomba mungu anisamehe mahali nimekosea na anibarki kupitia madhabahu haha ninajiunganisha siku ya Leo

  • @godsgrace4682
    @godsgrace4682 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen 🙏🙏🙏🤲🤲 barikiwa sana kakaa

  • @marcellamachio316
    @marcellamachio316 หลายเดือนก่อน

    Asante bro for the guidance

  • @dorithmagige7557
    @dorithmagige7557 2 ปีที่แล้ว

    Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa na niliyojitamkia mwenyewe kwa jina la YESU

  • @rizikinundu2251
    @rizikinundu2251 ปีที่แล้ว

    Amen🙏

  • @madamleticia94
    @madamleticia94 ปีที่แล้ว

    Ameeen Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sanaa Sanaa

  • @maryjoseph499
    @maryjoseph499 2 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukuinua mtumishi tunabarikiw sama

  • @magrethsilayo8366
    @magrethsilayo8366 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameniiiiiii

  • @user-dy4xj9wv5s
    @user-dy4xj9wv5s ปีที่แล้ว +1

    Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa na Yale niliyojitamkia mwenyewe kwa jina la Yesu

  • @lall2037
    @lall2037 2 ปีที่แล้ว

    Ameen mungu ni mwema tusimamie tupate kz na uyu amina anilipe pesa zangu leo kwa jina la yesu

    • @rehemamafalo6938
      @rehemamafalo6938 ปีที่แล้ว

      Amen Mungu aendelee kunifundisha nakunishindia afya yangu nafamilia yangu

    • @fatumamamu7702
      @fatumamamu7702 ปีที่แล้ว

      Ninafuta Kila maneno mabaya niliotamkia katika ndoa yangu ya kwamba ctadumu kwenye ndoa yangu ninafuta Kwa damu ya Yesu kristo

  • @pendongereja8943
    @pendongereja8943 2 ปีที่แล้ว

    Mbona Yesu asifiwe

  • @sarahmuch3637
    @sarahmuch3637 2 ปีที่แล้ว

    Damu ya Yesu Kristo kwenye maisha yangu na ya watoto wangu

    • @TeresiaShirima
      @TeresiaShirima ปีที่แล้ว

      Kupitia damu ya Yesu nafuta maneno mabaya niliyotamkiwa hayatasimama Wala hayatakuwa.

  • @adelamlay3726
    @adelamlay3726 2 ปีที่แล้ว

    Ameni mungu akubariki mtumishi

  • @evamkevela333
    @evamkevela333 ปีที่แล้ว +1

    Amen ubarikiwe

  • @sarahkapange252
    @sarahkapange252 2 ปีที่แล้ว

    asante baba kwamaombi ambayo unatuombea nikweri kabisa

  • @berthakilangi0315
    @berthakilangi0315 2 ปีที่แล้ว

    Natamka mema kwenye maisha yang niliotamkiwa

  • @happpyfuraha
    @happpyfuraha ปีที่แล้ว +1

    Damu ya yesu unitakeshe katika maisha yangu

  • @jennipherakyoo8043
    @jennipherakyoo8043 2 ปีที่แล้ว

    Amina nashukuru kwakusikia maneno ya mungu

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 2 ปีที่แล้ว

    Ameen damu ya Yesu kristo inilinde

  • @jacklinenatocho2443
    @jacklinenatocho2443 2 ปีที่แล้ว

    Ameeen Asante Yesu 🙏

  • @myrah.9937
    @myrah.9937 2 ปีที่แล้ว +1

    Kipind nakuwa niliwa kujitamkia kuwa sina uzazi mpaka leo niko kwenye ndoa nahangaika kupata mtoto kwa jina la YESU nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkiaa

  • @emmanuelobed5359
    @emmanuelobed5359 2 ปีที่แล้ว

    Napokea kwajina la Bwana

  • @paschalrenatus5594
    @paschalrenatus5594 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina 🙏🙏

  • @user-eq9ry7cd3q
    @user-eq9ry7cd3q 5 หลายเดือนก่อน

    Nafuta kila maneno mabaya kwadamu ya yesu

  • @user-tq9pj6du5r
    @user-tq9pj6du5r หลายเดือนก่อน

    Kwan damu yayesu Leo nafuta maneno mabaya niliyotamka na ambayoniliyotamkiwa nawatu nayofuta kwa damu yayesu

  • @annbrendanalech4050
    @annbrendanalech4050 11 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏

  • @betricekasidi6446
    @betricekasidi6446 ปีที่แล้ว

    Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @angelinalulu7235
    @angelinalulu7235 ปีที่แล้ว

    Natamka damu ya yesu inafuta maneno mabaya yote

  • @missmunaf2470
    @missmunaf2470 4 หลายเดือนก่อน

    Nafut manen yot mabay niliotamkiw na kwjn la yesu nayafut kwnzia leo

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 ปีที่แล้ว

    Mtumishi

  • @suzzyyank7446
    @suzzyyank7446 2 ปีที่แล้ว

    Amina Amina

  • @anastaziabrayan
    @anastaziabrayan ปีที่แล้ว +1

    Balikiw san mtumishi

  • @ruthmoranga5142
    @ruthmoranga5142 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 2 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen

  • @lisalisaaa490
    @lisalisaaa490 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 be blessed paster 👏🏼 👏🏼 👏🏼 👏🏼

  • @jennipherakyoo8043
    @jennipherakyoo8043 2 ปีที่แล้ว

    Mafuta maneno niliyo jinenea mwenyewe nayafuta kwa jina la yesu kirsto

  • @allenjohn4328
    @allenjohn4328 2 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @user-ps1fx2qs6h
    @user-ps1fx2qs6h 4 หลายเดือนก่อน

    Nafuta maneno nliyotamkiwa na baba yangu

  • @rehema6660
    @rehema6660 2 ปีที่แล้ว

    Naomba nifanikiwe uzao was tumbo language na amani ilejee kaita ndoa yangu

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeeeeen

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 2 ปีที่แล้ว

    Amen🤲🤲🤲

  • @hdhdhdhdhdh3264
    @hdhdhdhdhdh3264 2 ปีที่แล้ว

    Amen🙏🙏🙏🙏🇱🇧🇰🇪

  • @user-np4io9vq4z
    @user-np4io9vq4z 8 หลายเดือนก่อน

    Kilamaneno mabaya kinyume chamaishayangu nafuta kwadamu yayesu

  • @sarahmasogo3162
    @sarahmasogo3162 2 ปีที่แล้ว

    Kama mimi ni mengi sana nilitamkiwa na watu kwa sababu wakati nlikua mdogo nilikuanga na mdomo sana.na sahi wale nilikuanga natuzi sahi Hawako walikufa. Kwangu wangekua hai ningewaomba msamaha

  • @agneskhambaita7961
    @agneskhambaita7961 2 หลายเดือนก่อน

    Nafuta

  • @lucykapinga369
    @lucykapinga369 2 ปีที่แล้ว

    en

  • @elizabethsembuyagi9981
    @elizabethsembuyagi9981 2 ปีที่แล้ว +2

    Damu ya Yesu ikafute Kila maneno mabaya niliyotamkiwa kinyume na maisha yangu nafuta kwa damu ya Yesu

  • @lall2037
    @lall2037 9 หลายเดือนก่อน

    Kila maneno mabaya aliyonitamkia latifa na mumewe na salma na mwenyenyumba nayafuta kwa jina la yesu kristo🙏

  • @user-ey1ws9cb7i
    @user-ey1ws9cb7i 5 หลายเดือนก่อน

    Amen amen