YAJUE MAKABILA YANAYOFA KUOA NA YASIO FAA KUOA"HAPA NDIO TUMEANGUKA WANAUME WENGI"-SHK.ZAID MAKUBULI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 385

  • @wiliampaulo5556
    @wiliampaulo5556 5 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 6 หลายเดือนก่อน +13

    Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 6 หลายเดือนก่อน +34

    Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  6 หลายเดือนก่อน +1

      Mh

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 5 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah

    • @radhiamalla9428
      @radhiamalla9428 5 หลายเดือนก่อน +1

      Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira

    • @ZumairaHasani
      @ZumairaHasani 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah

    • @abuhurayrahabibu4545
      @abuhurayrahabibu4545 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tabora Mji wangu Naupeda sana😂😂😂👏👏👏

  • @ZainabKullatein
    @ZainabKullatein 5 หลายเดือนก่อน

    Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏

  • @wamburaneema-w7r
    @wamburaneema-w7r 5 หลายเดือนก่อน +6

    mungu akusaheme pole na huo ukabila wako

    • @abuhurayrahabibu4545
      @abuhurayrahabibu4545 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa

    • @ShafiiAbuu-jb8hp
      @ShafiiAbuu-jb8hp 3 หลายเดือนก่อน

      Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh

  • @fahamimiraji2338
    @fahamimiraji2338 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 6 หลายเดือนก่อน +5

    Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 6 หลายเดือนก่อน +7

    Mbora ni mchamungu❤

  • @kimaroabduli
    @kimaroabduli 6 หลายเดือนก่อน +7

    Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)

  • @SubiraMndeme-yw7mx
    @SubiraMndeme-yw7mx 6 หลายเดือนก่อน +4

    Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila

  • @abuibra
    @abuibra 6 หลายเดือนก่อน +8

    Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 6 หลายเดือนก่อน +1

    SUBHANALLAH
    LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM

  • @nassornyanyagi5126
    @nassornyanyagi5126 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 6 หลายเดือนก่อน +38

    Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 6 หลายเดือนก่อน +9

      Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 5 หลายเดือนก่อน +3

      kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea

    • @JamaliAmour-jp9dd
      @JamaliAmour-jp9dd 5 หลายเดือนก่อน +6

      Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo

    • @jumashiyo1378
      @jumashiyo1378 5 หลายเดือนก่อน +1

      kiukweli ndugu upo sahihi

    • @abuhurayrahabibu4545
      @abuhurayrahabibu4545 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio umesema kwel

  • @SillinusNyanda
    @SillinusNyanda 6 หลายเดือนก่อน +3

    Unamatusi sana.Hufai kwa kweli

  • @h77-f8m
    @h77-f8m 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli sheikh wangu

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 6 หลายเดือนก่อน +5

    Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  6 หลายเดือนก่อน +1

      Duh

    • @juliusmsegu3347
      @juliusmsegu3347 6 หลายเดือนก่อน

      Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu

  • @MrishoSamueli
    @MrishoSamueli 5 หลายเดือนก่อน

    Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅

  • @houseofbeatytv9682
    @houseofbeatytv9682 6 หลายเดือนก่อน +2

    Duuuh subhanalah Allah akusamehe na atusamehe sote

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110 หลายเดือนก่อน

    Wanyaturu warangi wasambaa shehe wngu hap utanisamehe nawapenda sana hawa watu aisee

  • @adammaro7836
    @adammaro7836 4 หลายเดือนก่อน

    Shekhe mimi nimekuelewa sana

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 5 หลายเดือนก่อน

    Allahu akbsr

  • @EzraSaid
    @EzraSaid 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yani wewe mungu akusamehe

  • @mussasenga6732
    @mussasenga6732 5 หลายเดือนก่อน +1

    Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢
    Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya.
    Huridhiki na kile Allah alichokujalia.

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 5 หลายเดือนก่อน

    Uyu shekh namkubali sana

    • @abuhurayrahabibu4545
      @abuhurayrahabibu4545 5 หลายเดือนก่อน

      Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh

  • @AbdMohamedi
    @AbdMohamedi 6 หลายเดือนก่อน +4

    Sheikh mche mola

  • @NelisonKashaija
    @NelisonKashaija 2 หลายเดือนก่อน

    Shee uko vizuri

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 5 หลายเดือนก่อน

    Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo

  • @jumasibanilo2912
    @jumasibanilo2912 6 หลายเดือนก่อน +2

    Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 6 หลายเดือนก่อน +8

    we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092 5 หลายเดือนก่อน +2

    nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga .
    Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu.
    Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa.
    Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 6 หลายเดือนก่อน +16

    Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  6 หลายเดือนก่อน

      Mh

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 6 หลายเดือนก่อน

      ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......​@@zvpOnlineTv

    • @HannahSamira-z5d
      @HannahSamira-z5d 6 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia

    • @Adinanihamadicr7Juma
      @Adinanihamadicr7Juma 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@RamadhaniLukambuzi❤❤

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah allah akulinde uko wap tabor❤❤❤❤❤

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane

    • @salummakaveli4366
      @salummakaveli4366 5 หลายเดือนก่อน

      We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe

    • @SeifSalim-x5k
      @SeifSalim-x5k 4 หลายเดือนก่อน

      Hakuna shekhe hapo

    • @vicentkibirit9637
      @vicentkibirit9637 4 หลายเดือนก่อน

      Msamehe bule,,, Njaa mbaya

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 หลายเดือนก่อน

      Duh 😂😂😂😂

  • @HusseinKarumna
    @HusseinKarumna 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe Mbona unapotosha jamii ya Kiislam hata Qur-aan Unakisea kusoma Allaah akuongoze

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mithali 11:14
    [14]Pasipo mashauri taifa huanguka;
    Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.

  • @omarihassani-qu5ie
    @omarihassani-qu5ie 5 หลายเดือนก่อน

    Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai

  • @muhammadhusain6509
    @muhammadhusain6509 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh wangu upo sahihi kabisa kabisa wasio na Ilimu ya ndani hawatokuelewa Abadani

  • @habibkuya3327
    @habibkuya3327 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over
    Hamna Mungu hapo.

    • @miye2215
      @miye2215 6 หลายเดือนก่อน

      Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu

  • @miye2215
    @miye2215 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila

  • @hamzaahmed69
    @hamzaahmed69 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah umeongea ukweli kabisaaa Allah akulipe

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 5 หลายเดือนก่อน

    Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema

    • @SeifSalim-x5k
      @SeifSalim-x5k 4 หลายเดือนก่อน

      Mungu amsamehe huyu mjinga

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uislamu unaanza tena ku promote ukabila?

  • @kassuqutbi2199
    @kassuqutbi2199 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”

    • @cgbb2848
      @cgbb2848 6 หลายเดือนก่อน

      Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah

    • @cgbb2848
      @cgbb2848 6 หลายเดือนก่อน

      Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kakosea sana

    • @SalmaSeif-yg5wl
      @SalmaSeif-yg5wl 6 หลายเดือนก่อน

      Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi

  • @mikidadiyusufu2319
    @mikidadiyusufu2319 5 หลายเดือนก่อน

    Umechemka sanaa

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww

    • @SeifSalim-x5k
      @SeifSalim-x5k 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine

  • @fundibombazanzbar5717
    @fundibombazanzbar5717 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran….
    Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum..
    YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU…
    Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t หลายเดือนก่อน

    Kuna mambo hayakuoaswa kusikia ktk hadhira hii,khutuba ya maneno ya Allah isifanane na porojo za kidunia,sawa unapohutubia pia kuvuta usikivu kupo lkn shekh mengine su saw kuyasema ktk hadhira kama hiyo,samahani una Ilimu ya dini basi rekebisha namna ya maneno ya kusema ,zama ktk kitabu Cha Allah na hadithi za Mtume mtukufu

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 5 หลายเดือนก่อน

    Duu weshee bhana noma

  • @mashaainsuranceagency5925
    @mashaainsuranceagency5925 5 หลายเดือนก่อน +2

    KWA KWELI INASIKITISHA KUSIKIA MTU MZIMA KAMA HUYU ANAKASHFU MAKABILA KIBAYA ZAIDI ANIJIITA SHEKH HAWA NDIO WANAO HARIBU SIFA YA DINI YETU NZURI YA UISLAM

  • @MwangaWilliam
    @MwangaWilliam หลายเดือนก่อน

    Muacheni huo ndiyo uwelewa wake,hata umueleweche hatakuelewa😊

  • @stanleysteven1998
    @stanleysteven1998 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli shee

  • @mussasenga6732
    @mussasenga6732 5 หลายเดือนก่อน

    Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO".
    Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!

  • @mwanakupona
    @mwanakupona 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hajui hata kusoma matamshi ya quran

  • @HajiAlly-uz7vp
    @HajiAlly-uz7vp 4 หลายเดือนก่อน

    Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine

  • @msarama5406
    @msarama5406 5 หลายเดือนก่อน

    Sheilk zaid makubuli huyu anapenda sana mambo ukabila mnyamwezi huyu afu anavyojionaga anajua sasa

  • @nadhirunjinjo5790
    @nadhirunjinjo5790 4 หลายเดือนก่อน

    Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma

  • @AbrahamanSaidi-uf1dw
    @AbrahamanSaidi-uf1dw 5 หลายเดือนก่อน

    Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @HamisaIssa-df7yy
    @HamisaIssa-df7yy 6 หลายเดือนก่อน

    Allahyakhalam

  • @TeresiaNestori-xh9ch
    @TeresiaNestori-xh9ch 5 หลายเดือนก่อน

    Ana hekima ata

  • @AbdulshakuurMohammad
    @AbdulshakuurMohammad 5 หลายเดือนก่อน +1

    We si shekh ila we mpenda kula

  • @Kzm-c9u
    @Kzm-c9u 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ana ujahiliyah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 6 หลายเดือนก่อน

    Hii

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!

  • @zaidyabed
    @zaidyabed หลายเดือนก่อน

    Shekhee zaidy makuburi 😂😂😂😂 mboka repapric

  • @seifyangawakosawakombo6605
    @seifyangawakosawakombo6605 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini

    • @MullarCmk
      @MullarCmk 5 หลายเดือนก่อน

      Hana akili chizi

  • @nasramusaro
    @nasramusaro 5 หลายเดือนก่อน +3

    Huna elimu wewe unaropoka tu

  • @VedastusJuma-w9l
    @VedastusJuma-w9l 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe

  • @JoyceLuhasha
    @JoyceLuhasha 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.

  • @mwanakupona
    @mwanakupona 6 หลายเดือนก่อน

    We sindimba unaziona wapi

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 6 หลายเดือนก่อน +2

    WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako

  • @rizikiallie3266
    @rizikiallie3266 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu

  • @hassanmzandy1421
    @hassanmzandy1421 6 หลายเดือนก่อน +2

    Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi

  • @KhatibuSwalehe-o9i
    @KhatibuSwalehe-o9i 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna shekhe apo

  • @MARIAMKHAMISI-jz6ze
    @MARIAMKHAMISI-jz6ze 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mbona anatutenga?

  • @marymamarau24
    @marymamarau24 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wanyamwezi oyeeee tupo vizur atujuwi kuachika sisi😂😂

    • @zaunamoody7311
      @zaunamoody7311 5 หลายเดือนก่อน

      ila ndio kasema hamfai kuolewa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 6 หลายเดือนก่อน +1

    haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!!
    maneno machafu hayo!!

  • @GeofreyWilliam-ev7qd
    @GeofreyWilliam-ev7qd 5 หลายเดือนก่อน

    Hamna sheikh hapo

  • @stanleyjuma4377
    @stanleyjuma4377 6 หลายเดือนก่อน

    Mafunzo mazuri sana Sheikh Zaid, hapa kenya pia ni hivo, waeza oa mke kutoka kabila fulani aishie hata kukuua juu ya mali.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 6 หลายเดือนก่อน

      Tz ishu ya kuoa na kuangalia kabila ni kama haiko sana sana siku hizi mtu anaoa yeyote.

  • @nassorathuman8750
    @nassorathuman8750 19 วันที่ผ่านมา

    Katumwa ili kuwashughulisha waislamu na kuwatoa ktk mstari ili mengine yapite kimya kimya

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 5 หลายเดือนก่อน +1

    Miyeyusho Tu,🤯

  • @JamaliAmour-jp9dd
    @JamaliAmour-jp9dd 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?

  • @mwanakupona
    @mwanakupona 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mbwa huyu mhuni si sheikh

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅

  • @LivelLonger
    @LivelLonger 5 หลายเดือนก่อน

    Ukweli Huwa unauma siku zote

  • @arafatsaid962
    @arafatsaid962 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu anapalilia uganga, hatari sana duh!

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 5 หลายเดือนก่อน

    Duuh waislam kwakulopoka bhana

  • @jumashiyo1378
    @jumashiyo1378 5 หลายเดือนก่อน

    sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa

  • @usrahismail3196
    @usrahismail3196 21 วันที่ผ่านมา

    Mi nikashaona anaejiita Sheykh hana ndevu,hapo najua elimu hamna

  • @mohamedomary5786
    @mohamedomary5786 2 หลายเดือนก่อน

    Sheikh nimekuelewa kwenye zaka, andaa kipindi cha zaka na kutoa

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai

  • @AbdulshakuurMohammad
    @AbdulshakuurMohammad 5 หลายเดือนก่อน

    We mbaguzi tabora si watu bora wote

  • @Isxaq-j1v
    @Isxaq-j1v 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona muaduchanganyA bana, mimi itikadi yangu hakuna cha ukabila Mwenyezi mungu amesema waliowema , Sio wenye kabila tukufu, na isitoshe Mtume Muhammad s.w amesema tuhangalie dini sio kabila! Na wa Islam ni ndugu ukabila munaitoa wapi?

  • @yusuphmussa554
    @yusuphmussa554 5 หลายเดือนก่อน

    *Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila

  • @helefkdk5125
    @helefkdk5125 5 หลายเดือนก่อน

    Mmetajiwa makabila yenu ndio acha awataje😅