PAUL MAKONDA AELEZA SABABU ZA KURUDI SHULE / KUPOTEZA MARAFIKI NA NIA YA KUREJEA KWENYE SIASA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 152

  • @EdwardSindayigaya
    @EdwardSindayigaya 3 ปีที่แล้ว +10

    I am From Rwanda, and I follow yr Politics day to day coz I love you so much guys, but in particular I love Mr Paul Makonde

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 ปีที่แล้ว

      True he's a good guy and a good hearted man very polite protect all poor people and disabled human being may God continue blessing and protect him Aimen

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 8 หลายเดือนก่อน +1

    Upo sahihi makonda❤ much love🙏

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 3 ปีที่แล้ว +5

    Best interview of 2021 🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥❤️🔥❤️🔥 Pan-Africanist. Makonda nime tokea kukupenda sana. Endelea kumfuta pastor Chris Oyakelome, PhD. Kweli uko fresh kaka.

  • @Mwarobaini
    @Mwarobaini 3 ปีที่แล้ว +17

    Huyo ndo Mtu pekee ninaemkubali na Kumheshimu, Makonda yuko juu sana.

  • @tatukapilimba4535
    @tatukapilimba4535 3 ปีที่แล้ว +12

    Huyu jamaa ni very potential kwa taifa, na ni mbunifu sana kushinda hata viongozi wengine waliopewa nafasi kubwa za uongozi..i miss you alot big bother.. Kama kuna makosa ulishawahi fanya Tunakusamehe bure, Naamin Jamii ya watu wa chini kabisa Dar wanakukumbuka

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 2 หลายเดือนก่อน

    saf sana. poul mungu yuko pamoja nawe

  • @joycelambwe9016
    @joycelambwe9016 3 ปีที่แล้ว +4

    Huyu Paul makonda nampenda sana yuko vizuri sana kwenye uongozi ,Mungu umeona tunashukuru kwa baraka hizo na ziendelee.

  • @harrieth56
    @harrieth56 ปีที่แล้ว +1

    Am.proud of you so

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 3 ปีที่แล้ว +6

    Dah nimepaenda msemo uliosema kukosea sio dhambi..Asante paul

  • @danieljohn3836
    @danieljohn3836 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde na Kila lililobaya,

  • @kamikazineema1957
    @kamikazineema1957 2 หลายเดือนก่อน

    Panafrican Makonda paul🎉🎉🎉🎉❤❤🇷🇼🇷🇼

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 3 ปีที่แล้ว +1

    Well said Mr Makonda Former Regionsl commissioner-Dar essalasm . It is inspiring !

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 3 ปีที่แล้ว +6

    Mheshimiwa Makonda Hongera sana Mkuu💜💜

  • @AmosmasanjaChendegele
    @AmosmasanjaChendegele ปีที่แล้ว

    Mweshiniwa hongera sana mkuu ninakukubali

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 3 ปีที่แล้ว +3

    ushauri wangu Ukitaka kuwa kiongozi mzuri kwanza heshimu watu wa aina zote wa chini na walio juu yako pia na usiwe mtu wa kibri ukiwa na madaraka halafu ndio u apply hayo mambo mengine ya utawala uliyojifunza hata ujifunze vipi kama mtu unakuwa na kibri huwezi kuwa kiongozi mzuri kw sababu kibri ni dalili ya incompetence take my word

  • @johnmcharo-w3t
    @johnmcharo-w3t ปีที่แล้ว

    Nice interview brother

  • @najma3268
    @najma3268 3 ปีที่แล้ว +4

    Interview nimeirudia zaidi ya marambili, kaongea vzr sana , kagongelea Na nyundo, nimefanya kumsikiliza kwa makini kwakweli

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 3 ปีที่แล้ว +1

    Alikuwa kama Mungu Mtu

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 3 ปีที่แล้ว +5

    Hamna kitu hapo we bwege!

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli ปีที่แล้ว

    Mngu akubari kaka kiongoz mwenye KIU ya haki hakika naamin IPO sku mngu atakukumbuka

  • @eyumededu2948
    @eyumededu2948 3 ปีที่แล้ว +7

    Nampenda huyu kaka ni viwango vya wazalendo
    Nakuombeq kheri baba

  • @samsonmaurice10
    @samsonmaurice10 3 ปีที่แล้ว +9

    Nimependa sana huu msemo wako mkuu, "Usiogope kuonekana wa ajabu kama una jambo unaloliamini"

  • @sylivanussyliacus5064
    @sylivanussyliacus5064 3 ปีที่แล้ว +4

    One love my up coming Rule Model

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 ปีที่แล้ว +3

    Congrats Paul Makomda👏👏👏

  • @rizikimgimba8443
    @rizikimgimba8443 3 ปีที่แล้ว +2

    Makonda amesema mambo makubwa juu ya kufunguka ufahamu WA vijana WA African hasa WA Tanzania kushangaza mataifa Kwa kijiongeza kimawazo nakiubunifu natamani nipate Namba yake tuzungumzie Ayala hiili

  • @africa7479
    @africa7479 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimepnda mtangazaji et mimi ni mtazamaji wako, akaibadilisha juu kwa juu safi sana

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 ปีที่แล้ว

    10/10/2023.yaani Mkoa huu wa Dar ni mgumu saaana.lakini uliweza kakangu.wanao kuchukia wakajitundike.

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 ปีที่แล้ว +1

    Na kupenda makonda

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli ปีที่แล้ว

    ,,,💪💪💪 unatisha sana

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 3 ปีที่แล้ว +2

    Woow nice interview mr muheshimiwa makonda #lv frm kenya 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kyaruzidativa9398
    @kyaruzidativa9398 3 ปีที่แล้ว +2

    Wewe nikiongozi mzuri Sana naendelea kukukubari Makonda

  • @hamisinyanga4579
    @hamisinyanga4579 ปีที่แล้ว

    Paulo makonda ni puntin wa afrika lakini hawakumuelewa lakini sasa .putin wa urusi kaiga.kwa paulo makonda.

  • @chalodavid4537
    @chalodavid4537 3 ปีที่แล้ว

    The real son of Our Legendary Lt JPM

  • @deomugu1616
    @deomugu1616 3 ปีที่แล้ว +4

    Have my respect all the way. Barikiwa sana kaka

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 ปีที่แล้ว

    Mara kafunguliwa kesi dah

  • @namukwayamweshihange8866
    @namukwayamweshihange8866 3 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli kabisa very intelligent. Well done

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 3 ปีที่แล้ว +1

    Makonda is best to me

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 3 ปีที่แล้ว

    Mh.Makonda Hongera kwa hatua hiyo ya KUONGEZA UJUZI KIELIMU.ELIMU HAINA MWISHO.HAKIKA UNA FOCUS NZURI.MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @johnntabagi8861
    @johnntabagi8861 3 ปีที่แล้ว +1

    Makonda makonda makondaaaa nakukubali mkuu huwanaamini ipocku utakaajuu zaidi ya pale ulipokuwa awali

  • @haroldtere7515
    @haroldtere7515 3 ปีที่แล้ว +1

    Ongera Makonda. Kiongozi ni wito!. Siyo elimu ya chuo!

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 ปีที่แล้ว +4

    Nakukubali sana Bro!

    • @justinamautice9730
      @justinamautice9730 3 ปีที่แล้ว +1

      Namkubali sana huyu kaka no matter what...

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Makonda tu akusubiri 2035 Inshalaah

    • @edsonguja5471
      @edsonguja5471 ปีที่แล้ว

      Kweli w kolo unamsubiri na mama yako

  • @zaym7769
    @zaym7769 ปีที่แล้ว +1

    Ndio maana nilikukubali sana na kukutetea sana japo nilitukanwa sana.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali sana we mzalendo moka akusimamie

  • @awesasaladi5948
    @awesasaladi5948 3 ปีที่แล้ว +2

    Mh paul makonda alikua kiongozi anayejiamini sana jitahidi kaka urudi kwenye uongozi sipati furaha ninapokuona huna cheo mkuu

  • @djpassovertz..tunaishimaramoja
    @djpassovertz..tunaishimaramoja ปีที่แล้ว

    So umesomea jina Gani Daudi Bashite au jina la kununua?Paulo Makonda wa wahaya?

  • @raymonadsaliboko3068
    @raymonadsaliboko3068 3 ปีที่แล้ว

    Ukosawa

  • @daviddouglas8943
    @daviddouglas8943 ปีที่แล้ว

    Bashite kama Bashite 😂, Hebu rusidha vyeti vya Makonda mwenyewe kwanza, Daud Bashite wa Kolomije.

  • @alfayowangwe6651
    @alfayowangwe6651 ปีที่แล้ว +1

    Kiunongozi namkubali

  • @erastonicholas5589
    @erastonicholas5589 3 ปีที่แล้ว +1

    Wewe umeenda kulima kujificha mihela ulio piga . Eti kilimo kabla ya uongozi mbona kulikua hulimi?hunaga rafiki mbona riziwani ulitenda ukasema muuza unga wewe damu za watu Zina kusubiri mumeua Sana

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy6950 ปีที่แล้ว

    Umenitia nguvu😢😢😢

  • @ussyhamza5011
    @ussyhamza5011 3 ปีที่แล้ว +1

    Mh, Makonda Upo Juu Sana.

  • @godfreymlay6069
    @godfreymlay6069 2 ปีที่แล้ว

    Utakoma kujuwa hiyo PHD yako omba sana mungu vinginevyo utaipatia jela itoshe mm kusema kila ufalme una mwisho wake

    • @Tony999-gu8qg
      @Tony999-gu8qg ปีที่แล้ว

      Ach a ushamba

    • @shijamasunga204
      @shijamasunga204 ปีที่แล้ว

      Leo ni tarehe 20 /10/2023 sema tena ulichokisema Enzi hizo 😂😂😂😂

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 3 ปีที่แล้ว

    Ujasusi wa uchumi ktk inchi hii ndiyo shida

  • @BETConlineTVTZ
    @BETConlineTVTZ 3 ปีที่แล้ว +3

    huyu jamaa ana akili sana amini nawaambieni tutamuona mbali

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 3 ปีที่แล้ว +3

    Mama atakurudisha muda si mrefuu 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage9726 3 ปีที่แล้ว

    Makonda big up.kwa kweli Dar kumepoa kabisa .Tumetambua umuhimu wako

  • @salomembasha7100
    @salomembasha7100 3 ปีที่แล้ว

    wise interview

  • @innocentwilliam1214
    @innocentwilliam1214 3 ปีที่แล้ว +2

    Alisema wakufunzi wanafundisha angali hawawezi kuongoza hata panya!!!! Duuu

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 ปีที่แล้ว +1

    Ulikosea sana kuwashutumu watu na kuwataja majina hadharani kua wanuza madawa ya kulevya au wanatumia na ukatoa amri waekwe ndani nakushauri uombe radhi

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 3 ปีที่แล้ว +2

      Chizi wewe , awaombe radhi wauza unga? Au baba yako nae muuza sembe?

    • @jentlikuse5719
      @jentlikuse5719 3 ปีที่แล้ว

      Alikua sahh 2 wewe unafulahia kutuletea kutuulia ndugu zetu afya zao hata mungu hajatuagiza

    • @jentlikuse5719
      @jentlikuse5719 3 ปีที่แล้ว +1

      Una ufinho w akiri wewe binafsi ulifaidika n nini kwa uza unga na ndio mufrisi nhie

    • @ndogoroedson9438
      @ndogoroedson9438 3 ปีที่แล้ว

      Mjinga ww! Awaombe radhi wauaji au ulikuwa ni mmojawapo?

    • @chescomnyangali8601
      @chescomnyangali8601 3 ปีที่แล้ว

      Huna akili wewe huwezi kutetea wauza madawa wanaharibu familia zetu

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 ปีที่แล้ว

    Mwambie arudi tn kugombea kigamboni tunamuitaji sn huyu aliopewa dhama hana jipya

  • @emmanuelsamba2571
    @emmanuelsamba2571 3 ปีที่แล้ว

    shida ya wabongo fikra zao zinakariri siasa ni unafki nasio taaluma

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 3 ปีที่แล้ว +1

    I love you my brother

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 3 ปีที่แล้ว

    Basi haaaya

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 ปีที่แล้ว +1

    Ongera sana kakaangu makonda

  • @magdalena7223
    @magdalena7223 3 ปีที่แล้ว +3

    Kila sk kilio changu hy mtu awepo ktk uongozi tena maana hk kichwa simchezo tumemis uwepo wako baba

  • @benny4345
    @benny4345 ปีที่แล้ว

    Tell him it is "Globally" not "Grobale". Negotiations ni "profession" na siyo Professionals. And he is enrolled at one of the top 5 Universities 😆😆

  • @shedrackamos4021
    @shedrackamos4021 3 ปีที่แล้ว +3

    Moja ya Viongozi ninao wakubali Sana endelea kusoma Kiongozi naamini PHD unaipata Kama yalivyomalengo yako

  • @alisele5299
    @alisele5299 3 ปีที่แล้ว +1

    Makonda kiongozi; mambo madogo tu & Nidhamu ndio vilivyo mkwamisha, Viva makonda

    • @magrethmsuya5542
      @magrethmsuya5542 3 ปีที่แล้ว +1

      Mama samia tunakuomba mkumbuke makonda

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 3 ปีที่แล้ว

    Wewe tayari ushakula maisha waachie wenzio shida utakayopata Una kiburi sana mzee

  • @nenadurra8477
    @nenadurra8477 3 ปีที่แล้ว +2

    We support you Makonda, you are better than anybody, believe me!

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔

    • @alisaid4380
      @alisaid4380 3 ปีที่แล้ว

      Wata

    • @anethmgedi3844
      @anethmgedi3844 2 ปีที่แล้ว

      @@alisaid4380 Bwana yesu asimame we MWANGU usiogope songs mbele

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 3 ปีที่แล้ว +2

    PhD baba join our world. Welcome to the world of PhD

  • @AbdulnuruMbaraka-me9ri
    @AbdulnuruMbaraka-me9ri ปีที่แล้ว

    KIJANA NIMEKUELEWA NA NATAMAN ULUD KUNDINI.

  • @benny4345
    @benny4345 ปีที่แล้ว

    Stop glorifying criminals! That guy is a criminal!

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar25 ปีที่แล้ว

    Mbali na mapungufu uliyonayo kama binadamu lakini una vitu vingi ambavyo vijana wenzio tunajifunza kutoka kwako

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 ปีที่แล้ว +1

    Natarajia 2025 Inshaallah uje kuwa Rais WETU wa Tanzania maana una kila sifa mashallah

    • @isackmabanza1039
      @isackmabanza1039 3 ปีที่แล้ว +3

      Unatumia akili au matako

    • @kyaruzidativa9398
      @kyaruzidativa9398 3 ปีที่แล้ว +1

      Hata Mimi natamani iwe hivo

    • @magejuliani5293
      @magejuliani5293 3 ปีที่แล้ว +1

      Ujue watz tuko zaidi ya milioni 60 wapo wengine

    • @waheedahtanzania4912
      @waheedahtanzania4912 3 ปีที่แล้ว +2

      @@kyaruzidativa9398 Inshaallah Allah asikie madua yetu juu ya JABALI Huyu Makonda

    • @jamessilwamba4259
      @jamessilwamba4259 3 ปีที่แล้ว +1

      are serious au una joke mkuu wangu

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 3 ปีที่แล้ว +4

    Umeivaa kaka akili imekuwa zaidi na zaidi

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 3 ปีที่แล้ว +1

    Huna lolote kujikosha tu

  • @rashidijaziru3279
    @rashidijaziru3279 3 ปีที่แล้ว

    Gd

  • @hoseabigaye5787
    @hoseabigaye5787 3 ปีที่แล้ว

    Ukipta fursa yakwenda nenda 💪

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 3 ปีที่แล้ว

    Mh umeongea point sana

  • @milomohamed7201
    @milomohamed7201 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ni kiongozi mjinga na ataendelea kuwa mjinga iwapo hatajirekebisha.
    Ndani ya Dar hamna kitu alivhokifanya zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii. Foolish kabisa DAUD ALBERT BASHITE

  • @majutosanaelias4307
    @majutosanaelias4307 3 ปีที่แล้ว +1

    Hamna msomi apo ni nguvu tu

  • @evambughuni5324
    @evambughuni5324 3 ปีที่แล้ว

    🥰🥰

  • @joachimmgina2847
    @joachimmgina2847 3 ปีที่แล้ว

    No no up

  • @hassanabazar9411
    @hassanabazar9411 3 ปีที่แล้ว

    Makonda kama makonda

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 ปีที่แล้ว

    I WEASH uwe mkuu wa mkoa wowote tz

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe ni kozi. Diploma miaka 3, mazee. Diploma za kozi kama tukianza kila mtu atoe zake, kuna watu wanazo mia humu🤣🤣🤣, ukisoma we kausha tu na vyetu vyako kavitumie ukiomba kazi. Bongo kwa kicki shikamoo.

    • @masungamashauri4070
      @masungamashauri4070 3 ปีที่แล้ว

      Wewe unafikiri unamzidi Makonda ,nadhani wewe ndio kausha. Makonda tunamiss uongozi wake ndani ya Jiji la Dar es salaam

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 3 ปีที่แล้ว

      @@masungamashauri4070 Uongozi na vyeti, havihusiani. Au wewe unaona vyeti ni maajabu. Nyamaza ianzie kwako. Tembea kama umekosa maada.

    • @veronicamlali9669
      @veronicamlali9669 3 ปีที่แล้ว

      Jay Jay mnafiki inawezekana umetoka ktk familia ya kichawi kwani mtu akionesha alichokua nacho unaumia nini

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 3 ปีที่แล้ว

      @@veronicamlali9669 Nyau we, Hujui kusoma hujui kuelewa. Wewe imekuuma nini mpaka uingie humu. Umeroga umeshindwa, ndo mana unaropokwa tu. Kenge we.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 ปีที่แล้ว +1

    Darasa la saba tu ilikushinda sembuse phd.

    • @ndogoroedson9438
      @ndogoroedson9438 3 ปีที่แล้ว +1

      Msenge ww! Kwa hiyo Kama la Saba lilimushinda aliongozaje mkoa ndyo ujinga mlionao

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 3 ปีที่แล้ว

      Walioshindwa huwa wanamaneno MENGI yasiyo na kichwa wa miguu

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 3 ปีที่แล้ว

    Kwani wewe makonda umemaliza kazi yako ama uliachiswa kazi yako kwa tamaa zaubunge na wana ccm wakakupiga chini 🔥🔥🔥🔥Kigamboni hatr

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 3 ปีที่แล้ว

      Babu vp umetumwa? Kama huna zuri la kuongea bora ukae kimya maana chuki hazitokufikisha popote.

    • @mashimbazephania3511
      @mashimbazephania3511 3 ปีที่แล้ว

      Aliachishwa au aliacha akaenda kugombea? Kwani kupata na kukosa kuna shda? Jtasmini.

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 3 ปีที่แล้ว +2

    Natumain pia umejifunza jinsi ya kuanzisha Mambo ambayo unaweza kuyamaliza kwa akili bila kukurupuka,vile vile kuheshimu watu na kutokua na Ego

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 3 ปีที่แล้ว +1

    Unao usubutu wakufanya maamuzi uogopi ukilipanga jambo zuri lenye tija..ninaimani na ww

    • @yohanaanton7437
      @yohanaanton7437 3 ปีที่แล้ว

      Hongera sanaaaaaaaa kaka Paulo Makonda

  • @naitwahazina6433
    @naitwahazina6433 3 ปีที่แล้ว

    Kaa ukijua watanzania tunakupenda sana

  • @thobiasshikome1480
    @thobiasshikome1480 3 ปีที่แล้ว

    Wewe njoo misungwi unachelewa

  • @joviangeofrey866
    @joviangeofrey866 3 ปีที่แล้ว

    Kilimo ndiyo kila kitu ila mje niwauzie miche ya vanilla

    • @aminaadam9914
      @aminaadam9914 3 ปีที่แล้ว

      Tutafutane kwa maongezi juu ya kilimo cha vanilla. Niko kenya

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 3 ปีที่แล้ว

    Turudishieni malouda wetu

  • @audaceleroi1370
    @audaceleroi1370 3 ปีที่แล้ว

    Natamani nikuone tena kwenye uhongozi

  • @edwinnyabikwi560
    @edwinnyabikwi560 3 ปีที่แล้ว +1

    M

  • @fredrickjohn8412
    @fredrickjohn8412 3 ปีที่แล้ว

    Zero braini inaongea pumba, bado anandoto ya kuwa kiongozi , mshenzii kweli

    • @nyakymedia8405
      @nyakymedia8405 3 ปีที่แล้ว +1

      Kama ulivyo mshenz kula kulala ww unatukana genius

    • @fredrickjohn8412
      @fredrickjohn8412 3 ปีที่แล้ว

      @@nyakymedia8405 utaishia kusikiliza pumbaa tu za huyo ndg yako. Kama alikua kiongozi bora leo yuko wapi. Alitumia mkono wa chuma kwenye ukuu wa mkoa tu vp angekua waziri si angemaliza watu, hujielewi ww unaemsapot

    • @salimucvales7495
      @salimucvales7495 3 ปีที่แล้ว

      Ulichokiandika unaona kiko sawa watu wengine uelewa mdogo.

    • @wilsonrwekaza6247
      @wilsonrwekaza6247 3 ปีที่แล้ว

      Unamatatizo wewe

    • @fredrickjohn8412
      @fredrickjohn8412 3 ปีที่แล้ว

      @@wilsonrwekaza6247 vijana washamba sana nyie, mnafuata mkumbo bila kujisimamia wenyewe, mtaongea sana mtaishia kutukana mitandaoni tu ukweli unauma. Makonda ni zero braini hawezi kubadilika hata asomeje