CHADEMA WAMVAA MAKONDA KUKAMTWA KWA MBOWE WASEMA APAMBANE VITA YAKE NA NCHIMBI KWANZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
- CHADEMA WAMVAA MAKONDA KUKAMTWA KWA MBOWE WASEMA APAMBANE VITA YAKE NA NCHIMBI KWANZA
Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...
Chadema's leaders should know that Tanzania is the home of peace
When you mention home it contains many aspects, it'll be home of peace if everyone he'll respect constitution and follow it, but the way it is now it's not really that Tanzania is house/home of peace.
Mmmm mbaazi akikosa maua...........Makonda anahusikanaje hapo?
Wewe ndo mjinga asiye jua tabia ya makonda,haja wai kuwa mtu mwema hata siku Moja,
Wewe unaye watukana upinzani ni akili tu hauna maana hata wewe hamposalama ipo siku moja mungu atageusa kibao kwenu
Wa chadema wanachekesha sana polisi gani au sirikali gani inaua watz ???wanao uwa watz ?? niwale waloshirikiana na wanganga na maframason mashetani ili wapate utajiri bila kutoka jasho Hao ndo wanatoa kafara za watz wezao mpaka wanachinja wazazi wawo kwa kutoa kafara lakini polisi Hawaui mtu yoyote
Makonda tena,nikichekesho anahusika nn.
Mm
Makonda anahusikaje na hilo ?
Jamani Mimi niliwai kusema kwamba hiki chama cha chadema sio chama bali ni hujancha tu hapa Tanzania kwa sababu mtu mawakili Timmy huwezi kuwa salama kwaiyo nini mahana ya chadema jibu chamadema mahana yake ni dema la kushika samaki au kushika ndege msituni mtanzania yoyote hali ya jiunga na hucho chama nisawasawa na samaki au ndege wa msituni heti reo hii wapate selikali kuwa hongoza wa Tanzania tunaitaji tuwe makini sana na chama hiko
Sawa
Kwenye hamani ndo wanakuja na bunduki ila kwenye utekaji hawashughuliki kwa lolote
ACHANENI NA RC MAKONDA ENDELEENI NA UJINGA WENU MAKONDA ANAHUCKA VP?ANDAMANE NI NA WAJINGA WENZENU C TUNATAFUTA RIZIKI ZETU HAMTUSAIDII KITU TUNATAKA AMANI.
Ehh kwako unaona ni ujinga lakini ipo siku na wewe kutakucha tu mungu haongwi.
Wapumbavu nyinyi chama gani cha matukia! tangazeni sera watu wawachague na sio kitengeneza matukio na kuleta taharuki nchini, acheni ujinga nchi hii ni ya watanzania na sio ya chadema, mtashughulukiwa tu
Nyie sera yenu tunaijua
Wewe huna habari ya msiba wa watu kutekwa bahati mbaya huenda wewe ni hamnazo