@@lovenessvisent9408 wanaweza wakalinda na bado uhalifu usikome Coz ni jeshi lakini wanafanya mambo kihalifu... Mi nadhani Tanzania kama in ajeshi strong kama hili kwanini wasipelekwe kusaidia vita Nchi jirani Congo huko Naona..hawatambui nini majukumu yao kwa raia
Mungu yupo kazini ni suala muda tu kimsingi chama kinachotawala kwa mtutu au bunduki ni kwamba kimepoteza uhalali wake kwake chenyewe na wananchi au wapiga kura kwa kifupi ni kwamba CCM haipo miyoyoni mwa watanzania tena ladha yake imeisha polisi endeleeni kukilinda maana kwa nguvu hizi ni kwamba mmeacha majukumu yenu ya kulinda raia na mali zao badala yake mmekuwa CCM B ila kaeni mkijua Kuwa wenye nchi ni wananchi siku yaja kila kitu mnachosaidia CCM kukificha kitakuwa waziiiiiiii ni suala muda tu
Mioyo ya Watanzania zinalia na mungu.. Juu yenu ukikaa kimya ninyi ndio tayari taifa limeangamia lisu Wewe umepewa akili kubwa na mungu na tunqmatumqini mungu anakupenda pia...
Police wameajiriwa kwa kazi ya kulinda raia na mali zake na tpdf ipo kwa ajili ya kuhakikisha nchi iko salama hakuna raia kutoka nje kuvamia nchi pasipo kuwa na kibali so why police wana wapandisha upinzani kuzungumziwa nchi nzima na wajibu wao kulinda raia na mali zake wanafeli wapi
Kwani alikuwa na kosa basi tu kuzuia mambo ya kij8nga kumfuata nyumbani kwake utadhani jambaIanatafutwq. Kwa nini hawakuafanya hayo kuwatafuta waliomuua Kibao na waliotekwa. Mambo ya utopolo tuu
Lisu baba na raisi wa wanyonge tusamehe tumetishwa mno nguvu kubwa imetumika wanao tunakupenda 😭😭😭😭 maandamano bado TUnahitaji
😂😂😂😂
Kwakweli nguvu kama hii pia itumike kulinda wananchi wasitekwe
@@lovenessvisent9408 wanaweza wakalinda na bado uhalifu usikome Coz ni jeshi lakini wanafanya mambo kihalifu... Mi nadhani Tanzania kama in ajeshi strong kama hili kwanini wasipelekwe kusaidia vita Nchi jirani Congo huko Naona..hawatambui nini majukumu yao kwa raia
Clear factual ✌️
Good news and well said, wenye kuelewa tumesharlewa maandamano yamefanyika. Majibu ya hoja ni mitutu ya bunduki barabarani
Hakuna kupoa
CCM MNAICHAFUA NCHI AMUONI AIBU HIPO SIKU WATU WATU WATACHOKA NYINYI
Mungu ni mwema
Ccm.kwisha.tatizo.ni.polisi.mnatumika.vibaya.tuachieni.ccm.tuwapakate.ni.watu.wetu
Yani Polisi. Mnachokifnya Sio kuilinda ccm Watu Wameshaichoka ccm
Nisehemu ya maisha yetu wasemakweli munguakutienguvu 😢😢😢😢😢
Mungu ni mwema kila wakati
Pole sana. Kusemea wengi kuna gharama kubwa ulimwengu wa leo.
Wasaka tonge
Mungu anayaona yote, pole Sana Lisu.
Ccm mbwa tu
Mungu ibarik chadema
Fact
Mungu ibariki chadema tubariki wapiga kura mwakani siyo mbali kwa mwaka wa uchaguzi
Sasa waliwakamata wa nini😂😂😂
We bb majambazi wanakozi mm nilifatwa nikaambiwa funguwa mlango mm afande
Ni kweli kabisa mnaimalika msikate tamaa
Police Acha kutumika kama misekule ya ccm
Wanaoteseka siyo Wana chadema bal niwatu wote na binadamu wote nisawa
Wote watatoka
Huyu ndio alikua kiongozi madhubuti aliyejitambua.Hakua anauma maneno.Hakua tayari kuishi kwa kupiga magoti.
Ni inchi nzima
Mungu yupo kazini ni suala muda tu kimsingi chama kinachotawala kwa mtutu au bunduki ni kwamba kimepoteza uhalali wake kwake chenyewe na wananchi au wapiga kura kwa kifupi ni kwamba CCM haipo miyoyoni mwa watanzania tena ladha yake imeisha polisi endeleeni kukilinda maana kwa nguvu hizi ni kwamba mmeacha majukumu yenu ya kulinda raia na mali zao badala yake mmekuwa CCM B ila kaeni mkijua Kuwa wenye nchi ni wananchi siku yaja kila kitu mnachosaidia CCM kukificha kitakuwa waziiiiiiii ni suala muda tu
Hiii nchi gani
Kitaeleweka 2025
CCM mavi tu
Acha ushabiki tumia akili na self consciousness
polisi imefanya kazi vzr sana hakuna hata mtu aliyezabwa hata
kibao RAISI BADO ANAWABEMBELEZA hamjajua tu
Hao jamaa wanaozuia maandano halali ni mayahudi weusi.
Ata ivo ni mbumbumbu atakama wamesoma lakini hamnakitu
Mioyo ya Watanzania zinalia na mungu.. Juu yenu ukikaa kimya ninyi ndio tayari taifa limeangamia lisu Wewe umepewa akili kubwa na mungu na tunqmatumqini mungu anakupenda pia...
No ccm no 🇹🇿way nimeichoka 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Had I aibu
Police wameajiriwa kwa kazi ya kulinda raia na mali zake na tpdf ipo kwa ajili ya kuhakikisha nchi iko salama hakuna raia kutoka nje kuvamia nchi pasipo kuwa na kibali so why police wana wapandisha upinzani kuzungumziwa nchi nzima na wajibu wao kulinda raia na mali zake wanafeli wapi
You can't be a leader by using force sorry
Kwani alikuwa na kosa basi tu kuzuia mambo ya kij8nga kumfuata nyumbani kwake utadhani jambaIanatafutwq.
Kwa nini hawakuafanya hayo kuwatafuta waliomuua Kibao na waliotekwa.
Mambo ya utopolo tuu