'KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO'Ibada ya Jumapili Kutoka Nairobi Kenya Kanisa la P.F.I.M|Mch.Katekela

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • Jumapili Apr 3 2022.Ibada ya Jumapili Kutoka Kenya Kanisa la Philadephia Fellowship International Ministiries|Mnenaji ni Mch.Amiel Katekela

ความคิดเห็น • 74

  • @jessemach4459
    @jessemach4459 2 ปีที่แล้ว +14

    Injili inashika kweli wadada wote leo wako very smart,wamefunika utukufu wao kwa ajili ya Mungu...Glory to God most high.

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 2 ปีที่แล้ว +6

    Amen natangaza kumili na kutawala kila mahali na kila eneo la maisha yangu popote tunapokanyaga katika ilimwengu wa Roho na damu na nyama yaani wa mwili wa kawaida katika jina Yesu Kristo natangaza natanka na imekuwa kwaku na watoto wangu na wajukuu zangu na vizazi vyangu vyote
    Amen

  • @fediliakweka1718
    @fediliakweka1718 2 ปีที่แล้ว +5

    Im so blessed!
    Ubarikiwe mtumishiiiiiiii

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 ปีที่แล้ว +5

    Wamama woiye muliamua kuwachana na hizo nywele mko smart Sana hii safari ya kuenda mbinguni haitaki uzembe

  • @claudiabyalugaba2381
    @claudiabyalugaba2381 2 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe sana mtumishi Mungu amekupa kijiti hiki kituinua na sisi na kutuongezea maarifa ya kiungu. Utarudi lini Tanzania nitakuja huko Geita.

  • @smariamwambene9524
    @smariamwambene9524 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atusaidie kuweza kutawala na kumiliki chochote tulichopewa na kubarikiwa na mwenyezi Mungu

  • @miria659
    @miria659 2 ปีที่แล้ว +4

    Hapo nimepata naweza miliki lakini mwingine atawale nimekataa katika Jina la Yesu prayer point, Asante Sana mtumishi wa mungu

  • @saramss7262
    @saramss7262 2 ปีที่แล้ว +4

    Mtumishii barikiwaa SANA Mungu Akuinuwe SANA

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 2 ปีที่แล้ว +5

    AMEN AMEN mtumish wa mungu ubarikiwe

  • @loinamsungu7459
    @loinamsungu7459 ปีที่แล้ว +1

    Amieli ubarikiwe baba namungu akuinue uwe juuu zaidi uniombee na mimi

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 ปีที่แล้ว +3

    Amina baba niongoze niache dhambi niwe na roho mtakatifu mm pekee siwezi

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 ปีที่แล้ว +2

      Mungu atakusaidia happy mwili no dhaifu lakini Muombe Mungu akusaidie....

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว

      OKOKA YESU atakupa roho mt.akusaidiee kuzishinda dhambi zote

  • @user-kn3lh1co6u
    @user-kn3lh1co6u 2 ปีที่แล้ว +5

    Amen mungu akubariki mtu wa mungu

  • @EliidiEdward
    @EliidiEdward 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa jina la yesu ninarudisha kilichopotea ameeeen

  • @graceshayo1347
    @graceshayo1347 2 ปีที่แล้ว +2

    Pastor Amiel Mungu akutunze jmn

  • @esternzigo7165
    @esternzigo7165 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki mtumishi

  • @seciliajales617
    @seciliajales617 ปีที่แล้ว +3

    Naitwa sesy nimebalikiewa sana baba

  • @riccahcate8126
    @riccahcate8126 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen Amen barikiwa sana mtumish

  • @sophiajonas3459
    @sophiajonas3459 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Yesuuuuuuuuuuuu

  • @ruthmoitui8637
    @ruthmoitui8637 2 ปีที่แล้ว +4

    Amina. Very deep teachings

  • @vincentyohanachakupewa2219
    @vincentyohanachakupewa2219 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen sana mtumishi wa BWANA YESU

  • @seciliajales617
    @seciliajales617 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe maisha malefu mtumishi

  • @adventinandyanabo9358
    @adventinandyanabo9358 ปีที่แล้ว

    Nakushukru Mungu kwa kutupa watumishi wazr watuinue kiroho ,, Mungu akubariki katekela Uingie mbinguni

  • @faithfavour1850
    @faithfavour1850 2 ปีที่แล้ว +4

    Powerful testimony, i need more of you Jesus my Lord

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 2 ปีที่แล้ว +3

    Nabarikiwa sanna

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 ปีที่แล้ว +1

    Kweli pastor mungu akubariki sana kwa huo ujumbe

  • @evodiaathansio769
    @evodiaathansio769 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akibariki nakupa hekima na maarifa zaidi ya hapo

  • @salimarosematrida8399
    @salimarosematrida8399 ปีที่แล้ว

    Amen Amen papa asante kwa tujenga mioyo yetu Mungu kweli akutiye nguvu vraiment

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 ปีที่แล้ว +2

    Mungu atusaidie tuenende katika utakatifu

  • @floraalikula9121
    @floraalikula9121 5 หลายเดือนก่อน +2

    Amen

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 ปีที่แล้ว +2

    Ameeeeeeeen

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU atusaidiye sana ilitushinde anasa zaduniya

  • @maggyirene110
    @maggyirene110 2 ปีที่แล้ว +1

    Halleluyaa halleluya, huo ushuhuda wa ufufuo...
    Mungu wetu nimkuu

  • @elinajamson325
    @elinajamson325 2 ปีที่แล้ว

    Ameen.Ameen nmebarikiwa mno tena sana.nanimepokea ujasir mkubwa.MUNGU akubariki mno mtumishi

  • @judithbett420
    @judithbett420 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen blessed pastor

  • @GulaniaMadulege-jy7ni
    @GulaniaMadulege-jy7ni 5 หลายเดือนก่อน +1

    Neno la Mungu ni kweli, mtumishi fanya kazi uliyoitiwa na roho wa Mungu asizimishwe ndani yako

  • @upendomhagama3236
    @upendomhagama3236 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ameeeee

  • @user-gz7zx6od4p
    @user-gz7zx6od4p ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @EliidiEdward
    @EliidiEdward 4 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeen

  • @HenryKamonde
    @HenryKamonde 4 หลายเดือนก่อน

    Mm ni Henry nawafuwata

  • @JacksonFransisco
    @JacksonFransisco ปีที่แล้ว +1

    Ubalikiwe sana

  • @aivanalexander
    @aivanalexander ปีที่แล้ว

    Ninavyo msikiliza mtumishi wa Mungu ninamkumbuka baba YANGU haya haya ndio anayoyahubiri Ila watu wanapinga ninabalikiwa sana na jumbe hizi ninamhaidi Mungu kuendelea kukemea dhambi ubalikiwe mno A Man of God ninaomba siku Moja TWENDE karagwe Mungu ATOE Neema ya wokovu Kwa watu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 ปีที่แล้ว +1

    Eti mpaka Leo sitaki uchungaji,anafurahisha,

  • @UKENDESTEPHANOSHILLA
    @UKENDESTEPHANOSHILLA 4 หลายเดือนก่อน

    AMEN

  • @peninahmwendwa2519
    @peninahmwendwa2519 2 ปีที่แล้ว +6

    Ni ukweli mtumishi niliona dunia kama imekujwakujwa kama ule mpira wa football,jina LA yesu linuliwe.

  • @mindenlightenment
    @mindenlightenment 2 ปีที่แล้ว +7

    Hallelujah ✨🤍🙌

  • @flm1530
    @flm1530 2 ปีที่แล้ว +2

    Ameeeenn

  • @evodiaathansio769
    @evodiaathansio769 2 ปีที่แล้ว +2

    Ameeen

  • @aivanalexander
    @aivanalexander ปีที่แล้ว +1

    M
    A Man of God tunaomba Ukalibie kwenye group letu utupe hata NENO MOJA Ili tupate kupona kupitia ulichonacho

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika Injili ya Moto kabisaa,Nimetamani kumiliki sasa na Kutawala kabisaa

  • @Priska247
    @Priska247 ปีที่แล้ว +1

    Huwa nachukiya watu kuitika mutu kafa na hawajauliza Mungu ili wahakikishe, maana na amini sana Mungu anaweza fufua hawo wanaokufa na sikusudi lake. Nimesha kataa naoneshwa ndotoni mutu mu familiya amekufa gafla nikakataa ndotoni na nilipo amuka nilizidi kukata kifo na kwakweli muchomba ambaye familiya iliambiwa amekufa Tena habari ikabadirika ameamuka. Wapendwa katika Christo Mungu anatenda tusiitike itike hovyo

  • @agnethpaul3596
    @agnethpaul3596 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji, Asante.

  • @mercywanjira309
    @mercywanjira309 2 ปีที่แล้ว +1

    Am so blessed just wish one day it will be in English too

  • @user-eu8lc6co2j
    @user-eu8lc6co2j 4 หลายเดือนก่อน

    Jactani mbona mchungaji hapokei simu 😢

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 ปีที่แล้ว

    Amen Yesu mfalme

  • @claudiabyalugaba2381
    @claudiabyalugaba2381 2 ปีที่แล้ว

    kutuinua

  • @seperatusthomas6543
    @seperatusthomas6543 ปีที่แล้ว

    Kama una Nia yakufungua makanisa huyo ni kalama ya kitume

  • @myself4128
    @myself4128 2 ปีที่แล้ว +1

    sauti inakata katika

  • @peninahmwendwa2519
    @peninahmwendwa2519 2 ปีที่แล้ว

    Haliluya

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 2 ปีที่แล้ว

    Fundi mitambo

  • @vansmziray8438
    @vansmziray8438 2 ปีที่แล้ว

    Ilikuwaje baba akachukuliwa msukule wakati ni Mchungaji????

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

      Alikuwa amekengeuka ,hapa ni Duniani tunajikwaa kila siku ,Baba Yake si Mungu ni Mwanadamu hata wewe leo unaweza jikwaa ndani ya Haya Mahubiri

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Na Pia Mungu alitaka Katekela Akumbuke Mungu ni wa Ajabu na Amuinue

    • @graceshayo1347
      @graceshayo1347 2 ปีที่แล้ว +1

      Me ninachojua mtu anawez asiwe ametenda dhambi na akafa kabla ya wakat Ni kwa ajili ya mda mwingne tunalemea na dunia unawez ukafa ukaenda mbinguni Ila unakuw umekuf kabla ya ahad ya Mungu kutumia Kwan musa hakuenda mbinguni? Alienda sema hakuingia nchi ya ahadi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      @@graceshayo1347 Shetani anaweza kukatiza siku zako apendavyo maana Anacho kibali kufanya hivyo

    • @leahenockmrina5381
      @leahenockmrina5381 2 ปีที่แล้ว

      Vita vya watumishi ni kubwa alipopata supporter campany akashinda

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @faymay4118
    @faymay4118 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen