Mch Moses Magembe - KUTOKUIPENDA DUNIA NA KUJITENGA NAYO | IBADA YA JUMAPILI JIONI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Ibada ya Jumapili jioni katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita - Ilala Dar es salaam, chini Mch Moses Magembe.
SOMO: KUTOKUIPENDA DUNIA NA KUJITENGA NAYO
Andiko: 1 WARAKA WA YOHANA 2:15-18
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 25.02.2024
Mafundisho muhimu sana katika nyakati tulizonazo, Mungu azidi kukutumia na kukutia nguvu mchungaji. Tunabarikiwa sana sana
Yaani Tanzania ingekuwa Na Wachungaji Kumi tu kama wewe kabisa lingepona Mungu akubariki babu
FunnyDarypink umeongea ukweli kabisa. Yaani huyu Mchungaji wangu jamani nampenda sana mana yeye bado anaibiri Mungu wa kweli
Mungu azidi kukubariki na kukutiya nguvu Baba maana sisi tuliyo inje ya inchi tunakufuata Sana na kubarikiwa Sana maana upo na tusaidiya sana
Baba yani unafunua kweli najua wewe si wa Dini bali wa Yesu.
Very powerful and touching teachings. Mch Magembe Mungu Akubariki Sana. Neema Neema Zaidi juu yako. You are an inspiration to many. I am really humbled and blessed by your teachings.🙏🙏🙏
Mungu mwenye ngufu akubariki na akuongeze myaka yakuishi ili usaidia watuwamungu
Amina saana MUNGU apewe sifa kwa ku kutumia baba 👌
ubarikiwe Baba ninapenda sana mahubiri yako
Hallelujah ....for the glory of God
Mungu akupe maisha marefu baba NAKUPENDA
Mungu akubariki baba mchungaji Niko Congo RDC
Baba Mch Magembe wewe nikipawa cha kanisa la Mungu lote na si TAG Pekee nakupenda Mzee napeta fact unazo zifunua.
Mutumishi nakufatilia nikiwa Kenya Yesu akulinde na akutunze kwa kazi unayo fanya.
Baba analiandaa kanisa litakalo nyakuliwa. Thank you Lord for giving us this servant in this confusing season.
Mungu wambinguni akubariki baba mchungaji Niko Congo RDC
Ubarikiwe sana mchungaji ujumbe umefika
Baba tunataman kukualika uje utufundishe habar za uamsho lakin tunashindwa tunakupataje Ukwel wewe ni mchungaj uliyetumwa na Mungu
Bwana Yesu asifiwe baba. Mungu akubarik kwa kufundisha ukweli,,,,.
Bwana Yesu akutie nguvu Daima na akubariki sana wewee na uzao wako umalize mwendo salama
Nakupenda sana Mch Moses Magembe kwa Mafundisho ya Injili ya Marekebisho
Amina
Ameeen
Amen Baba. tunashukuru kwa somo hili. Kristo asifiwe.
Amina baba yangu, Mungu wetu akulinde sanaaaaa
❤❤❤❤ Aminaaaa
Amen baba barikiwa sana
Naomba kukuona
Ninakupenda kwamsimamo wako wa imani na mafundisho yako harisi
AMINA,AMINA MILELE AMINA
Mungu akutunze Baba
Amen
Ameen baba
Injili ya kweli.
MUNGU akutunze sana baba yangu na barikiwa sana na wewe
Ooo Mungu na akubariki sana ujumbe mzuri
Baba wa mbinguni akutunze Dunia isikie injili hii siku zaleo
Aminaa
Injili ya Yesu hii.
MIMI, NAKUOMBA, UNIOMBEE ROBO YA IMANNI YAKO WALAU. AMEN.
MUNGU azidi kukutunza baba tuko vijana tunajifunza saanaaa na kufurahia uwepo wako
❤
Wahubiri wengine wwnangoja nini wasihubiri injili ya kweli sema watumishi wengi hawajui nini maana ya injili
Naomba namba ya mchungaji aliye nayo
Mzee umebaki pekeyako unayehubili kweli,
Ameren
Baba hayo mambo unayo yafunua sio ya kila mutu bali ni yawale walio wa Yesu sababu ni mambo mazito.
Amina
Amen
MUNGU azidi kukutunza baba tuko vijana tunajifunza saanaaa na kufurahia uwepo wako