Mch Moses Magembe - KUTOKUIPENDA DUNIA NA KUJITENGA NAYO | IBADA YA JUMAPILI JIONI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Ibada ya Jumapili jioni katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita - Ilala Dar es salaam, chini Mch Moses Magembe.
    SOMO: KUTOKUIPENDA DUNIA NA KUJITENGA NAYO
    Andiko: 1 WARAKA WA YOHANA 2:15-18
    Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
    Tarehe: 25.02.2024

ความคิดเห็น • 48

  • @jamiinaafyanjema2966
    @jamiinaafyanjema2966 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mafundisho muhimu sana katika nyakati tulizonazo, Mungu azidi kukutumia na kukutia nguvu mchungaji. Tunabarikiwa sana sana

  • @FunnyDarypink
    @FunnyDarypink 7 หลายเดือนก่อน +9

    Yaani Tanzania ingekuwa Na Wachungaji Kumi tu kama wewe kabisa lingepona Mungu akubariki babu

    • @toshamulendalalune393
      @toshamulendalalune393 7 หลายเดือนก่อน

      FunnyDarypink umeongea ukweli kabisa. Yaani huyu Mchungaji wangu jamani nampenda sana mana yeye bado anaibiri Mungu wa kweli

    • @patriceshukuruheri6323
      @patriceshukuruheri6323 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu azidi kukubariki na kukutiya nguvu Baba maana sisi tuliyo inje ya inchi tunakufuata Sana na kubarikiwa Sana maana upo na tusaidiya sana

  • @reubenlusanya3546
    @reubenlusanya3546 7 หลายเดือนก่อน +5

    Baba yani unafunua kweli najua wewe si wa Dini bali wa Yesu.

  • @nephatkihara
    @nephatkihara 2 หลายเดือนก่อน

    Very powerful and touching teachings. Mch Magembe Mungu Akubariki Sana. Neema Neema Zaidi juu yako. You are an inspiration to many. I am really humbled and blessed by your teachings.🙏🙏🙏

  • @CHUBAHIROFRANK-bt7hx
    @CHUBAHIROFRANK-bt7hx 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu mwenye ngufu akubariki na akuongeze myaka yakuishi ili usaidia watuwamungu

  • @antoinetteirankunda739
    @antoinetteirankunda739 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina saana MUNGU apewe sifa kwa ku kutumia baba 👌

  • @PastorMsigala
    @PastorMsigala 6 หลายเดือนก่อน +1

    ubarikiwe Baba ninapenda sana mahubiri yako

  • @samwelmartine8209
    @samwelmartine8209 3 หลายเดือนก่อน

    Hallelujah ....for the glory of God

  • @stellariwa2723
    @stellariwa2723 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu baba NAKUPENDA

  • @MalobaKaweme
    @MalobaKaweme 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki baba mchungaji Niko Congo RDC

  • @mkomayonah6999
    @mkomayonah6999 3 หลายเดือนก่อน

    Baba Mch Magembe wewe nikipawa cha kanisa la Mungu lote na si TAG Pekee nakupenda Mzee napeta fact unazo zifunua.

  • @reubenlusanya3546
    @reubenlusanya3546 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mutumishi nakufatilia nikiwa Kenya Yesu akulinde na akutunze kwa kazi unayo fanya.

  • @christermapunda503
    @christermapunda503 7 หลายเดือนก่อน +1

    Baba analiandaa kanisa litakalo nyakuliwa. Thank you Lord for giving us this servant in this confusing season.

  • @MalobaKaweme
    @MalobaKaweme 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu wambinguni akubariki baba mchungaji Niko Congo RDC

  • @EstonMlembe-mn7td
    @EstonMlembe-mn7td 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana mchungaji ujumbe umefika

  • @HURUMAJACKOB
    @HURUMAJACKOB 5 หลายเดือนก่อน +2

    Baba tunataman kukualika uje utufundishe habar za uamsho lakin tunashindwa tunakupataje Ukwel wewe ni mchungaj uliyetumwa na Mungu

  • @Larvina-r6t
    @Larvina-r6t 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana Yesu asifiwe baba. Mungu akubarik kwa kufundisha ukweli,,,,.

  • @ChanilaKitwima-zc6ko
    @ChanilaKitwima-zc6ko 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana Yesu akutie nguvu Daima na akubariki sana wewee na uzao wako umalize mwendo salama
    Nakupenda sana Mch Moses Magembe kwa Mafundisho ya Injili ya Marekebisho
    Amina

  • @Patience.67
    @Patience.67 2 หลายเดือนก่อน

    Ameeen

  • @StephenButotoMbarato
    @StephenButotoMbarato 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen Baba. tunashukuru kwa somo hili. Kristo asifiwe.

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amina baba yangu, Mungu wetu akulinde sanaaaaa

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤ Aminaaaa

  • @Nasibumwandambo-dx1mo
    @Nasibumwandambo-dx1mo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen baba barikiwa sana

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba kukuona

  • @TeomarryHaule
    @TeomarryHaule 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ninakupenda kwamsimamo wako wa imani na mafundisho yako harisi

  • @johnmweji9345
    @johnmweji9345 7 หลายเดือนก่อน +1

    AMINA,AMINA MILELE AMINA

  • @IsayaSchone-kt7uq
    @IsayaSchone-kt7uq 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutunze Baba

  • @YonaMwalongo-w7v
    @YonaMwalongo-w7v 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @davidmembedalamethepsalmis2885
    @davidmembedalamethepsalmis2885 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen baba

  • @LawrenceNdauka-in7cr
    @LawrenceNdauka-in7cr 7 หลายเดือนก่อน +1

    Injili ya kweli.

  • @VivianShao-p1y
    @VivianShao-p1y 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akutunze sana baba yangu na barikiwa sana na wewe

  • @SaimonTweve
    @SaimonTweve 5 หลายเดือนก่อน

    Ooo Mungu na akubariki sana ujumbe mzuri

  • @kigongomasalu7402
    @kigongomasalu7402 7 หลายเดือนก่อน +1

    Baba wa mbinguni akutunze Dunia isikie injili hii siku zaleo

  • @IsayaSchone-kt7uq
    @IsayaSchone-kt7uq 7 หลายเดือนก่อน +1

    Aminaa

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua2002 4 หลายเดือนก่อน

    Injili ya Yesu hii.

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 7 หลายเดือนก่อน

    MIMI, NAKUOMBA, UNIOMBEE ROBO YA IMANNI YAKO WALAU. AMEN.

  • @emmanuelmwalembe-yd1cz
    @emmanuelmwalembe-yd1cz 5 หลายเดือนก่อน

    MUNGU azidi kukutunza baba tuko vijana tunajifunza saanaaa na kufurahia uwepo wako

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 7 หลายเดือนก่อน

  • @BrDavidMasao
    @BrDavidMasao 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wahubiri wengine wwnangoja nini wasihubiri injili ya kweli sema watumishi wengi hawajui nini maana ya injili

  • @samsonmwangwego6892
    @samsonmwangwego6892 6 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya mchungaji aliye nayo

  • @WinifledyMbugi-ur1hq
    @WinifledyMbugi-ur1hq 7 หลายเดือนก่อน

    Mzee umebaki pekeyako unayehubili kweli,

  • @JofreyMtewa
    @JofreyMtewa 6 หลายเดือนก่อน

    Ameren

  • @reubenlusanya3546
    @reubenlusanya3546 7 หลายเดือนก่อน

    Baba hayo mambo unayo yafunua sio ya kila mutu bali ni yawale walio wa Yesu sababu ni mambo mazito.

  • @shillahmbogo5556
    @shillahmbogo5556 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @DeboraBenard-b5f
    @DeboraBenard-b5f 7 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @emmanuelmwalembe-yd1cz
    @emmanuelmwalembe-yd1cz 5 หลายเดือนก่อน

    MUNGU azidi kukutunza baba tuko vijana tunajifunza saanaaa na kufurahia uwepo wako