Mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri akiongea na timu nzima ya maisha mseto juu ya mkoa wa tabora ndani ya #timesfm. Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Ki-ukweli wana Tabora tunajivunia kwa kuwa na kiongozi huyu. Wasio Tabora wanaweza wasijue hasa alichokifanya Mkuu wetu wa mkoa, Proud of you Hon. Agrey Mwanry
Hayo ndo majibu yanayotakiwa kujibiwa na viongozi (safi Sana mzee wetu) hakika una karama ya uongozi, Mungu aendelee kukutia nguvu na akuongezee hekima katika uongozi na pia akupe Maisha marefu ili wananchi tuzidi kuzifaidi busara zako na uongozi wako uliotukuka.
Inaonekana kuna watu walimuhasidi ndo maana akamua kumuachia mungu na Kweli muachie mungu hao ni mahasidi tu hawata kuweza na riziki ni mungu anatoa we wache tu wamijisahao. Chapa kazi wengi tunakupenda na mungu akupe maisha marefu
Mtangazaji Mungu akutetee sana nimetokea kukupaa hongera maana umemuhoji kwa busara kubwa sana bila hata uchokonozi wa mambo yasiyokuwa na msingi. Una taaruma nzuri na nimetokea kukuelewa sana.
Huyu mtangazaji mpumbafu sana, anamlazimisha Mwanri atuvuruge wafuasi wake! Mwanri ana akiri sana hataki kuwagawa washabiki wake maana ashajua anafagiliwa na watu wa vyama vyote. Endelea hivyo hivyo mzee tabia njema ni siraha huwezi jua kesho kutatokea nini. Tawala huwa zinabadirika ghafla.
We mtu wa mkowa huyo atakuponza ndio huyoyo tunabishana nae hapa. Hatakupa majibu ya kichwani mmake arafu badae tukimbizane hapa. gonga like kwake
Ki-ukweli wana Tabora tunajivunia kwa kuwa na kiongozi huyu. Wasio Tabora wanaweza wasijue hasa alichokifanya Mkuu wetu wa mkoa, Proud of you Hon. Agrey Mwanry
Mungu akutie nguvu RC wa Tabora Amen
Hayo ndo majibu yanayotakiwa kujibiwa na viongozi (safi Sana mzee wetu) hakika una karama ya uongozi, Mungu aendelee kukutia nguvu na akuongezee hekima katika uongozi na pia akupe Maisha marefu ili wananchi tuzidi kuzifaidi busara zako na uongozi wako uliotukuka.
Mungu akupe maisha marefu Mkuu
Mungu akuongoze kwenye njia sahihi inayompendeza yeye!!!mkuu wa mkoa wa Tabora.
JEREMIAH ISSAYA ZERIANA
Huyu mzeee anajua kujibu kwa hekima sana
Kumcha Mungu ndo mwanzo wa Hekima.Love u Mwandry
Huyu mzee ni genius👏👏👏, majibu kuntu.
Ni jambo la hero kuona kiongozi kama wewe unamtegemea Mungu kwa kila ufanyalo na kulipitia @Aggrey mwanri
Mkuu uko vizuri tunakuombea neema zaidi
Mungu akutangulie kwenye kazi zako mkuu
Mkuu huyuu yupo POA sana nimkweeli sana.
Inaonekana kuna watu walimuhasidi ndo maana akamua kumuachia mungu na Kweli muachie mungu hao ni mahasidi tu hawata kuweza na riziki ni mungu anatoa we wache tu wamijisahao. Chapa kazi wengi tunakupenda na mungu akupe maisha marefu
So bright guy.
Mimi ni mkenya na nampongeza sana mkuu wa mkoa . Yeye ni mchapa kazi na mzalendo chupavu.
Kazi kazini ndio sababu mzee
Mtangazaji Mungu akutetee sana nimetokea kukupaa hongera maana umemuhoji kwa busara kubwa sana bila hata uchokonozi wa mambo yasiyokuwa na msingi. Una taaruma nzuri na nimetokea kukuelewa sana.
Safi Sana
Good
Sisi tunamuomba agrey mwaniley agombee urais hata kama ni kwa tiketi ya CCM sisi wananchi tutampa kula zetu
Diamond
Mzee wang nakuelewaga sana
Mzee wa hekima. Injinia somaaa hiyoooo!!
Very intelligent Mheshmiwa
Engineer Soma hiyooooooooo
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Very nice mkuu wa Mkoa
Engineer soma hiyooooooo
Jifanye unajikuna jifanye unajikuna, injinia somaiyoooo!
Aggrey Mwanri ana Mungu ndani yake.
Sukuma Ndanii Wote
safiiiiii......Rc
Haahaa embu jifanye unajikuna,shika sukuma ndani
Una hekima na busara unajibu vema
Nice RC Tabora
Nomaa
Good
Jifanye kama unajikuna!
Amen
Engineer somaaaa!! 😀😀😀😀😀
Wspi part two
.
Jifanye kama unajikuna
Soma hiiyoo
Huyu mtangazaji mpumbafu sana, anamlazimisha Mwanri atuvuruge wafuasi wake! Mwanri ana akiri sana hataki kuwagawa washabiki wake maana ashajua anafagiliwa na watu wa vyama vyote. Endelea hivyo hivyo mzee tabia njema ni siraha huwezi jua kesho kutatokea nini. Tawala huwa zinabadirika ghafla.
Fyekereaaaaaa mbaliiii
asisome huyo atakuingiza mkenge,soma hiyooo
Sukuma ndan
King dome Wei's Dom:
mi napenda jinsi unavyoongea kwa kutoa macho ili kusisitiza jambo
hahaha
mwisho wa kunuku hahahaha
Mwisho wa kunukuu
sukuma ndani hahahaha
engender soma hiyo hahahaa!!!???
hii hapa trap song ya RC mwanri th-cam.com/video/8XPNuDaqjV8/w-d-xo.html
Jaman mtangazaji yuko hovyo,boring
Tupo pamoja+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Pa1 968
kumbe huyu mpuuzi!
fu.....
acheni uongo nyie
SUKUMA NDANI
Kamata wote tupa ndan
Just stop nose poking in the public mkuu it’s weird 🤮...otherwise God bless!
I thought I was the only one who noticed. Poking nose in other cultures is as nasty as picking ass😁
Jon anderson 😂😂😂 yooh!! Its so nasty! Mbaya sanaaa