MKUU WA MKOA TABORA, AGGREY MWANRI, ALIVYOONGEA KIINGEREZA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • Mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri akiongea na timu nzima ya maisha mseto juu ya mkoa wa tabora ndani ya #timesfm.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

ความคิดเห็น • 75

  • @gastobruno8779
    @gastobruno8779 5 ปีที่แล้ว +5

    We mtu wa mkowa huyo atakuponza ndio huyoyo tunabishana nae hapa. Hatakupa majibu ya kichwani mmake arafu badae tukimbizane hapa. gonga like kwake

  • @saidkapessa8806
    @saidkapessa8806 5 ปีที่แล้ว +1

    Ki-ukweli wana Tabora tunajivunia kwa kuwa na kiongozi huyu. Wasio Tabora wanaweza wasijue hasa alichokifanya Mkuu wetu wa mkoa, Proud of you Hon. Agrey Mwanry

  • @neemamgaya9762
    @neemamgaya9762 5 ปีที่แล้ว +13

    Mungu akutie nguvu RC wa Tabora Amen

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 5 ปีที่แล้ว +1

    Hayo ndo majibu yanayotakiwa kujibiwa na viongozi (safi Sana mzee wetu) hakika una karama ya uongozi, Mungu aendelee kukutia nguvu na akuongezee hekima katika uongozi na pia akupe Maisha marefu ili wananchi tuzidi kuzifaidi busara zako na uongozi wako uliotukuka.

  • @husseinmucky829
    @husseinmucky829 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akupe maisha marefu Mkuu

  • @jeremiahissayazeriana399
    @jeremiahissayazeriana399 5 ปีที่แล้ว +19

    Mungu akuongoze kwenye njia sahihi inayompendeza yeye!!!mkuu wa mkoa wa Tabora.

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay571 5 ปีที่แล้ว +15

    Huyu mzeee anajua kujibu kwa hekima sana

  • @gladnessmakundi421
    @gladnessmakundi421 5 ปีที่แล้ว +8

    Kumcha Mungu ndo mwanzo wa Hekima.Love u Mwandry

  • @cassianndunguru3560
    @cassianndunguru3560 5 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mzee ni genius👏👏👏, majibu kuntu.

  • @denismwalukunga8686
    @denismwalukunga8686 5 ปีที่แล้ว +15

    Ni jambo la hero kuona kiongozi kama wewe unamtegemea Mungu kwa kila ufanyalo na kulipitia @Aggrey mwanri

  • @lukatitho1913
    @lukatitho1913 5 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu uko vizuri tunakuombea neema zaidi

  • @barakamlemwa7454
    @barakamlemwa7454 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akutangulie kwenye kazi zako mkuu

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 ปีที่แล้ว +6

    Mkuu huyuu yupo POA sana nimkweeli sana.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 ปีที่แล้ว

    Inaonekana kuna watu walimuhasidi ndo maana akamua kumuachia mungu na Kweli muachie mungu hao ni mahasidi tu hawata kuweza na riziki ni mungu anatoa we wache tu wamijisahao. Chapa kazi wengi tunakupenda na mungu akupe maisha marefu

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 6 หลายเดือนก่อน

    So bright guy.

  • @davidgithiomi4071
    @davidgithiomi4071 2 ปีที่แล้ว

    Mimi ni mkenya na nampongeza sana mkuu wa mkoa . Yeye ni mchapa kazi na mzalendo chupavu.

  • @tzmoko1510
    @tzmoko1510 5 ปีที่แล้ว +2

    Kazi kazini ndio sababu mzee

  • @danielmlanda9787
    @danielmlanda9787 5 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji Mungu akutetee sana nimetokea kukupaa hongera maana umemuhoji kwa busara kubwa sana bila hata uchokonozi wa mambo yasiyokuwa na msingi. Una taaruma nzuri na nimetokea kukuelewa sana.

  • @mkingajuliuas9673
    @mkingajuliuas9673 ปีที่แล้ว

    Sisi tunamuomba agrey mwaniley agombee urais hata kama ni kwa tiketi ya CCM sisi wananchi tutampa kula zetu

  • @amaniswale4501
    @amaniswale4501 5 ปีที่แล้ว +1

    Diamond

  • @abbyjma7355
    @abbyjma7355 5 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wang nakuelewaga sana

  • @salomeherbert4407
    @salomeherbert4407 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa hekima. Injinia somaaa hiyoooo!!

  • @hdmtanzania2617
    @hdmtanzania2617 5 ปีที่แล้ว

    Very intelligent Mheshmiwa

  • @damxon3013
    @damxon3013 5 ปีที่แล้ว +11

    Engineer Soma hiyooooooooo

  • @bukaone7507
    @bukaone7507 5 ปีที่แล้ว

    Very nice mkuu wa Mkoa

  • @felicianbwinyende4884
    @felicianbwinyende4884 5 ปีที่แล้ว +1

    Engineer soma hiyooooooo

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 7 หลายเดือนก่อน

    Jifanye unajikuna jifanye unajikuna, injinia somaiyoooo!

  • @edwinkaombwe831
    @edwinkaombwe831 5 ปีที่แล้ว

    Aggrey Mwanri ana Mungu ndani yake.

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 5 ปีที่แล้ว +1

    Sukuma Ndanii Wote

  • @issayajuma9787
    @issayajuma9787 5 ปีที่แล้ว

    safiiiiii......Rc

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 5 ปีที่แล้ว +1

    Haahaa embu jifanye unajikuna,shika sukuma ndani

  • @hdmtanzania2617
    @hdmtanzania2617 5 ปีที่แล้ว +5

    Una hekima na busara unajibu vema

  • @magdalenakidumbuyo1505
    @magdalenakidumbuyo1505 5 ปีที่แล้ว

    Nice RC Tabora

  • @youngramajrtz2215
    @youngramajrtz2215 5 ปีที่แล้ว

    Nomaa

  • @allybakari5087
    @allybakari5087 4 ปีที่แล้ว

    Good

  • @sirmwita3351
    @sirmwita3351 5 ปีที่แล้ว +5

    Jifanye kama unajikuna!

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 5 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 5 ปีที่แล้ว

    Engineer somaaaa!! 😀😀😀😀😀

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 ปีที่แล้ว +2

    Wspi part two

  • @halimasahani5562
    @halimasahani5562 5 ปีที่แล้ว +5

    Jifanye kama unajikuna

  • @thechannel1441
    @thechannel1441 4 ปีที่แล้ว +1

    Soma hiiyoo

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mtangazaji mpumbafu sana, anamlazimisha Mwanri atuvuruge wafuasi wake! Mwanri ana akiri sana hataki kuwagawa washabiki wake maana ashajua anafagiliwa na watu wa vyama vyote. Endelea hivyo hivyo mzee tabia njema ni siraha huwezi jua kesho kutatokea nini. Tawala huwa zinabadirika ghafla.

  • @gastobruno8779
    @gastobruno8779 5 ปีที่แล้ว

    Fyekereaaaaaa mbaliiii

  • @philipoanthon4281
    @philipoanthon4281 5 ปีที่แล้ว

    asisome huyo atakuingiza mkenge,soma hiyooo

  • @masoudmyonga8804
    @masoudmyonga8804 4 ปีที่แล้ว

    Sukuma ndan

  • @chiefkimata9731
    @chiefkimata9731 4 ปีที่แล้ว

    King dome Wei's Dom:

  • @hasnatmilanz2797
    @hasnatmilanz2797 5 ปีที่แล้ว

    mi napenda jinsi unavyoongea kwa kutoa macho ili kusisitiza jambo

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry5426 5 ปีที่แล้ว +3

    mwisho wa kunuku hahahaha

  • @briannyiti208
    @briannyiti208 5 ปีที่แล้ว +1

    Mwisho wa kunukuu

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi4157 5 ปีที่แล้ว

    sukuma ndani hahahaha

  • @philipoanthon4281
    @philipoanthon4281 5 ปีที่แล้ว

    engender soma hiyo hahahaa!!!???

  • @boxcaliz
    @boxcaliz 5 ปีที่แล้ว

    hii hapa trap song ya RC mwanri th-cam.com/video/8XPNuDaqjV8/w-d-xo.html

  • @mariamkimweri6247
    @mariamkimweri6247 5 ปีที่แล้ว

    Jaman mtangazaji yuko hovyo,boring

  • @khalfanmkumba5009
    @khalfanmkumba5009 5 ปีที่แล้ว +4

    Tupo pamoja+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 5 ปีที่แล้ว

    kumbe huyu mpuuzi!

  • @saidmbujo1643
    @saidmbujo1643 5 ปีที่แล้ว

    acheni uongo nyie

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 ปีที่แล้ว

    SUKUMA NDANI

  • @JOHNCSHIO
    @JOHNCSHIO 5 ปีที่แล้ว

    Just stop nose poking in the public mkuu it’s weird 🤮...otherwise God bless!

    • @jonanderson4280
      @jonanderson4280 5 ปีที่แล้ว

      I thought I was the only one who noticed. Poking nose in other cultures is as nasty as picking ass😁

    • @JOHNCSHIO
      @JOHNCSHIO 5 ปีที่แล้ว

      Jon anderson 😂😂😂 yooh!! Its so nasty! Mbaya sanaaa