MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ต.ค. 2019

ความคิดเห็น • 647

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 4 หลายเดือนก่อน +66

    Kama umerud tena kuangalia gonga like hapa!!!!

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius 10 หลายเดือนก่อน +116

    Jamn wanaotamn arudi Kazin Rc Agrey plz like hapa😂😂😂

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi😂😂

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 หลายเดือนก่อน

      Ndio unaposhangaa hii nchi yetu,mtu kama mwanri eti yupo nje ya mfumo

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 หลายเดือนก่อน

      Alistafu mdatu​@@hassanhancha1413

    • @user-vy2fc5nc5u
      @user-vy2fc5nc5u 26 วันที่ผ่านมา

      Baada ya magufuri kufa huyu jamaa alikataa mambo ya siasa sasa hivi ni mtu wa kanisan

  • @israelsiame4403
    @israelsiame4403 3 ปีที่แล้ว +546

    Nani ameangalia hii baada ya Dr Magufuli kutangulia mbele za haki, like tujuane.

    • @kingmagoha281
      @kingmagoha281 3 ปีที่แล้ว +6

      Mimi hapa

    • @salumsalum3792
      @salumsalum3792 3 ปีที่แล้ว +5

      Mimi nipo hapa Leo tarehe 5 may

    • @emmanuelmashishanga5057
      @emmanuelmashishanga5057 3 ปีที่แล้ว +2

      Yani nakumbuka mbali sana

    • @deograthiaslupindu255
      @deograthiaslupindu255 3 ปีที่แล้ว +4

      Naungana nawe leo tarehe 12 May, namiss mzee wa Toronto kama navyomiss sana JPM!!!

    • @victoriaamsi6739
      @victoriaamsi6739 3 ปีที่แล้ว +2

      Mm hapa leo tarehe 13 may tena kwa kilio km amefariki Leo

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 4 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu mzeee ni mashine ya kazi.. kama umeangalia hapa 2024. Baada ya kum miss magufuli wetu.. 🤝

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede3952 4 ปีที่แล้ว +51

    Huwezi choka kumsikiliza Rc Agrey Mwanri. Nimesha sikiliza hii clip zaidi ya mara 5. Na sitachoka kurudia kusikiliza. Hongera sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on 4 ปีที่แล้ว +149

    Nisije nikakukosea adabu mkuu! Hebu nipeni like jamani maana nimecheka sana!

  • @majosamalundi3687
    @majosamalundi3687 4 ปีที่แล้ว +28

    Huyu mzee nampenda kwa sababu hana shida nawanasiasa anachapa kazi mungu amubaliki

  • @abelfidel4568
    @abelfidel4568 4 ปีที่แล้ว +46

    jamaa ni kichwa sana japo unaweza dhania kuwa ni comedian but lina akili nyingi sana na liko very brilliant kwenye kaz

  • @barakaoriginal4044
    @barakaoriginal4044 3 ปีที่แล้ว +78

    Naitazama paka keleo 28/3/2021 Niachie like yako

  • @WivianRich
    @WivianRich 4 ปีที่แล้ว +95

    Mimi namkubali sana Mzee wa Toronto, mchapakazi mwanzo mwisho alafu yupo makini, kumuongopea ni ngumu mno

    • @lotimwansule5017
      @lotimwansule5017 4 ปีที่แล้ว +2

      Rais John magufulini ebu mlete huyo mkuu wa mkoa Rukwa ,mkoa huu umezubaa sana ,auchangamshe huyo mzee wa Toronto Ni kiboko

  • @williamkwigema4169
    @williamkwigema4169 4 ปีที่แล้ว +143

    Toronto ya Tanzania. Big up Mh Rais kwakumteua huyu mzee. Tuletee huyu mzee hapa Manyara.

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 4 ปีที่แล้ว +35

    Duuu mkuu wangu huyu huwa ananibariki sana. yaani hata kama amekasirika utacheka tu. Barikiwa mzee wa Toronto.

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 4 ปีที่แล้ว

      Hebu nikuulize unaishi Tabora hebu niambie kuzurije

    • @majaliwawilson9372
      @majaliwawilson9372 3 ปีที่แล้ว

      Sijuwi kwanini hajapewa ajila mmm

  • @Masco_Ke
    @Masco_Ke 4 ปีที่แล้ว +38

    I am from kenya but yes he is doing great Tabora is growing

  • @arsenmakoye4650
    @arsenmakoye4650 4 ปีที่แล้ว +28

    mzee wa vituko Mungu ampe maisha marefu

  • @annamsemwa1946
    @annamsemwa1946 4 ปีที่แล้ว +86

    Nataman tu skku moja nikutane na Mh. Magufuli walau nimshike mkono wa kumpongeza. Mungu akulinde Rais wangu na vibaraka wrote na wasokupenda wote no wachawi

  • @johntogoro6191
    @johntogoro6191 2 ปีที่แล้ว +45

    Tulifurahi sana enzi zenu jamani, ila ndo mapenzi ya Mungu

    • @suzansuzanei1143
      @suzansuzanei1143 ปีที่แล้ว

      Amefariki kwani huyu mkuu wa mkoa

    • @quanthug9517
      @quanthug9517 ปีที่แล้ว

      @@suzansuzanei1143 hapana yupo Ila kwa Sasa sio mkuu wa mkoa ,alitaka kugombea ubunge akashindwa kwa kura Moja.Kwahiyo Kwa Sasa ni barozii wa zao la pamba na Mwinjilist Kanisa Fran hivi la tabora

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 8 หลายเดือนก่อน

      Yupo hai

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 8 หลายเดือนก่อน

      Yupo hai

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani saa hizi tungekuwa kama Ulaya😢

  • @silamwamlima2758
    @silamwamlima2758 4 ปีที่แล้ว +101

    Mwanri anaongea balaaaaaaaa duuuuu full comedy

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 3 ปีที่แล้ว +1

      Comedy lakini kwa vitendo ni balaaa

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 4 ปีที่แล้ว +11

    SuKuma ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...... I Love ToroNto💝💝🇹🇿💝💝

  • @eduardomiheso8888
    @eduardomiheso8888 2 ปีที่แล้ว +21

    Good intelligence of a such leader💪

  • @williamramatinga3607
    @williamramatinga3607 4 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana mh. Mwanri kwa hotuba fupi na nzuri.

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 3 ปีที่แล้ว +24

    Sijui kwa nn walimpa uaraisi Samia SULUHU sibora wangempa Huyu mzee wa Toronto yupo vizur Mashallah

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 2 ปีที่แล้ว +1

      Yaani sikipendi hicho kimama

    • @joealone6377
      @joealone6377 2 ปีที่แล้ว

      Nchi yetu ingeendelea sanaaaa

    • @daudinassibu743
      @daudinassibu743 2 ปีที่แล้ว

      @@salmaalimusa6809 haaahahahahaha

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 2 ปีที่แล้ว +1

      @@daudinassibu743 tucheke tufurahi ndg

    • @daudinassibu743
      @daudinassibu743 2 ปีที่แล้ว

      @@salmaalimusa6809 ndo lais na sio rais haaaaha

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 ปีที่แล้ว +170

    Wangp Wana Amin manwali ndo kiboko ya maguful

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 4 ปีที่แล้ว +19

    Briliant and exellent speech.

  • @paulnyobisontours3423
    @paulnyobisontours3423 4 ปีที่แล้ว +27

    Big up sana mwanri👏👏👏

  • @dioskorimtalo2348
    @dioskorimtalo2348 4 ปีที่แล้ว +18

    Kiukweli katika speech zilizobamba na zitabamba miaka nenda rudi ni hii.. Mwanri ana uwezo mkubwa mno Tena sana wa ku capture mindset & attention za watu. Magu mwenyewe hapo anasaluti 😆

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 4 ปีที่แล้ว +4

    Agrey Mwaniri kagombeee tunatamani kukuona Bungeni kwa Mara nyingine bado unafaa kuisaidia nchi Nadhani kusitafishwa kwako kuna maana plz do it Dad I love so much natamani kuwa kama wewe

  • @rehmadamian8020
    @rehmadamian8020 4 ปีที่แล้ว +9

    Dah kama unastres zinaisha zote hongera baba unakipaji cha kufurahisha na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 2 ปีที่แล้ว +13

    Magufili he was my hero RIP

  • @babuuwakitaa1285
    @babuuwakitaa1285 4 ปีที่แล้ว +5

    Safiiii Mzee Wang nakukubaliiii kinyamaaaa

  • @emmanuelbembe6202
    @emmanuelbembe6202 4 ปีที่แล้ว +7

    Katika wakuu wa mikoa ambao huwa na furahishwa na kazi zake ni huyu wa tabora kiukweli anapiga kazi vizuri sana

  • @adrianmallyakibona.352
    @adrianmallyakibona.352 4 ปีที่แล้ว +5

    Aggry Mwandry, ni mfano wa viongozi shupavu wanajua Kucheza na opportunities. Kiukweli raisi amefanya kazi kubwa na mkuu wa mkoa huyu ni mfano wa kuigwa Kwa kweli... Hongereni Sana viongozi wa nchi

  • @elijahgichumbi9971
    @elijahgichumbi9971 ปีที่แล้ว +20

    East Africa will never have a President like this. Whoever instigated Rais. John Pombe Magufuli's death, his or he's 10 generations will only see trouble. Rest well my hero

    • @MrHersun
      @MrHersun 10 หลายเดือนก่อน

      Covid killed him for his obtuseness

  • @dionizcyprian7045
    @dionizcyprian7045 3 ปีที่แล้ว +30

    The best speech I never heard

  • @jaxboytv7834
    @jaxboytv7834 4 ปีที่แล้ว +72

    TORONTO'S PEOPLE MPO...🔥🔥😂😂

    • @lucytitus9245
      @lucytitus9245 4 ปีที่แล้ว

      JaxBoy TV safi sana mkuu

    • @MosonVevo
      @MosonVevo 4 ปีที่แล้ว

      😂😂 tupo brother

  • @elvisnzovu8282
    @elvisnzovu8282 2 ปีที่แล้ว +12

    Absolutely true,! He did a great job in Tabora .

    • @ambelejames1862
      @ambelejames1862 2 ปีที่แล้ว

      RC huyu nilikuw namuelewaga sana hata cjui wamempeleka wap

  • @lazaromasimami9094
    @lazaromasimami9094 3 ปีที่แล้ว +23

    Wangap wanangalia had sasa video hii tujuane

  • @teamruto7806
    @teamruto7806 4 ปีที่แล้ว +25

    This guy is just so smart. 🇰🇪

  • @tuonhfhgf1605
    @tuonhfhgf1605 4 ปีที่แล้ว +45

    Yaan Mzee Unaongea Kama Unatafuna Halua Tamu Isiyokwisha utamu

    • @otmarykiowi4132
      @otmarykiowi4132 4 ปีที่แล้ว +2

      Atafanyaje sasa wakati MC kamwambianana dakika 3

    • @irenerodrick3006
      @irenerodrick3006 4 ปีที่แล้ว

      @@otmarykiowi4132 hahahahhaaaaaa

    • @robbsonmosha7557
      @robbsonmosha7557 4 ปีที่แล้ว

      Daaah kwa kweli @Otmary

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 ปีที่แล้ว +8

    Rais Mama Samia mpe huyu jamaa Mkoa mmoja tufurahi.

  • @masoudrashid6180
    @masoudrashid6180 4 ปีที่แล้ว +6

    Nakuheshimu sana mzee upo vizur sana

  • @samsonsamson1152
    @samsonsamson1152 4 ปีที่แล้ว +172

    upele umempata mkunaji....nahamia torontooo

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 4 ปีที่แล้ว +10

    😂Nampenda sana huyu Mzee wa Toronto huwaga ananifuraisha mpaka natokwa na machozi ya furaha, Good job Mzee Mwanri

  • @abdulrahmanmuhamad6927
    @abdulrahmanmuhamad6927 4 ปีที่แล้ว +24

    Nampenda sana huyu mzee

  • @johnmanda3210
    @johnmanda3210 4 ปีที่แล้ว +85

    huyu jamaa atahusika kwenye kampeini kumsaidia mkuu... yuko vizur xn wana tbr tusiame

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 ปีที่แล้ว +1

      nahamia Toronto...lol

    • @mussabuhe1832
      @mussabuhe1832 4 ปีที่แล้ว

      Jamani morogoro lini mamikoa yote naona kama mamizigotu sijuikunaninitu jamani

    • @alexngao4605
      @alexngao4605 4 ปีที่แล้ว

      Nkbl

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 4 ปีที่แล้ว +7

    Hahahaha umetisha mzee wa Toronto huwa nakukubali sana.

  • @pauljpaul6625
    @pauljpaul6625 3 ปีที่แล้ว +4

    Mzee wangu Mungu akuweke sanaaa

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 ปีที่แล้ว +38

    JMP flesh air of Tanzanian politics....mpaka raha...

  • @gibsonndegwa6325
    @gibsonndegwa6325 4 ปีที่แล้ว +3

    Tanzania you have a real visionary leader.The real sukuma ndani

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 3 ปีที่แล้ว +7

    😂😂😂😂 mwanri sijui anakuaga amepata mvinyo kidogo manake anafurahisha. R.I.P mkuu Magufuli

  • @cruzzymsomalitm7676
    @cruzzymsomalitm7676 4 ปีที่แล้ว +7

    *dah uyu jamaa ni noma anaongea faster kama kameza wasafi studio*🔥🔥🔥🔥🔥

    • @vitalsymon454
      @vitalsymon454 4 ปีที่แล้ว +1

      Cruzzy MsomaliTM SIHA tunakusubiria mbuge wetu

  • @amosmwita4111
    @amosmwita4111 4 ปีที่แล้ว +2

    Namupendaaaa Sana ningependaaa au mkuu wangu wa mkowaa wangu yuko vizurii Sana duuhuu h

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 4 ปีที่แล้ว +10

    Hongera sana Mhe RC tabora uko vizuri wewe ni shujaaa hata prezident anakujua kuwa wewe ni shujaa tunaiombea kila raheli Toroto

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe9520 4 ปีที่แล้ว +25

    Heheheeee!! Kama umemwelewa mkuu wa mkoa wa taboraa kama mimi gonga like🤣🤣🤣

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 ปีที่แล้ว +5

    Mzeeee was sukuma ndani😄😄😄😄😄😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥💥💥💥kura yangu nakupa bure kabisa. Unapiga kazi sana.

  • @issazakaria9704
    @issazakaria9704 4 ปีที่แล้ว +21

    Huyu jamaa ni shida anaongea fluently kama mchina

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 4 ปีที่แล้ว +81

    MZEE WA SUKUMA NDANI OYEEEEEEE

  • @EvelyneChacha9
    @EvelyneChacha9 3 ปีที่แล้ว +4

    Vizuri😍😍nimependa sana
    Magufuli simama😭

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini6254 4 ปีที่แล้ว +10

    Upo vzr ktk kuwasilisha mzee

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 2 ปีที่แล้ว +18

    This guy is an eloquent and gifted orator!

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 4 ปีที่แล้ว +2

    Dahaaaa nampenda sana Mzee wa torontooo

  • @awenanassor3169
    @awenanassor3169 4 ปีที่แล้ว +76

    Hiyo speed ya kuongea utafkiri umesetiwaa au ulipita studio nini? Endeleaaa kusuquma ndani wahalifu

  • @petermwalongo9848
    @petermwalongo9848 2 ปีที่แล้ว +14

    Live long Mzee wa Toronto!

  • @raageabdi3123
    @raageabdi3123 ปีที่แล้ว +3

    Much love from Kenya 🇰🇪 ❤

  • @isayachisanza7748
    @isayachisanza7748 4 ปีที่แล้ว +11

    mungu anakuona Mzee wa sukuma ndani

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 10 หลายเดือนก่อน +3

    Itifaki imezingatiwa. Protocols observed 🇰🇪

  • @marrywilliam3987
    @marrywilliam3987 4 ปีที่แล้ว +6

    Woyoooo Jaman karibuni sana Torontooo, nakupenda bure Agrey

    • @paulina.kivuyo166
      @paulina.kivuyo166 4 ปีที่แล้ว

      Nakupongeza sana mwanri kanyaga mafuta hivyo hivyo .

  • @JoshuaMasunga
    @JoshuaMasunga 2 ปีที่แล้ว +4

    Dah, Mambo yetu ni bambam🤣🤣 likes nyingi kwa Mzee wa Sukuma ndani tafadhari........

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c 3 หลายเดือนก่อน

    I love you mwandy uko vzr mnooooo Hawa ndiyo viongozi waliotuachia historian bhanaaaa

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 4 ปีที่แล้ว

    Anaesema ni comed apite kulr anatiririka vzr mnoo hongera mzee

  • @thomasmagoti1525
    @thomasmagoti1525 4 ปีที่แล้ว +23

    Mhhhh!!!! Hahaahasss sukuma ndaniiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gitegagitega6543
    @gitegagitega6543 4 ปีที่แล้ว +8

    Sukuma ndani natamani nahuku🇧🇮🇧🇮nione mvi Kama yamzee wa Toronto tabora magufuri wewe nijembe dunia nzima Mimi Ni MURUNDi nikionana nawee face to face nakupa Laki mbili atakama wewe nimweshimiwa kwasababu wewe nijembe dunia nzima 🙏🙏🙏ww Ni number ☝️✔️✔️✔️✔️✔️✔️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊💪👊🏋️🏋️🏆🏆🏆 wabongo mungu awape Nini? 👊👊

  • @bonimwitwa5327
    @bonimwitwa5327 4 ปีที่แล้ว +34

    4 sure rais wetu anastahili sifa jpm is the first among the best.

  • @Mazanhi-G
    @Mazanhi-G 3 ปีที่แล้ว +5

    Hii ndio video ya kwanza kuangalia na kuvutiwa kwa huyu mkuu. Toka hio siku ilibidi nitafute kumjua zaidi. Mtu wa ajabu sana. Namfuatilia sana, watu wa tizedi nawaomba mpeni huyu kiti aongoze nchi.

  • @zakariamkopi3353
    @zakariamkopi3353 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwanza anavyo ongea t ana jiamini na kile anacho kisema nikiongozi wa maana sana huyu mzee ni mchapa kazi hakika

  • @liyanakarzan182
    @liyanakarzan182 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba mungu anijalie mume wa Toronto nikapaone

  • @user-of8gi7uz4o
    @user-of8gi7uz4o หลายเดือนก่อน

    Eeeeeeeemuuuuunguuuu weeeee❤❤❤❤❤❤ kama umeinjoi gonga like

  • @shabanijulius8345
    @shabanijulius8345 4 ปีที่แล้ว +12

    Motherland ❤

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 4 ปีที่แล้ว +6

    Huyu anafaa kuwa mwana Habari wa Ikulu maana anaweza.

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 4 ปีที่แล้ว +42

    Aiseee ardhi inafukuliwa hadi inalia!

    • @nelsonjackson7332
      @nelsonjackson7332 4 ปีที่แล้ว +1

      Sisi wa Toronto tupo swafi. Maisha ni motooo

    • @atikombogolo2356
      @atikombogolo2356 4 ปีที่แล้ว +2

      Hapo imebidi magu acheke tuuu😂😂😂🤣🤣🤣

  • @martinfrancis3709
    @martinfrancis3709 4 ปีที่แล้ว +15

    Mimi nakuombea uwe mhubili wa injili safi sana

  • @janethhamza8316
    @janethhamza8316 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee mungu Akutunze Amina

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 3 ปีที่แล้ว +2

    mwanri kuna kipindi alikuwaga waziri wakati wa maswali bungeni mbunge akimpiga swali kabla hajajibu kwanza anamsimfia mbunge muulza swali kwa swali lake zuri na anavyowatetea watu wake baada ya hapo ndio anamjibu swali lake ana mbinu sana za uongozi

  • @christamazara1266
    @christamazara1266 2 ปีที่แล้ว +3

    Nakukumbuka sn Rais wangu duh pumzika kwa aman.

  • @oparanews5354
    @oparanews5354 4 ปีที่แล้ว +42

    natamani nikutane na magufuli nimuambie amhamishie mwanri hapa dar awe mkuu wa mkoa wa dar

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama5828 9 หลายเดือนก่อน

    One of the best orator very smart

  • @obamachamwino7670
    @obamachamwino7670 4 ปีที่แล้ว +12

    daaah.. uyu jamaa n atareeeee sana.. aya toronto tujuane apo wazee

  • @mohamedsigwa1712
    @mohamedsigwa1712 4 ปีที่แล้ว +6

    Mambo ni bambam mzee magu twende mbele watatukuta huko sha fika

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 4 ปีที่แล้ว +4

    Nimerudi hapa baada ya mkuu huyu kustaafu.Jamani natamani awe mbunge wa ukonga Dar yani huku kumesahaulika.Huyu waitara hata hatujui anafanya nini.

  • @michaelvincentmhagama8674
    @michaelvincentmhagama8674 4 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 3 วันที่ผ่านมา

    Enzi hizo kulikuwa na mbwembwe na vicheko kwenye uongozi Mungu awabariki

  • @costantui9169
    @costantui9169 4 ปีที่แล้ว +4

    Hamna mkuu wa mkoa ninayempenda kama huyo Tanzania nzima

  • @paschalmsizu7674
    @paschalmsizu7674 4 ปีที่แล้ว +11

    Toronto mpya hyo

  • @dianazambi2447
    @dianazambi2447 4 ปีที่แล้ว +5

    Aaaaahhhhaaaaaa mzee wa Toronto nakupenda kwel

  • @ismailmneka2967
    @ismailmneka2967 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah hakika serikali ya magufuli ilichangamka sana

    • @saidantugwa7671
      @saidantugwa7671 2 ปีที่แล้ว

      13hrs ulikuwepo mzee ....dah tunamis ving sana awamu ya 5

  • @iamnormal8648
    @iamnormal8648 ปีที่แล้ว

    Alimpatia sana Magufuli kwa kummwagia matakwimu bila kusoma.
    Mwanri oyeeeeeee!

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 4 ปีที่แล้ว +67

    Hahahaaaaa mwanri km amemeza 8 GB asee

  • @MrManchoso
    @MrManchoso 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwanri umetisha rais mwenyew imebid acheke

  • @omurwasolomon5131
    @omurwasolomon5131 4 ปีที่แล้ว +5

    Am kenyan and am moving to Tanzania..bambam

  • @cecymaro1374
    @cecymaro1374 4 ปีที่แล้ว

    Asee uyu mzee ni wakuigwaa kabisaa simwezii jaman yuko vizurii baba magufuli mpee kitii ichoo baba 🤗🤗🤗😂😂😂😂😂

  • @boniphacebelius1544
    @boniphacebelius1544 4 ปีที่แล้ว +7

    eb ww toa like hapa kwanza 2we sawa