TUSIPOOMBA SANA,MAMBO HAYA YATATUKIA KATIKA SIKUKUU ZA KUFUNGA MWAKA HUU|Unabii wa Malendeja Makashi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ธ.ค. 2023
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Blessed promover tv n mtumish wa MUNGU.kila mtu ageukie njia yake mwenyew
Ee YESUKRISTO karibu kwangu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😊
Amina Amina sana
Tatizo wengi wetu tumekuwa wasikiaji sana wa Neno,na sio watendaji wa Neno la Mungu.
Amen mungu akubarki san mtumishi kwa ujumbe mungu azidi kkupa neema ya kutuonya
Mungu akubariki mtumishi Wa Mungu kwa kutuletea ujumbe kutoka kwa baba yetu, wako wapi waombolezaji waomboleze kwa ajili ya nchi yetu, Yesu uturehrmu sana
■Hakika nami naliona hili. Kanisa li ktk hali mbaya kiroho si kimajengo no. Mungu anakwenda kuipiga dunia. Naliona watu maelfu wakifa. Nalipo jaribu kutubu kwa ajili ya taifa haikukubalika.■HAKIKA IMEKUSUDIWA.😭. Nalisikia sauti hii "HAKIKA WENYE HAKI WANGU WAISHI"
Yesu wangu naomba utuhurumie,asante promover, kwa huduma hii nzito
Asante mtumishi nimeogopa kwa ujumbe huu ni mzito,asante,sio wakati wa kusheza na dunia,Mungu aturehemu ,Kila sikio lisikie Neno ambalo Roho aliambia kanisa
🙏Yesu aturehemu sisi na watoto wetu.hakuna msada mwingine isipokuwa Bwana wetu Yesu kristo.barikiwa mtumishi❤💐
Tuombe Neema Ya BWANA kwa kweli
Kuna wakati moyo wa mwanadamu hauwezi kutubu toba anayoitaka Mungu. Uwezo wa kutubu yaani kugeuka na kuacha njia mbaya uko mikononi mwa Mungu ,ndio huo mlango wa neema anaouzungumzia huyo mtumishi kuwa unafungwa. Unajikuta tu hauwezi kuiacha dhambi yako hata kama unaijua ni dhambi, unasikitika, unajililia lakini huwezi kuiacha mpaka hukumu ya Mungu inakukuta katika hali hiyo. Mlango wa neema haufungwi mtu anapokufa unaweza kufungwa hata ukiwa hai.
Mbona umezungumza jambo gumu sana jamaa
Haueleweke hata kidogo.
Very true ulichokisema🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ni kweli Ee Mungu wangu
Upo sahihi, Ila cyo kwa mwanaadamu aliye tokana na asili ya adamu.
Siku hizi manabii wauongo wanakunywa bangi mingi sana
Asante Bwana Yesu kwa zawadi pekee ya ujumbe huu,barikiwa mtumishi
Asante kwa ujumbe mtumishi
Mungu akufunulie zaidi.Amen
Amina mtumishi wa BWANA mungu atuokeoe na ghadhabu yake
Amina
Amena kubwa MUNGU akubariki mtumishi
AMINA.
Ubarikiwe mnooo nmekuelewa sana
Amen
Ubarikiwe sana Mtu wa MUNGU
Mungu uturehemu Bwana
This is powerful
Ubarikiwe sana 😊
Amen amen 😢
Ooh God have mercy on us 🙏🙏
We umechelewa kutuambia miezi 12 imeisha
Oh tunakuomba BABA 😢
Ujumbe mgum kwa ajil ya kanisa lkn ni lazima lisikie😊
Amina mbarikiwe sana🙏
Amen Amen
Hakika huu ni wakati wa kurudia kwa MUNGU kwa toba ili atusemehe
Mtumishi tufanye nini ili turudi kwenye imani.
Yuko pamoja🙏🙏🙏
EeeYesu nisaidie unapo,Rudi uniokoe
Mtumishi wa Mungu naomba namba nataka kutubu
Namba ya MTUMISHI MALENDEJA MAKASHI 0683373997
Amina