Pt1_USHUHUDA WA PST.ALICE WA KENYA ALIYEKUWA AKITUMIKA KATIKA KANISA LA MCHUNGAJI MCHAWI NAIROBI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Kenya imeanza kukombolewa Ameeen 🇰🇪
Ninyi mnajitoaga ufaham tu ila kenya yenu iko na kristo sana kuliko Tanzania 🇹🇿
Kenya for JESUS 🎤
Pole dada yangu Mungu akuponye moyo wako tena umsamehe.Roho Mtakatifu akusaidie kabisa
Ushuhuda mzuri sana
Blessed YESU ufanya njia paspo na njiaa.😢atakupa kicheko zaid ya ulivyo lia ..❤Amin YESU mtetezi yu hai
Jactan Barikiwa
Amen
Pole mtumishi wa Mungu
Part 2 nangoja Sana
Mbarikiwe sana
Tafadhali tuletee part 2
Isaya 55:8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
Jamani yesu yupo na yuu upesi kuja😢Jamani tutubu maisha haya nimafupi😢kuzimu ipo nanihalisi hv been there I know
Amen
God is going to expose all false prophets,i pray revival for kenya.🙏
Amen❤❤
Amen
Ubarikiwe sana
Jehanam hamna watu kwa sasa watu wapo kuzimu.
Embu my home town barikiwa sana
Nabarikiwa nikiwa Dubai
MUNGU akulinde na akutumikie kutuokoa na sisi🙏
Mungu akikuchaguwa Nani atapinga
Mwanamke anakuwaje pastor mbn biblia imekataza
Umesahu.kuwa kwa Mungu sis wote ni wanawake au hujui ilo mme ni kristo YESU ATAYEKUJA KUWACHUKUA MAALUSI WAKE
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kenya Wanawake wengi ni Wachungaji,Sijui ni hatari sijui ni Vizuri duuh
Mungu atuonekanie Kwa kweli maana sisi hapa Kenya hajui kama ni kosa ama sio
Endleeni kuomba NEEMA ya KRISTO..izidi kuwa kubwaaa mpewe macho ya Rohon piyaa❤.love you kenya
Mwanamke anyamaze katika kanisa....imekuaje wewe kua pastor nani alikupa kibali inabidi usaidiwe madiko soma 1WAKORINTHO 14:34-36 soma TITO 1:6-7-8 Soma 1TIMOTHEO 3:10-12
Jamani Mmuite Yesu aje awasemeshe katika Hilo
msimpangie mungu bhna uyu nimtumishi wa mungu acheni kuhukumu watu hukumu niya mungu
Shida hapo😂
Uwezi elewa bro nivile ujachaguliwa kwamaono yy anajua alichokutana nacho yesu akikubali ww nani upinge binadamu watu wa ajabu sana
@@issachege5606MUNGU ajipigi yeye ni neno
Wewe bwana sio mkweli wakati ukiwepo safi ukitoka unaanza kuchafua watumishi mwisho wenu utakuwa mbaya sana
Mukeni mngu anaponya
Uko Nairobi sehem gani
MUNGU ALIYE MFARIJI WA WANYONGE AKUFARIJI MOYO WAKO UPATE FARAJA YA KWELI
Kwahiyo part 2 ndo had mrud Kenya woiii jmn 😢😅
Imagine
Ndiyo jamani tuvumilie tu
Ameolewa lin? Hajaelzea
Hakuna hanky yakupanguza machozi
Heee
pole sana
@@trophywilson7211 pole sana
Amen Amen
Amen 🙏🙏🙏