Part5_Mapepo katika fomu ya kibinadamu,hawa waigizaji nao wamo|USHUHUDA WA RACHEL&ZIPPORAH MUSHALA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Kwa hilo ni kweli,,,, hata wale wanaobadili jinsia wengi wao ni mapepo yanafanya hayo ili tuone ni jambo la kawaida, Bwana Yesu atuokoe
Huu ni ukweli Jaman! Mtu yeyote Asiupuuzie
Namuamini MWENYEZI MUNGU katika hili ataendelea kutulinda,yeye ni zaidi ya mlinzi kwetu...WE LOVE YOU OUR FAITHFUL GOD THANKS FOR REMINDING US...
Mwenyezi
Mungu atukumbuke na awajalie zaidi maono kwa ni mwaminifu hatowaacha kamwe!!!
asante sana Mungu naomba umbariki sana mtumishi wako jacktani kwa kutuletea ujumbe wako mtakatifu
Waah,jameni bila kuongozwa na Roho Mtakatifu na kuishi kwa Maombi ya kila dakika hatutaweza haya Maisha,Mtumishi wa Mungu barikiwa sana,inuliwa kwa viwango vya juu
Kusikia hizi shuhuda ni Neema ya Mungu tu.
MUNGU akubariki sana
I’m following following the testimony while in Cairo as a Kenyan 🇰🇪🇰🇪 jactan God will pay you too for educating us
May the lord be my strength
Amen
679
promo ver
Tv
AMEEEN AND AMEEEN
We YESU niepushe na marafiki mapepo ya kujigeuza binadamu
Nabarikiwa sana na shuhuda hizi, Mungu aendelee kuwatumia zaidi
Kweli inabidi tupige injili ya YESU KRISTO bila kuchoka , BWANA YESU KRISTO anatupenda tumejua siri hii,
Hii ni hatari Yesu uniokoe tembea nami na kizazi changu bwana wangu nilizipenda sana hizi filam za Nigeria nakili kuacha
Mungu Baba naomba rehema yako katika maisha yetu utupe macho na maskio ya rohoni tupate kuelewa kuwa ni Yesu tu ndiyo njia ya uzima wa milele
Hii itakuwa kweli kulingana na kitabu cha Danieli 2 _43 watajichanganya nafsi zao na binadamu lakini hawatachanganyikana kama udongo usivyo chakanyikana na chuma
Amen Yesu naomba unipe macho na masikio ya rohoni tuone na kuepuka usio penda
Inatisha sana ila Bwana Yesu ni ngao yetu.
Mungu atusaidie pia atupe macho ya rohoni na masikio tuweze kuepukana na uongo wa shetani
Ameen still following 'may God help us 🙏🇰🇪
yesu utusaidiyee kweli bila WEWE hatuwezi kitu.nanjoomana muvi nyingi za Nigeria zinakuwa zakichawi😭😭😭
YESU ni Mwema. anayafunua haya ili tusipotee. Hizi habari hata Moses Kulola alizihubiri .
Jacktan naomba YESU akulinde uendelee kufanya injilii hii.
Amen
Tuwe making ktk kuomba Hawa n wengi kuliko binadamu halis tuombeane kanisa
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, naona sisi tuna Neema kufunuliwa hivi vitu, Mungu atunusuru kwasababu dunia kweli inatisha damu ya Yesu itufunike kila mahali tutajikuta
Nimeshangaa hao waigizaji wa Nigeria! Patient ana kanisa pia na watu wanahudhuria wengi tu! Ahsante Yesu kwa mafunuo haya ya kushangaza!! Mungu akubariki sana Jacktan.
Nilipenda saana filamu za patient but since my turning point roho yangu ilikataa kabisaa ku watch Tena hixo filamu
Leo ndio nimejua kwa nini asante sana jktn
@@kithia100 hata mimi
@@kithia100 Hata mimi! Pia ilitokea tu nikawa siangalii kbs movie zote za ki-Nigeria. Namshukuru Roho Mtakatifu kwa kunizuia; kumbe wahusika wenyewe ndo hao!!
Amen
Mwenyezi Mungu tunusuru na hii falme ya ngiza/mapepo 😭😭😭😭😭
MUBARIKIWE WATUMISHI WA BWANA WETU YESU KRISTO.
Amen
Duh yesu wangu🙏
Barikiwa sana mtumishi unanifungua ufahamu wangu kupitia maona aya
Mungu tusaidie
Ee Mungu tunaomba utusaidie
Following n learning alot from🇰🇪
Amina
Asante kwa ushuhuda ili tutengeneze maisha yetu kwa Bwana hakika Jacktan Mungu akubariki
Leaning alot brother be blessed more grace and wisdom and protection of God Almighty in Jesus might name Amen
Yesuuuu😭😭😭
Amina mtu wa mungu tupo pamoja
Duh ulikua unasubiri kama Mimi🤣🤣
amen asante jacktan
Asante Mtumishi kwa huu ufunuo, Mwenyezi Mungu turehemu.
Mungu wangu!
Mungu tutie nguvu maana wengi tunapotea bila ufahamu
Exactly
Amen
Karibu I Hadi vijijini jamani haswa sumbawanga ubarkiwe
Mungu mwema Amina🙏❤️
Asante sana Mtumishi wa Mungu !! Nakubali .. Mungu lionyesha Obama and family ya George Washington Bush... J
BWANA YESU tusaidie, utuponye tunaitaji msaada wako bila wewe hatuwezi kushinda, tusaidie BWANA tupe macho ya kiroho.
Hii ya mapepo kuwa katika mwonekano wa kibinadamu ni kweli tupu nilisikiluza ushuhuda wa binti kutoka kahama alioneshwa Duniani na aliona mfano wa watu na Yesu akamwambia hayo ni mapepo,lakini neema ya kristo inatutosha
Barikiwe mtumishii
Maajabu dunian hayataisha
Mungu wangu ni saidie 😭😭😭
Roho yangu haikatai kuangalia filamu nyingi za Nigeria. Lakini roho yangu haiwezi kuniruhusu nitazame filamu za Amerikani. Naamini hollywood ndo za kishetani zaidi. Hao watu wa maono pia hudanganya saa zingine. Tuombe ili Mungu atufunulie yeye mwenyewe na tusome Biblia. Tusidanganywe.
Hakuna movie mzur movie ni za Shetan Wal haijalishi unatoka nchi Kam haimpi Mungu utukufu wowote bas inamtukuza Shetan vipnd ivi acha ndugu ni vya mapepo kuwa makin n runinga yako
Without Jesus,we're nothing and we're finished.
Lord Jesus Christ,help us.
Eee mungu nipena mimi ufunuo huu na mimi nijionee
Duuuu,aiseee sasa hawa waigizaji,,,,,NIMECHOKA NA HII DUNIA.SASA TUTAJUAJE JAMANIII,TUNAHITAJI NEEMA YAKO KRISTU....
Jactan msafiri
Ushuhuda huu ingekuwa movie
What! Yesu Christo nisaidie
Ubarikiwe kutuletea haya ili tusiangamie
MUNGU NIMWEMA Atusaidye SANA jamaniii heeeeee
😭😭😭😭
Oh my God this is shocking🤭
Duh
Yethuu
Yesu sio Yethu
MUNGU tusaidie uwii
Jactan ubarikiwe najifunza mengi tuletee mwendelezo
Amen
Cant believe any of this
Why
Mi nigependa kuuliza hapa kama MTU kaona ama kuolewa na Pepo akingundua na akakuta alishafunga nae ndoa anapaswa kumwacha ama achukue hatua gani? Maana viongozi watu wa makanisa kama hawako kiroho utawaelezaje ili watengue ndoa hiyo ya Pepo?
Unauliza Au UNACHANGAMOTO ilee
Hii ni changamoto kubwa sana YESU KRISTO atusaidie ikiwa umefunga ndoa na pepo ufanyeje na kama umepata watoto hao watoto wanakuwa watu au mapepo..?
Jactan naomba utujibu hili swali
Lakini Niko na swali mbona wwako wawili kwani ilikuaje wake da wote mbinguni Kwa wakati mmoja ama iko vipi??
Nimeshindwa kuelewa
Sikiliza kuanzia Part 1 utaelewa
Aseh kumechafuka
Ng
Hata KLiSTNA SHUSHO ndo walewale mavazi namapambo halafu anakanisa huwa simuelewi anafanana na hao
Sasa Kuwa Macho Sana
Uwiii Yethuu tuokoe
Mbona unatumia yethuu
Au na wew ni pepo mfano wa kibinadamu? Kwa nn una badili jina la YESU?
Mungu tusaidie