Kwahiyo we unajuwa dini kuliko mtume yani kuna mijitu ndani ya huu uislamu inapingana na allah inapingana na mtume arafu wanasema tumemuamini Allah tumemuamini mtume huku mukadhabu kina abu lahabi wa zama hizi kujitia unajuwa dini kuliko mtume alotikisa kidole katika swala mtume sasa ww nani unae kadhibisha sunnah ya mtume hujui kumpinga mtume ni sera za makafiri au na ww unataka kuwaiga wao walokufuru??
Angalia sherehe ya suunan abii Daud
Hadithi hiyo ni maudhu tena shazaa angalia mstwalai
Dah mmh eti لهي اشد ضربة الى الشيطان من الحديد
Maudhuu kwa hivyo ni uongo
Kutikisa kidole kwenye swala haifai hadithi ya kutikisa mnikarn
Kwahiyo we unajuwa dini kuliko mtume yani kuna mijitu ndani ya huu uislamu inapingana na allah inapingana na mtume arafu wanasema tumemuamini Allah tumemuamini mtume huku mukadhabu kina abu lahabi wa zama hizi kujitia unajuwa dini kuliko mtume alotikisa kidole katika swala mtume sasa ww nani unae kadhibisha sunnah ya mtume hujui kumpinga mtume ni sera za makafiri au na ww unataka kuwaiga wao walokufuru??
Mwongo wewe