Ukilala hujikuni ?? Hujambi hupumui hukoromi ?? Hujaskia mtu akisema anakuskia kwa mbali na alikuwa kalala hujaskia watu wakiongea usingizini hujaskia watu wakitenda huku wa melala ?? Ukisema vitu kaa ufkirie !! Unashangaa kulala watu wakiwa wamekufa wanaskia na wanasema lkn sisi hatuwaskii kaa kitako usome sio unakaa barazani kuangalia mambo yaso mana
Sayansi inatoka ndani ya Qur'an sababu Sayansi ni watu Qur'an ni maneno Ya Muumba Muumba wa hy sayansi na hao wanasayansi Au sayansi ni kubwa kuliko Mungu kwa mtazamo wako eee
Mbona wanasayansi wengi sio Waislamu. Gari,ndege,simu za kiganja,wa kwanza kufika mwezini,kunzisha shule,wasoi wengi,Sayansi ipo kabla ya Uislamu.00.570 ndipo unatokea Uislamu, Karine 6 Watu waliuishi vipi bila sayansi. * Nitajie Wanasansi 10 wenye Historia ya kipekee waliogundua vitu hapa dunian* Mfumo wa Ukristo shule ya kutosha kwanza ndipo ije Imani,Imani bila elimu mapungufu yatajitokeza tu
Sasa kitabu ni chenu na sayansi imo humo sasa mnashindwaje kuitumia waarabu wanapesa kutumia hiyo sayansi kuchimba na kuyatoa mafuta hamuwezi hatari sn
Suala la waarabu kutumia Sayans na kuchimba mafuta hilo ni jambo lingine muhim Qur-an imesha yaeleza yote ya kisayans pia kumbuka mwenyez Mungu hutoa neema tofaut kwa kila aina ya waja wake hvo basi waarabu wamejaaliwa rasili mali ya mafuta na wazungu wamejaaliwa kutengeneza mitambo n.k.
Mayahud mitume yao ni waislam unajua kama uislam ndio dini ya mwanzo Adam alikuwa Muislam hata Nabii Ibrahim alikuwa Muislam Kaa chini usome ipo siku utanishkuru baada ya kusoma
@@erickmichaelmugele2107 Naona ulikuwa unahukumu kitu husichokuwa na Ujuzi nacho,kwa kukusaidia tu nakupa maelezo labda haujui ndiyo maana unacoment vitu havieleweki- *Dini tulioumbiwa wanadamu wote ni Uislamu na Muislamu wa kwanza duniani ni Mtume ADAMU na Mitime wote walikuwa Waislamu. *Uislamu huko wazi kwa ajili ya yeyote mwenye kumuamini Mungu mmoja na Mitume wake bila shaka atachagua Dini ya Uislamu. *Utajiri wa mali ulio nao,Elimu ulio nayo,Vitu ulivyovitengeneza hapa Duniani,Watoto wazuri ulio nao au Ukoo maarufu ulio nao hapa duniani;hivi vyote ni chembe ndogo sana kwa Mwenyezi Mungu kama haufati Misingi yake pamoja na Sheria zake ww,mm au Na Yule Tutakuwa ni watu wenye kupata hasara,aimanishi kwamba Wewe kwa kuwa unao ujuzi wa kubuni ndege,magari,madawa au chochote haimanishi tayari umeingia peponi,Maarifa yote tulio nayo wanadamu ni Ya Mwenyezi Mungu kwahiyo tunatakiwa kumnyenyekea yeye kwa kumuomba ktk njia zake alizotuweke na Mtu ambaye ni Bora kwake Mwenyezi Mungu ni yule anayepita ktk Sheria zake. *Quruani ni kitabu katika muendelezo hule hule wa vitabu vya Waislamu vya kale kama Sufii ya Mtume Ibrahimu,Taurati ya Mtume Mussa,Zaburi ya Mtume Dawd na Injili ya Mtume Issa,hivi vitabu vinne vilitumwa katika Taifa la Israel na Quruani imeletwa katika Karne ya 7 ili iwe ndiyo Katiba na muongozo ya Ulimwengu w
Usiwe mwepesi kuendeshwa na mihemko Kaka , mambo ya kisayans yamevumbuliwa miaka ya karbuni lakin Quran imezungumzia masuala hyo tangia Karne ya 7 Sasa unaanzaj kusema nikitabu Cha kipuuz , muongope Mungu wako bro. Wakat mwngne n vyema kukaa kimya
Kabhika akili yako imeishia hapo Qur-an ni KITABU ambacho kiko mbele ya wakati ndio maana kimeeleza mambo yaliyo pita na yajayo toka Karne ya 7 ambayo wana Sayans yamewasumbua kwa muda mrefu bila kupata ufumbuzi wakirudi kwenye Aya za Qur-an wanakuta yamesha elezwa toka zamani hivo mwenyez Mungu anatuonyesha kuwa KITABU hiki kimetoka kwake na mtume Muhammad ni mtume wa mwenyez Mungu kwakuwa alikuwa hajui kusoma na kuandika habari hizi kazipata wapi wakati alikua hajui kusoma wala kuandika sio jambo la kawaida kwa mtu kama huyu aeleze mambo makubwa kama haya wenye akili wanatafakari wanapata majibu KITABU hiki ni cha mwenyez Mungu. Wewe Kabhika huna akili ya kutafakari ndio maana una comment ujinga.
Kuna wajibu kuwa peleka watoto wakazame ktk elimu ili tuwe na majibu kwa allah asante sheikh
Sio wtt sisi tuanze ndio watt wasome kaka
ww ni sheikh kweli jazaka llah kheir
MASHAALLAH
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Alhamdulillah kwa kuzaliwa muislam
Ma shaa allah
Hazina kubwa sana kwa manufaa ya uislam kuwa na mashekhe mfano huu
Mashaallah
Tabaraka Allah khery
Mashallah Allah 💕
Jazakallahu Khair.. kiukweli unasababisha Imani zipande
Maashallaa Mungu akuzidishie ulipopungukiwa
Assalamu alaykumu warahamatullahi wabarakatu mashaallah uko shekh mzuri
Alhamdulillah kwa elimu kubwa.Allah akuhifadh shekh wetu
shukran sheikh
MaashaAllah....
Waalaykum salaam warahmatullah taalawabarakatuh
Jazzakumllah Khery
Amini amini amini amini amini amini yaarabi aramin
Nilicho jifunza nikwamba tusitukanane shkh kazama hayandio mambo tunayo yataka
AllahuMubdiu
Pua masaa 24 kupumua ata ukilala ila viungo vingine vyote vinakuwa vinafanya kazi kwa uwezo mdogo sana.iyo sayansi NO
Ukilala hujikuni ?? Hujambi hupumui hukoromi ?? Hujaskia mtu akisema anakuskia kwa mbali na alikuwa kalala hujaskia watu wakiongea usingizini hujaskia watu wakitenda huku wa melala ?? Ukisema vitu kaa ufkirie !! Unashangaa kulala watu wakiwa wamekufa wanaskia na wanasema lkn sisi hatuwaskii kaa kitako usome sio unakaa barazani kuangalia mambo yaso mana
👋
Subhanawah
Mashaallah .
Sayansi haiwezi kuoiga Imani. Hakuna Imani yeyote iliyowahi kulishinda sayansi
We mgonjwa
Sayansi inatoka ndani ya Qur'an sababu Sayansi ni watu Qur'an ni maneno Ya Muumba
Muumba wa hy sayansi na hao wanasayansi
Au sayansi ni kubwa kuliko Mungu kwa mtazamo wako eee
Mbona wanasayansi wengi sio Waislamu.
Gari,ndege,simu za kiganja,wa kwanza kufika mwezini,kunzisha shule,wasoi wengi,Sayansi ipo kabla ya Uislamu.00.570 ndipo unatokea Uislamu, Karine 6 Watu waliuishi vipi bila sayansi.
* Nitajie Wanasansi 10 wenye Historia ya kipekee waliogundua vitu hapa dunian*
Mfumo wa Ukristo shule ya kutosha kwanza ndipo ije Imani,Imani bila elimu mapungufu yatajitokeza tu
Hii ni hazina kubwa. Video zake tunazipataje tuzidi kustafidi?
QURAN ni muujiza mkubwa.
Kwahakika ww malipoyako nipeponi kwani unatunza sana waislamu
Mmmh hii sayansi MBN uwongo ,mmh labda asiyesoma ndo atakubali ,eti kitu cha kwanza tumboni kuumbwa ni sikio
Unabisha nn sasa ,njoo na hoja
Nyie si ndio walewale wanaobisha mnasema hakuna adhabu kaburini ukifa umekufa mfano ukafa leo ukakutana na adhabu utafanyaje ? Karibu ktk uislam
Mzee wa vina vya aaaaaa.....aaaaaa.....aaaaa
Unaleta mzaha dunia mapito usisahau katika zambi kubwa moja nikuabudu asiekuwa mungu
@@abdulndete8969 ,we kwendaaa hizi ni analogy tu...
Kila mtu atumua njia zake kujenga ushawishi...Porojo porojo nyiiingi
@@erickmichaelmugele2107 Elimu yako ndogo .... just why!!!
Sasa kitabu ni chenu na sayansi imo humo sasa mnashindwaje kuitumia waarabu wanapesa kutumia hiyo sayansi kuchimba na kuyatoa mafuta hamuwezi hatari sn
😂😂😂😂😂😂
Mbona mtanzania wewe una rasilimali na huwezi kuzitumia Wala kuzifaidi huna hiyo jeuri
Ilo sikubwa zaidi kumcha mwenyez mungu ucje ukafocus kweny vitu vidogo
Suala la waarabu kutumia Sayans na kuchimba mafuta hilo ni jambo lingine muhim Qur-an imesha yaeleza yote ya kisayans pia kumbuka mwenyez Mungu hutoa neema tofaut kwa kila aina ya waja wake hvo basi waarabu wamejaaliwa rasili mali ya mafuta na wazungu wamejaaliwa kutengeneza mitambo n.k.
Kitabu sio cha waarabu ni kitabu cha Allah Mungu
Na Mungu ni wa watu wote
Angalia Elimu ilipo anzia utanielewa
Hivi ni kweli mtume alioa binti wa miaka 6?
Ni kweli alioa,vipi unasemaje?
Hata km ni kwel hilo haliwezi kuwa kipimo cha kujuwa kuwa yy ni mtume wa kwel au sio wa kwel
Hata bibi Yako aliolewa na miaka SITA, ...hujui.?
Wayahudi ni watu waliostaarabika kabla uislam haujakuwepo,
Mayahud mitume yao ni waislam unajua kama uislam ndio dini ya mwanzo Adam alikuwa Muislam hata Nabii Ibrahim alikuwa Muislam
Kaa chini usome ipo siku utanishkuru baada ya kusoma
Mmh mtu akilala ni pua ndo inafanya kazi sio sikio huo uwongo mwingine
Hayo ni maoni yako usitake kila mtu aamimi unachoamini wew
Soma soma soma tena kaa kitako usome ipo siku utanishkuru
Mmepewa maandishi wenzune wakawekewa kwenye Akili...hahahaha
Wewe umewekewa nini?
@@ramadhanilukambuzi9760 ,tuwaulize nyinyi wajuaji na mnajiona ndio mnastahili kila kitu na mmepewa kila kitu....
@@erickmichaelmugele2107 Kwa andiko gani linathibitisha maneno yako hayo?
@@erickmichaelmugele2107 Kwahiyo huna andiko linalokupa haki ya Mungu juu ya maneno yako?
@@erickmichaelmugele2107 Naona ulikuwa unahukumu kitu husichokuwa na Ujuzi nacho,kwa kukusaidia tu nakupa maelezo labda haujui ndiyo maana unacoment vitu havieleweki-
*Dini tulioumbiwa wanadamu wote ni Uislamu na Muislamu wa kwanza duniani ni Mtume ADAMU na Mitime wote walikuwa Waislamu.
*Uislamu huko wazi kwa ajili ya yeyote mwenye kumuamini Mungu mmoja na Mitume wake bila shaka atachagua Dini ya Uislamu.
*Utajiri wa mali ulio nao,Elimu ulio nayo,Vitu ulivyovitengeneza hapa Duniani,Watoto wazuri ulio nao au Ukoo maarufu ulio nao hapa duniani;hivi vyote ni chembe ndogo sana kwa Mwenyezi Mungu kama haufati Misingi yake pamoja na Sheria zake ww,mm au Na Yule Tutakuwa ni watu wenye kupata hasara,aimanishi kwamba Wewe kwa kuwa unao ujuzi wa kubuni ndege,magari,madawa au chochote haimanishi tayari umeingia peponi,Maarifa yote tulio nayo wanadamu ni Ya Mwenyezi Mungu kwahiyo tunatakiwa kumnyenyekea yeye kwa kumuomba ktk njia zake alizotuweke na Mtu ambaye ni Bora kwake Mwenyezi Mungu ni yule anayepita ktk Sheria zake.
*Quruani ni kitabu katika muendelezo hule hule wa vitabu vya Waislamu vya kale kama Sufii ya Mtume Ibrahimu,Taurati ya Mtume Mussa,Zaburi ya Mtume Dawd na Injili ya Mtume Issa,hivi vitabu vinne vilitumwa katika Taifa la Israel na Quruani imeletwa katika Karne ya 7 ili iwe ndiyo Katiba na muongozo ya Ulimwengu w
Hahahaha. Sasa mbona nyie ni dhaifu sana katika sayansi?. Acheni upambe nyie Quran ni kitabu Cha kipuuzi sana hakuna sayansi mle Acheni ujinga
Huijui Quran ndo maana unaongea vitu usivovijua ...hatari sana...pole Yako lakin
Cheka Leo ipo siku utalia
Usiwe mwepesi kuendeshwa na mihemko Kaka , mambo ya kisayans yamevumbuliwa miaka ya karbuni lakin Quran imezungumzia masuala hyo tangia Karne ya 7 Sasa unaanzaj kusema nikitabu Cha kipuuz , muongope Mungu wako bro. Wakat mwngne n vyema kukaa kimya
we ndo mjinga.... Quran sio kitabu cha sayansi (science) bali ni kitabu cha dalili(signs)
Kabhika akili yako imeishia hapo Qur-an ni KITABU ambacho kiko mbele ya wakati ndio maana kimeeleza mambo yaliyo pita na yajayo toka Karne ya 7 ambayo wana Sayans yamewasumbua kwa muda mrefu bila kupata ufumbuzi wakirudi kwenye Aya za Qur-an wanakuta yamesha elezwa toka zamani hivo mwenyez Mungu anatuonyesha kuwa KITABU hiki kimetoka kwake na mtume Muhammad ni mtume wa mwenyez Mungu kwakuwa alikuwa hajui kusoma na kuandika habari hizi kazipata wapi wakati alikua hajui kusoma wala kuandika sio jambo la kawaida kwa mtu kama huyu aeleze mambo makubwa kama haya wenye akili wanatafakari wanapata majibu KITABU hiki ni cha mwenyez Mungu. Wewe Kabhika huna akili ya kutafakari ndio maana una comment ujinga.