SISI WANAJESHI TUKITUMWA VITANI NA IKATOKEA TUMEUA JE NANI ANAPATA DHAMBI HIYO YA KUUA ALIYETUTUMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • • SISI WANAJESHI TUKITUM... #KHIDMATV
    =
    Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    TH-cam: / @khidmaonlinetv350

ความคิดเห็น • 102

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g 27 วันที่ผ่านมา +5

    Assalam aleiykum warahmatullah wabarakatuh kwanza ndg zangu waislam mi nadhani kabla ya kujibiwa sawasawa hilo swali ipatikane mas'ala ya vita kwa sbb pande zote zinawindana ifahamike kwanz lengo la vita ni nn?

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 26 วันที่ผ่านมา

    MshaAllah shukrani sana sheikhe kwa jawabu

  • @user-nf1jm1cd8d
    @user-nf1jm1cd8d 22 วันที่ผ่านมา

    Shekh wang bado jawabu halijaridhisha kam elimu ya dini yetu .🤲

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 18 วันที่ผ่านมา

    SUB HANALLAH

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 26 วันที่ผ่านมา +1

    Sawa sawa sheg zuvery upo sawa

  • @alimau7939
    @alimau7939 28 วันที่ผ่านมา +1

    Swali zuri sana

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 14 วันที่ผ่านมา

    Hata mimi majibu ya kuhusu mwana jeshi kua au kuliwa bado hayajakaa Sawa hapo

  • @YAHAYAMOHAMEDI-sq3dr
    @YAHAYAMOHAMEDI-sq3dr 27 วันที่ผ่านมา

    Sawasawa

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 15 วันที่ผ่านมา

    Hakuna mtu kutiwa motoni na kutolewa wa moton moton wa pepon peponi

  • @Badrumchekwa
    @Badrumchekwa 22 วันที่ผ่านมา

    wew kma aujaelewa bc shekh amejbu kutokana na swali lilivyo ulizwa muuliza swali ajauliza kila kuuwa ila amekusudia watu fulani

  • @AbdallahamadKhamis
    @AbdallahamadKhamis 24 วันที่ผ่านมา

    Kazi ya Jeshi haifai kwa sababu wao ndio wanasema Jeshi Halina dini.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 28 วันที่ผ่านมา +6

    Shekhe bizman ujajibu vzr swali hilo kuna shekhe nilimsikia si kila kuuwa ni dhambi kuna kuuwa kuuwa kwa kulinda nchi hiyo so dhambi mfano kuuwa kwa kilinda mali yako na maadui wakaja vamia ili kuleta madhara ukauwa ni dhambi mashekhe ilmu zenu zinatofautiana

    • @gundererthemustache5818
      @gundererthemustache5818 27 วันที่ผ่านมา +1

      Sikiliza ilo swali Ka makini my dear brother

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 27 วันที่ผ่านมา

      @@gundererthemustache5818 swalli limeelewwka ndomana nkaona. Shekhe kalijjibu sivyo au mim ndo nimemuelewa. Vibaya

    • @abdallahibrahim280
      @abdallahibrahim280 27 วันที่ผ่านมา +1

      Majibu yapo sahihi kama swali lilivyoulizwa , swali ni kutumwa askari na mamlaka kwenda kuua; sio kujilinda na kuua au kuuwawa na kufa shahidi

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 27 วันที่ผ่านมา +1

      @@abdallahibrahim280 ndo mi nauliza mfano huyo askari analinda nchi ikaja watu wamevamia wakapiga nao ili kulinda maslahi ya nchi dhidi ya wale adui atakuwa ameuwa nakupata dhmbi madamu yule ni adui

    • @S.SWarfa
      @S.SWarfa 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kwell kuua kwa kujilinda inakubaliwa

  • @hafidhiabdalla5813
    @hafidhiabdalla5813 20 วันที่ผ่านมา

    Bado shekhe hujajibu hili swali ipasavyo

  • @salehmussa9371
    @salehmussa9371 28 วันที่ผ่านมา +1

    Allah atuongoze,kwaswali la Mzee Mrisho,
    Shekhe hakujibu sawawa!

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Kwanini akujibu sawa sawa

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 25 วันที่ผ่านมา

    KWA UELEWA WANGUMIMI HILO NI SWALI MOJA😂

  • @angelmurru5139
    @angelmurru5139 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hadithi za bunuasi huko misikitini 😂😂da!!

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 19 วันที่ผ่านมา

    MASWALI YOTE YANAYOULIZWA HAPA, hayawezi kujibiwa milele, zaidi watajikanyagakanyaga tu. Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh! Tunaijua hiyo.

  • @MansourAbubakar-l2b
    @MansourAbubakar-l2b 21 วันที่ผ่านมา

    Kuua inafaa kwa haki mbaya ni ile kuua bila haki ya nafsi hy kufa shekhe hapo yy ni mtazamowake

  • @user-kn6dc8cz9v
    @user-kn6dc8cz9v 22 วันที่ผ่านมา

    Ivi Nini maana ya vita kisheria? Na je VIPI huku za vita kisheria? Naona sheikh kaenda direct kwenye swala la kuua tu nasi swala la kivita

  • @abdullahissa7548
    @abdullahissa7548 22 วันที่ผ่านมา

    Wanajeshi wazamani walimu vitani ila wasasaivi wanatumwa uraiani

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 27 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh hujajibu swali hivyo ni vita kinachotakiwa kujulikana hapo ni je hiyo vita inahusu nn?

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Ndo tatizo la kujibu kitu ambacho huna ilmu nacho unaona nisipojibu ntaanguka kumbe siyo kauli za ulamaa zipo tofauti inatakiwa kabla ya kujibu ufatilie uhakika kina mtu anajuwa zaidi hili na akaelezea vzr kuliko kumpiga kamba mmtu

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 27 วันที่ผ่านมา +3

    ulie tumwa pia una akili wewe sio mnyama kwamba hujui jema na baya ukiuwa unapata zambi wewe na uyo alie kutuma

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Kama kalazimishwa akauwe kwa nguvu dhulma inamuangukia yule mtumaji mtume amewahi sema Allah amesamehe makosa katika umati wangu wenye kufanya makosa bila ya kujuwa pili mwenye kutenzwa nguvu na mtu afanye jambo ambalo kinyume na sheria akini madamu yeye hakubaiani nalo anafanywa kwa kinguvu Allah. Umsamehe mtu huyu walau alamu Allah ndo mjuzi zaidi

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 26 วันที่ผ่านมา

      @@salumabdallah2990 Utupe jibu kwanza je kazi ya jeshi ni haramu au halali? Kama ni halali basi hiyo kutii amri ndio jeshi lenyewe

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 26 วันที่ผ่านมา

      @@user-yj5on8cz3e akikutuma mtu ukamuuuwe mwanao utaweza?

  • @EdhaOmar-jd6os
    @EdhaOmar-jd6os 26 วันที่ผ่านมา

    maswali ya muhimu kuhusu twahara na swala hatujui twauliza

  • @saddiqsaddiq6880
    @saddiqsaddiq6880 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe Shekh kaa na wasomi upate ilimu ya vita apo UMEKWANGA

    • @samxx411
      @samxx411 26 วันที่ผ่านมา

      Hajakwanga ameeleza kweli kabisa ila nadhani wewe ulihitaji uelezwe na wale ambao watapigana kwa haki...hiyo ni kesi nyengine.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Sasa kama mtu yule ni muharifu anaharibu amani na mfano vikundi vile vinavyojitikezaga kuuwa watu ovyo ovyo akatumwa kusaka na kuwauwa hapo dambi inakujaje sasa? Manake kunavikundi vinauashiria na uharibifu na kumwaga damu za watu akatumwa askari akawauwa kuna tatizo hapo??

    • @samxx411
      @samxx411 26 วันที่ผ่านมา

      @@user-yj5on8cz3e muuwaji auwawe kwasababu tayari anadhulumu..hapo sheikh alizungumza kwa mfano watu wamefanya maandamano watu wakauliwa. Majeshi wakaenda sehemu wakavamia na kuuwa watu labda kwa kutaka mali au sehemu ktk eneo hilo.

    • @KheyriHassani
      @KheyriHassani 23 วันที่ผ่านมา

      Kwel

  • @SIMONZAVERY
    @SIMONZAVERY 26 วันที่ผ่านมา

    Bado hajayajibu bado

  • @user13375
    @user13375 27 วันที่ผ่านมา

    Na wale wanaojiripua kwa kujitoa mhanga sokoni,au msikitini n.k na kuua watu wasiokuwa na kosa lolote kwa kisa cha ugomvi na serikali😮😮😮😮

    • @samxx411
      @samxx411 26 วันที่ผ่านมา

      usiwe na akili ndogo....hii umeambiwa wote wanaomwaga damu (kuuwa) hujaambiwa kuuwa kwa namna gani....ila wale kama wamedhulumiwa wana haki kujitetea..mfano hapa Tanzania tumevamiwa na adui tuna haki kujitetea, kwako umevamiwa una haki kujitetea, familia yako imevamiwa una haki kujitetea...kaa usome.

    • @EricsonNoah
      @EricsonNoah 26 วันที่ผ่านมา

      Pia pia inaingia kuuwa watu wasio na hatia

  • @dolvinshao6956
    @dolvinshao6956 24 วันที่ผ่านมา

    Shehe wangu hapo kuingia motoni na kutolewa baadae hapo umechemka shehe wangu

  • @FatmaAli-dh1pd
    @FatmaAli-dh1pd 27 วันที่ผ่านมา

    Kwanini wanjeishi hawaruhusiwi kutumia akili zao?kwani hawajui sawa na makosa?

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 24 วันที่ผ่านมา

      Kiufupi hizi kazi ni mashaka matupu........ Tunaingia tuu bhasi kwakua imetokea tuuuu, pia wapo wanaokataaa yale wanaoamrishwa'.... Japo jeshini hakuna hapana, kila kitu ni ndio......... Allah atuhifazi sote.......

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 26 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa ufupi kazi ya jeshi ni mtihan mkubwa mnoo kwa muislamu ktk hali nyingi kuna dhulma ndani yke ukiachana na ile kulinda nchi na vita ya haki ya kweli.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Mmu kunawanajeshi makambini mwao wana misikiti wabaswali swala 5 kuna raiya uraiyani wanafanya ukafiri tuuh waislamu hawastuki kuna swala 5 yupi bora hapo kazi so kigezo cha kumtoa kwenye uislamu Allah ndo mjuzi wa hilo kuiko wanadamu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Madamu adhulumu watu analipwa mshahara kwa jasho lake sasa huyo na shekhe mtaani anae pata kipato kwa njia ya uganga na shirki ndani yake huyo vipi kwa allh ukamlinganisha na huyu anae lipwa mshahara kwa kulinda nchi yupi anaingia kwenye kufuru hapo

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 26 วันที่ผ่านมา +1

    Waislam wanaamini makafiri ni motoni ila majini wataenda peponi

    • @abdoumadiousseni4835
      @abdoumadiousseni4835 26 วันที่ผ่านมา

      Majini kuna makafiri nau pia wataigia motoni

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      @@abdoumadiousseni4835 akuna anae sema majni wataenda peponi wote huo urongo umetunga ww jini wema wataingia eoni jini waovu wataingia motoni madamu ni viumbe nao waliumbwa wamtumikie mungu wapo wanaomtii mungu na wapo wanaomkufuru mungu motoni nao

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 25 วันที่ผ่านมา

      ​​@@abdoumadiousseni4835Hayo Ni Matamanio Yako, Lakini Quran Imebainisha Wazi Kabisa Kwamba Majini Wote Na Binadamu Wanaoshirikiana Nao Wote Jehanamu Ndiyo Makazi Yao.

  • @FatmaAli-dh1pd
    @FatmaAli-dh1pd 27 วันที่ผ่านมา

    Kuliko kunilazimisha kumua mtu kwa nini nisikubali uniue mimi?

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      @@laylayl5166 utakuwa umejidhulumu nafsi bi fatma mtume amesema Allah amesamehe madhambi katika umati wangu yule mwenye kufanya kosa kwa kutojuwa hili ni kosa na yule anaelazimishwa kufanya jambo kinyume na sheria lakini akalazimishwa afanye huyo mungu humsameeh e

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      @@laylayl5166 kuna mwanamke mmoja aliwahy kuja kwa mtume analia mtume akamuuliza unalia nini akasema nimelazimishwa kumtukana Allah na nikutukane mtume niwapinge sasa mtume akamjibu huna kosa madamu ukifanya kuinusuru nafsi yako isidjulumiwe ukauwawa na pia yupo mwanamke aloamrishwa amkufuru muhammad so mtume wa mungu nae alikataa akauliwa summahya mwanamke wakwanza kufa shahidi kwahiyo Allah kusamehe makosa yamtu alolazimishwa kufanya jambo fulani likawa la kumkufuru mungu nae akafanya huyu usamehewa

  • @MgishaBoaz
    @MgishaBoaz 25 วันที่ผ่านมา

    Acha uongo shekhe ata mungu alikuwa akiwaagiza Israel kuuwa. arafu parestina ndio makafiri sio Israel

    • @IsmailJuma-ck3rr
      @IsmailJuma-ck3rr 25 วันที่ผ่านมา

      Kwadalili IPO iyo kua wapalestina ndo makafir

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p 24 วันที่ผ่านมา

      Kafiri ni yule anaemuadu mola Mmoja pekee Muumba WA mbingu na nchi na kuwatii mitume wote WA Mungu pasi na kuwabagua au anaemuabudu yesu aliyezaliwa na mwanamke kwa miujiza Kisha wakafanya ndio Mungu na kuhitaji msaada wake badala ya Muumba aliyemuumba YESU.

    • @IsmailJuma-ck3rr
      @IsmailJuma-ck3rr 23 วันที่ผ่านมา

      @@user-ij9te1ck9p Io andiko umetoa kitabu Gani
      Sikia mtu anapoitw kafiri asikasirike kwakutokusoma kwake nakujua(
      Kafir ) nikiarabu kiswahili ni kaidi au kataa kutii amri za mungu au mtu anaepinga amri za mungu
      Kwaio wewe kama unapinga amri za mung wewe nikafiri na hayo so maneno yang . Kwaio ACHA kuminyana kwa ushabik au matamanio Yako ukikosea unalinganiwa kama nimuungwana na muelewa basi utapat faida wewe binafsi simimi na kinyume chale ivyoivyo bro

  • @EnockChingula-gw1po
    @EnockChingula-gw1po 27 วันที่ผ่านมา

    Shehe nataka kujua hili kafili ni mtu mwovu au ni mkristo mchamungu au muhislamu mwovu nani kafili

    • @AbdalahMtambuka-rh1dp
      @AbdalahMtambuka-rh1dp 26 วันที่ผ่านมา +1

      kafili mtuyeyote anae Pinga mungu uwepowake. au ukamkataa mtume yeyote au ukapinga kiama au ukapinga ukasema mungu siommoja au ukasema mungu anamtoto Yani ukasema mungu kazaa .au ukakanusha uwepo wakiama ukasema akuna ukipinga japo moja ayo wewe nikafili ai jalishi .wewe muislam au mklsto

    • @abdoumadiousseni4835
      @abdoumadiousseni4835 26 วันที่ผ่านมา +3

      Kafiri nikila mtu amekataya sheria za Allah awe muislam lkn yukokinyume na sharia za Allah na pia mkristo hatakama anajihita mcha mungu lkn yy ana muabudia yesu badala yakumuabudia alio muomba hapo yy nikafiri tu

  • @angelmurru5139
    @angelmurru5139 26 วันที่ผ่านมา

    Muhammad pia aliua pindi alipokua vitani je nae anaenda motoni,!?

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 26 วันที่ผ่านมา

      Una ushahidi wowote kuwa mtume Muhammad aliua mtu vitani. Quran sunna.

    • @emanuelmsolopa2018
      @emanuelmsolopa2018 24 วันที่ผ่านมา

      Ndo na mm nashangaa unajua ukijibu swal inabid ufikirie kwa mfano wavamiz wamevamia Tanzania wanajeshi wakawa wanawazuia kuwa n dhambi wanajibu swal bila kufikiria na wanajibu kwa hisia zaid ya elimu ya kawaida tu

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 26 วันที่ผ่านมา +1

    Shehe hunajibu kuhusiana.kuuwa vitani,.somasoma zaidi.

    • @HamisMagambo-gw6ti
      @HamisMagambo-gw6ti 26 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa bado hajajibu swali

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      @@HamisMagambo-gw6ti kwanini hajajibiwa swali huyo mzee

    • @user-nm5ge6dt8i
      @user-nm5ge6dt8i 26 วันที่ผ่านมา

      Wewe uliyetumwa ukakubali una dhambi huyu aliekutuma yeye Hana sababu ya kumjadili Sasa unataka jibu lipi?

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      @@user-nm5ge6dt8i sasa inategemea nni. Watu wa aina gaani. Uloenda kuwauwa ikiwa ni vikundi vinavyouwa watu na kuvuruga amani je kunatatizo hapo??

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Mfaano watu wanachinja watu na kuoora maduka yao na kukimbilia msituni kamanda wa jeshi kakutuma ukauwe unadhambi hapo au waachwe waendelee kuuwa nao??

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 28 วันที่ผ่านมา +3

    CCM NA JESHI LAKE WANAWAUA WAZANZIBARI KILA BAADA YA MIAKA MITANO YA UCHAGUZI, NOA HUKU U YAO IKOJE?

    • @salehmussa9371
      @salehmussa9371 28 วันที่ผ่านมา

      Anza nahao waliouwawa kwanza je?
      Wameuliwa wakifanyanini?
      Au wameuliwa wakiwa nyumbn wamelala?
      Au wapomckitni wanaswali?
      Ukipata hayomajibu utaelewa tu.

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp 27 วันที่ผ่านมา +1

      Zanzibar ni uonevu hakuna vita hata iwe mazingira gani

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 27 วันที่ผ่านมา

      Wewe akili mavi​@@salehmussa9371

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@salehmussa9371Zanzibar yote yametipa hayo, itakua wewe hujasikia kwa sababu hujaja mjini, au hujasoma history ya yaliyopita, enzi hizo hata msikitini ama majumbani watu yamewakuta.
      Siku hiyo ikifika ni ngumu sana.

  • @user-nx2ot4lg2b
    @user-nx2ot4lg2b 26 วันที่ผ่านมา

    Kuuwa kafiri sikosa kislam.nakushangaa shekh unajichanganya

    • @AbdullahKulondwa
      @AbdullahKulondwa 26 วันที่ผ่านมา

      Kumuua kafili ikiwa kuna haja auliwe sio kufyekatu lakini

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      @@AbdullahKulondwa kwani kafiri hana hakki ya kuishi ndugu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 26 วันที่ผ่านมา

      Kafiri mtume aliwauwa kwa ruksa ya Allah katika mapambano ya vita lakini kinyume na hapo utakiwi kumuuwa inatakiwa umlinganie aje katika uislamu ataki unamuacha lakum dinakum wali ya dinu mtume akufundisha madamu kafiri ndo umuue tuu kama wanavyofanya alshababi si

    • @AbdullahKulondwa
      @AbdullahKulondwa 26 วันที่ผ่านมา

      @@user-yj5on8cz3e huja nielewa aya yakwanza ya mapigano inasema wameruhusiwa kupigana wale walio dhuliwa.waislamu hatupigi mgaka kue na haja ya mapigano mfano gaza inavyo onewa tunapaswa kupigana na myahudi mana ni dhalim ila sio kila kafili alie mbele unapiga mpaka awe na hatia

    • @binuqaasha675
      @binuqaasha675 24 วันที่ผ่านมา +1

      ​Ndio Hana ruhsa ya kuishi mpaka alipe Kodi kwa waislaamu