SISI WANAJESHI TUKITUMWA VITANI NA IKATOKEA TUMEUA JE NANI ANAPATA DHAMBI HIYO YA KUUA ALIYETUTUMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
- • SISI WANAJESHI TUKITUM... #KHIDMATV
=
Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
TH-cam: / @khidmaonlinetv350
Assalam aleiykum warahmatullah wabarakatuh kwanza ndg zangu waislam mi nadhani kabla ya kujibiwa sawasawa hilo swali ipatikane mas'ala ya vita kwa sbb pande zote zinawindana ifahamike kwanz lengo la vita ni nn?
MshaAllah shukrani sana sheikhe kwa jawabu
Shekh wang bado jawabu halijaridhisha kam elimu ya dini yetu .🤲
SUB HANALLAH
Sawa sawa sheg zuvery upo sawa
Swali zuri sana
Hata mimi majibu ya kuhusu mwana jeshi kua au kuliwa bado hayajakaa Sawa hapo
Sawasawa
Hakuna mtu kutiwa motoni na kutolewa wa moton moton wa pepon peponi
wew kma aujaelewa bc shekh amejbu kutokana na swali lilivyo ulizwa muuliza swali ajauliza kila kuuwa ila amekusudia watu fulani
Kazi ya Jeshi haifai kwa sababu wao ndio wanasema Jeshi Halina dini.
Shekhe bizman ujajibu vzr swali hilo kuna shekhe nilimsikia si kila kuuwa ni dhambi kuna kuuwa kuuwa kwa kulinda nchi hiyo so dhambi mfano kuuwa kwa kilinda mali yako na maadui wakaja vamia ili kuleta madhara ukauwa ni dhambi mashekhe ilmu zenu zinatofautiana
Sikiliza ilo swali Ka makini my dear brother
@@gundererthemustache5818 swalli limeelewwka ndomana nkaona. Shekhe kalijjibu sivyo au mim ndo nimemuelewa. Vibaya
Majibu yapo sahihi kama swali lilivyoulizwa , swali ni kutumwa askari na mamlaka kwenda kuua; sio kujilinda na kuua au kuuwawa na kufa shahidi
@@abdallahibrahim280 ndo mi nauliza mfano huyo askari analinda nchi ikaja watu wamevamia wakapiga nao ili kulinda maslahi ya nchi dhidi ya wale adui atakuwa ameuwa nakupata dhmbi madamu yule ni adui
Kwell kuua kwa kujilinda inakubaliwa
Bado shekhe hujajibu hili swali ipasavyo
Allah atuongoze,kwaswali la Mzee Mrisho,
Shekhe hakujibu sawawa!
Kwanini akujibu sawa sawa
KWA UELEWA WANGUMIMI HILO NI SWALI MOJA😂
Hadithi za bunuasi huko misikitini 😂😂da!!
Nimekuelewa ndugu. Kuisema haki si jambo rahisi.
Huku ww umefuata nn?
MASWALI YOTE YANAYOULIZWA HAPA, hayawezi kujibiwa milele, zaidi watajikanyagakanyaga tu. Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh! Tunaijua hiyo.
Kuua inafaa kwa haki mbaya ni ile kuua bila haki ya nafsi hy kufa shekhe hapo yy ni mtazamowake
Ivi Nini maana ya vita kisheria? Na je VIPI huku za vita kisheria? Naona sheikh kaenda direct kwenye swala la kuua tu nasi swala la kivita
Wanajeshi wazamani walimu vitani ila wasasaivi wanatumwa uraiani
Sheikh hujajibu swali hivyo ni vita kinachotakiwa kujulikana hapo ni je hiyo vita inahusu nn?
Ndo tatizo la kujibu kitu ambacho huna ilmu nacho unaona nisipojibu ntaanguka kumbe siyo kauli za ulamaa zipo tofauti inatakiwa kabla ya kujibu ufatilie uhakika kina mtu anajuwa zaidi hili na akaelezea vzr kuliko kumpiga kamba mmtu
ulie tumwa pia una akili wewe sio mnyama kwamba hujui jema na baya ukiuwa unapata zambi wewe na uyo alie kutuma
Kama kalazimishwa akauwe kwa nguvu dhulma inamuangukia yule mtumaji mtume amewahi sema Allah amesamehe makosa katika umati wangu wenye kufanya makosa bila ya kujuwa pili mwenye kutenzwa nguvu na mtu afanye jambo ambalo kinyume na sheria akini madamu yeye hakubaiani nalo anafanywa kwa kinguvu Allah. Umsamehe mtu huyu walau alamu Allah ndo mjuzi zaidi
@@salumabdallah2990 Utupe jibu kwanza je kazi ya jeshi ni haramu au halali? Kama ni halali basi hiyo kutii amri ndio jeshi lenyewe
@@user-yj5on8cz3e akikutuma mtu ukamuuuwe mwanao utaweza?
maswali ya muhimu kuhusu twahara na swala hatujui twauliza
Wewe Shekh kaa na wasomi upate ilimu ya vita apo UMEKWANGA
Hajakwanga ameeleza kweli kabisa ila nadhani wewe ulihitaji uelezwe na wale ambao watapigana kwa haki...hiyo ni kesi nyengine.
Sasa kama mtu yule ni muharifu anaharibu amani na mfano vikundi vile vinavyojitikezaga kuuwa watu ovyo ovyo akatumwa kusaka na kuwauwa hapo dambi inakujaje sasa? Manake kunavikundi vinauashiria na uharibifu na kumwaga damu za watu akatumwa askari akawauwa kuna tatizo hapo??
@@user-yj5on8cz3e muuwaji auwawe kwasababu tayari anadhulumu..hapo sheikh alizungumza kwa mfano watu wamefanya maandamano watu wakauliwa. Majeshi wakaenda sehemu wakavamia na kuuwa watu labda kwa kutaka mali au sehemu ktk eneo hilo.
Kwel
Bado hajayajibu bado
Na wale wanaojiripua kwa kujitoa mhanga sokoni,au msikitini n.k na kuua watu wasiokuwa na kosa lolote kwa kisa cha ugomvi na serikali😮😮😮😮
usiwe na akili ndogo....hii umeambiwa wote wanaomwaga damu (kuuwa) hujaambiwa kuuwa kwa namna gani....ila wale kama wamedhulumiwa wana haki kujitetea..mfano hapa Tanzania tumevamiwa na adui tuna haki kujitetea, kwako umevamiwa una haki kujitetea, familia yako imevamiwa una haki kujitetea...kaa usome.
Pia pia inaingia kuuwa watu wasio na hatia
Shehe wangu hapo kuingia motoni na kutolewa baadae hapo umechemka shehe wangu
KASOME DINI ACHA UZWAZWA
Kwanini wanjeishi hawaruhusiwi kutumia akili zao?kwani hawajui sawa na makosa?
Kiufupi hizi kazi ni mashaka matupu........ Tunaingia tuu bhasi kwakua imetokea tuuuu, pia wapo wanaokataaa yale wanaoamrishwa'.... Japo jeshini hakuna hapana, kila kitu ni ndio......... Allah atuhifazi sote.......
Kwa ufupi kazi ya jeshi ni mtihan mkubwa mnoo kwa muislamu ktk hali nyingi kuna dhulma ndani yke ukiachana na ile kulinda nchi na vita ya haki ya kweli.
Mmu kunawanajeshi makambini mwao wana misikiti wabaswali swala 5 kuna raiya uraiyani wanafanya ukafiri tuuh waislamu hawastuki kuna swala 5 yupi bora hapo kazi so kigezo cha kumtoa kwenye uislamu Allah ndo mjuzi wa hilo kuiko wanadamu
Madamu adhulumu watu analipwa mshahara kwa jasho lake sasa huyo na shekhe mtaani anae pata kipato kwa njia ya uganga na shirki ndani yake huyo vipi kwa allh ukamlinganisha na huyu anae lipwa mshahara kwa kulinda nchi yupi anaingia kwenye kufuru hapo
Waislam wanaamini makafiri ni motoni ila majini wataenda peponi
Majini kuna makafiri nau pia wataigia motoni
@@abdoumadiousseni4835 akuna anae sema majni wataenda peponi wote huo urongo umetunga ww jini wema wataingia eoni jini waovu wataingia motoni madamu ni viumbe nao waliumbwa wamtumikie mungu wapo wanaomtii mungu na wapo wanaomkufuru mungu motoni nao
@@abdoumadiousseni4835Hayo Ni Matamanio Yako, Lakini Quran Imebainisha Wazi Kabisa Kwamba Majini Wote Na Binadamu Wanaoshirikiana Nao Wote Jehanamu Ndiyo Makazi Yao.
Kuliko kunilazimisha kumua mtu kwa nini nisikubali uniue mimi?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@laylayl5166 utakuwa umejidhulumu nafsi bi fatma mtume amesema Allah amesamehe madhambi katika umati wangu yule mwenye kufanya kosa kwa kutojuwa hili ni kosa na yule anaelazimishwa kufanya jambo kinyume na sheria lakini akalazimishwa afanye huyo mungu humsameeh e
@@laylayl5166 kuna mwanamke mmoja aliwahy kuja kwa mtume analia mtume akamuuliza unalia nini akasema nimelazimishwa kumtukana Allah na nikutukane mtume niwapinge sasa mtume akamjibu huna kosa madamu ukifanya kuinusuru nafsi yako isidjulumiwe ukauwawa na pia yupo mwanamke aloamrishwa amkufuru muhammad so mtume wa mungu nae alikataa akauliwa summahya mwanamke wakwanza kufa shahidi kwahiyo Allah kusamehe makosa yamtu alolazimishwa kufanya jambo fulani likawa la kumkufuru mungu nae akafanya huyu usamehewa
Acha uongo shekhe ata mungu alikuwa akiwaagiza Israel kuuwa. arafu parestina ndio makafiri sio Israel
Kwadalili IPO iyo kua wapalestina ndo makafir
Kafiri ni yule anaemuadu mola Mmoja pekee Muumba WA mbingu na nchi na kuwatii mitume wote WA Mungu pasi na kuwabagua au anaemuabudu yesu aliyezaliwa na mwanamke kwa miujiza Kisha wakafanya ndio Mungu na kuhitaji msaada wake badala ya Muumba aliyemuumba YESU.
@@user-ij9te1ck9p Io andiko umetoa kitabu Gani
Sikia mtu anapoitw kafiri asikasirike kwakutokusoma kwake nakujua(
Kafir ) nikiarabu kiswahili ni kaidi au kataa kutii amri za mungu au mtu anaepinga amri za mungu
Kwaio wewe kama unapinga amri za mung wewe nikafiri na hayo so maneno yang . Kwaio ACHA kuminyana kwa ushabik au matamanio Yako ukikosea unalinganiwa kama nimuungwana na muelewa basi utapat faida wewe binafsi simimi na kinyume chale ivyoivyo bro
Shehe nataka kujua hili kafili ni mtu mwovu au ni mkristo mchamungu au muhislamu mwovu nani kafili
kafili mtuyeyote anae Pinga mungu uwepowake. au ukamkataa mtume yeyote au ukapinga kiama au ukapinga ukasema mungu siommoja au ukasema mungu anamtoto Yani ukasema mungu kazaa .au ukakanusha uwepo wakiama ukasema akuna ukipinga japo moja ayo wewe nikafili ai jalishi .wewe muislam au mklsto
Kafiri nikila mtu amekataya sheria za Allah awe muislam lkn yukokinyume na sharia za Allah na pia mkristo hatakama anajihita mcha mungu lkn yy ana muabudia yesu badala yakumuabudia alio muomba hapo yy nikafiri tu
Muhammad pia aliua pindi alipokua vitani je nae anaenda motoni,!?
Una ushahidi wowote kuwa mtume Muhammad aliua mtu vitani. Quran sunna.
Ndo na mm nashangaa unajua ukijibu swal inabid ufikirie kwa mfano wavamiz wamevamia Tanzania wanajeshi wakawa wanawazuia kuwa n dhambi wanajibu swal bila kufikiria na wanajibu kwa hisia zaid ya elimu ya kawaida tu
Shehe hunajibu kuhusiana.kuuwa vitani,.somasoma zaidi.
Kweli kabisa bado hajajibu swali
@@HamisMagambo-gw6ti kwanini hajajibiwa swali huyo mzee
Wewe uliyetumwa ukakubali una dhambi huyu aliekutuma yeye Hana sababu ya kumjadili Sasa unataka jibu lipi?
@@user-nm5ge6dt8i sasa inategemea nni. Watu wa aina gaani. Uloenda kuwauwa ikiwa ni vikundi vinavyouwa watu na kuvuruga amani je kunatatizo hapo??
Mfaano watu wanachinja watu na kuoora maduka yao na kukimbilia msituni kamanda wa jeshi kakutuma ukauwe unadhambi hapo au waachwe waendelee kuuwa nao??
CCM NA JESHI LAKE WANAWAUA WAZANZIBARI KILA BAADA YA MIAKA MITANO YA UCHAGUZI, NOA HUKU U YAO IKOJE?
Anza nahao waliouwawa kwanza je?
Wameuliwa wakifanyanini?
Au wameuliwa wakiwa nyumbn wamelala?
Au wapomckitni wanaswali?
Ukipata hayomajibu utaelewa tu.
Zanzibar ni uonevu hakuna vita hata iwe mazingira gani
Wewe akili mavi@@salehmussa9371
@@salehmussa9371Zanzibar yote yametipa hayo, itakua wewe hujasikia kwa sababu hujaja mjini, au hujasoma history ya yaliyopita, enzi hizo hata msikitini ama majumbani watu yamewakuta.
Siku hiyo ikifika ni ngumu sana.
Kuuwa kafiri sikosa kislam.nakushangaa shekh unajichanganya
Kumuua kafili ikiwa kuna haja auliwe sio kufyekatu lakini
@@AbdullahKulondwa kwani kafiri hana hakki ya kuishi ndugu
Kafiri mtume aliwauwa kwa ruksa ya Allah katika mapambano ya vita lakini kinyume na hapo utakiwi kumuuwa inatakiwa umlinganie aje katika uislamu ataki unamuacha lakum dinakum wali ya dinu mtume akufundisha madamu kafiri ndo umuue tuu kama wanavyofanya alshababi si
@@user-yj5on8cz3e huja nielewa aya yakwanza ya mapigano inasema wameruhusiwa kupigana wale walio dhuliwa.waislamu hatupigi mgaka kue na haja ya mapigano mfano gaza inavyo onewa tunapaswa kupigana na myahudi mana ni dhalim ila sio kila kafili alie mbele unapiga mpaka awe na hatia
Ndio Hana ruhsa ya kuishi mpaka alipe Kodi kwa waislaamu