UNAJUA KWANINI VIJANA WENGI HAWAENDI KWENYE NYUMBA ZA IBADA? HAYA HAPA MAJIBU MCH HANANJA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2022
- Marriage Real Life Talk
"Nafasi na Thamani ya Mwanaume katika Jamii na Familia."
Program hii hufanyika kila Jumanne saa 1:00 Jioni
Mahali: Ukumbi wa Mbezi Park, Tank Bovu
Amina MTUMISHI baba mchungaji hananja.. uko sahihi kabisa
Aisee.. Huyu mzee kanifungua mahali... Noted✍️✍️✍️✍️
Hizo ni sababu chache tu, zipo nyingi zaidi kama hizi
Paster. Unaongea real sana mm nimlutheri piwa ninamiezi6 cjaenda kanisani hiyo kuenenda kwaamanj ya bwana ndio inanifanyaga nachoka kabisa natoka kanisani nimegonjeka
upo sahihi
Mungu azidi kutusimamia
Kweli kabisa mchungaji
Huyo Mchungaji ni funny hasa
Unasema ukweli
kanisani kumegeuka Jim!!;
Mch ni huyo!
Ur so really ddy
Mmmm
Sina shaka na maneno yako mchungaji
Mchungaji unanifuraisha Mafundisho yako nayaelewa.
😂😂😂😂 askofu katisha,
Lakini kwa Karne hii mambo ya Imani hayawasaidii vijana kupata maarifa ya kisayansi ya kuwa na ujuzi wa kutengeneza bidhaa ili wauze waboreshe Maisha Yao