BWANA WEWE NI MWEMA- Boaz Danken ft Eliya Mwantondo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- #GloryandHonortoJESUS
BWANA WEWE NI MWEMA Means ooh Lord your GOOD
Karibu Tutangaze wema wa BWANA WETU YESU PAMOJA, HALLELUYAH
Ninaamini Kuna uponyaji na Kuinuliwa sana katika Kumtaja YESU na Kazi alizozifanya Duniani kwajili Yetu
MUNGU awabaliki Sana Watu wote waliosimama na wanaoendelea kusimama kwa Sadaka zao za fedha na Maombi kufanikisha Maandalizi ya Ibada Hizi Kila sehemu Mungu akiwahudumia watu kupitia Wimbo Huu; Baraka nyingi ziwafikie wote waliomuandalia Bwana kwa Sadaka ya Muda, Fedha na Maombi.
Music Arranged & Directed by Apostle Sephone Sospeter
Vocal Arranged by Sir Jimmy Kimutuo
First keys: Sephone Sospeter
Second keys: Samwel Sospeter
Third Keys: John Ntete
Fourth keys: Augustino Batista
Drums: Shalom V. Mbuke
Percussion: Pastor David Silwimba
Bass guitar: Amani Victor
Lead guitar 1: Haggai Makuzo
Lead guitar 2: Erick Chitungo
Saxophone: Dickson Maige
Back Vocals From BMCC PRAISE TEAM
Event Coordinated by Kelvin Mbeveta
Translated to English by Mr&Mrs Pst.James Kalekwa
*Audio Captured and Mastered by Chosen Records Int’l #SamMboya
*Video Captured and Mastered by Cyber Pic #Sylvester
*Sound By #SoundSolution Moses Edard
*Sound Engineer: Gad Mwanga
*LED screen: Elly Jo
*Lights By Nyakalo Stage and Lighting Com. #DavidSengati - เพลง
Kama umebarikiwa na huu Wimbo gonga like hapa
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
Wewe ni kizazi cha kusifu na kuabudu Mungu alituletea wewe kaka.
Asante kwa wimbo mzuri .
Naombeni Like Zenu kutoka South Africa Hapa.
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Hakika Mungu Ni Mwemaa
Halleluyah bwana wewe ni mwema
Kwakweli Mungu ni mwema,,,,,Baba zidi kubarikiwa kwa huduma njema kwa watanzania
Wema wa Mungu ni kubwa mno kwangu.. Hakika sikustahili kukupata mimi niliyemwenye dhambi kiasi hiki. Lakini Mungu kanihurumia kanionyesha Wema wake.. Ahsante na ubarikiwe mtumishi wa Mungu @boazdanken_worship_minister
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Wewe ni mwema
Mungu ni mwema kabisa
Wewe mwema bwana.....
Wewe ni mwema Sana Baba yangu
Bwana ni mwema hakika
Haleluya njooni tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu
Glory to God
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo asante sana
Bwana wewe ni Mwema😭😭😭🤲🤲🤲Bwana wewe ni Mwema uwiii😭😭😭🤲🤲
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo Please share kwa wengi ukiweza
Upako huu🔥🔥🔥
To the worthwhile person seeing this, your dream is not dead. Don’t allow the past and current pains and hurts stop and define you. You’re more than a conqueror. Rise up and put yourself together. Keep pushing your future depends on it. I wish you all the best in life ❤.
🇰🇪
Ameeeen
Ameen 🙏🙏🙏🙏❤️❤️
Thank you, I needed this 😩
Bwana wewe ni mwema kwangu siku zote.
Tunabarikiwa sana sana sana Bwana wewe nimwema
Bwana YESU asifiwe kaka Boaz samahan kaka nilitaman unisaidie kutu kama itampendeza MUNGU
Hakuna mema kama Bwana Yesu Christo
Umejawa msamaha Yesu 🙌🙌🙌🙌
Good music good video everything so good upako ni mkubwa mnomno
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Mungu ni mwema sana kwetu tuzidi kushuka
Ahsante Mungu wangu wewe ni mwema
Bwana wewe ni mwema ni wimbo umenisaidia sana hata siwezi kuomba nasikiliza wimbo
Wewe n mwema bwana🤞🙏🙏🙏🙌🙌🙌
YESU aendelee kukutumia usirudi nyuma vyimbo zako zinatubariki
Ukashuka ukaacha enzi Mbinguni kuja kunibadilisha maana wewe ni mwema........ ooooh
worship in its fullest. Mungu awazidishie jameni!!!
Amen,hakika Mungu ni mwema
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi ukiweza
Hallelluyah hakika Mungu ni mwema sana
Nakupenda mno kaka Boaz namtukuza mungu kwa ajili YAKO...ubarikiwe mno na mungu azidi kukuinua viwango hata viwango
Ubarikiwe kwa wimbo huu umenibariki Sana. Samwel Niko Tanga
Bwana wewe ni mwema🔥🔥
Kweli bwana amejawaa msamaha ni kweli hatustahili Ila bwana ametustahilisha ....... Baba ubarikiwe Sanaa Sanaa sanaa
Maadui hawana nafasi. Maana MUNGu nimwema Sana moyo wangu umeingiwa na furaha
Bwana Yesu asifiwe, Mtumishi Boaz,
Wakati tukiendelea na utumishi huu wa kumtumikia Yesu Kristo Bwana wetu; muenende (Waebrania 12:15 "mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu")
Maana imeandikwa (Ktk 1Timotheo 2:9 "Wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kuwasitiri" - Mavazi ya binti zetu hapo yanapaswa kutoshika miili yao.
WALAWI 19: 27 Msinyoe denge...
1WAKORINTHO 6:20 Sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
MAANA BAADA YA UTUMISHI HUU SISI WENYEWE TUSIJEKUWA WATU WA KUKATALIWA.
wewe umeona mavazi, sisi tumebarikiwa
Nakuombea Viwango na pia Nakupenda Sana Naamini MUNGU pekee ndio Msaada wako.....
Bwana Wewe ni Mwema wewe ni Mwema👑
Hakika Mungu ni mwema mno,,barikiwa mtumishi Mungu azidi kukutumia
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Oooh hallelujah hallelujah
Glory to God
Mubarikiwe watumishi wa Mungu
Kazii nzurii
Mungu AZIDI kuongezekaa katika huduma yenuu... 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Ooh lord
Barikiwa San kaka kazi nzuri utukufu kwa Mungu
Wema wa Bwana ndio unaotuhifadhi na kutupa heshima, mtumishi Mungu akutunze tuu
Wewe ni mwema Baba,wema wako unaonekaka majira yote.
Wema WA MUNGU hauchunguziki dam za wanyama hazikuweza Ila Dam ya Yesu. Ilishinda🙏🙏🙏🙏🙏🛐🛐🛐🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 MUNGU Azidi kuku paka mafuta
Glory and Honor to Jesus please share to many
🇰🇪Kenya Loves you sir: Boaz
Glory and Honor to Jesus please share to many
Mungu azidi kukupaka mafuta ya rohoni mtumishi.
Nyimbo kama hizi zinanifanya niutafakari ukuu wa Mungu kwa kina zaidi, nagundua fika kabisa Mungu wetu ni mwema vile haangalii wingi wa makosa yetu majira na nyakati zote juu yetu
Hakika ni kwa huruma za Mungu ninaishi Leo. Mungu akuzidishie zaid mtumishi wa Mungu
Hallelujah Bwana ni Mwema
Wema wa Mungu ni waajabu haufananishwi hata theluthi ya mwanadamu
Yupo anaye penda kerere NI MUNGU wetu
Bwanaaaana wewe ni mwema,, wewe ni mwema
Bwanaaaaa weweee nimwemaaaa wewe Nimwemaaaa 🙏
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
BWANA wewe ni Mwema DAMU yako yatosha.
Kila nikiona wimbo umehusika nafurahia moyoni na kusema utukufu ni wake MUNGU wetu aliye juu.
Barikiwa sana.
Glory and Honor to Jesus please share to many
Mungu akubariki Sana mtumushi wake,azidi kukutumia apendavyo
Hakika wewe ni mwema mungu wangu
Nini kingenibadilisha Mimi, aaiii Kama sio Damu ya Msalaba! This a one song that I sing along with understanding...Jesus be glorified!
Kwa hakika Bwana ni mwema anafanya makubwa
Bwana ni mwema Sana katika maisha yangu,,, na ni kwa wema wake nko Hai,,, siangamii
Wewe ni mwema baba
Naamini alie ndani yako nimkubwa mnoo Huduma yako niuponyaji kwa wengine nabarikiwa sana na nyimbo zako Mungu akupege hekima utuwema upole unyenyekevu naazidigi kukuinua leo kesho na hata milele. Amen kangi nunu akanikifwani
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Yesu ni mwema
Yupo mmoja anayependa kelele 🔥🔥🔥🔥
Bwana Wewe ni Mwema
Bwana Wewe ni mwema🙏🙏
Mungu awabariki mnooo kwa huduma hii njema ni ombi langu Mungu awapeleke viwango avitakavyo
Wow finally,, this song I just love ,God you are good
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
I believe in the blood of Jesus...can change my sister ..we don't know which world is working in ...I believe thru his mercies my sister will change in Jesus name
Hallelujah wewe Yesu ni mwema.
Amen🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Utukufu kwa Mungu
Nyimbo zako zina utukufu, zinasisimua
ni mwema ni mwema sana♥️♥️♥️
BWANA wewe ni mwema 👏👏👏👏
He is a good God.
l am the girl that He has shown mercy
🙏🙏 wewe ni mwema kwangu
MUNGu mwaminifu sana napenda kumsifu
🎻🎻🎷🪘❤️💃 Bwana wewe ni Mwema, Wewe ni Mwema,Wewe ni Mwema💃❤️🪗🪗🥁🪘
Ni kwa huruma zake Ata sasa tunaishi Kwa nguvu ya Damu ya Yesu iliyo mwagika msalaban
kila siku kila saa wewe ni mwema maishani mwanfu yesu 🙏 🙏 🙏
Barikiwa sana mtumishi wa Kristo,natamani nami kuwa napata taarifa ili niwe nashiriki ibada hii
Amen 🙏🙏
Ni mwema kila wakati .
In deed He's too good for He doesn't treat us as our sins deserve. Yu mwema Mungu wetu
Nakuru Kenya tumeupokea wimbo vyema🇰🇪
Aki Huyu Mungu ni mzuri
Asante Mungu kwa wema wako nyakati zote
Ni kwa wema wako tu hatuangamii 🔥🔥🔥🔥
Utukufu na heshima kwa Yesu please share kwa wengi ukiweza
Powerful
Ni kwa wema wako tu hatuangamii
Bwana wewe ni Mwema 😭😭😭🙌🙌🙌
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Wew ni mwema🙌
MUNGU akuinuwe mtumshi wa mungu
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi
I 💕 💕 love this 😊 song so much l Feel strengthen by Jesus when I sing the song 💗💗 more grace danken boaz and the team continue to sing more songs 🎶 that will inspire. Inspire me and the whole world 🌍 Amen and Amen 🙏🙏🙏
Yesu ni mwema sana
Mbarikiwe sana brothers #Boaz ft Eliya
Mavazi yanaendana na anachokiimba
Mungu ni mwema jamani
🇹🇿 Mungu wetu ni mwema Sana Sana kila siku kila saa
Oooooh! 🙇🙇🙇🙇🙇🙌🙌Hakika BWANA YEYE NI MWEMA SANA.
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@@boazdanken Ndio Baba nafanya hivyo Baba.
Hakika Wewe Mungu ni mwema sana
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza