Learning to say No....here is where my challenge is... and I need to work on it.... you know what Brother? Sometimes I fail to say no for avoiding what people will talk about me behind..... that I don't care... That I have no sympathy ... that I am not social oriented person... But for the purpose of 2019... today I have learned something... Learning to say no and value my time.... I think this will increase my potentiality... Thanks so much brother Joel... and May God bless you #See you at the top
Shukran kaka Joel Nanauka. Mm niko pamoja na ww kaka haujawahi kukosea kila siku nazidi kujivunia vitu vipya kutoka kwako.. Kanuni zote 7 nitazifanyia kazi ipaswavyo kama ulivo tuelekeza. Allah akupe umri mrefu wenye neema tele. 😘😘
Mbinu yakwanza kwangu nikufanya vitu ndani yampangilio wa muda sahihi nasio kufanya kilakitu kinachopita mbele ya macho yangu.Pia nimejifunza uthamani wa mtu ukondani ya mudawake sahihi.Asante kwa Somo zuri na Mungu akibariki
Baada ya kutambua umuhimu wa sub conscious mind nimetafuta masomo hayo kwa lugha ya kiswahili ili niwasaidie vijana wangu hadi nilipokutana na mafunzo yako. Kwa hakika nimeanza kuyatumia. Ni masomo ya muhimu sana. Mungu akuongezee nguvu
Ahsante sana kaka Joel kwa somo zuri,mm nipo katika point ya mwisho organize mpaka sasa ivi nashukuru naenda vizur na muda na kazi zangu hata jamii inafurahia huduma kutoka kwangu
Asante zote ni nzuri ! Ninakuangalia toka Zanzibar.... napenda mafundisho yako...maranyingi kila asubuhi Baada ya kusoma biblia na maombi huwa naangalia vipindi vyako na vimenikuwa vya baraka sana Ninaomba uniunganishe kwenye whatsapp group yako.
Nina miaka 21 namshukuru Mungu nipo salama nimekuwa nikikutana na scenario ya kuongea na watu hasa wazima lakini wakabarikiwa na mm nazidi kujifunza naamini u will se me at the top b'coz l may , l Will , l can and l am happy new year bro Joel
akili yangu kusema hapana kwenye kitu ambacho Niko nje ya malengo,hiyo naanza Kupoteza muda kwenye simu badala kutumia kwenye malengo ya muhimu hiyo naanza.kama vyote vimenigusa kwenye Gari kujibweteka tu hiyo ninayo najirekebisha thanks My teacher Joel
Thnx najiona km nimechele maana kuna miez kum toka watu wakoment bt naona kama na mm ninazaidi ya miez hyo kumk i thnx i cn mr thn others ....abt time tatzo sana japo kidogo nalimeji ila siyo kihivyo i need 2 do mr thnx my blood wa faida God bless ur mr
kuipanga siku yako, nimeipenda zaidi japo pia ziko nyingi nilizo jifunza kupitia vdeo hii nashukuru kaka kwa kunikumbusha mungu akusaidie ili kurudisha thaman iliyo potea kwa mtu ali kata tamaa
1. Focus on the task - I’m that person who tries to multi task but end up not doing anything productive for HOURS... I will FOCUS ON THE TASK I SET TO DO!
Learning to say No....here is where my challenge is... and I need to work on it.... you know what Brother? Sometimes I fail to say no for avoiding what people will talk about me behind..... that I don't care... That I have no sympathy ... that I am not social oriented person... But for the purpose of 2019... today I have learned something... Learning to say no and value my time.... I think this will increase my potentiality...
Thanks so much brother Joel... and May God bless you
#See you at the top
Thankyou so much Nanauka,,Focus,, determination!!..
#SeeYouAtTheTop
@@kulwaloketa6413 #SeeYouAtTheTop
Tatizo kubwa sana hili mkuuu
Kwakwel nimejifunza kitu kikubwa sana namwomba Mungu anipe wepes WA kuweza kuyafanyia kazi haya be blessed kakaangu uishi sana
Brother mbinu zote ni nzuri sana, nitazifanyia kazi moja baada ya nyingine, asante sana na MUNGU akubariki sana!
#SeeYouAtTheTop
Shukran kaka Joel Nanauka.
Mm niko pamoja na ww kaka haujawahi kukosea kila siku nazidi kujivunia vitu vipya kutoka kwako.. Kanuni zote 7 nitazifanyia kazi ipaswavyo kama ulivo tuelekeza.
Allah akupe umri mrefu wenye neema tele. 😘😘
#SeeYouAtTheTop
Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki Sana
Mwanafunzi wa kwanza leo nimetua darasani na kujifunza thanks mwalimu. Hapo kwenye muda ndio tunapoteza kweli kweli
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Mbinu yakwanza kwangu nikufanya vitu ndani yampangilio wa muda sahihi nasio kufanya kilakitu kinachopita mbele ya macho yangu.Pia nimejifunza uthamani wa mtu ukondani ya mudawake sahihi.Asante kwa Somo zuri na Mungu akibariki
#SeeYouAtTheTop
batching
@@joelnanauka kaka naomba namba zako
Ameni sana Hongera kwa Masomo Manzuri Sana Nashukuru Sana
Maana leo nimepata Jambo la TOFAUTI sana
Jifunze kusema hapana imenisaidia sana mwaka 2018 Asante Mwalimu ambaye tunasoma bila kulipa ada
#SeeYouAtTheTop
Asante I'm the kind of person sijui kutumia mda wangu ila kuanzia ss nimebadilika.Nitapataje kitabu chako cha timaza malengo yako.
Asante sana brother tumekua tukipoteza mda sana hasa kwenye kutenda mambo zaid ya moja kwa wakati mmoja aisee nimejifinza sana asante mungu akujaalie
Aiseeh Mimi ni mwenzio huwa nafeli sana kwenye muda Japo sina majukumu wengi
#SeeYouAtTheTop
Asante Sana kwa mafunzo mazuri. Nitaweka mpangilio katika Kila shugli ninayoifanya
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Excellent Presentation
Thank you in advance
Salum Abdalla
Umeniongezea tena ujuzi Mungu akubariki
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Asante sana Sir Joel najifunz mengi sana
#SeeYouAtTheTop
Muda kweli kwangu ni tatzo Mungu anisaidie 2019 nibadilike... Asante
Kweli Inawezekana #SeeYouAtTheeTop
Asante nimesha amua nitaendelea kujifunza hadi mwisho wa maisha yangu
Organize time,ni mbinu nzuri sana ambayo niweza kujifunza asnte sana na ubarikiwe
Ubarikiwe Pia #SeeYouAtTheTop
Focus to the one thing,untill you finish it. That's my new study,maliza jambo moja ndipo tufanye lengine.asante.mr.nanauka kwa muongozo
Nataka nianze sasa kujifunza kutumia vzr mda wangu na kuwekeza mda wangu...barikiwa sana broangu.
Asante kaka joel hakika Mungu alikuleta duniani kwa kusudi kubwa sana Ubarikiwe kwa elimu unayotuptia.kupnga ratiba ya siku nzima ni nzurii sana😇
Specific time limit, Hili niki rekebisha nianze kuizingatia najuwa nina ufanisi,thanks for great video 🙏💕
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Mungu akubarik Sana umezungumza ukwel brother napenda mafundisho yako
Aiseeee kuanzia nw ntasema No.. Ctak kupoteza muda Wang Teeeeeenaa... Ubarikiwe brooo
Hi
nimekuerewa!!!
Frank Onesmo hiii
Boniphace Mgolozi Ubarikiwe
Ubarikiwe Pia #SeeYouAtTheTop
Shukran sana Broo nilichojifunza na kimenigusa sana kama Mwanafunzi ni point ya kwanza isemayo FOCUS on the task
Baada ya kutambua umuhimu wa sub conscious mind nimetafuta masomo hayo kwa lugha ya kiswahili ili niwasaidie vijana wangu hadi nilipokutana na mafunzo yako. Kwa hakika nimeanza kuyatumia. Ni masomo ya muhimu sana. Mungu akuongezee nguvu
Mwenyez Mungu akubarik daima uendelee kutuelimisha
Asante Sana kwa ujumbe Mzuri
Kufanya Kazi moja kwa wakati mmoja
Ahsante sana kaka Joel kwa somo zuri,mm nipo katika point ya mwisho organize mpaka sasa ivi nashukuru naenda vizur na muda na kazi zangu hata jamii inafurahia huduma kutoka kwangu
Vizuri Sana Endelea Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Asante zote ni nzuri !
Ninakuangalia toka Zanzibar.... napenda mafundisho yako...maranyingi kila asubuhi Baada ya kusoma biblia na maombi huwa naangalia vipindi vyako na vimenikuwa vya baraka sana Ninaomba uniunganishe kwenye whatsapp group yako.
Samaani jamani niitaji Num ya watsap ajili nikuwe napata mafundisho ya Nplz
Asante sana kwa mafunzo yako.Kaka Joel natak kile kitabu cha wanafunzi nitakipataje npo Tanga.
Nina miaka 21 namshukuru Mungu nipo salama nimekuwa nikikutana na scenario ya kuongea na watu hasa wazima lakini wakabarikiwa na mm nazidi kujifunza naamini u will se me at the top b'coz l may , l Will , l can and l am happy new year bro Joel
Ahsante sana brother kwa elimu yako mungu akuongoze akuonyeshe njia pasipo kua na njia kama unapo nionyesha mimi ubarikiwe sana
Leo naanza na batching/ grouping
Asante kaka joe
Asante kwa mafundisho yako imenifunza sana na nitaanza kutumia muda ili kufanikisha malengo,hakika mungu akubariki sana
Mim hapo nitaanza na specific time limit on my duties, be blessed for your good lesson
asante kk Joel kwasomo hili uzidi kubarikiwa
mwalim joel nakuelewa sana kaka
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Mbinu kama zote hizo ulizozieleza zimenigusa kwa kweli ila sasa nmejifunza jinsi ya kupangilia mda wangu asante sana kaka Joel
Mbinu ninayojipanga kuanza nayo ni kufanya Batching.
Asante sana. Ubarikiwe
Nakukubali sn Joel una2fundsha v2 muhim xn ktk maisha ye2 thank u so much bro
learn to say NO - this is the first to me.THANKS MUCH.
Asante Mwalimu kwa somo zuri. Mimi hii mbinu ya kuorganize day task nitaanza nayo kuifanyia kazi
Kitu ca muhim sna time is very important mu maisha kabisa
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Kaka upo vizuri Sana nashukuru mungu tangia nmeanza kukufuatlia nimeanza kujiamini Sana sana
Thank you Brother, Leo pia umenifundisha na kuniongezea kitu cha mhimu sana ambacho nilikuwa sikijui, God bless you
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Umeniongezea tena ujuzi mungu akubariki.🙏
Thanks ,hiyo ya mwisho ni nzuri kuanza nayo
Thank you, kupanga majukumu ya siku ni tatizo kwa sisi wamama wa nyumbani na uku bado tunamajukumu ya chuo,shule inakua ngumu
akili yangu kusema hapana kwenye kitu ambacho Niko nje ya malengo,hiyo naanza
Kupoteza muda kwenye simu badala kutumia kwenye malengo ya muhimu hiyo naanza.kama vyote vimenigusa kwenye Gari kujibweteka tu hiyo ninayo najirekebisha thanks My teacher Joel
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Ubalikiwe mwalim wetu
asante hiii naanza nayo mwaka mpya
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Nimejifunza kusema no
Asnte sana kwa mafundisho mazuri i
nmejifunza kusema hapana and to focus on the task. asante sana na MUNGU akubariki sana
jambo la sita linanihusu sana kaka na nimeligundua leo kama vile umeniona.asante sana
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Nitaanza na kutofanya vitu viwili tofauti kwa wakati mmoja
Passive time this is one of my favourite
upo mkn sana kk
Asante Kwa Kujifunza
Nakufatilia san pia nafanyia kaz zaid kwakila utach kisema
Thanks bro kwa elimu ulioyo toa
Uncle... Asanteh sana... Umenisaidia ... Kunishaur na mm nitaanza na time
Blessed bro Mungu akupe miaka mingi uendelee kutufundisha na kuwafundisha wengine
Thnx najiona km nimechele maana kuna miez kum toka watu wakoment bt naona kama na mm ninazaidi ya miez hyo kumk i thnx i cn mr thn others ....abt time tatzo sana japo kidogo nalimeji ila siyo kihivyo i need 2 do mr thnx my blood wa faida God bless ur mr
Asante sana kwa mbinu zote muhimu.Naamini kila MTU kuna inayomgusa sana.Mimi naanza na kusema hapana.
Uzidi kutuelimisha brother..
Kwa kweli kaka Mungu akubariki najifunza mengi kutoka kwako
Matumizi ya mda nipo nyuma sana
Mda ni ishu
tuko wengi apo
#SeeYouAtTheTop
umenifunza sana Leo nitaanza na organization
learn to say no nashukuru sana kwa kujua hilo kwa maan m ni m2 ninayeshindwa kukataa kila ki2 kwa hili nitalitendea kazi
Totally huwa nafeli kwenye time management i need ushauri wa kisaikolojia
Kufanya kazi kwa spirit ile ya deadline.Nahitaji msaada hapa
Thanks sana your blessed
Kupangilia nifanyacho kwa siku ndio kitu nitakachoanza nacho leo..asante bro
Mbinu nayojipanga kuanza nayo ni ya 7.., ya kupanga ratiba ya siku nzima , asante.
Learn to say no ....... Thanks
Very insightful brother
Thank you spiker
Thanks For Watching
Mi Kwangu kupangaratibanzima yasikuu ndyoo lakuanzanaloo mungu akubariki Sana'a broo
Nakupata sana kk, nimebadilika sana
Hongera Kwa Kubadilika #SeeYouAtTheTop
Thank u kaka....unatuelimisha kwa kweli
kuipanga siku yako, nimeipenda zaidi japo pia ziko nyingi nilizo jifunza kupitia vdeo hii nashukuru kaka kwa kunikumbusha mungu akusaidie ili kurudisha thaman iliyo potea kwa mtu ali kata tamaa
#SeeYouAtTheTop
Good teaching Man of God, NOTED.
Kaka uko vizuri sana. Nakufuatilia sana. You are changing lives. Welldone
thank you so much for your teaching l have learned something new thank you.😁
#SeeYouAtTheTop
NAAMUNI hii organize time itanisaidia sana!! thanks sana bro! God bless?
Everything spoken is directly pointed at me. Thank you😊🙏🏾
asante saan brother
Asante Sana🙏
Happy new year
Passive time, i'll use time effectively
#SeeYouAtTheTop
Kaka umeongea true muda nikila kitu ktk maisha na ukiutumia vibaya utaujutia badae na haurud tena
1. Focus on the task - I’m that person who tries to multi task but end up not doing anything productive for HOURS... I will FOCUS ON THE TASK I SET TO DO!
Ubarikiwe sana
thank you so much brother l get a lot of knowledge be blessed
Blessed Two
Nafikiri ni kupangilia siku yangu na kazi zangu
Somo zuri sanaaaa kiongozi
Nilikuwa naenda kwa brother
Asante sana
Zote naona nzuri san
Thanks you Brother 🙏🏽
I wish you knew that you have changed my life-style.
Ahsante sana kka