DOTO MAGARI ,KIMEWAKA AGUSWA NA RICH MAVOKO AMUOMBA HARMONIZE AMSAIDIE JUMA NATURE AJE KUCHUKUA LAK5

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2023
  • #bongo24 #harmonize #diamondplutnumz
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 107

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 10 หลายเดือนก่อน +7

    Watu kama Hawa wachache kwenye nchi hii wao wamezaliwa kusema ukweli Tu respect brother

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 10 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa mshamba kweli...outlander 2014 ya zamani.254 tunazo 2017 model

    • @user-hl9xu4vo1q
      @user-hl9xu4vo1q 9 หลายเดือนก่อน +1

      2017 nayo ni zamani pia

  • @mackranmohamed659
    @mackranmohamed659 10 หลายเดือนก่อน +2

    doto nakukubali sna humpondei mtu ukiulzwa swali unafaglia tu kwa kiasi chake huna bya kwann mungu asikupe riziki zako

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mganga mungu ,mitishamba Imani na uchawi hela.eeh bwana wee #Bongo misemo kwao.#Konde boy wakati wake sasa

  • @user-hz5dv2el4m
    @user-hz5dv2el4m 3 หลายเดือนก่อน

    Nankubali doto

  • @me_adams_
    @me_adams_ 10 หลายเดือนก่อน +4

    Si alisemaga hamjui harmo

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa yupo sawa tu tena big up kwake

  • @modycombo7421
    @modycombo7421 10 หลายเดือนก่อน +7

    Ni mitsubishi outlander,sio otelander dah hatari😊

  • @user-yj5xv7xg5z
    @user-yj5xv7xg5z 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa🎉🎉tumpe maua yake br anaweza mganga mung mitishamba iman😅😅

  • @Combinemedia7569
    @Combinemedia7569 10 หลายเดือนก่อน +5

    Acha ajivunie sababu ata mm binafsi sina na ninatamani hakuna haja niponde

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 10 หลายเดือนก่อน +3

    2014 Mpka xai...na bado unasema n mpya...hio n reject kwa xaxa😅😅😅

  • @user-qu1dz2ed1b
    @user-qu1dz2ed1b 5 หลายเดือนก่อน +1

    😮😮😮😮 doto apewe mauwa yake

  • @davcodavid8651
    @davcodavid8651 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeipenda singel tiki😂😂😂😂🎉

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 หลายเดือนก่อน +1

    nakuerwa sana doto kuriko mbwa diamond atakufa mapema kama jpm udictetar mungu anawaua mapema kuaribu maisha ya rich mavoko nakina juma na insectar mungu mfanyie unayo weza tukiwa hai tuone

  • @user-zb8bv8cf5z
    @user-zb8bv8cf5z 10 หลายเดือนก่อน

    Naqbar sana dotto magar❤❤❤

  • @halfenmkuki340
    @halfenmkuki340 10 หลายเดือนก่อน +3

    Asubuhi tarehe moja..jioni mwisho wa mwezi 😂😂

  • @user-xe1fl3rz7g
    @user-xe1fl3rz7g 5 หลายเดือนก่อน

    good job

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ditto magari kila mtu anamsifiaa 😀😀🇹🇿

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 10 หลายเดือนก่อน +6

    Madalali kwa maneno mengi😂😂😂 hatar sana. Sema gari ya mda mzee it's 2014 vehicle ila fresh tu dalali mwendo wa mazoez tu hata vits itapambwa kama bugatti 😅

  • @MaulidiMagoola-ti1pv
    @MaulidiMagoola-ti1pv 10 หลายเดือนก่อน

    Dott magar nakubali

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wanosema gari la kitambo 2014 sijui wanalo kama hili ama zaidi ya hili.Dharau mbaya jamaa.Doto magari Yuko sawa .

    • @user-rh7ty7bt4d
      @user-rh7ty7bt4d 10 หลายเดือนก่อน

      Wapumbavu tu kikubwa nijipya

  • @HamisKalulumbe-fv8hc
    @HamisKalulumbe-fv8hc 10 หลายเดือนก่อน +1

    Oto lenda

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanapenda sifa😅

  • @shabanipande5379
    @shabanipande5379 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa nomaaa😅😅😅

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mtu sio nyau😅😅😅

  • @MasiziaKari-lh6wc
    @MasiziaKari-lh6wc 10 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏

  • @stanleynyale2755
    @stanleynyale2755 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mkisema milioni 35 tafadhali semeni za Tanzania

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kwan kuna milion 35 ya uganda

    • @stanleynyale2755
      @stanleynyale2755 10 หลายเดือนก่อน

      @@gustavompemba1781 Kenya tukiskia milioni 35 twashtuka

  • @ally_star
    @ally_star 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu msenge sindio alisema hamjui konde boy leo kamjua au

  • @aliomaraliomar6078
    @aliomaraliomar6078 10 หลายเดือนก่อน

    Chawa mshamba

  • @naswiruidrisa-pu2kv
    @naswiruidrisa-pu2kv 10 หลายเดือนก่อน +1

    😃😃

  • @timothybanda6034
    @timothybanda6034 10 หลายเดือนก่อน +2

    imefika iyo mku

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 10 หลายเดือนก่อน +1

    Muadhishi kava kanzu ra kulaliah uku oman hayo ya kulalia tz mnatutiha haibu jmn

  • @joshua.o.makundi3079
    @joshua.o.makundi3079 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 MENO YA KUUNGUA

  • @elgringo8592
    @elgringo8592 10 หลายเดือนก่อน

    Et kitamba kama cha sofa😁😁😁

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 10 หลายเดือนก่อน

    Nyoa hizo nywere kaka

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwenye madigad umesha
    Piga vipin hili medgard yasije
    Ukayaacha barabaran
    Hakuna gari hapo mzee

  • @bukulutheboss5141
    @bukulutheboss5141 10 หลายเดือนก่อน

    Dotto magar van boy Alikimbiliwa na wanajesh ilikuwa kongo na sio marekan kaka

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 10 หลายเดือนก่อน +2

    Doto magari kiboko bwana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati wake

  • @dilanfamous9529
    @dilanfamous9529 10 หลายเดือนก่อน

    Doto magali nikiboko uyu jamaa

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 10 หลายเดือนก่อน

    Duh

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 10 หลายเดือนก่อน +2

    MTANGAZAJI UJIPANGE SIKU INGINE UKIMPA NAFASI YA KUONGEA TUUU 😂😂😂

    • @Mr_maamen360
      @Mr_maamen360 10 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 10 หลายเดือนก่อน

    Huwez kumuuzia mtu Kwa bei iyo. Zanzibar ...Acha kuwavimbia watu Kwa gari ya toleo la 2014

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 2 หลายเดือนก่อน

    Wazungu Wana Akiri Kuriko Wewee Usiseme Sisi Chiizzi Wee

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 10 หลายเดือนก่อน +1

    Madalali wa magari wanajua kuongea hatari

  • @mapesagreen2436
    @mapesagreen2436 10 หลายเดือนก่อน +1

    Anatafuta ugali ndo namna yake ya kupata ugali yuko sawa

  • @subrafive4193
    @subrafive4193 10 หลายเดือนก่อน

    Na kenya zimejaa za 2022 wewe unasema za 2014 enyewe tz muponyuma sana

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 10 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂

  • @allenbierra8841
    @allenbierra8841 10 หลายเดือนก่อน

    Blackstage yake😂

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 10 หลายเดือนก่อน +2

    Iv mnaoji ama mnatangaza biashara

  • @mackranmohamed659
    @mackranmohamed659 10 หลายเดือนก่อน

    we unalo ilo la 2014 mwache atangaze biashara yake bwana

  • @frankmgunjimgunji9261
    @frankmgunjimgunji9261 8 หลายเดือนก่อน

    ila dotto 😂😂😂😂😂

  • @user-rh7ty7bt4d
    @user-rh7ty7bt4d 10 หลายเดือนก่อน

    Ata kama iwe ya 2014 ila mpya

  • @nomineetz255
    @nomineetz255 10 หลายเดือนก่อน

    Wanajeshi gani wa marekani waliomkimbilia unadhani ni hao wetu wa Tz?? Kwanza huyo hajulikani hata kwa watu mia huku alafu ulete pelee zako za wamarekani eti kupiga picha nae 😂😂😂 oyaaa alipiga picha na wale makuruti wa DRCongo😊😅😅

  • @user-jr7kn7sd2y
    @user-jr7kn7sd2y 10 หลายเดือนก่อน

    2014-2022-😂😂You say a new car, leave the farm, but you know if we will talk, but leave the stupid officials

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 10 หลายเดือนก่อน +11

    Uyu jamaa mshamba kweli gar ya mwaka 2014 unaongea mbele za watu kwa kujigamba ungesema tu nashukuru mungu mepata usafiri wangu bas sio kwa kijigamba uko

    • @nurdinmkwachu28
      @nurdinmkwachu28 10 หลายเดือนก่อน +8

      Gari ya elfu 14 kibongo ni gari mpya sana bro gari zote za mtaani tunazo miliki ni 2010 chin huko

    • @simbaasad5811
      @simbaasad5811 10 หลายเดือนก่อน +6

      Mbona kali sana. Au unadhani magari yanatazamwa kama bithday za watu.

    • @mbwanamtessa8607
      @mbwanamtessa8607 10 หลายเดือนก่อน +3

      Sasa hapa bongo magari tunayo endeshaga miaka nenda rudi unataka kusema kilometa 00?
      Wanaoendesha kilomea bongo wana hesabika banah we ndo unaonekana unakinyongo sasa.
      Mwache jamaa ajigambe anamagari ya kizamani sawa lakini anamengi siyo moja. Haya sasa we unagari la mwaka gani mwenzetu?

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 10 หลายเดือนก่อน +8

      Ikisha hajigambi hii nibiashara wacha makasiriko

    • @ugexclusive6674
      @ugexclusive6674 10 หลายเดือนก่อน +3

      utakutaaaa Unamponda Mwenzako Lakini wee Hataa IST ya M.4 Hauna

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar1983 10 หลายเดือนก่อน

    Muslim

  • @masizitony9800
    @masizitony9800 10 หลายเดือนก่อน

    💪💪💪🦣🦣

  • @mtangacomedy
    @mtangacomedy 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂🎉

  • @user-dh5jg7cp7v
    @user-dh5jg7cp7v 10 หลายเดือนก่อน

    Ukifa huozi

  • @aminiayubu4199
    @aminiayubu4199 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unasema je new model wakati ni 2014😂😂 wa bongo mnamambo

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 10 หลายเดือนก่อน

      Tulia ujuh kitu kuhusu magar

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂