Richie mavoko kunyamaza ni sawa.aseme Nini sasa?namshauri asimjibu mtu chochote.kimtazamo wangu rich mavoko akili nyingi usipo kijua hilo huwez kumueleza mwana muziki nguli kama mavoko kupiga show Chaka tu chaka.faida ya kwanza anaongeza mafansi wengi pia anapiga pesa ndefu kuliko mnavyo fikiri.mdogo wangu piga kazi wasiokuelewa sasa watakuelewa baadae mungu akubariki sana.
I miss you mavoko please come back like before we miss you please❤❤❤❤❤❤❤
KAZI ni kazi
Richie mavoko kunyamaza ni sawa.aseme Nini sasa?namshauri asimjibu mtu chochote.kimtazamo wangu rich mavoko akili nyingi usipo kijua hilo huwez kumueleza mwana muziki nguli kama mavoko kupiga show Chaka tu chaka.faida ya kwanza anaongeza mafansi wengi pia anapiga pesa ndefu kuliko mnavyo fikiri.mdogo wangu piga kazi wasiokuelewa sasa watakuelewa baadae mungu akubariki sana.
Piga kazi bro,,,kwani watu wa kijijini hawahitaji burudani?.Rich funga mdomo wako bro,,, maisha popote.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Waaaazi ushasema bro nakuaminia
Hili liongo sn mpuuz njaa hizo
H baba Leo ndo nimekusklza Leo umetoa maelezo yanaelewk
Haaatar ,, 🔥🔥🔥🔥🔥 na sio buku 2. Hapa kuingia buku mojatu
Mavoko must get a wave to top as the way he was from the past...i really regret missing his hit songs for long ..God is with Him 🙏🙏
H baba uhakika Mani kweli hiyo ishu wabongo hawaijui
Kweli h baba nimeanalia kwa umat ule hata ulipe 2000 inalipa sana
Mtake radhi KONDE 🙌🙌
H baba million tatu ya nyoko
Huyu jamaa kwel anamjua budagala,. Mpka nyakomogo amepajua🙌🙌🙌🙌🙌
Bwana kaka kafeli
Nikweri hizo show zinalipa kinyama andika budagara mwanamalonji live show huone nyomi
Rich pesa ni pesa tu piga pesa bro
Upo sahii ata inaga uwezi linganisha na wabana pua
Umeongeya point kubwa h, baba
Daah