Asilimia 90 ya watu wa New York ni waitaliano, Ireland na Puerto Rico pamoja na visiwa vingine vya Caribbean. It’s not where you from it’s where you gat. Hii alisema marehemu Big Pun mzaliwa New York mwenye asili ya Puerto Rico. Dar haina Mwenyewe
Ukizaliwa Kinondoni halafu hujui kusoma halafu unakuwa chawa wa hao unawao waita wakuja Kina Issa Tambuu (Issa amekuja Dar ni mzaliwa wa Kiloleni Tabora) hivi unaweza kuwa na mzima kweli?! huyu jamaa ana matatizo ya akili wallah halafu bado unga upo kichwani
Kaka dotto Mimi na kukubali unaongea manedo ambayo ni ya ukwer uokotezi maneno wala utafutizi maneno na sikuzote ukiwa unaongea ukwer lazima watu tukuelewe❤my broo
Hvi we uko sawa kwel au unaropoka unasema hamuezi baba levo we ushawai kuangalia account zao za pesa za wote wawili,haya sWa lbd baba levo unaweza kujua lbd mke wake je dotto unajua account yk
Misemo ya kizamani hiyo eti mi nimezaliwa hapa sasa kuzaliwa ndio nini wazawa ndio wanaongoza kwa ushoga uvivu kukaa kwao kugombea nyumba za urithi mateja uwezo mdogo wa kufikiri mnakomalia uzawa huku wageni ndio wanaoujenga mji.
@@tracycheptoo305 ndio we mzawa unajivunia nini zaidi ya ushoga na kugombea nyumba za urithi? Huyo issa tambuu anaemfuga huyo mbuzi nae sio mzawa sasa unamuona ana akili huyo uzawa wako unakusaidia nini kama unatumwa na waha?
From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wanangu wa Tz watuwaburundi tunaumia navowaita wakigoma Eti nima foreigners iyo Sio powa wakati Tanzania ukichua kigoma by force Kama Israel ivyo chukua Gaza hiokauli sionzuli
Ivi mtanzania Alisi una mjuwa wewe ? Ama Kweli masomo ni kitu chamahana Sana .pemba unajuwa ni uukohoo was wapi acha mdomo inchi Aina mtu alisi.labuda . Uliziya history ya Tanzania wewe ujuwi vizuri
Lakini THE BIG BOSS DOTO MAGARI kwanini unaumiza kichwa na mtu ambae yupo kwa mtu kama chawa wakati wewe ni boss kubwa mfanyabiashara wa magari tena unaenda uk na marekani kama vile unaenda kariakoo ukitoka kinondoni yanini uhumize kichwa fanya biashara maisha yaendelee
Doto Awakuwezi...watu tumekupitishaa Upepo wako ni shida mjini na awakupati ngo labda mungu alete kadarii zake sema usiache ibada shekh...na mwanao tambu ishiii nae kwa wema maana wanafiki ni marafiki ndo watu wakualibu ugari wako
Brother Doto nakukubali sana kwa ukweli wako diamond hana hela na ndege hawezi kununua,,,, baba levo elimu hana ila yuko wasafi kutukana watu tu,,, wasafi redio ya machawa tupu kazi yao kusifia watu na sio shughuli za Habari
Dotto nimekukubali upo vzr kwenye issues za KYC-Know Your Customer ni muhimu saana kuficha Siri za mteja siyo makele kila saana! Upo vzr kijana
Lazima ujue mteja wako katoka mbali kufika ulipomkuta siyo anakuingiza sebuleni tu makeleeeeeeee, siyo ethical kabisa
Unapenda Kiki mtumzim ovyo fany kaz Acha
NOO!! Doto yuwaongea points z muhimu xai watu n kuoneana wivu
Mtu anaongea ukweli ww unaleta mambo yako ya utimu
Wazaram tujuane 😂😂😂😂
Wasanii wanavaa machen na mapete kutoka a na kazi Yao,wewe umevaa mapete kama mganga WA kienyeji au
Katafute bwana na wew😂😂😂hacha makasiliko
dotto mmbwa tu uyo
Tuliozaliwa bongo tunajiamini sanaaaa. Big up dotto magari mwenye kinondoni yako
Doto uko vizuri mwanangu, unajua kuwachana wajingawajinga, wasiojitambua.
Asilimia 90 ya watu wa New York ni waitaliano, Ireland na Puerto Rico pamoja na visiwa vingine vya Caribbean. It’s not where you from it’s where you gat. Hii alisema marehemu Big Pun mzaliwa New York mwenye asili ya Puerto Rico. Dar haina Mwenyewe
🙏umeongea ukwer dotto mungu akupe maisha mlfu bhna
Mmmh
duuu dotoo achaa kugombana na machawaa piga kazi watakuaribia brand
Influencer.....mweny kinondonii yakeee salute san Doto magariiiiiiii.........unatishaaaa brazaa very bright
Mjomba umenikumbusha kipindi cha malani malani wee hatari
mama levoashasemaga anatamani kua mwanamke amzariee mondi mtoto
DOTO SAHIVI NDO NAANZA KUKUELEWA KAK UNA AKILI SAN INGAWA HAUJASOMA, KAM NIMEWAHI KU COMMENT KITU CHOCHOTE KIBAYA JUU YAKO NAOMBA UNISAMEHE☺️🙏🙏
Ukikuta mwanaume anavaa dhahabu basi lazima atakua lege lege tepe tepe
Ukizaliwa Kinondoni halafu hujui kusoma halafu unakuwa chawa wa hao unawao waita wakuja Kina Issa Tambuu (Issa amekuja Dar ni mzaliwa wa Kiloleni Tabora) hivi unaweza kuwa na mzima kweli?! huyu jamaa ana matatizo ya akili wallah halafu bado unga upo kichwani
Awa ndo wale wandishi wanao mwogopa arsenal wenger😅😅😅😅wambea no education 😅😅😅😅.
Mama levo ana kinazi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaka dotto Mimi na kukubali unaongea manedo ambayo ni ya ukwer uokotezi maneno wala utafutizi maneno na sikuzote ukiwa unaongea ukwer lazima watu tukuelewe❤my broo
Nchi ngumu sana hiii dah!! Kila siku nchi inazalisha machawa tu itafika kipindi nchi nzima itakua chawa tupu
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂✌🏻
Et chawa tupu🤣🤣🤣
Ila daaah kinazi cha uzaramoni😊😊
Baba levo FALA tu..hamfikii DOTTO
Baba levo ni mbwa tu simpendi
Baba levo ni brand kubwa, sasa wewe tuta kuhingiza mjini tulikuwa atukujuwi!!!
Unaweza kumuingiza mjini mtu aliezaliwa mjini?.
KuHIngiza 😂
😂😂😂😂😂😂 dotto jeuri
Dahh 😂😂😂 @babalevo aje hapa
Kachonga pua kwa dik
😂😂😂😂pens Kama mzee ojwang,,,mbichwa huooo😂😂😂
😂😂😂😂
Baba levo kaingia 18 za mzaramo
You always make my day from Zambia
Vuvuzela ipi😂
Jamaa cjui alianzaje kumchokoza huyu mwamba😂😂😂 yani kama muvi za kihindi YAISHE - HAKUNA KWISHA😅😅😅
Apa ipo😁
Mwanzo alisema apend uchawa now umekuwa chawa pili ukisema unamzid baba levo Ila hata nusu uwez kumfikia iwe pesa au nn 😂😂😂
Dotto ni Mnyama. Mtoto wa Mjini
Hvi we uko sawa kwel au unaropoka unasema hamuezi baba levo we ushawai kuangalia account zao za pesa za wote wawili,haya sWa lbd baba levo unaweza kujua lbd mke wake je dotto unajua account yk
Jamaa anaongea km recorder😂😂😂
Misemo ya kizamani hiyo eti mi nimezaliwa hapa sasa kuzaliwa ndio nini wazawa ndio wanaongoza kwa ushoga uvivu kukaa kwao kugombea nyumba za urithi mateja uwezo mdogo wa kufikiri mnakomalia uzawa huku wageni ndio wanaoujenga mji.
Wakuja Nini🤣🤣
@@tracycheptoo305 ndio we mzawa unajivunia nini zaidi ya ushoga na kugombea nyumba za urithi? Huyo issa tambuu anaemfuga huyo mbuzi nae sio mzawa sasa unamuona ana akili huyo uzawa wako unakusaidia nini kama unatumwa na waha?
Tutofautishe kat ya mzaliwa na mtt wa mjin
Eti anaacho cha heshima ya kizaramo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 hamniuii
From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wanangu wa Tz watuwaburundi tunaumia navowaita wakigoma Eti nima foreigners iyo Sio powa wakati Tanzania ukichua kigoma by force Kama Israel ivyo chukua Gaza hiokauli sionzuli
Kulwa magari yuk wap😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Yani nimecheka kama manzur ila namuone uruma dotto ila pole
mama levo keshafungwa jela mbwa yure bado wa kujaa
Dotto hii imeendaaah
Dotto magari
Cha buku jero
Kuna watu wanakipaji cha kutembeya na gramma za kiswahili noma sana 😂😂😂😂
Nitampeleka india akafanyiwe operesheni imekwenda hiyooooooo
Zambia 🇿🇲
Ivi mtanzania Alisi una mjuwa wewe ? Ama Kweli masomo ni kitu chamahana Sana .pemba unajuwa ni uukohoo was wapi acha mdomo inchi Aina mtu alisi.labuda . Uliziya history ya Tanzania wewe ujuwi vizuri
Hawakuwezi dotto
Baba Levo ameyakanyaga😂😂😂
Braza dotto wewe ni kilele nakuelewaaa,awoo ni wakunyaaa
Lakini THE BIG BOSS DOTO MAGARI kwanini unaumiza kichwa na mtu ambae yupo kwa mtu kama chawa wakati wewe ni boss kubwa mfanyabiashara wa magari tena unaenda uk na marekani kama vile unaenda kariakoo ukitoka kinondoni yanini uhumize kichwa fanya biashara maisha yaendelee
Ongeya Kiswahili wewe kingereza Kita kuhuwa mjinga wewe mama ako
Chet t
😄😄ati kazi ya kuelekeza watu kwa waganga
Baba levo kayakanyaga huku hhhhhhhh
Eti Pua kama gogo la mnazi😂😂😂
Doto anaongea ukweli,, usimsifie mtu bila kupewa chochote.
Doto Awakuwezi...watu tumekupitishaa Upepo wako ni shida mjini na awakupati ngo labda mungu alete kadarii zake sema usiache ibada shekh...na mwanao tambu ishiii nae kwa wema maana wanafiki ni marafiki ndo watu wakualibu ugari wako
Wazaramo hatukubali kushindwa ila dotto upo vizur mm mzaramo mwenzio nakukubali upo vizur sana.
Mzaramo harisi kupigana ngumi hawezi ila kwamdomo, anaweza kukuzimisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣baba levo hapa umeyatimba mdogo wangu mzaramo kwamdomo ndo ofisi yake
😂😂kbs😂😂
Brother Doto nakukubali sana kwa ukweli wako diamond hana hela na ndege hawezi kununua,,,, baba levo elimu hana ila yuko wasafi kutukana watu tu,,, wasafi redio ya machawa tupu kazi yao kusifia watu na sio shughuli za Habari
Pua kama gogo la mnazi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Musemaji wa matajili
Kwani kuzaliwa dar tayari unamzidi mtu?
Usiingize maswalala yenu ya kipumbavu kumtaja mama samia!
Embu kwendaga na wew😂😂 kwani mm samia mungu
Doto wanyeee kinondoni ww ndiye umeiludisha Tena Mjini.Chawa awakuwezi wanyee . Baba levo hapo kayakanyanga
Doh Baba levo kapangiwa na WA.,..
mtt wa kiume unaongea san mngse nn usijifananish n Baba Levo ww mpuuz
doto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh nyamipua kayakologa kumbe anakishipa
Ameyatimbaaa😅
haaaa haaaa baba levo aombe radhiiiiii wallah kayakanyaga
babalevo mjanja sana anataka amuinue Dotoo amshushe mwijaku... anataka atengeneze combination ya blevo na dotto.
Mshkji mtangzaji huna shati lengne bos wngu ndio hlo hlo au mach yngu
Dotto ❤ from Zambia 🇿🇲 you are the best 🙌
Serious I always follow him ,from Zambia 🇿🇲 too
Mama levo mburundi mpua huo 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
baba levo utawauwa machawa mjini kipaji chako ni kikubwa sana lakini hakuna namna endelea kuwanyoosha kaka🙌🙌🙌
WENAE HUNA ATA AKILI ANAAKILIGAN UYO BABA LEVO MCHEZA KAMALI AKILI HANA KUBWA ZIMA AKILI KISODA
Kweli wewe sio mtz ...maneno mengi yasiyo na msingi
Mwandishi ambae ajasomea taluma kazi yake nikuchonganisha watu🚮
Dotto mwamba wa machawa wote doto magari sio chawa
😂😂😂😂😂 Ety kaenda kuchonga pia yake
Mtoto wakiume unabana sauti fala kwel b open na voice yako acha kubana pua na saut mjnga ww
Baba Levo ni habari nyingine we kuma😀😀😀😀
Acha ukiazi we mzaramo
Duuuh aisee Kaka unatisha kabisa aiseee
Sawa dotomagari nyoandevu nanyelebasi
Mjomba nimekukubali sana wcb wote ni warundi muhulize diamond bibi yake katokea wapi?
Liziki mwanzo wa chiuki 😅😅😅😊
Big up
Tujuane
Tuliozaliwa mjini😂
Icho cha wazaramo sasa hapo mwijak akikipata kwishaa atamchambia nacho
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣iladoto duu nimepata dubweeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa inakuwa aje mtoto wa kiume unavaa dhahabu wewe ah
🤣🤣🤣🤣
Achana nae dotty bwinga tyuu
Wabongo wana roho mbaya,
Inforesta sijaelewa ,