Wawoo nakukubali kingwe umeonge jambo zuri sanaa wasanii wakubwa wasiwazarau mashabiki wao wa vjijin nao wanaitaji burudani hao viewers mnaowapata wengenie wa chaka to chaka kwaiyo wafateni kwai kiwango cha hari zao
Tin hongera xana Hilo wazo coz Kuna xehem nyingne wananch wanataman burudan lakin wasanii hawaji hvyo kwa Hilo mmetisha mkojan na tin njooni na swax mtoe burudan
Diamond alifanya shoo chaka kwa chaka zamani akiwa anajitafuta siyo sasa, gharama ya yy kufanya shoo ni ngumu kwa promota kumlipa afanye hizo shoo atarudishaje pesa yake. Makampuni pekee ndiyo yanaweza kumlipa diamond kufanya shoo hizo maana ndiyo wanapesa kuwalipa wasanii wakubwa,
@@mpondajumbe Europe hakuna chaka to chaka bali huwezi fanya show bila kuwa na kibali na muda wa kazi ukiwa hiyo Nchi, watu wapo bize na kazi kuliko TZ na muda ni pesa siyo story na tickets zinaweza kuisha lkn wasije wote kwa sababu ya ubize wa watu.
For real Kingwendu...mi nipo UK na ninajua kila ulilosema ni kweli....Nipo David Lloyd Chelsea hapa na repair AC..Stormzy kaja Gym...kaja mwenyewe ana drive bila msafara
Aliyepiga shoo ni mavoko Sasa lawama zote zinamwangukia diamond.😢😢😢😢Diamond na alikiba niwasanii wakubwa Sana Acheni kuwaongelea kwenye hayo machaka yenu
Anamaanisha ameenda nje lakini hana majivuno ana fanya show Kijiji na huko alipoenda alifanya show lakini hana kiburi kwa mashabiki wake anajigawa na yupo tayari kupokea Hela yoyote tokakana na mazingira ili mashabiki wake wafurahi
Diamond ndo mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake mavoko alipo Toka wasafi akaekewa kamati ya watu ishirini Ngoma zake zisipigwe Kwa tv au redio we unamsikia asahivi mavoko kama sio mbaka uwuke frash
Diamond ndo mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake mavoko alipo Toka wasafi akaekewa kamati ya watu ishirini Ngoma zake zisipigwe Kwa tv au redio we unamsikia asahivi mavoko kama sio mbaka uwuke frash
Diamond ndo mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake mavoko alipo Toka wasafi akaekewa kamati ya watu ishirini Ngoma zake zisipigwe Kwa tv au redio we unamsikia asahivi mavoko kama sio mbaka uwuke frash
Sio kama atuwez kufanya jambo bila kumtaja diamond platinum ila ni hivi diamond ndie mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake Ili wasimfikie anataka apige pesa peke yake ndyo mana ngona za mavoko azipigwi mana walimuwekea kamat ya kumpoteza mavoko Hilo tunajua watanzania
Diamond is always the talk of the day in Tz. Wow! guys give him a break.
Ni jambo zuri sana,shida ya baadhi ya mastaa wa kibongo huwa wanasahau walipotoka na hii si nzuri kiuhalisia
Legend Kingwendu u the best
Oy wanatutenga sana hao mastaa japo nishabiki wao sisi
Asante sana kwakuongeya ukweli ❤
Wawoo nakukubali kingwe umeonge jambo zuri sanaa wasanii wakubwa wasiwazarau mashabiki wao wa vjijin nao wanaitaji burudani hao viewers mnaowapata wengenie wa chaka to chaka kwaiyo wafateni kwai kiwango cha hari zao
Tin hongera xana Hilo wazo coz Kuna xehem nyingne wananch wanataman burudan lakin wasanii hawaji hvyo kwa Hilo mmetisha mkojan na tin njooni na swax mtoe burudan
Bien dit mon père kingwendu des puis 👉👉👉👉RDC
Mm 2020 nilienda kahama kuna sehem inaitwa uroa , namba 5 huko, watu hawamjui diamond ila wanamjua kingwendu
🎉🎉🎉point baba ni kawaida tuu❤ tuna wakaribisha kwetu masaki sungwi msanga ngongele😅😅😅😅
Karibu mfanye Chaka tu Chaka Mbeya vijijin,ni msimu wa pareto kata ya Ilembo
Kingwendo umeongea ukweriii ❤
Kingwendu mbona unanongwa sana 😅😅😅
Diamond alifanya shoo chaka kwa chaka zamani akiwa anajitafuta siyo sasa, gharama ya yy kufanya shoo ni ngumu kwa promota kumlipa afanye hizo shoo atarudishaje pesa yake. Makampuni pekee ndiyo yanaweza kumlipa diamond kufanya shoo hizo maana ndiyo wanapesa kuwalipa wasanii wakubwa,
Ila ulaya wanaenda kufanya Chaka to chaka
@@mpondajumbe Europe hakuna chaka to chaka bali huwezi fanya show bila kuwa na kibali na muda wa kazi ukiwa hiyo Nchi, watu wapo bize na kazi kuliko TZ na muda ni pesa siyo story na tickets zinaweza kuisha lkn wasije wote kwa sababu ya ubize wa watu.
Kwani yeye hawezi kufanya kwa ajili ya mashabiki...?
@@charlesmashauri3704 ipo wasafi festival
😅😅😅 Acha uongo Diamond mwezi wa 6 alikua Lupa tingatinga unapajua wewe
gwendu ngwendu 👑💪💪
Sana nikwel ulio sema nikama richi mavoko alivyo pgi sho kijijini sasa uyo ndomsani
For real Kingwendu...mi nipo UK na ninajua kila ulilosema ni kweli....Nipo David Lloyd Chelsea hapa na repair AC..Stormzy kaja Gym...kaja mwenyewe ana drive bila msafara
Kingwendu umeongea ukweli😂😂😂😂 mtupu
Hawawezi kuongea kitu chochote bila kumtaja diamond! Yaani haiwezekani kabisaa
😂😂umeonaeee watu wanamuwaza sana mondi ucku na mchana ili aanguke lakin wap mpambanaji yule hawamwezi wataishia kusema2 anakata nyota watu😅
Haiwezekan mtu kuhubir bila kumtaja shetani
@@sultansallah8772utawezaje kuhubiri bila kumtaja Mungu?😂😂
Kingwendu bwana kwa msimuui
Naombeni namba ya mkojani mwenye nayo
Hauna baya miyangu
Ushauli wangu nendeni kwenye mavuno kwa Sasa sizani
Diamond kila kitu Diamond duh 😅😅
Hata USA kwani wanapiga wapi pa ajabu mzee hupo sawa hasilimia nyingi watu wanaowaleta ni wa Nigeria na wa congo drc kutoka Uganda
Nimeipenda chakatuchaka karibuni apo kataa ya Nzovwe Mbeya Mjini hi ndoo kataa alipo zaliwa rayvanny na kusoma hapa hapa...
Mnaumia Dai akitajwa hahaha dvkwrsp
Kingwendu alitaka kuongea kuhsu kiingilio 😀wamemkatisha
Umeona eee😂😂😅
Nikweli sisi ndio tunao ishi Uku tunaona show zao ni sisi wa Africa tu ndio tunao endaga kwenye show zao
Chaka to chaka ya ulaya😂😂😂
Ukiona huongelewi huna jambo lakin mtu maarufu au mpambanaji yeyote lazima utasemwa semws tu ujue unakitu unamafanikio unajitambua unajielewa
#nakubal waukae umeua san
Bongo tuanzie DODOMA
Sasa Diamond anaingiaje uko????
Diamond ni msanii mkubwa sana naona kila mfano ni Diamond platnumz 😂
Kweli kwa sasa
Ulikuwa hauamin au
Si ndio maan ya msanii mkubwa
wakuloganatuu👹👹
Diamond mda wake unadidimia
Kingwendu 😂😂😂
kingwendu kawachana hamna kitu apo
Aliyepiga shoo ni mavoko Sasa lawama zote zinamwangukia diamond.😢😢😢😢Diamond na alikiba niwasanii wakubwa Sana Acheni kuwaongelea kwenye hayo machaka yenu
Acha uchoko ww
Nikweli bhana sijawahi kuona wazungu wanajazana wafilicka Sana
WASANII WAKUBWA WANAJISKIA NA WALITOKA CHAKA TO CHAKA
Kisingizio tu point nikwamba huku mjini pesa haisomi
Mbona festival ya daimond ruangwa kiingilio 2000 hd 5000 sawa tu Hawa hakina tini hamna tofauti
Duuh hv kwel ilkua buk mbil kk
Aya bhana
Tazama mtangazo wazamini TV usiongee bure.
Ndio nisaw maana kule ni vijijin sana shida kinacho zingua steg
Mnataka mpeleke na diamond kwenye ujinga wenu uo nyie chezen nauyo aliefulia
show gani umefanya ulaya bhana tuonyeshe video za hizo show ulizofanya ulaya
Bc ajafany
Sasa una bisha nn
Bayern Munich inahusikaje hapo
Anamaanisha ameenda nje lakini hana majivuno ana fanya show Kijiji na huko alipoenda alifanya show lakini hana kiburi kwa mashabiki wake anajigawa na yupo tayari kupokea Hela yoyote tokakana na mazingira ili mashabiki wake wafurahi
Yaani Tz bwana halifanyiwa jambo bila ya kumtaja DIAMOND WEEE mawazo yote yapo kwa SIMBAA😂😂😂
Diamond ndo mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake mavoko alipo Toka wasafi akaekewa kamati ya watu ishirini Ngoma zake zisipigwe Kwa tv au redio we unamsikia asahivi mavoko kama sio mbaka uwuke frash
Diamond ndo mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake mavoko alipo Toka wasafi akaekewa kamati ya watu ishirini Ngoma zake zisipigwe Kwa tv au redio we unamsikia asahivi mavoko kama sio mbaka uwuke frash
Diamond ndo mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake mavoko alipo Toka wasafi akaekewa kamati ya watu ishirini Ngoma zake zisipigwe Kwa tv au redio we unamsikia asahivi mavoko kama sio mbaka uwuke frash
Sio kama atuwez kufanya jambo bila kumtaja diamond platinum ila ni hivi diamond ndie mchawi mwenyewe anawapoteza wasanii wenzake Ili wasimfikie anataka apige pesa peke yake ndyo mana ngona za mavoko azipigwi mana walimuwekea kamat ya kumpoteza mavoko Hilo tunajua watanzania
@@MohamedJumanne-wn9ouwachawi mnajuana
Mnakutana huko uchawini