🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2023
- 🔴#LIVE: RAIS SAMIA - "HAKUNA ANAYEIMILIKI TANZANIA, NI YA KWETU WOTE"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Maneno ya hekima kubwa sana iliyojazwa na Mwenyezi Mungu, ubarikiwe sanaaaa mama.
VERY INCOMPETRNT!
Tulio soma cuba tumeelewa
Ungemjua Mungu Usingesingizia Watu Magaidi, Wahaini na Usingeua Wamasai Loliondo na Kuuza Bandari na Misitu.
Tunamshukuru Mungu kutupa Rais makini Mungu azidi kukubariki
Mama ametunasihi wenye akili tumefaidika asante sana mama Mungu atuongoze sote katika Haki
Mama keep moving forward.
Mama etu tunakpenda we kua makini 2 sie wengine atuna neno kama ni kheri bac Allah s.w akuongoze fanya kazi
Mama samia una kazi nzito sana hasa kuiongoza mijitu migumu kuelewa kama tundu lissu nakupa pole mama
Usirudi nyuma mama twende mbele kwa kasi tutafika in sha Allah
Safi sana piga kazi mama tuko pamoja na ww
Message send and delivered for those who are unpatriotic and hiding behind the religious and racial image.
Thumb up to you mama.
Allah bless you
Mama mungu akubariki sana
Mama tunakuelewa mama yetu hawa wafata mkumbo tupo nao tunaishinao wala usitetereke nakubali kusimamia amani yetu kikamilifi na kuondoa upuuzi wa ajabu ajabu Tanzania kisiwa cha amani
Na Maaskofu Wote wa Katoliki wote 37 Nao , Tibaijuka, Shivji etc Nao wamekuwa Kama Ng'ombe.
Wewe Unakiuka Vitabu vya Dini KWA KUUA WAMASAI LOLIONDO. ACHA UTAPELI
Usipate presha. Tunakuunga mkono tunawadharau hao kwa matusi yao. Mama atakayekutikana mpeleke mahakamani halafu akulipe. Hizo pesa wape watoto yatima.
Sheria Inasema Polisi Hawatoi Vibali vya Mikutano sheria na Katiba Zinasema Kila Mbunge Lazima Achaguliwe, Why una Covid 19 na Why Una Waziri Mkuu ambaye hajachaguliwa.
PUMBA TUPU
Mama Tunakuombea kwa Mungu ubunifu wako ni Maendeleo yetu.
Mama una akili nyingi mno kila unachoongea point.mungu akulinde .
Samia ni Rais wa ovyo anachojua ni mipasho tu CAG kasema shs karibu trilion 3 zimeibiwa mpk leo hakuna liyechukuliwa amebakia kusema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Mm nakukubar tangia ukiwa makamu Rais umeongea fact sana mama umetoa nyongo
Mama mungu habariki❤❤❤❤
MASHAALLAHU Khair, kumbe ww ni rais kweli. Ukiwa na Akili nyingi siku zote lazima ufaulu ktk mitihani migumu. Lakin hilo pia halijulikani isipokuwa Kwa wenye Akili vile vile.
Mwacheni mama afanye kazi,, wengine subiilini nafasi yenu nanyi mkaitumie mnavyotaka iwe.
Shikamoo mama!!!
Safi Sana mama
Hiyo ndiyo maana MAMA NI zaidi ya RAIS. Vilevile elewa hata ukibadilisha hawatakuwa na HEKIMA Kama kama ulivyo wewe.
Madam samia, leo umeongea maneno mazima kabisa, anaepinga ana lake moyoni ni kibaraka wa kutawaliwa akili yake
Raisi umeongea vizuli sana kama mtu mgumu wa kuelewa huyo hana akili ajielewi
Nice speach 🙏🙏🙏🙏🙏
Sasa wananchi wawaunge mkono wakati ulisema ambapo watarudisha kadi utamtimua mkuu wa wilaya🤔 au umesahau???😮
Ksma Umelelewa Kwa Dini , Dini yako Inakuambia Uue Wamasai
Mama huna baya shida washauli wako wengi ni mijizi magufuli alikua na kauri yeye anawataka masikini ww matajili mbona hawatusaidii zaidi ya kututesa vitu bei juu sana.
Hujapata faili lake Tu! Nae jizi kweli, sikuamini nilipopata faili lake, mwanae WA kiume ndo mshika dau huoni alivyowaweka mijizi kina Kinana? Kazi ya wizi iendelee 😂😂😂.
Yaani Ukifanya Upuuzi, Ukitaka Uchaguzi Ufanywe na Makada wa CCM. Kumbe Unajua hakuna Mmiliki wa Tanzwnia Mbona Unataka Kugawa Bandari na Loliondo na Misitu?
Kiukweli umeongea maneno ya hekima bnafsi nimekupenda buuu MUNGU akulindee
Mama wengine wamezeeka na utundu wao, watakusumbua, warioba alimbania wasira asigombee kwa miaka mitano
Kama ktk myaka yote mmesahau kuwapa elimu wananchi juu ya sheria za nchi hilo ni kosa ndo maana watu wanatendewa bila kujua haki zao! 😮
Ni kweli kisiasa serikali ikifanya vizuri siyo sababu ya kutosemwa, lakini isemwe si kwa kupinga lililosawa bali kwa kuonyesha kile kisichofanywa, Hicho lazima kitakuwepo kwani hakuna serikali iliyokwisha fanya yote.
Huko ndiyo kukosoa kistaarabu.
Vyama vijizuie kuhamasisha fujo na uasi wa raia kwa serikali yao.
Duh Mama anachamba huyuuu😂😂😂😂😂😂
Kumbe ! Ni akina nani walijiny......a?
Kweli
@@victoriarwerengera4831
😂😂😂😂😂😂 simoooo
Kumotoooooo🤣🤣🤣🤣Mama etu bhana
Tafakuri ya Katiba My Ass Hili Jizi Linajua Katiba Ilyopo Inaruhusu huu Ushenzi. Tangu Lini Mnachrza Ngumi, wakati refferee ni Baba wa Mmoja wapo.
Dependency itawafikisha pabaya. Uvivu wa kufikiri pia ni ugonjwa. Watu hawana input yoyote. Wanasubiri mtu mwingine afikiri kwa niaba yao wao wanashangilia tu. Mna shida gani?
Anaethubutu kumtukana Mama Samia. Ni sawa kamtukana Mama yake mzazi. Mjue hilo, sasa endeleeni kumtukana Mama samia na Mama zenu walowazaa.
Uko.vizuri.bimkubwa.pambana.mpaka.kieleweke
Katiba mpya jamaani msikose kuiongelea kwa makini ? na tuipate kabla ya uchaguzi. ili tuende ngazi nyingine.
Kuna uhuru wa maoni lakini uhuru wa maoni una mipaka yake siyo tu kisheria hata kibinadamu kama ulizaliwa ukalelewa vyema ukapitishwa kwenye masomo tunayosoma lakini ukapitishwa kwenye masomo ya dini ukaielewa vizuri kuna mambo huwezi kuyafanya. Mh rais umeongea thabit
Mheshimiwa Rais hakika ulistahili kuwepo hapo hakuna mkamilifu duniani isipokuwa mwenyezimungu peke yake hekima, busara na upendo ulionao vinaendelea kukupa thamani kwetu sisi wazalendo. Amani ya nchi yetu ni kitu kikubwa zaidi, wachache waskilizwe kama ulivyo sema ila kwenye swala la kutuvurugia amani yetu tunaomba uwe mkali na tunaomba viongozi wa vyma vya siasa wanavyo endelea kujadili walichukuwe hili na waliekee mapendekezo kwamba uhuru wa kufanya mikutano si uhuru wa kuvuruga amani yetu kuna makundi makubwa yasio na hatia yeyote kama wazee, wanawake, watoto na wenye ulemavu watakimbilia wapi kama amani ita toweka. Uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano utumiwe vyema na sio kuchochea vijana wafanye vurugu kwa masilahi ya watu wachache, tena sio waadilifu wenye uchu mkubwa wa madaraka!!!!🇹🇿
Heshima iwepo kwa viongozi
Mwenye hekima huonywa na kuonyeka Kuna kitu kibaya kinakuja
leo umehama tena
MAMA SAFARI HII ANDAA PESA YAMAANA KWNYE ULE MTINDO WA GOLI LA MAMA, MAANA WAMEMLETA MAXNZENGELI NA PACOME BASI MIGOLI MINGIMINGI, KUUSU BANDARI WE UZA TU
Mama ulisema anaetukana usimjibu we kama muache atajajikuta anajitukana mwenyewe.Sasa umegeuka tena huwezi vumilia Kwa ni nini.Naomba nitoe ushauri Kwa naamini washauri wako wamekuwa wengi.Fanya mihadhara kule Loliondo sikiliza kero zao.Ile style ya mtangulizi wako
Kashawapa waarabu na hajari lolote!
Wanaotukana kamata wapewe adabu, usibembeleze wanazidi kuharibika piga, usiwanyime mpigo ili waondokewe ujinga
Hotuba Hii tutaikumbuka
Ondoa police ndo siasa isimame
MCHAKATO ULISHAPITA MAMAA, MULIZE WARYOBA ATAKUPA MPAKA TAREHE ILIYOANZISHWA MCHAKATO . BALI MNATAKA KUTUBURUZA KWA FAIDA ZENU TUU.
Yessssdssssssssss
Vijana wa hovyo tumefikiwa from Twitter republic 😂🤣🙌
Mmeruhusu kama Nani? KATIBA NDIO INAYORUHUSU. Pumbavu Tu.
Sisi wanainchi wa kawaida tutahusika Vipi na utoaji maoni kuhusu katiba mpya?
Mmekataza watoto wasipige mnge furuhusuni tupige bakora
Kweli kabisa ulivolelewa utakua nayo kias na wazazi wamesahau kulea watoto na maaadili ya dini tumeacha
Ni kweĺi kaɓisa ķuhusu katiba wanataka kituburuza wana wanchi hata sijawahi kuiona
Mama pig kazi
TV ya mwanzo afrika ilianza znz mwaka 74
Basi katiba ifundishwe toka shule ya msingi hadi chuo kikuu heheh
Nauwanja wa mapema kuonesha mipia usiku ulianza znz wka 74 unaitwa aman sd
Nyie mpambeni lakini idadi kubwa hawamkubali hasa wastafu kea dhulma yao mafao eti kikokotoo
JPM alipokuwa hai pia mlikuwa mnampigia makofi eti JPM oyee. Leo hayupo mmebadilisha slogan na kuielekeza kwingine. Kweli unafiki ni ugonjwa mbaya kupita Ukoma.
Mama usiuze bandari zetu uchaguzi. Uwe huru msitutawale kwa lazima tumechoka
Anajifanya haelewi 😂
Nenda kwenu. Mwambie Lissu ukuchukue Ulaya
Mama nalia na washauri wako...wanatuangusha...
Namwona YUDA ESKARIOTA ZITO YUPO HAPO MNAFIKI SN
Ila TANZANIA 🇹🇿 bhana 😅😅😅😅😅
Bc ondoa tamisemi uchaguzi,afu tuone kama hatujui vifungu vya katiba
Hapana mama usilie lie Ankoli Magufuli hakua mjinga kuzui mikutano alijua fika Hawa wendawazimu watamzingua...ndio maana wote walikimbia Sasa Mama yetu umewarudisha na upambane nao Sasa🤣🤣🤣🤣
Umeongea kwa hekima sana mama. NDIO MAANA MAGU ALIWAPIGA MARUFUKU HAWA WAJINGA KUFANYA SIASA KWENYE MAENDELEO
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Usifiche fiche sema bandari inakodishwa kwa miaka mingapi hapo wa tanzani wa chini hatujui
We hujielewi unacheza ngoma ya wakatoliki
NDIO WALE MPUNGA UMEISHA BANDARINI 🤪🤪🤪🤪🤪
@@mobilespecialschool4216wew chawa umelogwa nanani? Umeona tunasungumzia dini hapa?
@@mobilespecialschool4216achana na wakatoriki! Hata Magu walikuwa wanamsema akifanya mabaya. Wakizidiwa hiyo serikali yao ndo inakuja majukwaani na kuwaomba watu WA dini wawasaidie ili nchi iende Sawa. Aseme mkataba huo Una ukomo WA miaka mingapi? Hilo ndo wakatoriki walisema hapo tatizo liko wapi.
Ni lipi alilosema? Kutukana Lissu alitawadhwa kutukana watanganyika? Ili kuwafurahisha warabu hamtaweza hata mara moja mtajidai lakini walete waone watanganyika watakavyo wafanya hao warabu. Kamwe hawatuweka mateka tena. Wala watumwa wa hao maboss wenu
Duh, what is this we are listening too?raisi na mipasho wapi na wapi? Bora ni miskize hadija kopa
Mama Leo umenikosha sana mungu aendelee kukutunza
Naam
Kweli kabisa
Mama etu ni hyu 2 ndo kusema nina Imani kubwa sana na hyu mama mungu amtunze❤
😂😂😂😂
Wanaokusapoti kuwa uko sawa ni wale waliofungwa kifikra tu yaan skupendiiii wew mama 😢😢
He jamani Kwa nini tena??
Basi yeye anakupenda ndio maana anatafuta kila njia ya kukufanya uishi vizuri ndani ya nchi yako. Malaya weee
@@user-ki4sg8yz9j Nani anaishi vzr zaidi ya wao viongozi na watu wao WA karibu Afrika?
mama jibu hoja za wapinzani katiba ni jambo muhimu sana katiba ndio uliokuwa urais mama
Kwani yeye mjinga? Anajua anachofanya, katiba mpaka uchaguzi upite, achaguliwe, akiondoka ndo ajaye analo hilo.......😂
Tunataka elimu kwanza katiba sio ya wapinza wlewa ww.
Tudumishe Amani ili nyie muendelee kula kwa amani.
Ndo maana yake!!! Ukiwapa upinzani wanakimbilia amani huku wao wakiendelea kula nchi. Wajinga ndo waliwao 😭😭
kama vile unamanisha
Nyie watawala ndo wakwanza kuivuruga amani ya nchi yetu TAFADHALI SN hatutaki mkataba wa bandari na tunataka wamasai waishi kwenye nchi yao hatutaki mkataba wa bandari elewa Hilo acha maneno mengi mno
Hili kamwambie babu yako mkatoliki we😢
JARIBU KUWA MTU WA REASON NA KULETA UTATUZI USIKALILISHWE MATANGO POLI@@mobilespecialschool4216
uko sahihi kabisa
Damu ya wamasai itakurudia
Mama yetu anabusara kubwa sana,hao watu anaoongea matusi kwenye majukwaaa,hao ni kama mchicha wajalalani haufau hata kidogo japo mara nyingi hustawi sana
Unaongea kwa tafakur kubwa maneno yenye mashiko hukurupuki .
hata twiga Haiti maeneo anayo ishi simba akipita kwabahatimbaya......
Tuachie bandari umeme umekuwa Ka kipindi chakikwete
SASA MSIPOVITOWA TUTAIONAJE?. HASA KWETU SISI TUSIO NA VYAMAA.
The excellence President Mama, alisha semaga mapema macho yangu yamelegea lakini yanaona.
Wakikosoa mnawakamata
Tunataka katiba
Ng'ombe??
Usituletee vita Anglia saana
Wewenimwamba
Kweli Tanzania watu wengi nihewa mihemko inawatesa sana, hivi unasapotije rais anasema, watu hawna lakusema eti wanaongea bandari na kusema katiba hivi vitu nividogo kweli? mbona mwisho wamkataba husemi, yani Mihemko ya udini nayaona sana, Mimi najiulizaga sana hivi Tanzania niyetu sote kweli? Walio iba mabilioni ya ndege mpka ukatukana hadharani kua nitakataka je sheria ipo chini yao au juu yao, Naona uoga tu sio maadili hapa wezi lipoti ya cag wanapeta tu, huku ripoti mafaili yanauzea kwenye makabati, ninachoona nchii hii kinywa kinanena moyo unajikunja.
Kwakua ww ni miongoni mwao ndomana.
@@gessanabuu2099 Simo mimi ndomana nashangaa mtu kusapoti kitu asichokijua, rais mwenyewe ameongea point kuhusu katiba huwezi pinga kitu bila kukijua, hua asili yangu sina mhemko wajambo ukikosea nitakusema ukipatia nakupongeza sana, ila usilazimishe kitu kibaya hata kama umepewa mamlaka nawananchi, ndomana hata wanasheria niliwapinga kwenda mahakamani, huyu mbinafisishaji amekaa akaona jambohili nisahihi kamtafuta mtu wake wakumbinafisishia mahakama haitaona kosa kwakua watu wamepatana.
Inawezekana kama hakuna ubabaishaji. Au ndiyo biashara ya maneno na posho.
Kama hayo maneno yatatekelezwa na kazi ifanyike yenye faida hapo sawa. Isiwe hayo maneno ni mtego.
Pamba mama onyesha hali yako.
Hutuba hovyo na yakipumbavu
Mama tunaomba ingia kwenye point kashifa mtusi kejeri chanzo nn mbona unakwepa
chanzo ujalelewa vizur
RAISI. SAMI. KWA. HIYO WATANZANIA SISI. WENGINE. NI NOMBE. WEWE. UPO. KUNDI. GANI? NDIYO. MAANA UMEWAPA. WAARABU. BANDARI. YETU. KWA MKATABA. WA HOVYO KWASABABU. SISI NI NGOMBE. WEWE. NI. MJANJA. SASA. NGOMBE. WANATAKA. KATIBA. MPYA.
😂😂😂😂😂
Kwa maoni yangu bila kuwa na upande wowote wa kisiasa naamini mh Samia unaweza kuwa kiongozi mzuri ila sio kwenye nafasi ya Urais kabisa, Rais wa nchi hapaswi kuwa na mipasho, vichambo na kuongoza kwa hisia ni hayo tuu..karibuni wale wazee wa Saudi Arabia muanze kunitukana kwa reply.