Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2023
  • Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, amelazimika kujibu hoja mbalimbali za baadhi ya Wabunge waliounga mkono hoja iliyotolewa na Mbunge wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ambaye aliomba muongozo kuwa Bunge lisitishwe shughuli zake ili liweze kujadili suala la ukatazwaji wa kuuza Mahindi nje ya nchi, ambapo hoja hiyo iliungwa mkono na Wabunge.
    Ambapo Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, alisimama na kulieleza Bunge namna utaratibu unavyotakiwa kufuatwa ili kila mtu anayetaka kununua Mahindi anatakiwa kuufuata.
    Stori zaidi tumekuwekea kwenye akaunti yetu ya TH-cam “Clouds Media”.
    #KutokaBungeni
    #7bisha
    #CloudsDigitalUpdates
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 97

  • @HafidhAli-lt5xt
    @HafidhAli-lt5xt 5 หลายเดือนก่อน +5

    Tanzania has future leaders. Watching from Kenya

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว +9

    Huyu misimamo yke na mkumbuka marehemu magu alivyokuwa miundo mbinu ,Bashe chapa kazi

  • @FelisterLimbu-bs4iw
    @FelisterLimbu-bs4iw ปีที่แล้ว +4

    Kilimo ni ajira Hongera mh Bashe kwa kuinua sekta ya kilimo.

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 5 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana mheshimiwa Bashe, binafsi napenda sana uchapa kazi wako, Songa mbele

  • @KedimoniLameck-et5xd
    @KedimoniLameck-et5xd 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mh.bashe wakomeshe kabisa majizi yanayo tuibia wakulima .kumbe umesha yaona hayondio yanayo sababisha tusipate pesa wakulima.nahasa niviongozi wauma .ndio yanayotuibia.asante baba

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mh Bashe ukoVizuri Sana kwa msimamo wako . Ujumbe Vipi Kuusu Mashamba ya Mbuga ya Mwamala Shigangama iliyopo Wilaya ya Kwimba Mwanza , Mashamba Mengi yamevamiwa na wanakijiji ivyo ni Shida Kati ya Wanainchi wa Pale Kijijini na Wamiliki wa Mashamba hayo , Tunaomba Msaada wako Mh Bashe .

  • @abelmakalwe
    @abelmakalwe 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huwa nakuelewa sana Bashe

  • @dulladulla7744
    @dulladulla7744 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka unajua hongera

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nice explanation Hon.Bashe let's move into action.

  • @ChuchuMahumbi-px2sg
    @ChuchuMahumbi-px2sg 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sana wazir wetu wakilimo tanzani

  • @user-oy1tc5kv3j
    @user-oy1tc5kv3j 6 หลายเดือนก่อน +3

    Congratulations Mh waziri, pls toa na bei elekezi ya bei ya korosho.

  • @samuelmajule54
    @samuelmajule54 5 หลายเดือนก่อน +2

    Big up mbunge wetu wa Nzega

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana sana sana You are Dynamic Action leader. Ongeza Nguvu Zaidi. You are Great truly Blessed.

  • @marcusfalinzungu4543
    @marcusfalinzungu4543 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri Bashe ana mawazo chanya sana. Huwa ninapata matumaini katika michango yake na utendaji wake.
    Nia yake kwa Watanzania ni njema, tumuunge mkono watendaji katika sekta za kilimo na mifugo

  • @Amiriallyameir
    @Amiriallyameir 2 หลายเดือนก่อน

    Good speech Mh. Bashe, you deserve to be a leader keep it up.

  • @FelixAidan
    @FelixAidan 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutie nguvu wazili wetu wewe ni jibu ktk nchi

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว +5

    Bashe safi sna,huyu jamaa ni kichwa sna,hivi kwnn mawaziri wengine amuigi

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 3 หลายเดือนก่อน

      wataiga wakati hawana akili!

  • @OmriPengo
    @OmriPengo 5 หลายเดือนก่อน +2

    Good mh bashe

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa uko vizuri sanaa

  • @callebmuzungu342
    @callebmuzungu342 2 หลายเดือนก่อน

    For sure I'm Rwandan by nationality but I'm proud of bashe
    Bashe oeeeeee

  • @husseinchambau3015
    @husseinchambau3015 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana

  • @adanmahad7929
    @adanmahad7929 หลายเดือนก่อน

    That lady is perfect.mkukima hawezi process hizo liseni kwa wakati

  • @bahatibunzali15
    @bahatibunzali15 ปีที่แล้ว +3

    Bashe uko making sana

  • @user-dv4is4vj6g
    @user-dv4is4vj6g หลายเดือนก่อน

    Mweshimiwa waziri, wakati Wengine wanasibiri kuwezeshwa,sisi wengine tumeanza kujiwezesha lakini bado tunahitaji kuwezeshwa ,kwani nguvu yetu ikifika sehemu inakwama na kuhitaji msaada na Kwa kukosa msaada tunajikuta tunakata tamaa .

  • @modestmatle7708
    @modestmatle7708 5 หลายเดือนก่อน

    Mhe Bashe
    Uko fit kwa uongozi

  • @omarmohammed7600
    @omarmohammed7600 5 หลายเดือนก่อน +2

    Binafs natamani huyu waziri apate nafasi ya kua raisi wa nchi namkubali sana

  • @dulladulla7744
    @dulladulla7744 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hakika ww utakuwa raise kwa miaka ya badaye hongera sana

  • @modestmatle7708
    @modestmatle7708 5 หลายเดือนก่อน

    Bashe ni kiongozi bora

  • @sifamwafrica1261
    @sifamwafrica1261 ปีที่แล้ว +1

    Hapa kazi tu

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 3 หลายเดือนก่อน

    thanks so much

  • @yusuphahmed-yt5gg
    @yusuphahmed-yt5gg 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤hongera

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 5 หลายเดือนก่อน

    Huu ndio uzuri wa shule,hofu ya Mungu,hongera mh Bashe,fanya kazi,achana na utendaji wa akina bashite,Mungu atakuwa nawe,kwani una huruma na Watanzania maskini.

  • @user-xl7yv7hr3z
    @user-xl7yv7hr3z 4 หลายเดือนก่อน

    very good kaka

  • @BarnabaSamwel
    @BarnabaSamwel 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera kamanda ila imewasahau wakulima wa tumbaku hawajalipwa na Mkwawa mateso.

  • @user-ij2xw3om2t
    @user-ij2xw3om2t 10 หลายเดือนก่อน

    Heshima kwako. Bashe

  • @cairomwaitete7978
    @cairomwaitete7978 5 หลายเดือนก่อน

    Good analysis 👍

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama ucmtoe Bashe kwanza

  • @adamyusuphmsigala
    @adamyusuphmsigala 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu agombee urais tunamkubali sana

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4d 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mfipa mwenzangu umepiga maji kidogo ,Ila uko Nondo

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 หลายเดือนก่อน

    Bashe biga Kazi wanaokufifiza kwa CHUKI zao usijali

  • @user-ui7lb5yc2l
    @user-ui7lb5yc2l ปีที่แล้ว

    👑💪👍✅

  • @emmanuelisarria6321
    @emmanuelisarria6321 5 หลายเดือนก่อน

    👍💯

  • @nasramohamedsultan7994
    @nasramohamedsultan7994 ปีที่แล้ว +2

    Mhs jitahidi kuzipiti wageni kufika mashambani kununua mazao tunashindwa kufanya biashara watanzania tunakuunga mkono kwa hilo

  • @barnabasngungo3521
    @barnabasngungo3521 5 หลายเดือนก่อน

    Mh.Waziri upo vizuri sana endelea

  • @marcusfalinzungu4543
    @marcusfalinzungu4543 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jesca upo sahihi katika uchangiaji. NIDA ni kidonda ndugu

  • @pendaeli5464
    @pendaeli5464 5 หลายเดือนก่อน

    Nakubaliana na hoja za bashed.marufuku mgeni kufwata mazao shambani.anunue kwenye soko

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna lisilowezekana.

  • @elimringimotta182
    @elimringimotta182 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakipeleka nje bei ya dola inaingia kwa mfanyabiashara au serikalini?

  • @user-oz1fu4uy1i
    @user-oz1fu4uy1i 10 หลายเดือนก่อน

    Makambako safi

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4d 4 หลายเดือนก่อน

    SERIKALI NUNUA MAZAO YOTE UZA KWA DOLA ,Big business

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 3 หลายเดือนก่อน

      Kuuza kwa dola bado ni kuua uchumi uza kwa dhahabu

  • @benjaminmganyizi1807
    @benjaminmganyizi1807 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa mkuu

  • @magiramagesa37
    @magiramagesa37 5 หลายเดือนก่อน

    Msoma

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika wizara imempata waziri sahihi 💪💪👍👏

  • @hamzazuber6905
    @hamzazuber6905 3 หลายเดือนก่อน

    Mh bashe jitahidi uongee kiswahili wengine hatujasoma unatuacha hewani

  • @furanaelijaphasoni5079
    @furanaelijaphasoni5079 5 หลายเดือนก่อน

    Mkulima ndie anahumia kwasababu Mimi sijawahi kuona bei ya mahindi elekesi

  • @seif3401
    @seif3401 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu JAMA kasoma sana

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 4 หลายเดือนก่อน

    Tanzania 🇹🇿 tuna njaa mchel kilo 3200 maharage kilo 3400 bado mnauza njee ya mipaka

  • @JosephLushinge-uy3tc
    @JosephLushinge-uy3tc 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe hufai uongo mwingi sana wakulima tuna teseka tunanunua mbegu kilo mbili elfu 20000 mda huu tunauza gunia elfu 48000 nyie wabunge wapuuzi sana hamfai hata kidogo

  • @JosephLushinge-uy3tc
    @JosephLushinge-uy3tc 4 หลายเดือนก่อน

    Anayepongeza ugoro hakusoma bashe hatufai waulizeni waliopewa mtaji na samia wa kwenda kulima wamepata nini wanipe mimi wizara ya killimo mimi ndoo rais wa wakati wanapewa kwenda kulima nilisema watafel sana soko la tanzania sisii wakulima niwatumwa hatujijui jibu mpaka nitapotara mimi na chama cha ukombozi

  • @abdallahkumbi7120
    @abdallahkumbi7120 5 หลายเดือนก่อน

    Mh tutembelee Wakulima wa Mkonge Lushoto Umba, tunaumia hatuna corona ya kuchakata Mkonge wetu tunaibiwa nguvu zetu zinapotea ajira zetu ndio hizo tufanye nini mheshimiwa

  • @ananiakyando3904
    @ananiakyando3904 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mahindi nilime mm mashart ya kuyauza niwekewe hii inakaajee

  • @KedimoniLameck-et5xd
    @KedimoniLameck-et5xd 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe tunakuomba akulide navita hiyo.kututetea wakulima

  • @jramadhanmgonja6110
    @jramadhanmgonja6110 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana Bashee your Super Hero

  • @user-wc7zt4xj6u
    @user-wc7zt4xj6u 4 หลายเดือนก่อน

    Bashe Mimi sina baya na wewe piga kazi mkuu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu bashe huwa simwelewi kabisa, anatoa majibu ya kisasa

  • @PaulNyerembe-pj8fm
    @PaulNyerembe-pj8fm 5 หลายเดือนก่อน

    Kwann prodoction ni ufipani tu? Irrigation maeneo mengine vip

  • @justinmwamloso7559
    @justinmwamloso7559 5 หลายเดือนก่อน

    Mbolea laki na ushehe ikushuka 85000 lkn gunia la mahindi halifiki hata 90, 000

  • @user-jz1ur2ny5u
    @user-jz1ur2ny5u 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo mipango yenu fungua mipaka watu wanahali mbaya

  • @user-fo9jw2gb2h
    @user-fo9jw2gb2h 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani huu sio mda wa maongezi tupo milion61 kumbukeni

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo kwa nini mahindi bei ni ndogo na uku soko likiwa holela bei inakuwa kubwa

  • @user-rd4mk6no3t
    @user-rd4mk6no3t 5 หลายเดือนก่อน

    Tuanze na makonda

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 5 หลายเดือนก่อน

    KAMA AZAM Bakhresa ni disciplined distributer kwa nini Serikali isimpendelee kumpa tons zote za kuagiza?

  • @RajabuMponda-lz5od
    @RajabuMponda-lz5od หลายเดือนก่อน

    Mbona ufuta hamtangazi bei mapema. Mnasubiri tulete zao la ufuta gurioni harafu mnatupangia bei.

  • @elimringimotta182
    @elimringimotta182 5 หลายเดือนก่อน

    Je sisi tumeshindwa wapi mpaka wageni waingie biashara shiyo

  • @elimringimotta182
    @elimringimotta182 5 หลายเดือนก่อน

    Serikali inunue mahindi yote itafute bei nje kwa dola

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 หลายเดือนก่อน

    HIVI KWANINI SPIKA UNASEMA ASANTE ASANTE WAKATI WAZIRI HAJAMALIZA? UNA HARAKA GANI MIMI SIPENDÌ UNAPOSEMA ASANTE ASANTE WAKATI MTU HAJAMALIZA.

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 6 หลายเดือนก่อน

    Ni mtaalamu Sana kuongea ila aangalie anakoelekea maneno yake yanaanza kujaa Siasa ikipishana na utekelezaji wa AHADI zake .

  • @user-nq2sf9rn3l
    @user-nq2sf9rn3l 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe mweu umesbabisha soko la mahindikushuka kwa mashart magumu

    • @Omarjumanne-zm9zh
      @Omarjumanne-zm9zh 5 หลายเดือนก่อน

      Waziri hujamuelewa lengo bei ya chakula iwe chini kwa waraji. NDani ya nchi

  • @fatumahossein754
    @fatumahossein754 5 หลายเดือนก่อน

    Umechemka waziri umetuletea hasara wakubwa sana. Na mahindi sio elfu 1000 ni 700 waziri wewe ni muongo sanaaaaa.tunamahindi hatuna soko waziri .hilo soko la 1000 liko nchi gani?

  • @SamwelSichone
    @SamwelSichone 3 หลายเดือนก่อน

    Ayoitekesha

  • @jramadhanmgonja6110
    @jramadhanmgonja6110 ปีที่แล้ว +1

    Kwani Huyu Anayeongea Ni Nani? Shwaini Kabisaa.

    • @goodluckmbilinyi747
      @goodluckmbilinyi747 ปีที่แล้ว

      sijui kala mavi

    • @allykamanga4366
      @allykamanga4366 10 หลายเดือนก่อน

      Kumbe ata hamfaham hauwez muelewa tulia

    • @joshuabilia1440
      @joshuabilia1440 5 หลายเดือนก่อน

      Mbashe wewe ni waziri Mzri Sana Lakini nilitamani Sana Kujua Sana Jimbo La Buchosa zao La Biashara ni lipi ambalo selikari inawapa wananchi Wa Buchosa bei elekezi ya zao hillo make Sisi Buchosa bei elekezi tunaiskia tu Bungeni na mbuge wetu Eric shigongo yupo kimya tu ama buchosa haina wakulima

  • @eliudfelix7180
    @eliudfelix7180 5 หลายเดือนก่อน

    TALKING TOO MUCH BT DOING 0.

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 5 หลายเดือนก่อน

    Bashe ni.ekuelewa mfumo mzuri sana chakula kitakuwa bei chini kila MTU atamudu kama lndia safi sana mabubu ndo hawafaham