Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2023
- Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, amelazimika kujibu hoja mbalimbali za baadhi ya Wabunge waliounga mkono hoja iliyotolewa na Mbunge wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ambaye aliomba muongozo kuwa Bunge lisitishwe shughuli zake ili liweze kujadili suala la ukatazwaji wa kuuza Mahindi nje ya nchi, ambapo hoja hiyo iliungwa mkono na Wabunge.
Ambapo Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, alisimama na kulieleza Bunge namna utaratibu unavyotakiwa kufuatwa ili kila mtu anayetaka kununua Mahindi anatakiwa kuufuata.
Stori zaidi tumekuwekea kwenye akaunti yetu ya TH-cam “Clouds Media”.
#KutokaBungeni
#7bisha
#CloudsDigitalUpdates - บันเทิง
Tanzania has future leaders. Watching from Kenya
Huyu misimamo yke na mkumbuka marehemu magu alivyokuwa miundo mbinu ,Bashe chapa kazi
Kilimo ni ajira Hongera mh Bashe kwa kuinua sekta ya kilimo.
Safi sana mheshimiwa Bashe, binafsi napenda sana uchapa kazi wako, Songa mbele
Mh.bashe wakomeshe kabisa majizi yanayo tuibia wakulima .kumbe umesha yaona hayondio yanayo sababisha tusipate pesa wakulima.nahasa niviongozi wauma .ndio yanayotuibia.asante baba
Mh Bashe ukoVizuri Sana kwa msimamo wako . Ujumbe Vipi Kuusu Mashamba ya Mbuga ya Mwamala Shigangama iliyopo Wilaya ya Kwimba Mwanza , Mashamba Mengi yamevamiwa na wanakijiji ivyo ni Shida Kati ya Wanainchi wa Pale Kijijini na Wamiliki wa Mashamba hayo , Tunaomba Msaada wako Mh Bashe .
Huwa nakuelewa sana Bashe
Kaka unajua hongera
Nice explanation Hon.Bashe let's move into action.
Sana wazir wetu wakilimo tanzani
Congratulations Mh waziri, pls toa na bei elekezi ya bei ya korosho.
Big up mbunge wetu wa Nzega
Hongera sana sana sana You are Dynamic Action leader. Ongeza Nguvu Zaidi. You are Great truly Blessed.
Waziri Bashe ana mawazo chanya sana. Huwa ninapata matumaini katika michango yake na utendaji wake.
Nia yake kwa Watanzania ni njema, tumuunge mkono watendaji katika sekta za kilimo na mifugo
Good speech Mh. Bashe, you deserve to be a leader keep it up.
Mungu akutie nguvu wazili wetu wewe ni jibu ktk nchi
Bashe safi sna,huyu jamaa ni kichwa sna,hivi kwnn mawaziri wengine amuigi
wataiga wakati hawana akili!
Good mh bashe
Mheshimiwa uko vizuri sanaa
For sure I'm Rwandan by nationality but I'm proud of bashe
Bashe oeeeeee
Safi sana
That lady is perfect.mkukima hawezi process hizo liseni kwa wakati
Bashe uko making sana
Mweshimiwa waziri, wakati Wengine wanasibiri kuwezeshwa,sisi wengine tumeanza kujiwezesha lakini bado tunahitaji kuwezeshwa ,kwani nguvu yetu ikifika sehemu inakwama na kuhitaji msaada na Kwa kukosa msaada tunajikuta tunakata tamaa .
Mhe Bashe
Uko fit kwa uongozi
Binafs natamani huyu waziri apate nafasi ya kua raisi wa nchi namkubali sana
Hakika ww utakuwa raise kwa miaka ya badaye hongera sana
Bashe ni kiongozi bora
Hapa kazi tu
Ubarikiwe
thanks so much
❤❤hongera
Huu ndio uzuri wa shule,hofu ya Mungu,hongera mh Bashe,fanya kazi,achana na utendaji wa akina bashite,Mungu atakuwa nawe,kwani una huruma na Watanzania maskini.
very good kaka
Hongera kamanda ila imewasahau wakulima wa tumbaku hawajalipwa na Mkwawa mateso.
Heshima kwako. Bashe
Good analysis 👍
Mama ucmtoe Bashe kwanza
Huyu agombee urais tunamkubali sana
Mfipa mwenzangu umepiga maji kidogo ,Ila uko Nondo
Bashe biga Kazi wanaokufifiza kwa CHUKI zao usijali
👑💪👍✅
👍💯
Mhs jitahidi kuzipiti wageni kufika mashambani kununua mazao tunashindwa kufanya biashara watanzania tunakuunga mkono kwa hilo
Mh.Waziri upo vizuri sana endelea
Jesca upo sahihi katika uchangiaji. NIDA ni kidonda ndugu
Nakubaliana na hoja za bashed.marufuku mgeni kufwata mazao shambani.anunue kwenye soko
Hakuna lisilowezekana.
Wakipeleka nje bei ya dola inaingia kwa mfanyabiashara au serikalini?
Makambako safi
SERIKALI NUNUA MAZAO YOTE UZA KWA DOLA ,Big business
Kuuza kwa dola bado ni kuua uchumi uza kwa dhahabu
Nimekuelewa mkuu
Msoma
Hakika wizara imempata waziri sahihi 💪💪👍👏
Mh bashe jitahidi uongee kiswahili wengine hatujasoma unatuacha hewani
Mkulima ndie anahumia kwasababu Mimi sijawahi kuona bei ya mahindi elekesi
Huyu JAMA kasoma sana
Tanzania 🇹🇿 tuna njaa mchel kilo 3200 maharage kilo 3400 bado mnauza njee ya mipaka
Wewe hufai uongo mwingi sana wakulima tuna teseka tunanunua mbegu kilo mbili elfu 20000 mda huu tunauza gunia elfu 48000 nyie wabunge wapuuzi sana hamfai hata kidogo
Anayepongeza ugoro hakusoma bashe hatufai waulizeni waliopewa mtaji na samia wa kwenda kulima wamepata nini wanipe mimi wizara ya killimo mimi ndoo rais wa wakati wanapewa kwenda kulima nilisema watafel sana soko la tanzania sisii wakulima niwatumwa hatujijui jibu mpaka nitapotara mimi na chama cha ukombozi
Mh tutembelee Wakulima wa Mkonge Lushoto Umba, tunaumia hatuna corona ya kuchakata Mkonge wetu tunaibiwa nguvu zetu zinapotea ajira zetu ndio hizo tufanye nini mheshimiwa
Mahindi nilime mm mashart ya kuyauza niwekewe hii inakaajee
Msambaa eka vituko
Wewe tunakuomba akulide navita hiyo.kututetea wakulima
Hongera Sana Bashee your Super Hero
Bashe Mimi sina baya na wewe piga kazi mkuu
Huyu bashe huwa simwelewi kabisa, anatoa majibu ya kisasa
Kwann prodoction ni ufipani tu? Irrigation maeneo mengine vip
Mbolea laki na ushehe ikushuka 85000 lkn gunia la mahindi halifiki hata 90, 000
Hiyo mipango yenu fungua mipaka watu wanahali mbaya
Jamani huu sio mda wa maongezi tupo milion61 kumbukeni
Tatizo kwa nini mahindi bei ni ndogo na uku soko likiwa holela bei inakuwa kubwa
Tuanze na makonda
KAMA AZAM Bakhresa ni disciplined distributer kwa nini Serikali isimpendelee kumpa tons zote za kuagiza?
Mbona ufuta hamtangazi bei mapema. Mnasubiri tulete zao la ufuta gurioni harafu mnatupangia bei.
Je sisi tumeshindwa wapi mpaka wageni waingie biashara shiyo
Serikali inunue mahindi yote itafute bei nje kwa dola
HIVI KWANINI SPIKA UNASEMA ASANTE ASANTE WAKATI WAZIRI HAJAMALIZA? UNA HARAKA GANI MIMI SIPENDÌ UNAPOSEMA ASANTE ASANTE WAKATI MTU HAJAMALIZA.
Ni mtaalamu Sana kuongea ila aangalie anakoelekea maneno yake yanaanza kujaa Siasa ikipishana na utekelezaji wa AHADI zake .
Wewe mweu umesbabisha soko la mahindikushuka kwa mashart magumu
Waziri hujamuelewa lengo bei ya chakula iwe chini kwa waraji. NDani ya nchi
Umechemka waziri umetuletea hasara wakubwa sana. Na mahindi sio elfu 1000 ni 700 waziri wewe ni muongo sanaaaaa.tunamahindi hatuna soko waziri .hilo soko la 1000 liko nchi gani?
Ayoitekesha
Ayoitekesha
Ayoitekesha
Kwani Huyu Anayeongea Ni Nani? Shwaini Kabisaa.
sijui kala mavi
Kumbe ata hamfaham hauwez muelewa tulia
Mbashe wewe ni waziri Mzri Sana Lakini nilitamani Sana Kujua Sana Jimbo La Buchosa zao La Biashara ni lipi ambalo selikari inawapa wananchi Wa Buchosa bei elekezi ya zao hillo make Sisi Buchosa bei elekezi tunaiskia tu Bungeni na mbuge wetu Eric shigongo yupo kimya tu ama buchosa haina wakulima
TALKING TOO MUCH BT DOING 0.
Bashe ni.ekuelewa mfumo mzuri sana chakula kitakuwa bei chini kila MTU atamudu kama lndia safi sana mabubu ndo hawafaham