WAZIRI MKUU Alivyokiwasha ''DC KILOLO Haiwezekani Ufukuze Watumishi Wote Hawa''
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2019
- WAZIRI MKUU Alivyokiwasha ''DC KILOLO Haiwezekani Ufukuze Watumishi Wote Hawa''
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happi afuatilie utendaji kazi kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kilolo kufuatia watumishi 14 wa ofisi hiyo wakiwemo madereva 10 kuhamishwa baada ya Mkuu wa Wilaya hiyo Asia Abdallah kudai kuwa hawafanyi kazi ipasavyo.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema ni mhuimu kwa viongozi wakatambua dhamana zao katika utekelezaji wa shughuli zao pamoja na kuwatambua, kuwajali na kuwathamini watumishi wa kada zote wakiwemo madereva, hivyo ni vizuri wawaandae kwa kuwapa maelekezo kwa wakati kwa kuwa nao ni binadamu na wanafamilia.
Mapema, Waziri Mkuu alikagua mradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya na kupokea taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo ambapo alisema ameridhishwa na ujenzi huo uliogharimu sh. bilioni nne na alitumia fursa hiyo kuwapongeza viongozi wa wilaya hiyo akiwemo Mkurugenzi pamoja na mkandarasi anayenga.
(HABARI MPYA DAILY)
th-cam.com/users/playlist?list...
(HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA)
th-cam.com/users/playlist?list...
(GLOBAL RADIO TV)
th-cam.com/users/playlist?list...
(EXCLUSIVE INTERVIEWS)
th-cam.com/users/playlist?list...
Waziri mkuu ww ni mkweli na muwazi Sana mungu akupe maisha marefu na uwongozi wa haki tuna Imani Sana na ww una baya ww
Waziri mkuu wetu we in mwelewa sana kiukweli aiwezekani wafanyakazi wore wakawa wabaya hats yy ajiangalie
Asante majaliwa
Tunakupenda uko vzr.
hahahaha uwi mbavu zangu jamani nimekupenda buereeeeee waziri mkuu majariwa
Baba umemchana huyo DC maana anaonekana kuwa DC wa kijerumani enzi za ukoloni. Ukifuatilia vizuri utakuta huyo Mhe. DC amepata mfanya kazi wa hapo wilaya wa kujipendekwza na kupenda majungu kwake kwa kufikiri anamsaidia kumbe ana haribu na baadaye akitumbuliwa ndio wa kwanza kusema ooh mm nilijua hamalizi muda. Wabaya sana watu hao. Mhe. DC kuwa makini na washauri wako inawezekana baadhi sio wazuri kwako.
Baadhi ya Watu wakipata madaraka wanajiona kama wameshika nyundo kwa hiyo kila kitu mbele yake anakiona ni msumari,anapiga tu!
Hawajui kuwa kufanya hivyo hakumuongezei mtu heshima bali kunamshusha heshima yake na hivyo kumdharaulisha mbele ya macho ya wanayemuona!
Kwa sababu anaonekana ameshindwa katika eneo unalosimamia!
Mh.Magu na Majaliwa hawataki kuona unyanyasaji katika utawala wao.
Rashid Njigale heshima inashuka hajui tu,
"akishika nyundo kila kitu anakiona msumari,anapiga tu"!
mfano mzuri,
kidogo kidogo watanyooka
Mungu akulinde sana sana
Anataka *rubani* ndiye aendeshe gari yake😁 DC ASIA ABDALLAH 😏
ni lazima tukubali Tanzania imejaliwa viongozi wanao weza kuifanya kuwa inchi pekee ya Africa kufikia inchi zinazo itwa za ulimwengu wa kwanza isipokua ilikuwa ni maamuzi tu kutoka kwenye wizi na kufanya uadilifu
KIONGOZI HUYU NI NGULI WA UONGOZI BORA, HATAKI KUMUONEA MTUMISHI YEYOTE. MTENDA HAKI HAKURUPUKI. ANATEKELEZA MAJUKUM YAKE. HONGERA MH. WAZIRI
Wazili mkuu BG up 100%
Waziri siyo wazili
Safi sana mkuu
😃😃 mkuu nakuelewa sanaa huwa skupingag, ila kwenye uongoz kazi ngum sanaa, unakuta sometime mkuu wa wulaya kanyooka vizul na anawanyoosha viongoz wake wa chini, au sometime ni kweli mkuu wa wilaya ni wale miongoni wa watu unpredictable, kwa mkuu hivi vitu mnatakiwa mviangalie kwa umakin mkubwa from both side
Yaan kiukweli kutoka moyoni mwangu Waziri mkuu namuelewa sana tena sana anamaneno ya kukulekebisha huku akiwa hana jazba kelele huku akiwa mwenye masihara mengi uso wa furaha kbs sasa akili kichwani mwako wewe unaeonywa juu ya kujitathmini km unaakili utajilekebisha
Huyu ni Waziri Mkuu Wetu.
Naam
daaah mpaka nmecheka, Mungu aendeleee kukuweka PM wetu
Anauza uduvii uyoooo alikuwa mjinga sana sana
Samahami huyo DC ni mmama au maana hivyo vituko alivyo navyo jadhani hayuko sawa kichwani aibu kwa kweli bira yy ndio mfukuzeni hafai kajigeuza Mungu mtu
Ni mama wenda anataka madereva wamtie
KWELI SEREKALI IPO MAAKINI MSM
MAGUFULI× SAMIA× MAJALIWA NAWAPENDA
Baba Huyo DC kero MPE funzo
Huyo DC hajitambui.tumbua huyo .hata ubarozi hafai .
Mtumbue kabisa baba akaendeshwe na mumewe mchezo wa chini
😂😂amalizi week uyo kashanukiaa mpk uku yajayo yanafuraisha hahaha sibuli kifatacho apo hahaaa
Subiri siyo subili
Huyo dc hafai anamdomo sana bora ajiendeshee mwenyewe anagubu sana
walivyoo nenepeana kwa kula pesa zetu hatali sana
Prime Minister nakupendea kusema waz
Hahahah saiziz anauza uduvi
Pm uko sahihi kuna watu wanalewa madaraka
Tatizo,,,asili ykeeeee---mwrb
Haya mambo inatakiwa mama ayaone hayo na madc anawachagua hawana uadilifu na hawana wito wa uongozi
Mzee umeona jinsi vigogo wanavyotaka kuabudiwa badala ya Mungu !!! Ni kweli unavyosema hata yeye Ni mtakatifu kiasi gani mpaka inatokea kila mtumishi akija hapo Kilolo anaonekana hafai. Je ruhusa ya kugusa mwili wa mtumishi mwenzie kwa kumcharaza makofi anmepata toka wapi. Nashauri kuwa wateuliwa wa aina hiyo wachunguzwe vizuri kabla ya kukabidhiwa ofisi, la sivyo wsnaaibisha taasisi iliyowateuwa.
Ataka dereva alie na leseni ya kuuendesha ndege ni kiburi huyo
Hakuna mkamilifu
Sometimes watu wana exaggerate dhana ya magufuli sasa kila mtu ni kutumbua tu bila mpango ili waonekane kwenye media
simnatafuta wasomiii
Waziri mkuu heshima yako mungu akuzidishie hekima matunda ya serikali tunayaona big up .kwako 99
Mtafutien dereva kutoka mbngun huyo mana kwa dunian wote kw dalili hiyo haendan nao una shda kwel Dada yangu DC
Mm nadhani yeye ndie anaepaswa kuondoka
Duuuu watumishi wenginee banaa ni balaaaaa
Huyuu atakuwa na matatizoo yakee ya kifamiliaaa!!auu hana mmeee!!
Kuongoza ni watu kunahitaji busara sana, awe na mume asiwe na mume haihusiani
Atafitiwe mme hayo yote yataisha huduma hapati ,kama si hivyo basi sio mzima
Duuu
Huyu D.C. Ni MUNGU Mtu mwenye Roho mbaya hafai
Mmmmmmh. very bad
Pamoja na jambo zuri ambalo umeliongea ila kwa utaratibu hukutakiwa kumnanga kiongozi wa watu mbele za watu hao maana unampunguzia ujasiri wa kufanya kazi. Yamkini kuna mambo hayaendi Sawa na mkuu wa wilaya anayarekebisha ila anaundiwa tume aondoke.
Utabaki peke ako 😂
DC atumbuliwe tu.
Haaa hahaaaa majariwaaaaaaaa
Hii nchi hii imeoza kabisaaaaa ccm lazima wakubali nchi imewashinda. Haiwezekani kila anapo enda PM yaibuke madudu sijaona hata sehem moja aliko tembelea ikionyesha kuna ufanisi
Acha kukulupaka hii taarifa ya miaka mi 3 iliyo pita muda huo rais magufuli kaka
Linaloho mbaya ili.mfukuzeni yeye
Anatabia za kisrabu mana baadhi ya warabu ukimpamkia asemi anakwendawapi mpakaumuulize wewe wakati yeye ndio mwenyesafari
ukiwaona watu zaidi ya watatu na kuendelea kuwa wana matatizo ujue kwamba wewe ndio unamatatizo. et madereva tisa hawafai huyu wa sasa ni wakumi asee niaibu sasa.
Prime minstere hoyeeeee
Waziliwetu wewe nijembe haiwezekani dc anashida
alafu haohao ndo utawasikia wanawake tunataka 50/50% kwa hali hii amepewa udc tu kejeli kibao je angekuwa rc sindo balaaa
Mwl Mazingira Uko unakoendea si kuzuri 🥺
Anaitwa nani huyo DC wa kilolo???
ASIA ABDALLAH
@@rosag8332 Anadharau za waziwazi,naomba atumbuliwe.
Nakwamin mno
Wakubwa tushaelewa nini anakitaka uyo mama 🍆🍆
Inakuwaje kila mtu hafai
Kwann urais usichukue ww. Aisee. Huyuu mama anatupoteza. Sana.
Hatuwezi kila mzuri awe Rais. Kwa sasa Rais ni Samia Suluhu Hassan
Msameheni mama yetu , dada yetu .... Amesikia na atafanyia kazi anapokwama.
Kama atasoma ujumbe wangu ajitahid akibadirika hapa kazini , basi na nyumbani abadirike pia Kama kunadublee dublee za daily , yeye Yuko na mfumo sio mzuri kwa nchi zetu au dunia ya leo. Over
Uyo mkuu wa wilaya atakua muhaya
Weeee! Kabila lako
DC mwarabu anafanya anavyotaka hahaha