Kah hatariiiii I sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Kumbe ndo wanafanya hivyoooooooo. Naomba kazi majaliwa mm nitaiweza hivyoooooooo.. nitaziba mianya yote hiyo ya wiziii
mi nafikili baadhi yawatumishi wakubwa ndo wanapanga mipango nawatumishi wadogo kujikopa fedha zamiladi na ndiomana miladimingi inachelewa kwaiyo msiishie kuwapiga chini 2 muwafunge na kuwafilisi
Kasimu tafadhari Tumbua majipu hayo yameiva,haiwezekani kuwa na watendaji wasioendana na kasi ya awamu ya tano fukuza wote ajiri hata darasa la Saba watafaa Sawa na kasi yarais yafukuze yote tuko nyuma yako.
Duh Watu wana roho ngumu,hivi kwa hali ilivyo sasa bado kuna mtu ana piga deal Si kujifukuzisha kazi nje nje 🤣🤣🤣🤣 Haya sasa Waziri mkuu kashasema by the time anafika dar ,watu huko moro vibarua VITAKUA VISHAOTA MAJANI 😩
MILAD WHY HABR ZA MAAN UNATUWEKEA ROBO ROBO? HIZI NDO ZAMAAN WANAINCHI TUNAPASWA KUJUA UTUMBO WA VIONGOZI WETU..HBR ZA KIJINGA MNAWEKA NDEFU SN. BADILIKA PLS..TUWEKEE KUANZIA PART 1 UPTO..
shikilia hapo hapo baba yangu kasim mbele kweupeee watanzania tunataka hivyo Tumeshaliwa sanaaaa sasa hizo pesa 9,090,000 ukizidisha na mikoa yote unayopita ingejenga visima vingapi? pia ingekopesha vijana wazalendo wachapa kazi wengi tu kuanzisha viwanda vidogo vidogo.
This is misinterpreted na waziri na italeta sana uoga ofisin, hela huchukuliwa kama posho kwenye OC kufanya facilitation za ziara sio watu wanalipwa posho
Potezea kwenye familia yako na namashaka na wew kwenye uongozi wako wa familia nazani mwanamke ndo Yuko juu kuliko wew ulishanyang'anywa ukichwa wako kwa upuuzi unaoongea hapa hadhalani huwezi sema potezea mambo ya hovyo Kama hayo ~kiukweli namashaka na uongozi wako wa familia najua umeshindwa kabisa mtoto haeleweki mke ndo kabisaaa saivi umebaki kujiliwaza na pombe tu ndo nizokufanya uje uongee utumbo hapa.
Mhe.Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania.mkoa wa. Morogoro unaonyesha una matatizo makubwa ya kiutendaji na ki uwajibikaji hy tume aliyo isema uwaziri Mkuu ipitie wilaya zote na hali Mashauli zote ili wote walio sababisha uzembe wote uwawajibishe kwa mujibu wa matakwa ya Sheria.kuna wengine wamekuwa wahanga kwa kusimamia Sheria na ubadhirifu baadae na wao wakageuziwa kibao.asante!!
ccm msifanye makosa baada kipindi cha mpendwa wetu mh raisi jpm.akimaliza mdaa wake tunamtaka jembe letu majaliwa aendeleze fita dhidi ya magaidi waufisadi hakuna mbadala wa jpm zaidi ya majaliwaaaa nakukubali mkuu unafata nyayo za boss kubwa tingatinga jpm
JMP TUMBUA HILO JIPU AKAPUMZIKE HUYOOOOOO WAPE VIJANA WAFANYE KAZI....HAIWEZEKANI PESA NYINGI KM HIVYO MKUU WA MKOA ASIJUE..SIO KWELI. NAYEY ARUDISHE HIZO PESA WALIKULA WOTE HAOOOO..INAUMA SN PESA ZETU JAMAA WANAJITAFUNIA KIULAINI..
Hii nchi imebadilika sana hamna upigaj kama zaman tunashukuru sana. Wakuu we2
Million 9 duh!! noma sana
Piga kazi mh. PM
Kwa kweli uongozi saivi raha sana kuwapongeza,Mimi niko na waziri mkuu kwa hayo,congratulation
Kabwe umechoka kaa pembeni, wilaya zote haziwezi kuwa na matatizo kama na ww huna tatizo. JPM hili ni jipuuuuuu
Fukuza wote hiyo walio jilipa posho ndio itakua kiinua mgongo chao vichaa kabisa hao
Next president 2025
mkuu huyo kebwe nae Ni tatizo alishashindwa sio Leo
Fahad Faraj
Huyu mkuu wa mkoa naye ni tatizo , kabisa
Kah hatariiiii I sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Kumbe ndo wanafanya hivyoooooooo. Naomba kazi majaliwa mm nitaiweza hivyoooooooo.. nitaziba mianya yote hiyo ya wiziii
Mkuu wa mkowa hafai atoke
Atumbuliwe,,maana wananchi wanaumia ,,,mnaendelea kuwa toza kodi
Kebwe hafai
Mkuu wetu wamkoa wamorogoro wabaridi sana!
HAJRA ISMAILI mzigo ule
Mzee umetsha kwa ufatialiji uwo big up
mi nafikili baadhi yawatumishi wakubwa ndo wanapanga mipango nawatumishi wadogo kujikopa fedha zamiladi na ndiomana miladimingi inachelewa kwaiyo msiishie kuwapiga chini 2 muwafunge na kuwafilisi
mueshimiwa inatakiwa muwe mnawafunga na kuwafilisi bilaivo wataendelea kuiba tu maana mnawasimamisha kazi halafu wanaendelea
Tanzania mpya mkuu wewe nakupenda sana ukifika sehemu ukiona kama kuna matatizo . Wewe unatumbua. Huna mchezo.
Huyu ndio mbadala wa magufuri 2025tukitaka yanayofanywa na jpm yaje yaendelezwe!jafo aje kua waziri mkuu
Asante baba
Hii nchii hii noma sana
milady hizi ndiyo Habali kaka tunazipenda kwa kuwa tunahitaji kujua
Kwa Kambe hakuna wa kushangaa
Mambo ni motooooo
wazili mbona kilosa aujafika yani kule ndokunamadudu bos kimamba kote
Mkuu wa mkoa atumbuliwe ameshindwa kusimamia mapato.
Ashatumbuliwa leo safi kabisa
kuna watu wanapenda ufisadi mpka wanapitiliza
Hawa viongozi wengine kasi ya Yenu waziri hawaiwezi musiwafumbie macho watoeni.
uyo mbaba awezi kabisa mpole sana
Duh,tayr rc kalia kabla hujafika hata dsm mkuu🙆♂️
Tunakuombe Mungu uwe raisi 2025.
Morogoro wanarahaaa yaani pamoja na nguvu ya serikali lakini viongozi wanajilia helaatuuu daaaa hayaaa ilaa washuhulikiwe iwefunzo kwa wengine
kwakweli morogoro hatuna mkuu wamkoa , inawezekana kebwe anakazi nyingine hapa moro ila cukuu wamkoa
Aya luka nao mkuu
Piga kazi mkuu viongozi wote wa mkoa wa morogoro amna kitu maendeleo atuyaoni fukuza mkuu
Pambana pm wangu
Tumbua hao wameshazoea kupiga dili
Mbunge moradi pia mtumbueni hali ni mbaya kwenye majimboyake
Nendeni. Tanga. Mjini pia mkuu wa mkoa hajielewi Kama vip. Mtoeni haleti maendeleo Musa mbaruku. Hafanyi kitu kabisa
Rais wangu kipenz chawatu unaniangusha kwahili jipu inamaana hulion? tutafutie kijana Mh
Niweri Mh w fika hadi Marinyi wandamba shida
Huyu Jamaa ameshashindwa kusimamia mkoa wetu.
Heri upitiwe na Mjomba Magu kuliko mh. Majaliwa
😂😂😂Kwanini?
@@abdulseifmtuluma4484 majaliwa ni mkali zaidi maana hachekicheki ovyo yuko serious utadhani anaumwa na jino
😂😂😂
Mgonjwa wa jino kumbe ndiye the Serious person eeeh
Majiz yote yatanyooka tuu dawa yenu tayar
Kasimu tafadhari Tumbua majipu hayo yameiva,haiwezekani kuwa na watendaji wasioendana na kasi ya awamu ya tano fukuza wote ajiri hata darasa la Saba watafaa Sawa na kasi yarais yafukuze yote tuko nyuma yako.
Duh
Watu wana roho ngumu,hivi kwa hali ilivyo sasa bado kuna mtu ana piga deal
Si kujifukuzisha kazi nje nje 🤣🤣🤣🤣
Haya sasa Waziri mkuu kashasema by the time anafika dar ,watu huko moro vibarua VITAKUA VISHAOTA MAJANI 😩
PM ni kama amekuna kipele katika mwili wenye vipele vingi hali si njema
Kebwe , kuna ndugu yako pale lugalo hosp anatenda yakufanya usafi, nakushauli nenda kaungane nae, ukuu wa mkoa haukufai uondolewe tu
Kiukweli kabisa kutoka moyoni huyu mkuu wa mkowa wa Morogoro sioni utendaji wake kwanza amepoa sana au kazeheka sana magufuli mtafutie kaz nyingine
Huyu wazili na mkubali magu aliona mbali sana kumchagua
Huu sio muda wa kupiga diri hamkomi tu!
Fabian Milanga majinga kweli? yamezoea unginga tu...hawaogopi kwakuwa ni wanginga tu.
MILAD WHY HABR ZA MAAN UNATUWEKEA ROBO ROBO? HIZI NDO ZAMAAN WANAINCHI TUNAPASWA KUJUA UTUMBO WA VIONGOZI WETU..HBR ZA KIJINGA MNAWEKA NDEFU SN. BADILIKA PLS..TUWEKEE KUANZIA PART 1 UPTO..
Duuh mkuu wa mkoa inabidi ujitathmini sana
Mkuu mkoa out
Hii ndio Tanzania
Wazir Mkuu tumbua kabisa wanaiba raiv pesa zinazojurikana
Hawa watu wana njaa unataka wafanyeje
Hakikisheni kitu chakwanza kuwafatilia na matumiz ya helaa
Huyo mkuu wa mkoa hatimizi majukumu yake.Fukuzeni !!!
shikilia hapo hapo baba yangu kasim mbele kweupeee watanzania tunataka hivyo Tumeshaliwa sanaaaa sasa hizo pesa 9,090,000 ukizidisha na mikoa yote unayopita ingejenga visima vingapi? pia ingekopesha vijana wazalendo wachapa kazi wengi tu kuanzisha viwanda vidogo vidogo.
This is misinterpreted na waziri na italeta sana uoga ofisin, hela huchukuliwa kama posho kwenye OC kufanya facilitation za ziara sio watu wanalipwa posho
voucher za malipo zilikua za nini vile??
*MAITI YAFUFUKA BAADA YA MKE KUOZESHWA KWA NDUGU TIZAMA HAPA LIVE*
th-cam.com/video/j3ymvmuNe0U/w-d-xo.html
Ka
Huyu kebwe ni usaa
Atolewe2 uyo
Hii inabidi wapitie halmashauri za nchi nzima
mambo mengine ya kupotezea tuuhh....
Potezea kwenye familia yako na namashaka na wew kwenye uongozi wako wa familia nazani mwanamke ndo Yuko juu kuliko wew ulishanyang'anywa ukichwa wako kwa upuuzi unaoongea hapa hadhalani huwezi sema potezea mambo ya hovyo Kama hayo ~kiukweli namashaka na uongozi wako wa familia najua umeshindwa kabisa mtoto haeleweki mke ndo kabisaaa saivi umebaki kujiliwaza na pombe tu ndo nizokufanya uje uongee utumbo hapa.
Mhurumieni huyo ni mzee hawezi kwenda na speed
Waziri fukuza wore ao manunda WA hufisadi
Mkuu wa mkoa hautoshi
kaisha tumbuliwa
Dah huyuu kabwe nayee jipu
Mhe.Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania.mkoa wa. Morogoro unaonyesha una matatizo makubwa ya kiutendaji na ki uwajibikaji hy tume aliyo isema uwaziri Mkuu ipitie wilaya zote na hali Mashauli zote ili wote walio sababisha uzembe wote uwawajibishe kwa mujibu wa matakwa ya Sheria.kuna wengine wamekuwa wahanga kwa kusimamia Sheria na ubadhirifu baadae na wao wakageuziwa kibao.asante!!
Mkoa wa Moro matatizo Hakuna uongoz wamekaa tu majipu tia sindano tumbua kabisa toa wote vimeo
ccm msifanye makosa baada kipindi cha mpendwa wetu mh raisi jpm.akimaliza mdaa wake tunamtaka jembe letu majaliwa aendeleze fita dhidi ya magaidi waufisadi hakuna mbadala wa jpm zaidi ya majaliwaaaa nakukubali mkuu unafata nyayo za boss kubwa tingatinga jpm
Hawa ni wakufukuza na kuua kabisa
Tumbuaaaaaaaaa
Usimuache mtu hapo
Tumbua jipuuuuuuu
ndo tanzania kila kikao ni posho ..kuangalia mpira kwao ni posho tu ....pindua apo
JMP TUMBUA HILO JIPU AKAPUMZIKE HUYOOOOOO WAPE VIJANA WAFANYE KAZI....HAIWEZEKANI PESA NYINGI KM HIVYO MKUU WA MKOA ASIJUE..SIO KWELI. NAYEY ARUDISHE HIZO PESA WALIKULA WOTE HAOOOO..INAUMA SN PESA ZETU JAMAA WANAJITAFUNIA KIULAINI..
Kebwe tuachie mkoa wetu
Wanyoosheni wote wasio wazalendo hawatufahi katika safari yetu
Yani huyu anafaa jamani angeenda tanga wilaya ya handeni vijijin kule kuna matatizo mengi kweli nahis atatatua mgogoro wa maj na zahanati
Unamuacha mkuu wa mkoa wanini? fukuza nae haraka