Jinsi Ya Kujidhibiti Usitoke Nje Ya Ratiba Zako
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Jinsi Ya Kujidhibiti Usitoke Nje Ya Ratiba Zako
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
Bonyeza hapa: WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
CHUKUA KOZI YA TH-cam BURE HAPA:
Bonyeza hapa: / @youtubepesa255
.
NUNUA VITABU:
Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
WHATSAPP: wa.me/255759191076
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.....
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
TikTok: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
EZDEN JUMANNE CHANNEL👇🏽
/ @ezdenjumanne8521
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
#Success #Path #Network
If you want to be Different, Be Ready to do Something Different👍 (Hiki kitu kinanikumbusha kutokukata tamaa)
Magreth kutoka Mwanza.
Sahihi
Kuhusu kuogopa kukosea happy pamenihu.Judith Zanzibar.
Nimekuelewa Sana brother we need to change Mshana kutokea Dar es salaam ukonga Banana
Nimejifunza zaidi kuhusu kutoogopa ninapokosea. Yaani napaswa kuzijua Kona zote kama ufagio wa zamani.💪🤣
Asalam alaykum warahmatullaah wabarakatuh maashallaah unaongea vitu vilivyo hai nanindio uhalisia wasisi binadam tulio wengi allaah akupe umri mrefu kutokana na elim uliyonayo na hukutaka ibaki kwako ukaamua kuifanya swadakati jjaali swadaka yenye kuendrlea allaah akulipe duniani na akhera aamin aamin
nilichojifunza ni kwamba hatutakiwi kuyumba katika majambo yetu by abdulmarick wa udom
Sam Madoller pande za chuga👍
Asante
Hongela sana kaka ezdeni kwakutuelielimisha binafsi najifunza sana mengi kwako namungu azidi kukupigania nakukuinua juu kwa elimu bola katika jamii nipo temeke yombi vituka
Naam
Shukrani sana mwalimu
Asante sana Ezden kaka nmejifunza sana mpaka najiona mjinga
Mungu akuzidishie hekma kaka
Each one teach one. Nakubali kaka umekuwa nguzo kubwa kwetu mungu akutunze teundelee kujifunza❤❤❤❤❤
Amin
Kwa maoni yangu,naomba kushare na jamii niongezee ni kwamba jambo jingine ambalo unatakiwa kufanya usitoke katika ratiba zako ni kutochoka kujaribu Try and try mpaka utafanikiwa
ni kweli kaka.kujifunza lazima uwe umekosea. na mafanikio yanakuja kutokana nakuto ludia makosa uloyafanya.
Big up sana kaka God bless you 🙏
Thnk broo
Shukrain Sana kwa mafunzo haya I'm from Burundi 🇧🇮 but sahii nakuskilizeni nikiwa nnje na nchi yangu Sema video zenu muhimu San twaomba mfanye ujuzi ili tuwe twazipata in Tiktok maan apa TH-cam ningumu San kuu Downloader
Ais hii ni yenyew kabisa EZDEN
Shukrani sana bro we need more like this one
More is Coming
Upo sahihi kaka Allah akuifadhi.
Asante sana kwa msaada ni nzur sana
Iko vizuri
Nakusoma vzr nwalimu
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh.....Tunaomba utuwekea video zingine tunapenda kazi zako each one teach one❤
Shukrani sana
No comment
Tuko pamoja kaka na kwa upande wangu nakuelewa sana
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh kaka eznden naomba no y kupata vitabu
😢nimejifunza kusimamia latiba zangu mim nimekuwa nikipanga mambo mengine lakin kunamambo tu ambayo yanaingiliana nashidwa kwenda saw kwenye mambo yang.
Naitwa Mohamed Mashaka nipo Zanzibar, nilijifunza ni kwamba makosa ni njia ya mafanikio, ulicho kikosea leo kesho kitakupigia alarm na utapita ukiwa pro
Hakika kaka
Mr Ezden nmejifunza kujitolea muda nakuskiza nikiwa usa
🙏🙏
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
brother i think ni wakati sahihi wa kuanzisha podcast
Sawasawa...
Mariam Niko Dubai, nimejifunza kutokukimbia changamoto.. kwamana pale nitakapo PATA wakat mgum ndio nipashikilie Ili kufikia lengo
Hakika, umejifunza vyema Mariam
Nipo pamoja na wewe sikupingi kaka
kiukweli jambo kubwa nililojifunza ni kuto kuogopa kukosea