MAADUI TISA (9) WA MUDA WAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Mada hii inalenga kujadili mambo ambayo yanaweza kusababisha upotevu wa muda katika maisha yetu ya kila siku. Tunapoteza muda mwingi sana kufanya mambo ambayo hayana umuhimu au athari yoyote kwenye maisha yetu.
Pia tutaangalia mambo mbalimbali yanayoweza kutupotezea muda na kuchukua nafasi ya mambo muhimu zaidi ambayo tunaweza kufanya kwa mafanikio zaidi katika maisha yetu, pamoja na jinsi ya kutumia muda wetu kwa njia yenye ufanisi zaidi ili kufikia malengo yetu binafsi na kuishi maisha yenye maana.
Jisikie huru kujiunga nami katika safari hii ya kujifunza jinsi ya kuwa makini na mambo yasiyo ya msingi na kufanya muda wetu uwe wa maana zaidi.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.....
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#maadui #wa #muda
Naitwa Hamisi Yohana, kaka kuhusu suala la maadui wa muda ni sahihi kabisa unachotufundisha sisi kama vijana kwasababu vijana wengi tunatumia muda wetu vibaya sana. Mfano , vijana wengi hutumia muda wao kupita katika mitandao ya kijammii mfano , FACEBOOK na kadhalika hivyo basi nawashauri vijana wenzangu tuwe makini sana na matumizi ya hii mitandao ya kijamii maana inapoteza muda wetu mwingi tukiwa tunafuatilia virus visivyo na ulazima kuvifuatilia na hivyo kutumia muda wetu vibaya . Ahsante sana kaka EZDEN JUMANNE kwa somo zuri maana unatusaidia sisi vijana kutambua ni vitu gani tufanye ili tuutumie muda wetu vizuri na nyongeza ni kwamba matumizi mazuri ya muda ni chanzo cha mafanikio makubwa . Ubarikiwe sana kaka kwa somo zuri kuhusu maadui 9 wa muda .
Mimi umenigusia hapo kwenye simu sitoki salama na ajabu niko kwenye kazi ya ajira huwa najikuta nakurupuka kama mwehu hivi baada ya kuachwa namda sasa nimefahamu Alhamdulillah tangia Leo Naamka Yani smu atakuwa a nashida kabatini ili akome kuniibia mda wangu Wa mapumziko Asant sana
Asante kaka kiukweli mimi nimuhanga kuangalia mitandao naweza sema nataka nilale nashika simu nakaa masaa hata matatu ila kwa leo naamua kutumia muda wangu ipasavyo 🤝
Yani nilikuwa nikitumia mudawangu vibay kwakupatiliza mamba ambay kiukwel hayani husu, lakini najishukur nimepata maarifa kupitia video hii naamin mungu atatenda nitakuwa srias na muda Wang Asante San teachel
Asante kwa somo zuri linalo husu kutumia wakati vizuri. Mimi limenigusa sana KTK kipengere Cha SITA Cha kukosa kutokuwa na mpangilio wa vituo vyako, unapohitaji kitu unatumia muda mrefu kukipata kwa kuwa tuna utaratibu wa kuweka vituo vyako vya muhimu.
Nashukuru sana kwa mrejesho, na ni kweli siku zote vile vitu vidogo ambavyo vyaweza kudharaulika mara nyingi vinakuwa na matokeo makubwa sana. Kwahiyo mpangilio maalum kwenye maisha ni kitu muhimu sana.
Ahsante sana brother, cha kuongezea hapo... Point hii especially kw vjana wa kiume... Huwa wengi wanapoteza muda kwenye mambo ya mabishano yasiyo na msingi, either vijiweni, ama hostel, na maeneo kama hayo... Utakuta wanabishana kuhusu mpira na katika hayo mabishano wanaweza chukua hata masaa 2 mpaka 3 kubishana mchezaji huyu ni bora kuliko huyu, ama timu hii ni bora kuliko hii, ikiwa kila mmoja anavutia upande wake... Instead.. huo muda wangetumia kufanya mambo yao ya msing ungekuwa na manufaa kwao hapo baadae...
Samahani Naomba kununua vitabu nipo Zanzibar
Asanteh sana umenifungua sana kaka mimi tabia zote zinanihusuu ni mda wangu sasa wakubadilikaa
Mimi yote tu nipo niukweli nachokuahidi kuwa nitatumia ujuzi wangu wote ipasavyo ili kuachana na mambo yasiyo faa maana hayana faida kabisa, nashukuru mwalimu wangu
Mungu akubariki sana Brother 🙏 nakushukuru kwa kuwa umekuwa mwenye kunielimisha ktk njia za kuboresha maisha yangu ....changamoto nyingi zilizo nikumba but kwa Mungu kuniktanisha na kukufwatilia Kwa muda mrefu tangu 2018 nikiwa advance so Mungu Akubariki sana 🙏
Senk you brother
Amina Kaka Ujumbe Bola tupo Pamoja
Asante sana kakangu kiukweli unatufunza mambo mazuri
Assee brother.... I was far about,zote ponts 9 zimenigusa mnoo mnoo... but from now najiwekea kubadilika thank u brother.
KARIBU SANA
Kwel,mimi,pianinahilo,tatizo,lakutojal,mda,nashukuru,Sana,kaka,nimejifunza,pia,kutunza,mda
Kiukweli kaka mafundisho Yako yamenitoa kwenye Giza na kuniweka kwenye Nuru nasasa ninainuka nakuangaza nakuombea kwa mungu akupe siku nyingi za kuishi
Asante sana Kwa mada nzuri. Me niwe mkweli jambo namba 6 lilikuwa linanipotezea mda wangu sana nikiamuka asubuh kwanza kutafuta mavazi changamoto navua hii navaa hii naona hazijakaa vizuri nikitoka uko naanza kutafta soksi mara funguo za pikipiki kama dakika 20 zinaisha nazunguka ndani tu
Asante sana kaka nimekupata vizuli
Kuna topic uliongelea juu yakuandika Mambo utakayofanya kwa cku inayofata tangu nifate iyo ratiba nimebadilika nafanya kazi zangu vizur.asantw
Misina mengi yakusema ila ila saiz nimefanikiwa pakubwa na namshukulu mungu pia naendelea kujifunza mengi kwako so na zawadi yako brother
Ubarikiwe sana kaka
Hongera Kaka . Vijana tunapoteza muda vijiweni, ps game, pool table ,kutembea huku na kule na marafiki hasa tukijifariji kazi hatufanyi , unamwona mtoto wa mzee idy kibahati kafanikiwa muda ukifika tutafanikiwa tu. Tunasahau imeandikwa tutakula kwa jasho na uzee fainal.
True brother, ujumbe mzuri...
Asee umesaidia sana
Mimi nimekubali kwamba kuweka vitu hovyo hovyo kunapoteza sana mda,huwanatafuta sana funguo zagar mpaka.
Good
Mr ezden jumanne your a teacher hiyo point ya kuweka vitu shyagala bagala ishanitokea nilitoka kazini kisa nawahi tamthilia sikuweka funguo sehemu ntayoza kuiona kwa urahisi niliitafuta nusu saa
Hata na mm Hilo mh! Shida
Nimebadilika na kuacha kuingia Facebook, kwasababu ndo nilikuwa napoteza muda mwingi sana.
Ahsante sana nimejifunza kitu
Karibu sana ukhty
Mimi kuhusu sm nikweli inanilia muda
Asante Kwa somo zur
1. Ni kutumia sana mitandao ya jamii..
Ichi kitu kinakula sana pesa zangu na muda..
Sasa hapa kuanzia leo naweka data limit ili niweze kupangilia..
2. Ni kukaa bila kufanya kazi..
Huku ninazo kazi zakufanyaa..
Hapa ntaweka mpango mathubuti
Masha Allah kaka Allah akulipe Inshaallah. Mm nimejfunza sana. Mda wa kupumzka mm naendelea na kazi na kuchukua cm kukusikiliza au kuckiliza mawaidha!!
naam kujifunza na kufanyia kazi ndio mpango mzima
Thanks bro
Kaka ezden umekuwa mkufunz wangu mzuri sna nakushuru Kwa elimu Yako ya Ziad 🙏
Asante sana na karibu sana
Lingine lenye kupoteza muda kutokuwa na ratiba maalumu
Daaah umenigusa sana kaka thanks broo
Vzr kk
Nzr
Kusoma jumbe bila mpangilio. Hiyo umenitoa tongotongo 🙏
Nashukulu mim miongon mwakuailisha mambo muhimu adi najikuta jazi zinakuwa nyjngi umenikomboa mimi nafamilia yangu wataenjoy
KWA kweli umenifundisha uliyoyasema mengi sana yananipitezea muda now nimejifunza
Kitabu kinaitwa kampuni ni dhahabu nakuitaji Tsh ngap
Dua Nene kaka eziden jumanne 📚💰
🌃
Mtandao na kulala jamani nalala sana mimi naweza nikapanga vizuri ratiba zangu muda sasa ukifika yan nakua mvivu balaa😢😢
Kaka yote hayo yanakula.muda wangu,,najipanga kubadilika,,
Jambo Longine ninaloliona linapoteza mda ni kufanya kitu bila malengo yani unafanya kazi ambayo sio katika malengo yako ambayo kwa kipindi kile utaona unamshahara mzuri kumbe kwa hadhi yako histahili na utakapo kuja kushtuka umefanya kitu sio sahihi utajikuta ushachelewa so kwa mm naona jambo linalopoteza mda nikutokuwa na malengo ya unachotaka kufanya katika kipindi maalumu na nyakati maalumu
Yani Mimi nimejifunza ntabadilika swala la kuamka na kushika cm unapekua vitu ambavyo avipo kwenye utaratibu,kiukweli vijana tubadilikeni.
But bro kwny suala la kupanga vitu kwa umakini watu hapo ndo wanakuwa na tatizo hasa kwa wanafunz kma mimi .kupng madftr , vitab vya kujisomea na hata mavazi ndio yanawachelewesh kuwahi masomo shuleni
Kaka we uko vzr sn
shukrani sana
Niko naadika research haya yote yananikabili daaah.. let me change
Kuchelewa kulala
Kaka ezden nisaidie, imagine upo kweny mtihani then ukaona kun maswali magum then mengine je utaanza kufanya swali gani, swali gumu ama jepesi recalled from ''eat frog first''
Mitandao ya kijamii shikamoo, imenipotezea muda kuanzia leo naamini nitapona katika hili
Jambo lingine ni kutoijali afya yako.Ukipata maradhi utapoteza muda mwingi na pesa' kujitibu.
Mimi ni issue ya simu ndo inakula mda wangu. I don't watch udaku, but series na education issue.
Shukran sana kaka nimejifunza mambo mengi niwakati wa kubadilisha lifestyle.
Nahitaji vitabu naomba no ya wsp please
Karibu sana. Namba zipo kwenye description hapo
Samahani naweza kupata namba yako nilikuwa nahitaji majina ya vitabu
Mimi apo kwenye mtandao Dah iyo siachi kbs siku yangu yote naipoteza kwenye mtandaoni 😢
Kbs kamanda wadada wa miaka hii wao ni Whatsapp fesbook. Ndio manaaribika.
Dah tatizo sana
Sioni namb
Hapo Mimi simu na TV kwenye simu shida Ni game nikishika game tu simu haitoki mkononi
Jitahidi sana kupunguza kidogo
Mimi ni games
Naomba Kila ukitoa video mpya naomba unitumie
Subscribe utaletewa taarifa kuwa nimetoa video mpya
Yaniapo kunakitu nime jifunza nipo kwenye ajila kwamda mlefu sasa na lengo langu nimeki ili nipate mtaji wa biashala nasasa nime fanikiwa kupata mtaji sasa kupitsha maamuzi ndo nina patawakati mgumu sasa mwaka huhu nianze basi ukifika naongeza mwaka mwingine naonamda una zidikwenda asate kunakitu mimejifunza apo
Karibu sana
Vitabu
ASANTE KWASOMO ZURI
Karibu sana Kihupi.
Nawezaje kupata namba yako, ili tuwasiliane Whatsapp
+255759191076 karibu
Facebook
Keep going on nigga
MTANDAONI BT HUWA NAFANYA MAMBO YANGU KAM CONTENT
Mimi simu ! kwa kweli simu ina nipotezea sana muda😒😒😒😒
Your whatsapp
Please check the description....
Vitabu
Bih up sana kwa ubunifu upande wangu muda unapotea ktk kutekeleza kile nilichokipanga mf nimepaga nitasoma asubuhi baada ya kushukuru Mungu lkn napoteza muda na vitu vingine
Ombi langu kwako J naomba ufundishe mbinu za kusoma kitabu na kumaliza km uliwahi kufundisha bc urudie kwa manufaa ya wengine