Am 50 yrs old now Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu
Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.
Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏
Mr Joel mm nakupa big up San uko vym .🙏
Am 50 yrs old now
Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu
Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.
Umeua kwenye hii elimu unayotupatia bureee Arafati Tz nanyumbu mtwara
Asante sana Mr Joel , Nina mshukuru Mngu mwenye kutupa mutu kama wewe🙏
(ENOCK from Rwand🇷🇼)
ASANTE MENTOR, MASTER ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana wasema kweli umeniumbia kitu ndani ya maisha ya ngu🇨🇩
Ukweli kabisa mungu akubaliki sana . Kupitia mafudisho yako sai najitabua sana .
Maneno ya kiingereza mm cyaelewi, muwe mnajikita kwenye lugha zetu zilizonyooka ili tuwe tunaelewa zaidi.
Ahsante sana kaka Joel leo nimejifunza kitu kikubwa sana MUNGU akubariki
Watu watatu kama wewe dunia inakuwa sehemu nzuri yaku ishi 🤝❤️🫴
Kiukweli speech zako huwa nazikubali sana. Hasa kwa jinsi unavyotoa mifano
You never disappointed daddy 👏🏼👏🏼🙏🏻 be blessed
Ni kweli baba mafundisho yako mazuri sana
Nimekuelewa sana kaka
Ahsante sana kaka nina jambo langu nitakushirikisha kama unaniruhusu maana umekua mtu muhimu sana kwangu.
Ahsante 🙏
Asante kwa mafundisho yako Mr.Joel
Barikiwa sana kaka,na Mungu azidi kukujaza maarifa ili wengine tunufaike❤❤❤
That's what you said ni vizuri ❤
Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏
God bless you servant of God
Safi sana okoa jamii n kazi ya Mungu iyo
Facts and inspires for really get u from malawi as a refugee in dzaleka dowa
I'm speechless!
Thanks a lot a man of God
Neno moja tu kaka Nashua sana
Mungu akubaliki sana!
My MENTOR, God bless you
Mungu akubariki sana sana ki ukweli Huwa unanifanya kupiga hatua kubwa
Kaka nakupenda sana unafundisha Mambo mazurió sana
Brother Mungu akubariki sana
Barikiwa Sana bro unatupa madini imara
Mi nakukubali sana mungu akubariki
Asante san umetfunua san mung akuwek maish marefu
asante kaka @nanauka ❤
Unanifungua Sana ubongo na maneno yako na vitabu vyako usichoke kutupa maarifa
Fact sana bro
Uko vzr unafaa kuwa kiongoz wa taifa
❤ asante Kwa kweli
Jamani uko sahihi mmmh penye kusaidia ndugu hapo hakika yakikukuata hata kama uliwasaidia vipi hawakusaidii dah Wacha nichukue hatua binafsi nimeshuhudia
BE BLESSED.
Noel tunashukuru Tanzania lazima tupambane tuzishinde roho za umasikini 😢
Kaka Mung anakutumia kushape zone
Mr joel nmekuelewa
Be blessed
Nakuelewa sana
Kaka ubarikiwe sana
we jamaa uishi milele najivunia sana kuwa haki kipindi kimoja n wwe
Brain Vitamins from this man is such an awesome❤
Barkiwa sana
Asante sana
Brave one day I'll meet with you for more conversation sir brace
Unatakiwa utumie Lugha moja wapo,Kama Kiingereza au kiswahili
Good advice broh I want to be alike oneday🙏🙏
Hakika umenifungua Leo
Nakutakia kila la kher
Kila siku napenda kuchukua point zako, napenda unachokifanya bro. Mungu akubariki sana Ili uzidi na uzidi kutupa hayo madini.
Mwalimu ❤😊
Asante brother ❤
Kweli ndugu yangu
UBARIKIWE KAKA
Kweli kabisa
Nimekupata kaka
Good bro
Blessed
Mm nilikua nataka no Yako kaka
Sensa ya nchi gani hyo kaka
😅😅😅😅
Fact😢😢😢
Shukrani somo nzur la kujifunza 🙏🙏
Hakika ❤
Madini ya kutosha
naitaji namba zako braza joel
Mwalimu wanqu huyu 👨🏫
Great
Tatizo Unachanganya Lugha,
💯💯
Asntee
Vitabu vinapatikana wapi na vinauzwaje
KAKA WEWE MTU BORA SANA
Kaka nilikuwa naomba unisaidie kwa kutoa ushauri kuhusu upambanaji kwa eneo la shule
❤❤❤❤🎉
🙏🙏🙏
✍️
🧠🧠🧠🧠
😆😆😆😆💯💯💯💯💯💯💯💯💯
👍👍👍👍👍
That's what you said ni vizuri ❤
Asante sana