Review your calling mtumishi. Seek again the guidance of the Holy Spirit. Naona unaweza jiona sawa unavyowashambulia wenzake at the end of the day ukajikuta wewe ndio iko wrong.
Kamanda kiukweli MUNGU anajua kuwa unasema kweli mtu ambaye ajawai kuingia huko ndani atakuksoa tu bola wanyamaze ipo siku tu tutakuwa mbele yahukum ya Mzee wasiku
Paulo mtu wa mungu alimchomoa simon yule mchawi miujoza yake yote ya kichawi wewe unasubiri nini acha maneno piga dua kama paulo mchungaji mwenye mikono yakichawi ing'okee!
Mwanzo mbarikiwa nilikuwa nakukubari lakini kwa sasa nahanza kukutiria mashaka kwa sababu unatafuta kutrendi kwa kuwasema wenzako vibaya sehem nyingine uko sawa lakini sehem nyingine unakosea
Ole wako wewe ujionaye upo salama na huku mguu wako ungali ktk shimo la kaburi 😢 wamelaaniwa wafuasi wako na wataambukizwa roho ya umbea na Masengenyo. Ndg fundisha Neno la Mungu swala la Uhariri Mungu hajakupa. Siyo kazi yako
Ifike wakati watumishi wa Mungu alie hai muhubiri ufalme wa Mungu ndilo agizo alotupa Yesu alipokuwa anarudi kwa baba ake mathayo 28:19,20.....muda ni mchache shetani anacheza hapo ili watu wengi wasipate injili ya ufalme wa Mungu na kuacha dhambi ila tuanze kuona watumishi wakijibishana wakirushiana maneno wapendwa waloitwa na BWANA KUTUMIKA MUDA NI MCHACHE TUKAZANE KUHUBIRI UFALME WA MBINGUNI kila mmoja atavuna alichopanda shetani halali anaona muda ni mchache ila watumishi kutwa kujibishana Mungu atusaidie
Wazungu waliwaweza. Wamewaambia ukimwambia mtu awahurumie Waafrika wenzake sio injili ya ufalme wa Mungu ila mkisubiri hadithi za mateso walipoteswa wao ndio injili. Pumbavu
Mmebarikiiwa amepewa huduma hiyo ya kuwakemea wajiitao watumishi wa Mungu na kumbe ni waongo.hii huduma ngumu sana na siku zote huwa Haina waumini wengi ila inatengeneza watu watakao simama Kwa ujasiri.kumbuka kwenye dhiki kuu watakao simama kama Mashaidi wa nyakati hyo watakuwa Nabii Eliya na Henock ni wachache lakini watasaidia kuokolewa wengi Kwa damu Yao na mateso.mbarikiwa simama na wito wako Mungu yupo na wewe
Duuuh 🙌 mtumishi wa Mungu,,,🔥 Lakini najarbu kuwaza kama wa shetani wanafanya makubwa hv ad watu wanawafuata and we know exactly YESU ni mkubwa kuliko shetani,, Kwa nn watumishi wake unaowaona wa ukwel hawafany kama hao unaona wa shetani? Je tuseme Mungu hana nguvu kama shetani? Au je nguvu za Mungu zna masharti magumu kuliko za shetan au je Mungu hajawapa watumishi wake nguvu nyingi kawapa kidogo?? Najarbu kuwaza kama Mungu amekupa message uambie kanisa lake kuhusu kwenda mbinguni tu,,? Je Mungu hana meseji za how to become successful? Hana meseji mpya ya mambo yanayoendelea duniani ambazo manabii(unaowaona washetan) wanatuambia na vtu vnatokea,,au Mungu wetu has no time to those things? What he focus is twende mbinguni tu? Vp kuhusu maisha yetu hapa duniani kiuchumi kiafya kjamii kisiasa?? @kikosikazichainjili me ukinipa jbu hapa ntaanz kukuelewa maana naona umefocuss in one well of salvation,,,leo IPM kesho mwamposa kesho yake shusho kesho tena kiboko ya wachawi now umeenda mbali zaidi mpaka mwakasege🙌😁 Ukiiona hii coment naomba uweke vdeo kuijibu nielewe GOD bless you
Laana haipo juu ya Kila aliye Mwamini Yesu Kristo maana alifanyika laaana Ili sisi tuwe baraka Yesu ,upendo wa Mungu sio kumlaani mtu baali ni kumbariki
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani!!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia? Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video kama ww ni mtumishi wa Mungu kweli acha kupotosha watu
Kukemea ubaya si dhambi kuyafichua maovu ili watu wafumbuke akili zao si dhambi upo sahii kabsa watu wanahubiri kinyume na mpango wa mungu wanamuhubiri kristo kwa hila ubarkiwe mtu wa mungu unatufundsha kuijua biblia na namna wanavyoipotoxha jamii
Unapata shida wapi mtumishi wa MUNGU? Yote yametabiriwa lazima yawepo.. kazi yangu na Yako ni kuhubiri neno la uzima liokoe wale waliokusudiwa kwenye huduma yako sio kushambulia wengine.
Sio kichokozi, hapo iko hivyo vivyo; ameambiwa yeyote asiye yaweka imala Maneno haya; 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Mwakipesile umesahau hata waumini wako upo kujadili mwamposa utakuwa London zako uko upo bz mitandaoni na mwamposa nachukua mzigo Kwa ajili yako nikuombee alafu usiangalie huyo Tu alie kufa tazama hata waliofunguliwa shetani
Kwanini asbh jioni ni maneno si neno Nilisema hv toka mwanzo huyu baba alishapigwa zamani,,alijaribiwa kwa mwanae ,ndipo ukichaa ulipoanzia,sasa hataki aende mwenyewe,anataka aumize watumishi wa Mungu ,asipotee mwenyewe,wew hubiri,kemea,ombea,hukumu mwachie alowaajiri,
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Basi hata Mungu ni KICHAA; Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina. Hapo ni Mbarikiwa anasema au MUNGU?? Uchizi tu.
Wimbo upo sahihi ila tatizo lipo kwenye kichwa cha habari,kwakusema wafasi wa abiud,mwakasege.wamelaaniwa,tatizo lipo hapo ndiyo maana watu wanacoment vibaya,ushauri kichwa kilitakiwa kukaa hivi=wafaasi wote wa wachungaji na manabii wasio tii sheria ya mungu wamelaaniwa.
Nakuomba uliepost hii video ufute mara moja lasiivyo nitajua chakukufanya huwez kumthalilisha mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege amehudumu kwa miaka mingi katika injiri hii Leo una mkashifu ivi unajielewa kweli
Mbona yeye fanueli sedekia alikuwa anaimba bila kujibu anayokerwa na wanaomuudhi! Lakini ninyi! Munatupandikizia tu uadui kwa watu ili tuwe tunawapiga na kuwachukia na kuimba kwenu na kuhubiri kwenu"
WAFUASI WAKO SISI TUNAOUFWATILIA NDIO TUMELAANIWA MAANA TANGU TUNAKUFWATILIA HUJAWAHI KUTUFUNDISHA ZAIDI YA KUWASEMA WENZAKO KAMA YESU NA WATUMISHI WENGINE KWENYE BIBLIA WANGEKUWA KAMA WEWE MZEE SIJUI KAMA TUNGEKUWA HAPA😅 SISI NA KIKOSI KAZI TUMELAANIWA
Hata siku ya mwisho atakapojizihirisha zaid waziwazi Mungu atatuma wajumbe wawili kuzuia wasimsikilize mnyama lakini watu watawakataa na mnyama atawaua na baada ya siku tatu Mungu atawakusanya watu bila kujua na hao mashahidi waliokufa watainuka na kupaaa tazama tetemeko kubwa litatokea na kujua watu wengi sana. Na hata Sasa hamtaamini hiki anachosema mbalikiwa wala amieli Wala gwajima wala wahubili wadogo wadogo hamtasikia Ila ukifa utatamani kurudi duniani ili uwakataze wasiwasikilize lakin utakua umechelewa amee
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Sasa mtumish ... Kichwa habari hakiko sawa kabsa ..... Kila mtu anadhambi ...hata nyie sio watakatifu ,,,,Neno la MUNGU linasema tukisema kwamba hatuna dhambi twajidanganya ,,,,kikubwa wewe hubiri kweli ,,,kemea,karipia ,onya ,ila sio kwa kuandika vichwa vya habari vya kijinga namna hiyo ... Yaaan unatupa ukakasi kweli ,,,,,ebu kemea dhambi na sio kuwataja watumishi wa MUNGU....wewe kila mtu kwako ni mbaya, Yup ni mwema kwako au wewe ndo mtakatifu peke Yako ?? Angalia bna usiwalishe kondoo wako sumu ...naona unaandaa kizazi cha kupigana kimwili kabsa
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Yaan Mwakasege na Abiudi unawaweka kundi moja na hao wengine kina kiboko ya wachawi, mwamposa, IPM huko ni kuwakosea heshima na MUNGU atalipa nimeona mmoja ameuliza akajibiwa "wasio na mihemuko ya kishetan ndio wataelewa" msiwe mnachanganya watumishi feki na original katika kukemea
Elewa wimbo umesema watu wote wasipofanya alivyoagiza Mungu wamelaaniwa. Je watu wote wanahubiriwa na huyo Mwakasege na Abiud wanafanya yote aliyoagiza Mungu? Acha ushabiki wa kizuzu
Utumishi mzuri ni pamoja na unyenyekevu kuzuia midomo isinene mabaya ikiwa nawe huna kipimo Cha utakatifu zaidi ya Mungu mwenyewe ndio maana Yesu alijibu kwa hekima kubwa akasema " Acha magugu na ngano vimee pamoja mnaweza mkang'oa magugu mkajikuta na ngano imeng'ooka " tafakarini Kwa kina
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Mchungaji Mbarikiwa neno la Mungu katika Warumi 14:4-6 Neno la Mungu linasema: Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Ni bwana wake tu awezaye kuamua kama amesimama au ameanguka. Naye atasi mama kwa sababu Bwana anaweza kumfanya asimame. Paulo naye alipingwa sana na Wayahudi wenzake lakini alisimama katika wito wake. Katika Biblia hakuna mtumishi aliyepewa wito wa kuwasema vibaya watumishi wa Mungu
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile acha kuchafua watu mtandaoni sasa umeweka picha zao ili iweje unataka vihela vya kulipwa utube yan ww ndomchumia tumbo mkubwa ndomana wivu kwa kila anayejaza watu
Mbona sasa wewe mbarikiwa kazi yako tu imekuwa ni kuwafuatilia watu na kuwajibu kila walilokukera nalo mambo ambayo yanaleta ugomvi na mapigano tu! Mungu akiwainua ninyi watu hamuwi wazuri tena mnabadilika pakubwa!.
ila Kumbuka wao hawakuwa maarufu kwa kushinda kuwasema watu mitandaoni Hukuwahi dhani kuwa Mungu anaweza kuwatumia hata wasio Fundisha Ubatizo kama wako Sasa Ungekuwa Mungu unge mfutilia Mbali kwa Bahati Mbaya haiko hivyo Uchungu tuu na Wivu
@@Mbarikiwa_Mwakipesile WE NI MCHOKOZI TUU ukikamatwa UNASINGIZIA HATA MITUME AKINA PETRO NA PAULO WALIWEKWA MAGEREZANI wakati wao si kwasababu za KUJITAKIA na KUTAFUTA KIKI kama wewe SAWA Kuna wakati upo sahihi ila sio KWAMBA UNAJUWA KILA KITU na hata UKIONYWA HUWEZI KUGEUKA KWASABABU YA KIBURI ILA WEWE NDIO UNATAKA UWE UNAONYA WATU ila wewe hutaki unahisi upo Sahihi kwa kila KITU Think again Man of God
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Kichwa chat habari chako. WAFUASI WA MWAKASEGE MWAMPOSA, KUHANI MUSA, ABIUD WAMELAANIWA😭🙄 Alafu unakana zaidi sana video zako zimewaonyesha manabii wa uwongo mfano kiboko ya wachawi akisema Kwa kinywa chake yeye akemei dhambi.😂😂😂 Alafu unawaita ma dogo kwahiyo Mwakasege ni dogo🤔
@@Mbarikiwa_MwakipesileKama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu. Mithali 26:2
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Mimi nabarikiwa na abihudi misholi hasa nyimbo zake sinaendelea kunibariki wewe Endelea kumtukana ila mimi najua MUNGU amemuinua ili MUNGU atukuzwe na watu wamataifa kupitia nyimbo zake
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile saww nimekuelewa inatakikana useme hawaambii watu ukweli ndo tujue ila tena title ya post yako pia ndo inafanya nikuelewe vibaya
KUMBE NAWE UNAWAFUATILIA, HONGERA KUWA MSHIRIKA WAO,HIVI KAMA WAMELAANIWA SHIDA YAKO NI NINI? ACHA WALAANIWE WEWE SI UWAAMBIE WASHIRIKA WAKO WASILAANIWE, MBONA KAMA UMEKAA KWENYE MLANGO WA KUINGIA MBINGUNI?
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣, Ninywe maji kidogo🥤. Sasa hapo unaniambia Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa. 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Yaani Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa; 👉👉IKumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani Duhh!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia??? 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
wewe umefanya nini jipu mgogoni limepona wewe kila siku unakosowa serikali mara unakosowa watumishi wa mungu wewe nani hata uwaone hawa wanapotea wewe ni mjinga sana unamkashifu mwakasege mtu wa mungu ameubiri zaidi ya miaka 40 leo unasema alaaniwe mwamposa ameubiri zaidi ya miaka 28 wewe unasema amelaaniwe umelaaniwa wewe na uzao wako una heshima una adabu wewe
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile we unawalaani Mungu anatamani wabadilike. Mungu anampenda kila mtu, wewe unaombea mabaya yeye anaombewa na wengine. Hivi Mungu analaani laani tuu😢
Ndio mtendao zambi mmelaniwa kwa mjibu wa biblia ata kama mna pessa ila mmelaniwa wote mnao ubili kinyume na biblia Wakolosai 3 5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu; 6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
Kweli tumefika mbali, yaani Mpaka kuitusi Biblia?? Hayo ni maandiko kayasoma; au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia. Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Sio kakosea kusoma biblia ila majina ya watu kwenye title ya Nini? Na ndio mana watu wanapata shda mnawachamganya lakini angesoma biblia tu bila uchokozi wa hiyo title mbn angeeleweka? Ni wimbo mzuri tu na unaeleweka ila hiyo title ni uchokozi kabisa Yani Mungu atusaidie jmn😥@@shukranimpomwa7460
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki nipe video ya Mwakasege na Abiudi wakihubiri vibaya nikuone ww mwamba sio wote wabaya
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video useme amekutapeli wapi tuone kweli ww ni mtumishi wa Mungu
Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.
Mwalimu Mwakasege
Mwalimu wangu amenivusha ba kubwa sana nampenda
Zichunguzeni kila roho
Wee mtumishi nakupenda sana,, we umetumwa na MUNGU hakika,, zidi kuifanya kazi ya MUNGU kama ulivyoagizwa...
mungu yupi kamtuma
Review your calling mtumishi. Seek again the guidance of the Holy Spirit. Naona unaweza jiona sawa unavyowashambulia wenzake at the end of the day ukajikuta wewe ndio iko wrong.
Kamanda kiukweli MUNGU anajua kuwa unasema kweli mtu ambaye ajawai kuingia huko ndani atakuksoa tu bola wanyamaze ipo siku tu tutakuwa mbele yahukum ya Mzee wasiku
WOOOOOU, BARIKIWA SANA MPENDWA WETU SANA MBARIKIWA NA UMESHABARIKIWA KAAATTIKA JIMA. KUBWA LAKE YESU KRISTO.
Mwalimu mwakasege nakupenda MUNGU akawa adui wa adui zako
Paulo mtu wa mungu alimchomoa simon yule mchawi miujoza yake yote ya kichawi wewe unasubiri nini acha maneno piga dua kama paulo mchungaji mwenye mikono yakichawi ing'okee!
Be blessed father Kenya tunakupenda sana baba
Mwanzo mbarikiwa nilikuwa nakukubari lakini kwa sasa nahanza kukutiria mashaka kwa sababu unatafuta kutrendi kwa kuwasema wenzako vibaya sehem nyingine uko sawa lakini sehem nyingine unakosea
Ole wako wewe ujionaye upo salama na huku mguu wako ungali ktk shimo la kaburi 😢 wamelaaniwa wafuasi wako na wataambukizwa roho ya umbea na Masengenyo.
Ndg fundisha Neno la Mungu swala la Uhariri Mungu hajakupa. Siyo kazi yako
Hakika tabia zao zinaonyesha kwamba wanamwabudu mungu gani maana ni wezi waongo wazinzi Wana roho mbaya wachafu Wana husuda wanafiki nk
Upo kweli baba mimi nipo nyuma yako hapa Kenya
Ifike wakati watumishi wa Mungu alie hai muhubiri ufalme wa Mungu ndilo agizo alotupa Yesu alipokuwa anarudi kwa baba ake mathayo 28:19,20.....muda ni mchache shetani anacheza hapo ili watu wengi wasipate injili ya ufalme wa Mungu na kuacha dhambi ila tuanze kuona watumishi wakijibishana wakirushiana maneno wapendwa waloitwa na BWANA KUTUMIKA MUDA NI MCHACHE TUKAZANE KUHUBIRI UFALME WA MBINGUNI kila mmoja atavuna alichopanda shetani halali anaona muda ni mchache ila watumishi kutwa kujibishana Mungu atusaidie
Wazungu waliwaweza. Wamewaambia ukimwambia mtu awahurumie Waafrika wenzake sio injili ya ufalme wa Mungu ila mkisubiri hadithi za mateso walipoteswa wao ndio injili. Pumbavu
Ubarikiwe Sana na BWANA YESU KRISTO
Mmebarikiiwa amepewa huduma hiyo ya kuwakemea wajiitao watumishi wa Mungu na kumbe ni waongo.hii huduma ngumu sana na siku zote huwa Haina waumini wengi ila inatengeneza watu watakao simama Kwa ujasiri.kumbuka kwenye dhiki kuu watakao simama kama Mashaidi wa nyakati hyo watakuwa Nabii Eliya na Henock ni wachache lakini watasaidia kuokolewa wengi Kwa damu Yao na mateso.mbarikiwa simama na wito wako Mungu yupo na wewe
Ajidhaniaye amesimama na aangalie asije anguka
Fanya wewe basi waige kutoka kwako ,kazi majungu tu ndo yamejaaa
😅😅😅 umenichekesh sana aisee nimajung kweli yanayo onekana apa kwawezake
MUNGU nuunganishe kiroho na huyu Mtumishi wako Mbarikiwa mwakipesile. Natamani sana ,sana.
Duuuh 🙌 mtumishi wa Mungu,,,🔥
Lakini najarbu kuwaza kama wa shetani wanafanya makubwa hv ad watu wanawafuata and we know exactly YESU ni mkubwa kuliko shetani,, Kwa nn watumishi wake unaowaona wa ukwel hawafany kama hao unaona wa shetani? Je tuseme Mungu hana nguvu kama shetani? Au je nguvu za Mungu zna masharti magumu kuliko za shetan au je Mungu hajawapa watumishi wake nguvu nyingi kawapa kidogo??
Najarbu kuwaza kama Mungu amekupa message uambie kanisa lake kuhusu kwenda mbinguni tu,,? Je Mungu hana meseji za how to become successful? Hana meseji mpya ya mambo yanayoendelea duniani ambazo manabii(unaowaona washetan) wanatuambia na vtu vnatokea,,au Mungu wetu has no time to those things? What he focus is twende mbinguni tu? Vp kuhusu maisha yetu hapa duniani kiuchumi kiafya kjamii kisiasa??
@kikosikazichainjili me ukinipa jbu hapa ntaanz kukuelewa maana naona umefocuss in one well of salvation,,,leo IPM kesho mwamposa kesho yake shusho kesho tena kiboko ya wachawi now umeenda mbali zaidi mpaka mwakasege🙌😁
Ukiiona hii coment naomba uweke vdeo kuijibu nielewe
GOD bless you
Gidio alivunja madhahu mbaya na kuziharibu hakuwaletea watu maneno yasikuwa na matokeo
Mtumishi iogope hukumu ya kulaani wenzio usije ukahukumiwa maana mahubili Yako ni kuhukumu wengine tu.
Laana haipo juu ya Kila aliye Mwamini Yesu Kristo maana alifanyika laaana Ili sisi tuwe baraka Yesu ,upendo wa Mungu sio kumlaani mtu baali ni kumbariki
Hii laana kwa kweli inatutafuna wengi, Mungu tu atusaidie.
umelaaniwa wewe na kizazi chako cha ushoga,umebanduliwa nyuma na mateja,huna jipya,unatafuta kutukana mpaka waumini usiowajua,umebanduliwa tulia
Viache vikuwe pamoja anakuja mwenye shamba mtumishi.awahurumii watu waache dhambi anasema kama mzinzi.poa alete sadaka tuko mwishoni
Ukiona mtumishi unawatakia watumishi wenzako walaaniwe..umepotea katika wito wako roho ya shetani inafanya kazi ndani yako ole wako
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani!!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia?
Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Huskii amesoma bibilia?
Amen
Mbarikiwa mh naona ngoma inalia sana hii inaelekea kupasuka
Nakupenda baba mno yesu akukumbuke
Mwakipesile kuna wakati unaongea point lakini kuna wakati unaongea pumba....
Haya mbarikiwa pambana na injili yako ya laana
Ubarikiwe kwa huu wimbo
Hawa acheni kuwakashifu watumishi wa Mungu kwa sababu ya nguvu zenu za giza
Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video kama ww ni mtumishi wa Mungu kweli acha kupotosha watu
Jamani mbarikiwa anaishi kwa kukosoa wezake roho mtakatifu hayuko hivyo huyu aliyenaye ni mtakashari pole sana
Huyu tutaotesha vijit tuone huduma ya nan itachipua
Picha inaanza Single ina dakika 12:46 nomaaa sanaa hapa Khadija kopa akasome 🎉
MCHUNGAJI NATAMANI NIJIFUNZE MENGI ZAIDI NAOMBA NISAIDIE NAMNA YA KUFIKA KANISANI KWAKO NIPO DAR ES SALAAM
Amelaaniwa mfuasi wa yeyote yule atendaye dhambi
Amen amen.❤❤
Walaaaniweeeeee
Kukemea ubaya si dhambi kuyafichua maovu ili watu wafumbuke akili zao si dhambi upo sahii kabsa watu wanahubiri kinyume na mpango wa mungu wanamuhubiri kristo kwa hila ubarkiwe mtu wa mungu unatufundsha kuijua biblia na namna wanavyoipotoxha jamii
SASA MWAKASEGE AMFNYJE JMNI ..OLE WAKO AMNYOOSHEAE MTUMISHI WA BWANA KIDOLEE DUNIA IMEKWISHAAA😢😢😢😢😢😢
@@RemiKim-yt5cl Huyu amekuwa mpuuzi tu, badala ya kuhuburi injili ameamua kuchafua watumishi tu bila sababu za msingi.
Wewe Unaishi kwa kuwakosoa Watumishi wa Mungu inaonekana ww una Matatizo Sana
Mimi sidhani kama ni wivu ni mahubiri ya kumpeleka mtu mbinguni
Unapata shida wapi mtumishi wa MUNGU? Yote yametabiriwa lazima yawepo.. kazi yangu na Yako ni kuhubiri neno la uzima liokoe wale waliokusudiwa kwenye huduma yako sio kushambulia wengine.
Mzeee TH-cam imeanza kumlipa nia kubwa nikuingiza ela TH-cam ndio maana vichwa vyaa habari vimekaa kichokozi😂😂😂😂😂
Sio kichokozi, hapo iko hivyo vivyo; ameambiwa yeyote asiye yaweka imala Maneno haya;
👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
❤❤❤
Kukosoa manabii na mitume mamilionea Uwe makini
Huyu jamaa analana ndo maana anavaa nguo za ufungwa amefungwa milele majunguu na biblia hayakuhusu wewe wambiage haohao wa majungu wexmzako
Aiiilili uwiiiii!!! Wimbo mzuri nimekatika Sana.
Angalia usife.
Mwakipesile umesahau hata waumini wako upo kujadili mwamposa utakuwa London zako uko upo bz mitandaoni na mwamposa nachukua mzigo Kwa ajili yako nikuombee alafu usiangalie huyo Tu alie kufa tazama hata waliofunguliwa shetani
Kwanini asbh jioni ni maneno si neno Nilisema hv toka mwanzo huyu baba alishapigwa zamani,,alijaribiwa kwa mwanae ,ndipo ukichaa ulipoanzia,sasa hataki aende mwenyewe,anataka aumize watumishi wa Mungu ,asipotee mwenyewe,wew hubiri,kemea,ombea,hukumu mwachie alowaajiri,
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Basi hata Mungu ni KICHAA;
Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Hapo ni Mbarikiwa anasema au MUNGU?? Uchizi tu.
Wimbo upo sahihi ila tatizo lipo kwenye kichwa cha habari,kwakusema wafasi wa abiud,mwakasege.wamelaaniwa,tatizo lipo hapo ndiyo maana watu wanacoment vibaya,ushauri kichwa kilitakiwa kukaa hivi=wafaasi wote wa wachungaji na manabii wasio tii sheria ya mungu wamelaaniwa.
Nakuomba uliepost hii video ufute mara moja lasiivyo nitajua chakukufanya huwez kumthalilisha mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege amehudumu kwa miaka mingi katika injiri hii Leo una mkashifu ivi unajielewa kweli
Mtu mzima hatishiwi nyau. Hebu chukua hiyo hatua haraka. Mwana wa joka wewe.
Mbona yeye fanueli sedekia alikuwa anaimba bila kujibu anayokerwa na wanaomuudhi! Lakini ninyi! Munatupandikizia tu uadui kwa watu ili tuwe tunawapiga na kuwachukia na kuimba kwenu na kuhubiri kwenu"
Fanuel Sedekia hakuwa mkuu kuliko Biblia. Aliimba nyimbo zilizoburudisha wazinzi na wezi
Usihukumu usije kuhukumiwa
WAFUASI WAKO SISI TUNAOUFWATILIA NDIO TUMELAANIWA MAANA TANGU TUNAKUFWATILIA HUJAWAHI KUTUFUNDISHA ZAIDI YA KUWASEMA WENZAKO KAMA YESU NA WATUMISHI WENGINE KWENYE BIBLIA WANGEKUWA KAMA WEWE MZEE SIJUI KAMA TUNGEKUWA HAPA😅 SISI NA KIKOSI KAZI TUMELAANIWA
Yesu na watumishi wengine wa kwenye biblia ya ukoo wako ?
Yesu na watumishi wengine kwenye biblia ya ukoo wako
Hahaha @@DanielYusuph-071
Hata siku ya mwisho atakapojizihirisha zaid waziwazi Mungu atatuma wajumbe wawili kuzuia wasimsikilize mnyama lakini watu watawakataa na mnyama atawaua na baada ya siku tatu Mungu atawakusanya watu bila kujua na hao mashahidi waliokufa watainuka na kupaaa tazama tetemeko kubwa litatokea na kujua watu wengi sana. Na hata Sasa hamtaamini hiki anachosema mbalikiwa wala amieli Wala gwajima wala wahubili wadogo wadogo hamtasikia Ila ukifa utatamani kurudi duniani ili uwakataze wasiwasikilize lakin utakua umechelewa amee
Kwahiyo wewe umelaaniwa au nd mlaani😂
Baba tupe makosa ya mwakasege kosa lake nini jamaniii mbona tunamwelewa mahubiri yake
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Elimu ya darasani na busara vina umuhimu mkubwa,, kwa kueleweka zaidi c ungesema wakwako pia ambao hawafuati yte biblia imeagiza wamelaaniwa pia
@@asamwklkw rudia kusoma title utaona wafuasi wa Abiud, Mbarikiwa nk. Hiyo haijaandikwa leo.
Ata Biblia haijaandikwa leo
ubalikiwe sana
Lol usajili 😂😂😂
Sasa mtumish ...
Kichwa habari hakiko sawa kabsa .....
Kila mtu anadhambi ...hata nyie sio watakatifu ,,,,Neno la MUNGU linasema tukisema kwamba hatuna dhambi twajidanganya ,,,,kikubwa wewe hubiri kweli ,,,kemea,karipia ,onya ,ila sio kwa kuandika vichwa vya habari vya kijinga namna hiyo ...
Yaaan unatupa ukakasi kweli ,,,,,ebu kemea dhambi na sio kuwataja watumishi wa MUNGU....wewe kila mtu kwako ni mbaya, Yup ni mwema kwako au wewe ndo mtakatifu peke Yako ??
Angalia bna usiwalishe kondoo wako sumu ...naona unaandaa kizazi cha kupigana kimwili kabsa
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Walaaniwe tu sasa hata kama wakijizima data
Dunia imekwisha. Purukushani hadi kanisani.
Yaan Mwakasege na Abiudi unawaweka kundi moja na hao wengine kina kiboko ya wachawi, mwamposa, IPM huko ni kuwakosea heshima na MUNGU atalipa nimeona mmoja ameuliza akajibiwa "wasio na mihemuko ya kishetan ndio wataelewa" msiwe mnachanganya watumishi feki na original katika kukemea
Elewa wimbo umesema watu wote wasipofanya alivyoagiza Mungu wamelaaniwa. Je watu wote wanahubiriwa na huyo Mwakasege na Abiud wanafanya yote aliyoagiza Mungu? Acha ushabiki wa kizuzu
Utumishi mzuri ni pamoja na unyenyekevu kuzuia midomo isinene mabaya ikiwa nawe huna kipimo Cha utakatifu zaidi ya Mungu mwenyewe ndio maana Yesu alijibu kwa hekima kubwa akasema " Acha magugu na ngano vimee pamoja mnaweza mkang'oa magugu mkajikuta na ngano imeng'ooka " tafakarini Kwa kina
Hebu nimabie Abiud pia amefanya nn
Mtumishi wa MUNGU mwalimu mwakasege.Kosa lake ni lipi
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@@Mbarikiwa_MwakipesileAmina sanasana Barikiwa kama jina lako,msalimie mama na wapenda sana
Walaaniwwee
Naomba nije nielekeze natamani nifike mbeya nipo dar es salaam...
Dar mpigie huyo 0714483548
Wewe ndio wakwanza kulaaniwa
Mwakasege na abiud. Msiwachanganye na mabii.
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Mhhhhhh
Sawa MKAGUZI
Mchungaji Mbarikiwa neno la Mungu katika Warumi 14:4-6
Neno la Mungu linasema:
Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Ni bwana wake tu awezaye kuamua kama amesimama au ameanguka. Naye atasi mama kwa sababu Bwana anaweza kumfanya asimame. Paulo naye alipingwa sana na Wayahudi wenzake lakini alisimama katika wito wake. Katika Biblia hakuna mtumishi aliyepewa wito wa kuwasema vibaya watumishi wa Mungu
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile acha kuchafua watu mtandaoni sasa umeweka picha zao ili iweje unataka vihela vya kulipwa utube yan ww ndomchumia tumbo mkubwa ndomana wivu kwa kila anayejaza watu
Mbona sasa wewe mbarikiwa kazi yako tu imekuwa ni kuwafuatilia watu na kuwajibu kila walilokukera nalo mambo ambayo yanaleta ugomvi na mapigano tu! Mungu akiwainua ninyi watu hamuwi wazuri tena mnabadilika pakubwa!.
Ni kwa sababu injili na neno la Mungu lilikuja kwa ajili ya watu. Ama kwa nini wewe kazi yako ni kufuatilia Mbarikiwa?
Kalaaniwa baba yako mzazi alie zaaa laaana ya kukosoa watumishi huna akili hata Kidogo
Kwa hiyo unamlaani Mungu?
@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akurehemu maana una maneno mengi.
Mathew 24 ,inarhux au wew unatumia bible ipi ya keki nn??
Weka akiba ya matusi biblia haijaruhusu hayo
Yote hayo sijui kuchanganyikiwa 😂 ni machozi ya mama mzazi na watumishi wengine wanajitia hawaoni na bado hamjasema hapa
ila Kumbuka wao hawakuwa maarufu kwa kushinda kuwasema watu mitandaoni
Hukuwahi dhani kuwa Mungu anaweza kuwatumia hata wasio Fundisha Ubatizo kama wako
Sasa Ungekuwa Mungu unge mfutilia Mbali kwa Bahati Mbaya haiko hivyo
Uchungu tuu na Wivu
Wewe hapa unamsema panya haumsemi mtu? Na wewe unatafuta umaarufu?
@@Mbarikiwa_Mwakipesile WE NI MCHOKOZI TUU ukikamatwa UNASINGIZIA HATA MITUME AKINA PETRO NA PAULO WALIWEKWA MAGEREZANI
wakati wao si kwasababu za KUJITAKIA na KUTAFUTA KIKI kama wewe SAWA Kuna wakati upo sahihi ila sio KWAMBA UNAJUWA KILA KITU na hata UKIONYWA HUWEZI KUGEUKA KWASABABU YA KIBURI
ILA WEWE NDIO UNATAKA UWE UNAONYA WATU ila wewe hutaki unahisi upo Sahihi kwa kila KITU
Think again Man of God
Unavojikutaga we maraika au nimoja kati yawale wazee 24 me nakuona kama uchizi unakunyemelea tu
Abiud kumbe anatatizo Alikuwa mchungaji wangu wakati nipo huko
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Kichwa chat habari chako.
WAFUASI WA MWAKASEGE MWAMPOSA, KUHANI MUSA, ABIUD
WAMELAANIWA😭🙄
Alafu unakana zaidi sana video zako zimewaonyesha manabii wa uwongo mfano kiboko ya wachawi akisema Kwa kinywa chake yeye akemei dhambi.😂😂😂
Alafu unawaita ma dogo kwahiyo Mwakasege ni dogo🤔
@@Mbarikiwa_MwakipesileKama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu.
Mithali 26:2
Kama umemfikia mwakasege wewe hata sikuekewi jaman niache
Yani mbarikiwa kazi yako ni kukosoa watumissh wa mungu wewe je nimkamilifu
Haswa
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Walaaniwe
Mimi nabarikiwa na abihudi misholi hasa nyimbo zake sinaendelea kunibariki wewe Endelea kumtukana ila mimi najua MUNGU amemuinua ili MUNGU atukuzwe na watu wamataifa kupitia nyimbo zake
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile saww nimekuelewa inatakikana useme hawaambii watu ukweli ndo tujue ila tena title ya post yako pia ndo inafanya nikuelewe vibaya
@@Mbarikiwa_Mwakipesile lakini nimesikiliza maneno ya wimbo Ni mazuri sana na maonyo kwa wale ambao wamekataa kweli barikiwa
@@jorambranchofmud6299 post ina maelezo madogo yanayofanana kinachomaanishwa kwenye wimbo.
Ungine ni uchochezi mind your deal
KUMBE NAWE UNAWAFUATILIA, HONGERA KUWA MSHIRIKA WAO,HIVI KAMA WAMELAANIWA SHIDA YAKO NI NINI? ACHA WALAANIWE WEWE SI UWAAMBIE WASHIRIKA WAKO WASILAANIWE, MBONA KAMA UMEKAA KWENYE MLANGO WA KUINGIA MBINGUNI?
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Achakumchafua abihudi muachemtumishi wamungu
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
hivi Mungu analaani laani tuu..?
Mbarikiwa kadata,achana nae 😂😂😂
lakn huyu jamaa ananikosha
Umelaaniwa mwenyewe
Wewe umebarikiwa chuki na hasira zisizo na sababu. Bila shaka umebarikiwa na kila aina ya uchungu na ubaya kwa sababu ya ubaya wa roho yako.
Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣,
Ninywe maji kidogo🥤.
Sasa hapo unaniambia Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa.
👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Wivi na Hila mbaya sana achawivu
Ulaniwe mwenyewe
Lusfa amekutawal uwez kuon kwel
Yaani Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa;
👉👉IKumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Kazi yako kukosoa watu wewe unanini cha kutuonyesha
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani Duhh!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia???
👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Wemwakipesile uponywe umechanganyikiwa
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Hongera dana
Ukimsema mtu toa sababu Mwakasege na Abiudi wana shida gan
Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa
@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akusamehe
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Mungu akusamehe .......kiburi cha uzima hicho......tangu umeanza kuwasema hawajawahi kukujibu.......tafakari........
@@damilesmlongo2259 ukijibu wewe ndiyo jibu lao
Sema tupone
Ujumbe mzuri ila waliobarikiwa kwako Kikosi kazi ni wepi? Au ni wewe peke yako?
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
wewe umefanya nini jipu mgogoni limepona wewe kila siku unakosowa serikali mara unakosowa watumishi wa mungu wewe nani hata uwaone hawa wanapotea wewe ni mjinga sana unamkashifu mwakasege mtu wa mungu ameubiri zaidi ya miaka 40 leo unasema alaaniwe mwamposa ameubiri zaidi ya miaka 28 wewe unasema amelaaniwe umelaaniwa wewe na uzao wako una heshima una adabu wewe
Weka akiba ya matusi na maneno hayo siku ya mwisho utatoa hesabu amina
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile
we unawalaani Mungu anatamani wabadilike.
Mungu anampenda kila mtu, wewe unaombea mabaya yeye anaombewa na wengine.
Hivi Mungu analaani laani tuu😢
@@RoseChacha-bp6yi sio Mbarikiwa aliyewalaani ni maandiko (KUMBU 27:26, 28:15-68).
Sema walokole wengi wanapenda kujihesabia haki na hata wakitenda dhambi hawataki kuambiwa ukweli chapa injili Mbarikiwa.
Mwakasege amekufanya nn na Abiudi
Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa
@@Mbarikiwa_Mwakipesiletukitii sauti ya bwana tutabarikiwa tutokapo na tuingiapo
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki
Naona unachanganyikiwa zaidi. Elimi nayo ambayo huna inachangia sana@@Mbarikiwa_Mwakipesile
@@samwelingasa1638🤣🤣🤣🤣, tumefika mbali yaani Mpaka Unaitusi Biblia.
Ndio mtendao zambi mmelaniwa kwa mjibu wa biblia ata kama mna pessa ila mmelaniwa wote mnao ubili kinyume na biblia Wakolosai 3
5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;
6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
Acha mawazo potofu kuhisi upo sahihi wewe
Kweli tumefika mbali, yaani Mpaka kuitusi Biblia??
Hayo ni maandiko kayasoma; au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia.
Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Sio kakosea kusoma biblia ila majina ya watu kwenye title ya Nini? Na ndio mana watu wanapata shda mnawachamganya lakini angesoma biblia tu bila uchokozi wa hiyo title mbn angeeleweka?
Ni wimbo mzuri tu na unaeleweka ila hiyo title ni uchokozi kabisa Yani Mungu atusaidie jmn😥@@shukranimpomwa7460
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki nipe video ya Mwakasege na Abiudi wakihubiri vibaya nikuone ww mwamba sio wote wabaya
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video useme amekutapeli wapi tuone kweli ww ni mtumishi wa Mungu
@@Mbarikiwa_Mwakipesile huna jipya mtumishi gan anashinda mitandaoni na kujibu kila comment
@@avelinaluoga9141 ni kwa sababu wewe pia unashinda mtandaoni kujua kuwa tunajibu kila comment.
Hakuna kitu hapo mnabwata mno
Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.