Wanajeshi wanawake Somalia
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Nchi ya Somalia imekuwa na ukosefu wa usalama kwa ziaidi ya mwongo mmoja sasa, swala ambalo limefanya nchi kadhaa barani Afrika kuwatuma maafisa wa usalama nchini humo chini ya mwavuli wa Umoja wa Mataifa ya Afrika, kwa madhumuni ya kudumisha amani. Wanajeshi wa Kenya KDF, ni miongoni mwa maafisa ambao wamekuwa nchini Somalia kwa miaka kadhaa. Kati ya maafisa hao wa usalama ni wanajeshi wa kike ambao wamejizatiti kudumisha amani katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo. Mwanahabari wetu Robert Karuga anasimulia zaidi kutoka Somalia.
Wanajeshi wetu wako world wide, Somalia, South Sudan, Congo na sasa Haiti. That is excellence.
Wanajeshi hawako Haiti
@@maxwel_m They might be the one there Gava inawapee wanajeshi wetu uniform ya polisi ilhali wao ni kdf officers
Excellence 😢while Kenya itself its sinking,so shameful 😢
Akuna jeshi south Sudan na Haiti
South Sudan wako nenda, Western Bar-gazal.
Eeeeesh nakuna warembo yawa weeeh🎉🎉🎉❤i love Kenya uspokuwa ni gova inatuangusha aaah its gon a best Kenya in the world🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Bana joh ,politics ni mbaya sana
Not forgetting that's due to politics and diplomacy@@kevinmwangi5739
not matter how you hype it, this is not a womans job
Mbona unasema ukweli
let this be known majorly... karibu niseme ukweli mwingine
@@tambokavz ulrta legend
Men are always in the front line
True hii sikazi yao
You just showed alshabaab how you defend yourself, very intelligent of you indeed kdf!
Congrats our ladies,,,keep it up
May God protect you 💪.
They are heroes.
Congratulations my daughter of our kdf ❤❤❤
May the Lord protect them wherever they goes
May God protect them
God protect them
Sergeant Mwai speaks good English
May the LORD bless KDF
Please mwenyezi mungu, chunga watoto wetu
That's a death contract my ladies.....I feel sorry for u my sisters buh that's NOT ur work....that shit is crazy.😮
I thout it is gender equility 😂
Waigwa, njoki,mwai ngai amogitere😢🙏🙏🙏
Onani doria Kai gutari rubwa maratwaro kuo no adu aito makuere kuo,ona Haiti derarorire derona no a mumbi na meera...Eno thirikari nereda kunina kihumo gito giothe...netuagiririe tunyitane tutige wiiru tuteithanie taa ahidi na asomali,omugikuyu ateithie mugikuyu ugi,ta thaici guku guito dugiheo wera okorwo duri murubwa,o Nio marateithani...
@@SalgaaBusinessshop murubwa ni doriri iriko?
Congratulations 👏
I need to join you ❤❤
Wanawake hodari, hongera.
News ni gani hapa?
Hongera ❤KDF
Kenyans are tough
Waxaan lee yahay al shabaab kuwaan hadey qabtaan qoorta haka jaraan xaaraanta yaan hal asxaan loo sameynin
Waan jecelnahay al shabaab
Viva la al shabaab forever
Take care
Those cowards being beaten by Kenyan women kdf😂
Nacaas
@@abusad123
Lkn adi doqon ayaa tahay misena wecel ah misena jecel dalkiisa iney gumeystaan sanka dhuudhiga jareerta ah waxaana kuu sii dheer inaa dulli tahay
😂 Poor you just sleep and take money@@canon5059
Na mtuletee part 2
Hawa wanajua English si Hawa polisi wa kidinki😅😅😅
Hao ni chakula ya wanaume
Is it special? Wabaki wakifagia Baraka?
Hassan Mugambi alienda wapi?
Hii movie iko poa
Kwani malaya wa kialshabab wameleta kichwa Somalia?
Bado haiti
Hii ni uongo hawa hata hawatoki kambi ya jeshi
True
That's a fact.Hata hii haiti ni ladies wangapi walienda?? 0
Sasa wewe ndio unajua ama citizen tv si ingeenda ufilm yako?
So,what? They are in Somalia in Kenyan uniform, you are in Kenya 🇰🇪 typing ignorance.
Hayo yote ni uongo. Hakuna peace mnaleta huko ispokuwa ni kuwapiganisha kati yao tu.
Without those troops Al shaabab will capture ports, airports and towns all over Somalia. Piracy off the Somali coast will also increase tenfold.
Nawatolea kobia Hawa maintains.
Kwani kuwa mwanamke ni disability
Hawa amisom mbuzi nyinyi arudi kwao
It's not a car but a truck , there's wide differences between a car and a truck
I thought KDF wote walitoka Somali
salimia cpl njoki kdf
They are not peacekeeper but they are making money
Media ya Kenya imeanza propaganda😅😅 fuck royal media
😂😂😂 KDF are just there to sleep and take money
but at least there is abit of calmness
Kkkkkkk long time projects and nothing done.
Alshabab hutoa wapi silaha
Kwa factory
If you have many you can get everything
Mossad & cia
Kenya hutoa wapi
@@RightWing-i9c😂😂😂
Atmis should leave our country immediately.
Wangoje miezi kadhaa duale awapeane wachinjwe na alshabaab kiunyama
Most stupid comment from a useless creature
Are they come here with economic or to fight alshabaab they can not fight alshabaab becouse they're fearing
E
❤❤❤❤❤
There are doing nothing
The protect them selves , by the way mandera needs to be secured .
Lakini car ni axio wewe
Ujinga,,,si wapelekwe haiti mbona hawakuenda frontline ujing mtupu hatuwezi watambua;!!!!!😅😅
They should protect Kenyan borders not somalia goverment
😂no one is protecting somalia . KDF can't even walk outside the camp . I think they learnt lesson of 2015 ,17,18 up to 2022
Wewe malaya lulu heshimo nchi ya somalia umbuwa wewe
😂😂
Ume catch feelings bro relax
😂
😂😂😂😂
Check on your language
❤❤❤❤❤❤