Medani ya Vita Part 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2012
- Wenyeji Afmadhow washerehekea ushindi wa KDF. Kila nyumba ilikuwa ikitozwa Sh 1,600 na Al Shabaab.
Kukombolewa kwa mji wa Afmadhow na wanajeshi wa Kenya wakishirikiana na wale wa serikali ya mpito ya Somalia kulikuwa ni sawa na kuwasili kwa mwokozi kwa wenyeji wa mji huo. Kwa muda wa miaka minne , wenyeji walikuwa wakilazimishwa kulipa ada ya shilingi elfu moja na mia sita kila chumba kwa kundi hilo. Kando na hayo, mkuu wa wilaya ya afmadhow alifukuzwa kutoka kwa afisi zake na zikawa zikitumika kama afisi za kundi hilo haramu. Franklin Macharia anaarifu katika sehemu ya pili ya makala ya medani ya vita.
اللهم أعزّ الاسلام والمسلمين ودمّر أعداء الدين .. واخذل مَن خذل الدين
اللهم انزل عليهم رجزك وعذابك اٍله الحق اللهم انزل بأسك الذي لايرد عن القوم المجرمين اللهم عليك با كينيا فانهم لا يعجزونك
اللهم منزل الكتاب ، مجري السحاب ، هازم الأحزاب اهزمهم
Mungu Awaangamize makafiri na washirika wao
Mungu hawezi angamiza watu pengine yule wako wa kishetani
THE BRAVEST MILITARY KDF.
Watajia hawajui. Hii ni KDF
i salute you guy'z well done
Allah awazidishie
Allah washing
Kaiala
❤️🩸Alshabab dalka ayaga leh kabaxa nacaladi idin dhashay wase😏🦧
Saa hii wanarapiwa na wanajeshi
Somalian don't fear Economy must continue .Bravo my people
somali asxanka ayey Hilmamen
11
Still work starts now
healla, kwajil ya kununua silaha na wsnaowauzia je??
mmmmh wakiwakataza mambo dini ilo si kweli
Wanahabari niwaongo sana
JIHAAD. JIHAAD. JIHAAD.! Hakika wale walio kufuru watatumia Mali zao. Kuizuwia njia ya ALLAH.? KDF Ni makafiri tu popote walipo watauwawa Kisha. Popote pale.......
ALLAH ata ili nda dini yke inshallah na mjaheedeen watashinda kwa uwezo wa ALLAH
Ona vile wananchi wanavyofurahia kazi iliyofanywa na kdf. No ishara tosha shabaab walikuwa wanawagandamiza wananchi.
Ni urongo walikua hawalipi chochote
Wwe ndo unajua
MUNGU GANI? MUNGU WA AL SHABAAB NI WEAK.
Nyie makafir wa Kenya mutauliwa wote insha allah
Do don't know wat u are talking about, you have no idea of urself
Yaani washangilia kuuwawa kwao alafu wasema inshallah ju huyo mungu wako ni shetani apendae kifo cha watu, you need to change
Mmmmmhh...uongo mtupu