Chalamila awasili Mbagala, apokelewa na nyimbo ‘bao moja Sh10 milioni’

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewasili eneo la Mbagala Mzinga baada ya wananchi kufunga Barabara ya Kilwa inayounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya kusini, kwa madai ya kuchoshwa na ajali zinazotokea kila siku.
    Chalamila amewasili eneo hilo asubuhi ya leo Mei 17, 2024 na kupokelewa na wananchi hao wakiimba ...goli moja milioni 10 halafu barabara mbovu.
    Wananchi hao wamefunga barabara hiyo kutokana na ajali iliyotokea usiku wa jana Alhamisi Mei 16,2024 na kusababisha vifo vya watu wanne.
    Kutokana na kufungwa kwa barabara hiyo kuanzia asubuhi ya leo kumesababisha foleni kubwa ya vyombo vya moto na watumiaji wengine wa barabara hiyo.

ความคิดเห็น • 16

  • @kiluwaselemani4246
    @kiluwaselemani4246 2 หลายเดือนก่อน

    Chalamila mm binafs nakuelewa sa naomba fatilia zaid 🙏🙏🙏

  • @MauaMsonjoma
    @MauaMsonjoma 2 หลายเดือนก่อน

    Daaaah tunazaraulika Sana tunaoishi Barbara ya kilwa😢

  • @user-pi7wk5yb8e
    @user-pi7wk5yb8e 2 หลายเดือนก่อน

    Kwamala ya kwanza mznga inaongelewa kwenye vyombo vya habali tupo nyuma sana ajali zinatokea azionekani

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo wamesema ukweli bao moja shs milioni 10 asikiye hayo Mama wananchi wamechoka

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu kiongozi makini sana majibu yake mazur

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 2 หลายเดือนก่อน

    Nzur mmeanza kuelewa kuwa nyie mna power kuliko dola

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 2 หลายเดือนก่อน

    Leo ndo Serikali inaona Baada ya Ajali,

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 2 หลายเดือนก่อน

    Safi kwa uamzi wananch

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 หลายเดือนก่อน

    Eeee inabidi tujirinde wenyewe wakati mwingine wananchi hongereni Kwa umoja saafi

  • @Madizizi
    @Madizizi 2 หลายเดือนก่อน

    Nilikaa masaa 4 kwenye foleni leo ya niile sehemu kilasiku ajali

  • @user-uh5gk3vb4i
    @user-uh5gk3vb4i 2 หลายเดือนก่อน

    Lini ?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kama barabara za Morogoro Road zilitakiwa nane toka kufa kwa Magufuli imeachwa kutengenezwa sasa inaua watu yeye kazi kusafiri kutwa kycha kama hakuna Wasaidizi wake kuwanyima wenzie ridhiki tu

  • @moodsraj1
    @moodsraj1 2 หลายเดือนก่อน

    Hiii cjawai kukaa miezi miwili bila kusikia tukio. Kiukwel njia sio rafiki kabisa tena wameidharau kama njia ya mtaani vile

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 หลายเดือนก่อน

    Shida yawanasiasa niwaongo sana wanatoa maneno matam nakuishia mbele

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 2 หลายเดือนก่อน

    Watu wananunua magoli vitu vyamaana km hivyo wanaviangalia kila cku

    • @ChiluMaster-music
      @ChiluMaster-music 2 หลายเดือนก่อน

      Ikitengenezwa Ii barabara nais itakuwa sku kuu