Ech yetu ina Amani pia ina taratibu zake unapo vunja sheria inamana sheria inafwata utaratibu wake mmeo kavunja taratibu za kisheria ngoja atumikie adhabu mama wanao kubali ana na mm like za kutosha
Rudi Congo haraka Sana ukaendelee kuiba huko na Mme wako.Umeolewa na mkongo Nenda ukweni.Nyie matapeli wakubwa 😢😢mna mabilioni mengi sana .hiyo hela ya wizi irudi Nenda Kongor uliko olewa Wewe unakaribisha matapeli.Nendeni Leap Kongo
Mimi pia nimeshangaa kuona mwanamke anamuombea mumewe kurudishwa nchini....inaleta mawazo kidogo...kwanini arudi kwanini asiende na familia yake kwao! Au kwavile wameona kwa njia zao ambazo si njema zinaweza kuwork Tanzania tu!
Hapo Sasa wa Tanzania musimusamehe ule ibilisi... Hata kidogo.. Watu Wana muzihaki Mungu kila siku.... Kwanini uyu Dada asige mukataza mume wake. Asimuzihaki Mungu. Ule ibilisi shetani atawa weka pabaya.. Sote wenye zambi ila sio ku mu chezea Mungu kivile...
Mke wa kiboko ya wachawi Hunatumaini tofauti na mama Ama kweli nyinyi ni matapeli kumbe mpo kwaajili kupiga hela ma sio kuelekeza roho za watu kwa Mungu...hamstahi hata kidogo
Ila watanzania na wakristo wanakosea kumlaumu, kwasababu kuna waganga kuna mafrimasoni wengi na hata upande wa pili kuamini kabisa mambo ya waganga leo hii wakristo hamjivunii mungu wenu kisa wachungaji wanapata hela. Mungu wenu si ananguvu za kumshinda shetani au watu mna amini shetani ndio ana nguvu kuliko kumtemea mungu.
Binafsi naona umfuate muwe wako huko aliko pole pia kwa kuona kuwa bila yeye huwezi kuishi, nasiamini kwa umri wako usijue kosa la mumeo, hakuwatendea haki watanzania. Naipongeza Serikali kwa kulifungia Kanisa hili (pia sijajua kama kafukuzwa najua imefungiwa huduma yake mbovu Mama mfuate Mumeo
Hata Yusuph aliuzwa utumwani ili aende kuwa waziri huko misri kwa hiyo hata kongo kuna maisha hivyo ameitwa kutumika huko hivyo ni vyema mkaenda kufanya huduma huko kongo zamu yako kwenda kuishi huko ndipo tutajua kama kweli aliitwa
Mimi huyu mwamba nampenda anavyoua wuachawi, lkn aje aishi kwa utaratibu uliowekwa, na asifungue kanisa afungue kilinge cha uganga, laiti angejiita mganga tangu mwanzo wala asingefukkuzwa, kosa lake ni kujiita mchungaji, kuwasainisha watu fomu ya pesa za huduma, kusema wanaopeleka pesa kwake na kulalamika ni maskini tajiri halalamiki, kusema yeye habari za kuwaambia watu kwenda mbinguni hazijui yeye anajua kuua wachawi, hapa nilimpenda, ninachoomba arudi afungue kilinge wala hataguswa, na gharama ipungue maana hakuna anayempenda mchawi aishi aise, wachawi wanaturudisha sana nyuma kimaendeleo
Wew hukuwa mke Bora kwanin ulimuacha mumeo aipoteshe jamii lakin pia dada tuchukulie angelufa?? Maisha yasingeendelea kuwa independent acha kumtegemea mwanaume pia hakua mtii wala mnyenyekevu alikuwa anawaharas sana watu
Unaposema mume wako hajawahi kutenda kosa lolote inamaana serikali haina akili mpk wamfungie??? Kuanzisha kanisa na watu kukufata kukusikiliza haimaanishi hao watu hawana kazi ya kufanya au hawajaona makanisa mengine alijisahau sana ...na wew umeshaolewa mfate mumeo congo mkaanzishe huduma huko Mungu mnaemuabudu atawasaidia
If anyone breaks the law and expects Samia to intervene, we might as well not have laws in this country. If you break the law, you need to face the consequences.
Usijali kuna wengine ambao waume zao wapo ulaya lakini wanalea watoto huku Tz. Ambatana na mumei umfate congo.kwani congo kuna shida gani hata mwenye nchi yake hapataki?
Pole dada lakini usikate tamaa. Ukiolewa ujue unatoka kwa wazazi wako na unahamia ukoo mwingine. Kama mumeo ni wa nchi nyingine ina masna ulikuwa tayari kuishi nchi nyingine kwa umuhimu , mila na desturi. Nakushairi mfuate mumeo huko kwao na maisha ni popote na wewe umeolewa..
Gisi alivion kuwa ame ogeha tu hazitoke moyoni uyu Dada Ana juwa vizuri kama mume wake shetani tu alivion ageha tu anaona haibu ya Dani Dani... SAsa mungu muna muchukulia poa
Dah😂😂😂 hapa sasa ndio naikubali ile kauli ya kuwa bongo patamu ama TZ ni inchi ya amani dada nenda Lubumbashi mkale makaka na vilulu haina haja ya kuliiiiiiaaaa😢😢😢 kamatia treni mpaka Ndola Zambia shuka tutakupa lifti mpk kasumbalesa tutakuonyesha vibasi vya kuelekea huko sheeeemeji!!! Mrudie mwanaaaa!!
Nawewe dada wenzako wakiolewa wanaondoka makwao wanaenda kwa wanaume wao ulipoona mumeo kafurushwa kwenda kwao nawewe ilibidi ufungashe vitu vyako uende huko huko huko kwa mumeo sasa unaolewa wakati mwingine mnatuletea mashemeji mashokolo mageni wanatuletea tahatuki mtaani mm ushauri wangu Fanya utaratibu unatakiwa kisheria wewe ndio umfumfuate huko huko wewe ndo unatakiwa ukaishi kwa wakweo
Msimsumbue mama, yaan mama amrudishe mtu anaeibia watu hera na anaelaumiwa mama kwa ugumu wa maisha ? Ebu acha kumsumbua mama bwana, mfate huko huko congo kwani kule kuna nini ?
Kwa hiyo umekubali kuolewa na mtu asie mtanzania ili aje kutapeli na kutokufuata taratibu na kufanya uchonganishi makanisani?. Mwanamke akiolewa anaenda kuishi kwa mumewe sasa cha kufanya ww ndio umfate mumeo Kongo. Na kama ulimuoa umlete Tanzania kutapeli imekula kwako. Mama yetu ana huruma na watoto wake.
Mimi mwanamke mwenzio nilikuja ofisini kwa mme wako kwa shida kama unayoililia sasa hivi,nilhitaji niwe na mme wangu,kwakuwa nilitoa pesa pungufu ya laki 5,alinifukuza kama mbwa ofisini kwake mbele za watu,inauma sana,yaani asirudi kabisa
Kwani si umfuate mumeo huko congo jamani kwani lazima muishi tz ? Hiyo misaada congo pia wanaihitaji akatoe tuu
Mwanamke atawaacha wazazi wake nakumfata mmewe kwani alijui ilo??? Kwani congo sikunawaumini au
SI aende huko huko
@@dianajohnson7268😂😂😂
Tanzania kuna pesa ndo maana mke wake Anamuombea mume wake msamahaa
Acha uongo soma biblia vinzuri kwenye biblia ilisema mume ataacha wazazi wake nakuabatana na mkewe bali sio mke
Wakafungue kanisa congo
Pole sana my dear sister ...tumeumia sote....kukubwa tunamuombea mtumishi wa mungu mungu amtunze
we mtumishi wa mungu unamjua ww shame on u
Siyo tatizo kashidwa kuhubiri utakatifuu ndiyo maana yamemkuta usifanye mchezo na Msalaba wa Yesu Kristo wa Nazareth
Huyu ndio mke bora kwenye ndoa na maisha
Pumbavu anapigania ugaliwake apo ww unasema mke bora acha UONGO.....
Angekuwa mke angeenda nae kongo! Huyo ni mchepuko tu
@GraceKazi-z8d hehehehe..
Pengine wa halali yupo Congo, aliachwa huko. Pengine pia aliona ili mambo yake yamnyokee akazaa na huyu!
@@kinjekitilew basi mchukue ww km mke Bora😏
Sa c umfuate tu uko kwao,kwan CONGO ni mbali we vp
Wanapenda waishi Tanzania we vp😂
😂😂😂kwan huk akun wakristo@@hopechidera
@@MussaJabiri-w9j wapo bali ni kama wanaipenda Tanzania sana,ukimsikiliza vizuri...
Wakristo wa Tanzania ni waoga wakiambiwa mama yako ni mchawi anakuloga na kesho unatolewa kafara wanaamini na wanatoa pesa zote tofauti na kongo
💯 💯
Mh kwa coments hizi hata mama anatizama mitandao hatakubali best wahi kongo
watoto sio tija nenda congo hakuna msaada
KOMA CONGO WW 🇨🇩
Eti sii uende Congo? Mkaleee watoto
Hapa tanzania ulikua mnakula Pesa Na mumeo Za mchongo
Ndio maana anamlilia ili watapeli watu .Akachume kwao Tanzania sio dampo au shamba la Bibi. Usitupigie kelele mfuate kwao.
Sawa Muhamie Congo Sasa #Tunakuomba Na Sisi
Ech yetu ina Amani pia ina taratibu zake unapo vunja sheria inamana sheria inafwata utaratibu wake mmeo kavunja taratibu za kisheria ngoja atumikie adhabu mama wanao kubali ana na mm like za kutosha
Nenda congo kwani mme wako amefariki?
Acha ushambaaa wewe alafu we n mwanaume sijategemea kuona kama mwanaume unaweza coment ushamba kongo wanaiishi wanyama au watu
Iyo ni vita ya kidin
Afatecongo mkewake
Rudi Congo haraka Sana ukaendelee kuiba huko na Mme wako.Umeolewa na mkongo Nenda ukweni.Nyie matapeli wakubwa 😢😢mna mabilioni mengi sana .hiyo hela ya wizi irudi Nenda Kongor uliko olewa Wewe unakaribisha matapeli.Nendeni Leap Kongo
😅
Nenda ukweni Congo mwanangu 😂😂😂,,
Si umfuate congo ukwen dada,,, au wanakufukuza😅,, sis tuna watumishi wa kutosha,, acha tu akahudumie wacongoman wenzie😅😅
Mimi pia nimeshangaa kuona mwanamke anamuombea mumewe kurudishwa nchini....inaleta mawazo kidogo...kwanini arudi kwanini asiende na familia yake kwao! Au kwavile wameona kwa njia zao ambazo si njema zinaweza kuwork Tanzania tu!
Alee watoto kwa pesa za kutapeli wanawake walio na shida
SI ndio apo jmn 😂😂
yaani ww ungekuwa karibu ningekutia kofi. mbwaa ww rudisheni hela za watu
We mwanamke ww mmetapeli sana watu umekula haramu mmewako siumfawate Kongo mshenzii ww
Mwisho wa ubaya ni aibu matapeli nyie tafuteni maisha eti baba bora huna haya ww
Hapo Sasa wa Tanzania musimusamehe ule ibilisi... Hata kidogo.. Watu Wana muzihaki Mungu kila siku.... Kwanini uyu Dada asige mukataza mume wake. Asimuzihaki Mungu. Ule ibilisi shetani atawa weka pabaya.. Sote wenye zambi ila sio ku mu chezea Mungu kivile...
Kwaiyo mnaomba razi ili muendelee kututapeli tokeni apa
Pole dada kipenz
Pole dear umeongea vizuri
Kwani ni Ma samia akurudishie amemchukua au ni mnamharibia nchi
Mtegemee Mungu
God bless
Nenda huko huko Congo mkaishi si yupo kwao.Hapa bongo ni tapeli tuu kwani Congo hawezi kufungua kanisa.
Tapeli abaki kwao na ewe mfuate mwenzio huko mkalee watoto wenu kwan watu hawaishi watu huko? Haya timua vumbi mfuate bwanako
Mnamwonea kiboko kisa mkongo mbona kina mwamposa amumfungii
Mtu mmoja atese mamia😢kuwa na huruma na wengine
Mama turudishe mtumishe wa mungu wachawii wanatukomesha sasa
Shida mahubiri yake hana upako wa Mungu Munguhazihakiwi
Nguvu Yake Ipi Hiyo Utapeli Sio
Pole mpendwa tuombe pamoja.hakuna jambo gumu mbele za mungu.
Acha unafikiki huo Mungu gani unamsemea wewe
Mungu uyo shetani anamjua Mungu angetakiwa afungweee
Mke wa kiboko ya wachawi Hunatumaini tofauti na mama Ama kweli nyinyi ni matapeli kumbe mpo kwaajili kupiga hela ma sio kuelekeza roho za watu kwa Mungu...hamstahi hata kidogo
Tunaomba.akawasaidie wacongo sisi hatumtaki kabisa yani dada wewe nenda mkafanye hiyo michogo na.mume wako.congo
Naipenda Tanzania. Nchi ya Amani.
Ila watanzania na wakristo wanakosea kumlaumu, kwasababu kuna waganga kuna mafrimasoni wengi na hata upande wa pili kuamini kabisa mambo ya waganga leo hii wakristo hamjivunii mungu wenu kisa wachungaji wanapata hela. Mungu wenu si ananguvu za kumshinda shetani au watu mna amini shetani ndio ana nguvu kuliko kumtemea mungu.
Anaheshimu kwa kuhimiza kuua watu....hana adabu hyo mumeo
Mume wako hakusaidia mtu bali alikuwa anawaibia, mfuate congo sio mbali na akafungue kanisa congo!
Ushaur wangu mama mtumish mfungue huduma kongo🎉
Hivi huyu anafikiri mpaka anafukuzwa Nchini Serikali haijajiridhisha?. Hii Nchi iko makini. Wakongo walivyo wasanii utakuta ana mke huko kwao.
Ww ni wa mchongo kama alikuwa mumeo mbona hukuondoka nae?
Hili pia usikute ni dili tu
Jamani tangu lini binadamu akawategemeo na kimbilio🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hapo sasa
Hii nchi si ya.kuchezea ukiona wamekukalia.kimya ujue umeeleweka.kama.ueleweki utaiina Tz nchi yngu chungu...hii nchi uichezei hakika
Acheni wizi namimi ali niibia laki500 kupitiya muzee wangu
Aise wa Congo tuna zalilika kwa ajili ya hili Kafiri hili
Binafsi naona umfuate muwe wako huko aliko pole pia kwa kuona kuwa bila yeye huwezi kuishi, nasiamini kwa umri wako usijue kosa la mumeo, hakuwatendea haki watanzania. Naipongeza Serikali kwa kulifungia Kanisa hili (pia sijajua kama kafukuzwa najua imefungiwa huduma yake mbovu Mama mfuate Mumeo
Hata Yusuph aliuzwa utumwani ili aende kuwa waziri huko misri kwa hiyo hata kongo kuna maisha hivyo ameitwa kutumika huko hivyo ni vyema mkaenda kufanya huduma huko kongo zamu yako kwenda kuishi huko ndipo tutajua kama kweli aliitwa
Serikali Inakuangalia kwa muda mrefu Sana Mbwembe na Kujimwambafai wanakuona
Mimi huyu mwamba nampenda anavyoua wuachawi, lkn aje aishi kwa utaratibu uliowekwa, na asifungue kanisa afungue kilinge cha uganga, laiti angejiita mganga tangu mwanzo wala asingefukkuzwa, kosa lake ni kujiita mchungaji, kuwasainisha watu fomu ya pesa za huduma, kusema wanaopeleka pesa kwake na kulalamika ni maskini tajiri halalamiki, kusema yeye habari za kuwaambia watu kwenda mbinguni hazijui yeye anajua kuua wachawi, hapa nilimpenda, ninachoomba arudi afungue kilinge wala hataguswa, na gharama ipungue maana hakuna anayempenda mchawi aishi aise, wachawi wanaturudisha sana nyuma kimaendeleo
Wew hukuwa mke Bora kwanin ulimuacha mumeo aipoteshe jamii lakin pia dada tuchukulie angelufa?? Maisha yasingeendelea kuwa independent acha kumtegemea mwanaume pia hakua mtii wala mnyenyekevu alikuwa anawaharas sana watu
Amfuate mume wake Congo,kwani huko hakuna waumini?
Unaposema mume wako hajawahi kutenda kosa lolote inamaana serikali haina akili mpk wamfungie??? Kuanzisha kanisa na watu kukufata kukusikiliza haimaanishi hao watu hawana kazi ya kufanya au hawajaona makanisa mengine alijisahau sana ...na wew umeshaolewa mfate mumeo congo mkaanzishe huduma huko Mungu mnaemuabudu atawasaidia
Kabisa huyu angekuwa mke Bora angehakikisha hautoki nje ya mstari
Congo Kuna mke mkubwa anaogopa kwenda
Asirejeswe tena muhuni sana yule jamaa mshenz tu
Kumbe unajua sio mtanzania ??? Usituchoshe si umfate huko huko kwani ndio kwao
Mama ana kaz muhimu sana yakujenga nchi mpumbavu mkubwa wewe
Nenda ukagongwe huko huko kongo
Wewe mi billionaire
Acha kuongea uongo.Rsisi hana muda Na matapeli 😢😢
😅😅😅😅😅 we acha tuu
Amtumainii mwanadamu amelaaniwa.
Kabisaa
Amen
Ni ivooo kbsa
Mama ana nguvu kuliko Yesu..?
Unamuomba mama ako mzazi au mama samia😂😂
@@ThomasMmary-r7w 😂😂😂😂😂😂ni kweli atueleweshe 😂😂😂
For which purposes..Muombe Yehova ..ndio kimbilio letu sote..🙏🙏
Nenda CONGO.
KWANI WEWE NDO UMEOA AU UMEOLEWA
😂😂😂😂😂
If anyone breaks the law and expects Samia to intervene, we might as well not have laws in this country. If you break the law, you need to face the consequences.
Mfuate kwao wewe umeolewa au wewe umeoa ?unalilia kukamua watanzania fedha zao.Mke huolewa akaenda kwa mume kafjngue kanisa Kongo.
Hachana Na Rais Rais Ans mambo mengi ya kufanya Nenda kwenye Sehemu ya Uamiaji Afuate vigezo
Usijali kuna wengine ambao waume zao wapo ulaya lakini wanalea watoto huku Tz. Ambatana na mumei umfate congo.kwani congo kuna shida gani hata mwenye nchi yake hapataki?
Si afuate huko congo wameshaona huku ndio kwa kufanyia utapeli
Pole dada lakini usikate tamaa. Ukiolewa ujue unatoka kwa wazazi wako na unahamia ukoo mwingine. Kama mumeo ni wa nchi nyingine ina masna ulikuwa tayari kuishi nchi nyingine kwa umuhimu , mila na desturi. Nakushairi mfuate mumeo huko kwao na maisha ni popote na wewe umeolewa..
Daah! Wewe dada si umfuate kwao
Ghorofa lake wamuachie nani
Gisi alivion kuwa ame ogeha tu hazitoke moyoni uyu Dada Ana juwa vizuri kama mume wake shetani tu alivion ageha tu anaona haibu ya Dani Dani... SAsa mungu muna muchukulia poa
Mama nakushauri mfuate mumeo DRC kwani ni lazima mumeo afanyie huduma yake Tanzania?
😂😂😂😂😂
Naona unajidhalilisha tu maana jua hata unaetuambia hzo hbr tunaakili timam kabisa yaan ww uwe mkewe harafu akuache sio kwel
Kwa nini kakuacha
Mfate mumeo Congo na km kanisa muanzishe huko Tz hatumtaki ni mshenzi
Iyo ndiyo inaitwa hekima ongera sana mama
Si angekubeba kwenda congo kwanini akuache aende peke yake Kama anakupenda angekubeba
Mfate mume kogogo kwani wewe ndie urie owa mfate taperi mwezio samia anawependa watazania sio wakongo mataperi
Nenda Congo
Hujaona hata aibu kuongea kweli huna aibu ww
Asiludi apa tusha sema
Kwanini msiende kufungua kanisa huko kwenu congo
Tutokeeni utapeli ,pelekenu utapeli kongo ,KUNASIKU WATAWAPA WANAUME MKONGO AFU WASEME NI UPAKO WABWANA KWAMBA KAWATIBU NGUVU ZAKIUME KWAKUPEWA MKONGO
Nenda Congo mkalee watoto
Kafungueni kanisa kwenu congo
Dah😂😂😂 hapa sasa ndio naikubali ile kauli ya kuwa bongo patamu ama TZ ni inchi ya amani dada nenda Lubumbashi mkale makaka na vilulu haina haja ya kuliiiiiiaaaa😢😢😢 kamatia treni mpaka Ndola Zambia shuka tutakupa lifti mpk kasumbalesa tutakuonyesha vibasi vya kuelekea huko sheeeemeji!!! Mrudie mwanaaaa!!
Nenda Congo si umeolewa huko...tangu lini mwanamme akamfuata mke..huwa wanawake ndio tunawafuata wanaume nenda Congo na watoto wako.
Rais wetu msikivu tumwombe Mungu nimwema.
Nawewe dada wenzako wakiolewa wanaondoka makwao wanaenda kwa wanaume wao ulipoona mumeo kafurushwa kwenda kwao nawewe ilibidi ufungashe vitu vyako uende huko huko huko kwa mumeo sasa unaolewa wakati mwingine mnatuletea mashemeji mashokolo mageni wanatuletea tahatuki mtaani mm ushauri wangu Fanya utaratibu unatakiwa kisheria wewe ndio umfumfuate huko huko wewe ndo unatakiwa ukaishi kwa wakweo
Msimsumbue mama, yaan mama amrudishe mtu anaeibia watu hera na anaelaumiwa mama kwa ugumu wa maisha ? Ebu acha kumsumbua mama bwana, mfate huko huko congo kwani kule kuna nini ?
😂😂😂😂😂
😂😂😂 SI amfate mumewe kwao, Mme wake hataki kukaa kwao anan,sng,ania uku😂@@YustoMlay-cv4zb
Mtihani
Tuseme aliowa anaishi kwa wakwe amengangana hataki kukupeleka kwao😂😂
Sasa dada huyu ameoa au ameolewa? Mbona anang'ang'ania mumewe arudishwe Tanzania?
Congo hakuna pesa tz ndio kwenye pesa ndio mana wanapalilia hao
Kwanza wew mwanamk utakuwa mchawi
Siungeenda kuishi nae huko nawewe inchi Yao watakupokea fungueni kanisa huko kwao upande wa mumewako
Kwa nn usiende kuishi na mumeo congo
Nenda congo😂💔
Ningekua mimi ningemfuata mume wangu Congo kwa kweli au ndiyo lazima tuishi Tz utasema yupo segerea magereza.
Km kweli anakupenda afanye kila njia umfuate huko congo
Sio huku maana ndo kwao
Kama kweli unampenda mume mbona alipokua anachukua pesa za watu hukumuonya jipange
Safi
Pengne hajui
Wamsamehe tu bana
Mfuate Congo wewe dependant kwake kwa nn ung'ang'ane kuishi naye hapa
Haya makanisa ya kilokole ya watu binafsi ni tatizo sana...
Inabidi yaanze kuwa regulated
We mpare unatutia haibu kwa kweli kwenda kuhangaika na wa Congo umetutia haibu
Kwa hiyo umekubali kuolewa na mtu asie mtanzania ili aje kutapeli na kutokufuata taratibu na kufanya uchonganishi makanisani?. Mwanamke akiolewa anaenda kuishi kwa mumewe sasa cha kufanya ww ndio umfate mumeo Kongo. Na kama ulimuoa umlete Tanzania kutapeli imekula kwako. Mama yetu ana huruma na watoto wake.
Hatuwataki Tanzania wewe na huyo mchawi mwenzio ondokeni nendeni kwenu Congo
jina la kiboko ya wachawi unalionea aibu kulitaja mtaje tu mumeo😂😂😂
Mimi mwanamke mwenzio nilikuja ofisini kwa mme wako kwa shida kama unayoililia sasa hivi,nilhitaji niwe na mme wangu,kwakuwa nilitoa pesa pungufu ya laki 5,alinifukuza kama mbwa ofisini kwake mbele za watu,inauma sana,yaani asirudi kabisa
Huyu make wake anajaribu kusema nini! Na yeye anatakiwa ashitakiwe
Kumbe sio hata Mtanzania??asa anarudi kufanya nn
Nenda Kongo tumechoka kuibiwa Tanzania kunahera zabure hakuna kurudi tena
Unamshukuru samia kwa lipi?