KMKM PEMBA WASHINDWA KUTOA MASHIRIKIANO DC MGENI ALIINGILIA KATI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Editors:
Ali Hassira
Ramla Haji
Abdillahi Said
Dereva
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Mtauza mpaka hio bahari, KMKM wanajua km wao ndio wanaoufisidi huo msitu, njaa inawasumbua wanachojua kupiga wanyonge tuu Km Km genge la wezi
Huyu jamaa ni mjinga sana hajielewi wala hajui anafanya nn
Kmkm na misitu wana husika jozani na ngezi
Wakuu wa wilaya mnafanya kazi nzuri lakini maofisa tawala wanazorotesha utendaji .
KILA RAIYA NI ASKARI WA MWENZAKE.
Kmkmk wezi Asikali wezi wa misitu
Hao ndio wenye kupeleka karafuu za magendo Kenya na hao ndio wenye kuingiza mirungi na bangi Pemba kutokea mombasa.
Kmkm kila hatua wachuma dhambi tuuu mnalaana nyie wamelaaniwa KMKM Hadi Allah akawapiga njaa kwa laana zao
Mama uongozi mgum ila Allah akusaidie tu
Kazana nalo hilo baadhi ya watendaji wanatia aibu na kuleta fitna kwa wananchi na serekali yao
Mimi niliwahi kuona hatari kubwa ya umeme sehemu inayotumiwa na watu 200 kwa wakati mmoja. Niliiandikia taasisi husika ichukuwe hatua haraka sana kuzuia umeme mkubwa usilete majanga matokeo nilikatazwa na nilishikishwa adabu nikome siku ya pili nisiingilie mambo ya watu
Yaani huyu Askari wa KMKM Hana hata nidhamu na kutokana na maelezo take Tu halitaki ushahidi wa ziada kama na yeye hahusiki na suala hili,na huyu ni Kwa sababu ni mtu kutoka Unguja ndio maana akawa na jeuri hata Kwa Mkuu wa Wilaya!Serikali ya CCM jamanii ni shida kweli kweli
Nimesikitishwa sana na huyu kmkm hata heshima ya mkuu wa wilaya hana.
Yaani wanaiba wenyewe and then wanajitekenya wenyewe
Duh jamaa anapingana na mkuu wa wilaya, lkn hizo dalili kuwa rushwa inafanya kazi, na hilo lipo wazi kmkm wapo wanapokea rushwa
mimi naona wote wanahusika
Hawa KMKM ndio zao hizo hapo wameona hamna faida kwao, Kuna kipindi yanatokea majanga vyombo vimazama wakiitwa kuokoa hudai boti haina mafuta, ila siku nyengine boti hiyo hiyo huwashwa mpaka mkokotoni unguja kuja kuangalia mpira uwanja wa amani
Kama hao wote peleka ndani
Hao kmkm ndio waharibifu wakubwa
MAMAAKI NDIO MHALIFU NYAU WE
Kwa utendajikazi wa staili hii tutaendelea kuchelewa,huyu kmkm hata kwa amri ya mkuu wilaya hawezi kutimiza jukumu lakulinda rasilimali ya Taifa!
Ajira mmewapa wengi chakufanya hawana watauza mpaka watu Kwa mamlaka waliopewa
Kamanda yupo sahihi. Huwezi ruhusu raia akague kambi bila kibali cha komodoo
Mkuu wa wilaya mpigie rais yeye ndo kamanda wa vikosi au waziri wasikushugulishe
Ao km km wote wizi
Duh mpaka huo msitu wa hifadhi wanaukata
Bila ya kuhusika hao walinzi wa msitu,hayo yasingefanyika.
Maisha utasikia tunatoa onyo,hatua kali ya kuzuia hamna.
Si ajabu baada ya miaka kumi Ngezi itakuwa NGOZI
Hao km. Ndio wakataji miti
Mwavii unkatwaaa
Nimpango wao huo umefeli
ww kama dc taratibu unazijua ongea na wakuu wake wa kazi uone kama hatokupa mashirikiano
Mnalindana huyo sio bos wko ww
Hamko kikazi mnaleana kiami
Iyo meshen ya km km walio panga lakini ndio imevuja
Yakhee punguzeni uyakhee kamata hao peleka ndani
Hawa wakuu wa wilaya na majimbo kila mara utawasikia wakisema,linapotokea jambo,tunamuangusha RAIS..Hilo la lakukata msitu wa Ngezi linawaangusha WaPemba zaidi maana wao ndio watakao athirika zaidi na majanga ya uchafuzi wa mazingira.
Ndii uanze na hao mlowakuta wamebeba kwenye boti yao
Tuone kama sheria zilizopo zinawabana wanyonge tu au kila ambae atazivunja
MH DC mkuu hajakosea kila kazi zina utaratibu wake si mambo ya kutoa amri tu..
Mh 🤐🤐🤐
Dhulma hailetii maendeleo
ASA kama hujapewa Rusa watu wanaharibikiwa ungoje rusa ya mkuu wako yupo anastarehe kwake ache wacha ujinga hamko kwajili ya uzalendo ni maslah yenutu to a watendaji kama hao nizam hawana majibu hayana mantiki wekeni watendaji mnaweka wazee
Huyo kiongozi hajui wajibu wake hajiamini katika kazi wawajibishwe hao maafisa wa kmkm
Serikali hii ndugu yangu inaendeshwa kiujamaa!viongozi wametokea Kisonge na watendaji wametokea Kundemba!hapo ni pipa na mfuniko!
Fukuza hao
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa baraza la usalama kwa hiyo akitoa umri lazima ufuate
Ingekuwa karafuu wangeuwa mtu
Ao km km wote wizi