Kutoka AL FATAH charitable associassion. Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
Masha Allah alhamdullillah nimewapenda sana waumini wa hapa wanajitahidi sana kwenye ibada Allah awaongize kwenye kher na awazidishie imani nasi atupe subra na afya na rizik na moyo ya kutoa kwa ajili ya Allah
Subhan Allah 😭😭😭🤦♀️ mwenye zimungu Ghaz'wajallah ajalye duwa za waja wke ziwe makbur sina laguchangia kifedha lakini nimependa nalau ningelikuwa karibu ningesaidia Hata kwanguvu zangu na hivi yote sijajalwa Alhamdulillah ln shaa Allah Allah Ghaz'wajallah anijalye nisisahau kukumbuka kuombea duwa ndugu Hao ambao wa nahitaji na Mola ndiye mkwasi kwa kila kitu🤲🤲🙏
Habari ya kukaa kusubiri misaada wakati MNA nguvu nayo so nzuri anzeni kufyatu tofari kwa nguvu zenu muombe msaada wa bati na saruji.mwenyezimungu hataki watu wavivu.
Subuanallah siyo adi mutu atoe pesa ata nguvu zenu mujitaidi mujenge nyie wababa na wamama nanyie musombe maji nshallah allah awatiliye wepesi inshallah
Mungu akubalik sana mtangazaji nakupenda sana ila kwann huwa unachagua waisram tuu kwann usiwe unachagua dini walazeebu manaa shida km izo wanazo wengi na wanaitaji msaada naona km yule flora wa nitetei abagui dini wala zehebu kila mwenye shida huwa anachangisha awe mhisram au mkilisto
Matajir wa kiislam pesazao kwenye mpira na kuwaita wanaoenda uchi kuja zanzibar et kutalii km hicho alichokitoa angeliwapa maskini 😭😭😭😭jamani dunia hadaa ulimwengu una mwisho yaallah tupe rzk za halali yarabii
sio kila kitu tajiri ndio afanye , siamini kwamba watu hao kila mmoja hana uwezo wa kuchangia matofali kumi msikiti ukanyanyuka, ni uvivu wa kufikiri na kukosa imani
@@michaelboniphace3685 mimi sikumsaidia kutafuta ila nikauli ya allah kila mwenye uwezo amsaidi fakir mimi sijatoa na unatakanikitoa nije nikwambie fala wewe njinga mwitu
Mm sin uwezo wa kuchangia hela km itawezekana ukiazwa kujengwa mm nitakuwa kibarua namba moja na siku ya kuaza kujengwa tuambien mapema tuje tuyowe nguvu zetu kwa ajili ya Allah
Tunajizalilisha sana waislamu hivi kwa akili ya kawaida zanzibar ni sehemu ya kushndwa kujenga msikiti mpaka matangazo ya namna hiyo msikiti huo kama ukijengwa hata milioni miambili haufiki zanzibar waislamu chungu mzima kazio nini
Mchango ni muhimu kwao lakini hao waimini wa msikiti huo no wavivu sanaaa hata kuujenga vizuri wameshindwa kweli hii sio sawa wangejiyolea kuujenga hats kwa hiyohiyo miti, hata kuchimba choo nacho hadi alah awawezeshe kweli jamaniii, waache uvivu
Sasa jamani mmi naomba tu niwaulize! Hivi kwawanaume wote hao wenye nguvu na afya njema wanashindwa hata kukata miti yenye nguvu na kujenga na kuutanua huo msikiti na vyoo jamani kweli?
AISHA Aaa kwakweli watu kama hote wanashindwa kujanga japokuwa iwe ngumu sasa wana baki kuomba tu kuomba sio mbaya ila wange kutaniwa hata nyumba nzuri kuliko iyo Africa shida kweli
Ni kweli kabisa usemavo.Lakini kwa mawazo yangu ni wamestahamili miaka mingi kwenye hii hali sasa ni wakati wao wa kila mwenye uwezo awasaidie wapate pahali pazuri pakuswali.Na ni mapenzi yake Allah sw kupenda nasisi tujue ili tuwachangishie tuwe kwenye fungu la wenye kupata kheri na baraka zake.
Wao ndio washafanya juhudi kuutunza wewe je ulie pata hii habari utafanya juhudi gani autakiwi kuongelea hayo tuinusuru dini ya Allah sio kuanza kutoa lawama hapa Allah atukubari wote inshaallah
Assalam Aleikum ndugu yangu. Ni Vipi naweza kuwa mwanachama wa Al fatah na nikaweza kujumuisha ndugu zangu waislamu nchini Switzerland. JazakAllah Kheir
Masha Allah alhamdullillah nimewapenda sana waumini wa hapa wanajitahidi sana kwenye ibada Allah awaongize kwenye kher na awazidishie imani nasi atupe subra na afya na rizik na moyo ya kutoa kwa ajili ya Allah
Innalillah wainnailaih rajuu mungu wanguu waislamu tuko WAP jamanii
Jamani Al Fatah nataka kuchangia n mm nko mbali 🇶🇦🇶🇦Qatar ntaka kututoa kwa ajili y Allah
Bintii Omary nmba yao ipo hapo
asalam aleikum
Bintii Omary unafanya nn huko kayari kuna kz nami huko zandani
Bintii Omary naomba yako ya whatsapp
Binti Omary je ulifanikiwa kutoa sadaka yako? kama bado naomba tuwasiliane kwa namba hii +255657437007
Ya allah nipe katika neema zako niweze kufanya kheri kama hizi.
Basloom Walid kwasote insha Allah
Hahahaaa,,,,,,neema za mungu mtihani!!!
Subhan Allah 😭😭😭🤦♀️ mwenye zimungu Ghaz'wajallah ajalye duwa za waja wke ziwe makbur sina laguchangia kifedha lakini nimependa nalau ningelikuwa karibu ningesaidia Hata kwanguvu zangu na hivi yote sijajalwa Alhamdulillah ln shaa Allah Allah Ghaz'wajallah anijalye nisisahau kukumbuka kuombea duwa ndugu Hao ambao wa nahitaji na Mola ndiye mkwasi kwa kila kitu🤲🤲🙏
Kwa uwezo wa allah msikiti utajengwa tu
Habari ya kukaa kusubiri misaada wakati MNA nguvu nayo so nzuri anzeni kufyatu tofari kwa nguvu zenu muombe msaada wa bati na saruji.mwenyezimungu hataki watu wavivu.
Kweli tutakapo nusuru dini ya Allah na Allah atatunusuru ss na Allah atie wepesi nyoyo zetu ziwe na wepes wakutoa
Uko sehemu ngani Inshaallah🙏🙏
Allah ataleta kherii ishaallah
Mashaa Allah mashaa Allah nimepapenda hiyo sehemu.
Subhana Allah. Niwapi huko?
Yaa RABBI tupe nasie waja wako riski za halali tupate kutoa nasie aaamiin
Inalilah wa innalilah rajiuna,waislamu tuipende dini yetu kwa wenye uwezo tuchangie walau tufanye jambo.inshaallah.
Hizo sauti zinazosikika ni muziki au nini? Kwani hamuwezi kutoa matangazo bila hizo kelele
Unajielewa sana ndugu yangu mwandishi, Allah akulipe kher pamoja na taasisi yako na azid kukuongoza katika kher.
Waziri Bakari inalilah wa inailah rajuun
Allaahu akbar jamani tujitoleeeni ktk kuipigania dini ya aAllaah S. W na Allaah s. w atatusaidia ktk hil
Subhanallah...jamani viongozi tembeeni mpaka vijijini msiishie mijini😢😢😢😢😢😢Allah ataleta kheri in shaa Allah
Wanasema MASHEKH hawakai vijijini?
Mungu atuwezeshe inshaallah tuweze kuchangia. Allahu Akbar.
Subhaan Allah,Islnsha Allah kila jmbo litanyooka
subhanallah,,mungu awazidishie watakaosaidia kujenga miskiti
allah awjalie mpate msikiti mkubwa inshallah
😥😥Allah atakulipen ALFATAH TV
msikiti upo upenja unguja
namba zakuchangia zipo wazi hapo kwenye clip
AL FATAH CHARITABLE ASSOCIATION;;NAOMBA NA JINA LA HILO JINA LITAKALO KUJA KTK HIYO NO. YA EAZSY PESA YAO.
Subhanna ALLAH.
Masha Allah much love from uganda
Ningekuwa nauwezo ningesadiya jamani wenyeueezo sadiyeni😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Subhanallah.. Allah afanye wepesi inshaallah
Hello
Inshallah
😲😲Subbuhana Allah 😭😭jmn
Subuanallah siyo adi mutu atoe pesa ata nguvu zenu mujitaidi mujenge nyie wababa na wamama nanyie musombe maji nshallah allah awatiliye wepesi inshallah
Subhannallah EE Mola nipe uwezo ili niupeleke mbele Uislam wetu
subhanaallaah, ....,
Mungu akubalik sana mtangazaji nakupenda sana ila kwann huwa unachagua waisram tuu kwann usiwe unachagua dini walazeebu manaa shida km izo wanazo wengi na wanaitaji msaada naona km yule flora wa nitetei abagui dini wala zehebu kila mwenye shida huwa anachangisha awe mhisram au mkilisto
Mungu ataleta kherii ishaallah. ❤️
Subhan Allah maeneo gani uko uliko huwo mskiti tufahamisheni
Allah atajalia wepesi..mbona amukueka namba ya muhusika
subhanaallah inshaallah weny uwez watasaidia
Inshallah tutatoa tunachojaaliwa ila mji huo Uko wapi? Na pesa tutatuma kwa njia gani? Allah Akbar
Allaah azidikuwap nguvu namaishamarefu amiin
Amin
Allah karimu
Mwenyenzi mungu awawezeshe ishaallah
Matajir wa kiislam pesazao kwenye mpira na kuwaita wanaoenda uchi kuja zanzibar et kutalii km hicho alichokitoa angeliwapa maskini 😭😭😭😭jamani dunia hadaa ulimwengu una mwisho yaallah tupe rzk za halali yarabii
sio kila kitu tajiri ndio afanye , siamini kwamba watu hao kila mmoja hana uwezo wa kuchangia matofali kumi msikiti ukanyanyuka, ni uvivu wa kufikiri na kukosa imani
Jamani hata kujitolea kwa kushirikiana hawawezi,waangeanza nna imani wangekuwa wamefikia hatua fulani ili wanaochangia waendeleze
Ww umetoa nn kwenye hicho kidogo ulichonacho ?? Unalaumu matajiri wachangie kana kwamba uliwasaidia kuzitafuta
@@michaelboniphace3685 mimi sikumsaidia kutafuta ila nikauli ya allah kila mwenye uwezo amsaidi fakir mimi sijatoa na unatakanikitoa nije nikwambie fala wewe njinga mwitu
Hizi. Ndizo. Dalili. .ndogo. ndogo. Alizo. Zitaja. Mtume
yaalah nipe rizi ya halali nitowe japo nitakachojaaliwa nimechukua namba za cm sijui ndie ya kuchangia au tunomba mongozo AMINA yarabilala
Subhanallah inasikitisha Allah atalipa al fatah kwa juhudi zenu
namba zote za kuchangia ndugu zangu hipo hapo kwenye clip
namba za ndani na nje ya nchi zipo hapo msikiti upo Upenja Zanzibar
Ishauwa mungu ataleta heri amina ya rabi🤔
Abeda Mohamed jazakalahu
Subhanallah Allah atafanyawepesi ishaallah
Yaallah wajalie waja wako wapate wafadhl tukiwemo ss
Inshaallah Allah atanusuru
Huu msikiti upon wapi na tunachangia vipi?
Angalia hapo kushoto kuna Namba zinapita Ndio za Kuchangia
Haya ndio mambo ya kutuonyesha .Ahsant sna
Uko wapi huo msikiti ndugu mtangazaji
Nilisho kigundua kwa sisi wsslam niwagumu sana kutoa nakuji tilea tubadilikeni jamani
ALLAH AKBAR
Uyu mtangazaji hata sehemu ulipo huu msikiti hataji sehemu
Allah ataleta kher yake in shaallah 🤲
mungu àtanya wepesi ishalla
Ishallah mta pata nawaombeya duwa mpate
Mm sin uwezo wa kuchangia hela km itawezekana ukiazwa kujengwa mm nitakuwa kibarua namba moja na siku ya kuaza kujengwa tuambien mapema tuje tuyowe nguvu zetu kwa ajili ya Allah
Khamis Ame hi
Allwaa karimu ishaallwaa
Subhannah msiki ni mdogo na watu wanasali leo sehemu nyingine misiki mikubwa na watu wanaona tabu kwenda kufanya Ibada.
Hakika
InshaAllah atukumbushe kwa hilo
Allah nifanyie wepesi kama ulivo wafanyia wepesi wanaohitaji nani niwez kunyoosha mkoni
Subhanallah!!
Ni wapi ulipo
Inasikitisha sana
Allah atupe wepesi. Mbona haikuelezwa huu msikti uko wapi? Shukran
Asalam alyqum warahmatullah wabaraqatuh ,ndugu yangu nomber zipo hapo zinapita chukua no upige au kutoa mchango wako kwaajili ya swaddaqatuljaria
Subhanallah
Subhanallha
Lailah Ila LLAH
سبحان الله يا ربي جعلني رزق وسع
Tunajizalilisha sana waislamu hivi kwa akili ya kawaida zanzibar ni sehemu ya kushndwa kujenga msikiti mpaka matangazo ya namna hiyo msikiti huo kama ukijengwa hata milioni miambili haufiki zanzibar waislamu chungu mzima kazio nini
Subhana Allah .
Msikiti huu upo wapi jamani
Alhamdulillah,,,in shaallah bi ithnillah Naomba Number ya m pesa
SubhanaAllah naomba namba y m.pesa hiki kidogo changu nina imani kitasaidia inshaAllah
Naomba kujua tutatoaje mchango nam nichangie.
Kuna kheri nyingi ktk msikiti huo, moja ya kheri hiyo ni kuwa Hakuna kugombea sadaka hapo,,,,, !!!
Bakhresa upo wapi
ewee Allah ñaombaa unipeee neemaa niwezee kufanya kheri zinazoendanaaaa na hiziiu
Kwani mungu hakusiki mpaka uswali ndani ya msikiti.
Upo wapi uwo msikiti
Subhaana Allah
يا ألله
Nimesha SUBSCRUBE kwa kazi hii mnayoifanya hii kweli ndo channel ya kuipa MB,,.. ALLAH AWAZIDISHIE.
Subihana llah jaman allah anajaalia kheri kweny msikiti huo
Dubuhana waaa unasshagy VP
Wapi hapa subhanallah
Innalilahi waina ilaihi rajighuun waislam wenzangu tushikamane kuinua dini yetu hadi machozi yananitoka mlio nahali toeni
bi iznii allah
Mchango ni muhimu kwao lakini hao waimini wa msikiti huo no wavivu sanaaa hata kuujenga vizuri wameshindwa kweli hii sio sawa wangejiyolea kuujenga hats kwa hiyohiyo miti, hata kuchimba choo nacho hadi alah awawezeshe kweli jamaniii, waache uvivu
Abebwae hujikaza basi hata huo wanashindwa kuukarabati na kuuweka vizuri wanaume wazima hao
Subkhaana llaah
Salallahu alaihi wasalam
nimeguswa roho
Sasa jamani mmi naomba tu niwaulize! Hivi kwawanaume wote hao wenye nguvu na afya njema wanashindwa hata kukata miti yenye nguvu na kujenga na kuutanua huo msikiti na vyoo jamani kweli?
AISHA Aaa kwakweli watu kama hote wanashindwa kujanga japokuwa iwe ngumu sasa wana baki kuomba tu kuomba sio mbaya ila wange kutaniwa hata nyumba nzuri kuliko iyo Africa shida kweli
AISHA Aaa hilo ndio tatizo letu kila kitu msaada
Ni kweli kabisa usemavo.Lakini kwa mawazo yangu ni wamestahamili miaka mingi kwenye hii hali sasa ni wakati wao wa kila mwenye uwezo awasaidie wapate pahali pazuri pakuswali.Na ni mapenzi yake Allah sw kupenda nasisi tujue ili tuwachangishie tuwe kwenye fungu la wenye kupata kheri na baraka zake.
A
Wao ndio washafanya juhudi kuutunza wewe je ulie pata hii habari utafanya juhudi gani autakiwi kuongelea hayo tuinusuru dini ya Allah sio kuanza kutoa lawama hapa Allah atukubari wote inshaallah
Aallahwbkar subhanalllha
Mbona hamtaji sehemu gani
Subuhanallah
Huu msikiti uko Zbar lakini katika shamba gani,?Imam wake anaitwa nani ?
SUBHANA ALLAH.
Inshaa Llah tutafanya hivyo.
inshaalah mwenyez mung ata jaalia🙏
Mungu ataleta heri yake 🙏
@@zubydazad7646 🙏🙏
Assalam Aleikum ndugu yangu. Ni Vipi naweza kuwa mwanachama wa Al fatah na nikaweza kujumuisha ndugu zangu waislamu nchini Switzerland. JazakAllah Kheir
Aleykum salaam Ukhti, ndio unaweza naomba tuwasilianae kwa e-mail hii alfatahchatity@yahoo.com
Naam Ukti unaweza tupe namba yako ya whatsapp tuwasiliane
uko wapi huu mskt?
Salim Maalim;;Upenja unguja na namba zao za kuchangia ndo hizo kwenye clips hapo.
Yarab tujalie tufanye mema tarab