Allah Akbar yaa Allah yaa Arahman mjalie Sheik wa Allah na simwingine ila Sheik Othman Maalim kwani yeye ni mfano wa kuigwa na barak na aman ziwe juu yake hapa duniani na kesho Akhera
Mashaaaaaallah..... Sheikh Othman ni kipenzi cha waislam ......huzigusa nafsi za waislam na kukuza Iman zetu....... Huko ndiko nawe unakoelekea ......Allah akujalie In Shaa Allah
Man'sha Allah Mola akudhidishie elmu yenye manfa akupe kifuwa chenye kuhifadhi sana wawe wengi mfano wko wenye Kuiga wenye khayri kama Hao Mwenyezi mungu Ghaz'wajallah akudhidishieni khayri ln shaa Allah 🙏🙏🙏
Maa shaa Allah, mwenyez mungu akujaalie uzidi elimu zaidi na zaidi , Allah akujaalie afya njema , Allah akujaalie hekma na busara , hakika umejaaliwa .
Mashalllah yupo vizuri. Na si yeye tu, hata wewe unaye muhoji upo vizuri. Muna nafasi ya kuwa wazuri zaidi ya hapo na mimi nawaombea muzidi kuwa wazuri.
Mashaallah Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kufata nyendo mzr na kujifananisha na masheikhe wetu Hizi ndio nyendo na sifa na umaarufu na mambo mazuri yenye kuelimisha jamii waislam
mashallah tunamuomba sheikh Muswaddiq atupe namba yake tunamuhitaji maeneo ya Mfenesini huku aje atupe miski ya roho , sisi ni watu wake tunaomkubali kama tulivyomkubali sheikh othman maalim mashallah
Mashaallah tabarakallah kheri kwa binti utakayemuoa na kheri kwa atakayekuoza ila nakuombea kwa Allah aiweke nafsi yako mbali na matamanivo na shaitwani rajimu na aimarishe jina lako ki matendo in'shaallahu ta'ala natamani kupeana mkono na wewe live siku ya kiama baada yakuingia jana pamoja na huyo mpashaji habari karimu ambaye Allah amemfanya kisababu cha kukufahamu kimukhutasari allahumma amiina
Alhamdulih, kwakweli nimefurahi sana kwani sikuzote nilipo msikiza Othman maalim nilimuombea duwa aishi muda mrefu na usio na uzee mbaya na aishi daima ndani utaratibu wake huohuo wa Imani na huduma kwa waislam aishi kwawepesi WA rizki na kujitosheleza yeye familia yake pamoja na jamaa zake na mwishowe kama mwenyezi mungu akitaka kumchukuwa basi azidi kumtia kiu na hamasa ya kumpenda,kumtukuza Allah na kuineza elimu alieirith kutoka kwa mitume yetu na kiongozi wetu wa umma wa kislamu nabii wetu Mohamad sws, Onja yangu ya ujinga haitonikatisha tamaa kwakuambiwa ukweli nao ukweli nimsumeno nakila akuelimishae ujuwe nayeyepia alielimiswa kwa nijia tofauti tena wengine hupitia mazito zaidi, hivyo sitosita hasilani nasitojidhulumu nafsi yangu kwakujiekea kusema kuwa WEWE KIJANA NAKUPENDA SANA NA HUYO OTHMANI MAALIM , WALLAH MOLLA NDIE SHAHIDI JUU YA MAHABA YANGU KWENU NAWENGINE WOTE MNAOFANANA KATIKA ELIMU HIYO JQPO MIE SINA NA NIMIONGONI YAWALE WAZEE WALIOUTIA UJANA WAO KWENYE ONJO LA UJINGA NA KUZEEKA NAO; MWENYEZIMUNGU MWINGI WA REHMA ANIWEKE KARIBU NAMI PAMOJA NA WAJA WEMA.
MashaAllah Tabarakallah Allah ihfadhak . Allah amjaze kheri ustadh wake MashaAllah hakuwa na khiyana ya kumkuza kijana huyu jazakallahu kheir ya ustadh
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah awaongoze na watoto wetu pia wawe miongoni mwa watoto wema na muswadiq Allah amfikishe pale anapotaka kufikia ktk malengo yake
Maashaallah,tunatakiwa tuige mambo mema,Alhamdulillah kijana anaelekea vizuri Allah azidi kumuelekeza.
Allah Akbar yaa Allah yaa Arahman mjalie Sheik wa Allah na simwingine ila Sheik Othman Maalim kwani yeye ni mfano wa kuigwa na barak na aman ziwe juu yake hapa duniani na kesho Akhera
Allahu akbar mwenyenzi mungu aje na mimi a nijarie watoto wema kama mfano wao
Huyu kweli ni mlithi wa shakhe Othman Maalim mashaallah
Mashaaaaaallah..... Sheikh Othman ni kipenzi cha waislam ......huzigusa nafsi za waislam na kukuza Iman zetu....... Huko ndiko nawe unakoelekea ......Allah akujalie In Shaa Allah
Mashaalah. Hawa ndio vijana wanye influence. Allah atupe vizazi vyema vyenye khof nae
Amiin
Ameen
MashaAllah Allah Azidi kukufungua kifua chako na Akupe Elimu Zaidi Uwe mfano wakuigwa hata wewe.
ALLAH Akbar,, yaarabi nakuomba uniongoze ktk njia iliyonyooka wallahi natamani kua kama muswadiq na vijana wngine wny maadili mema ya kiislam 😢 😢
Allah akuwezeshe in shaa Allah fatanafasilmutanafisun
Masha Allah Allah awazidishie tena nate.
Allahumma amiin,ALLAH AKUJAALIE
Amin
Ameen
Allah Akbar... Allah amuhifadhi Shekh Othamn Maalim na pia amuongeze maalim Swidq
Man'sha Allah Mola akudhidishie elmu yenye manfa akupe kifuwa chenye kuhifadhi sana wawe wengi mfano wko wenye Kuiga wenye khayri kama Hao Mwenyezi mungu Ghaz'wajallah akudhidishieni khayri ln shaa Allah 🙏🙏🙏
kila la khri
Mola akudhidishie
Mashaallah nimempenda sana mungu akubariki pia sheikh Othman maalim kwavijana kufuata nyayo zako
Umekuwa ktk misingi mizuli ya dini, nawapa ongera wazazi, mashallah mashallah,
Mashaallah
Mashallah jazakaallahu kher daaaah huyu shekhe yaaani ni kama othman maaaalim mashallah tulikuwa tunaomba mutuweeekee mawaidha yake inshallah natumai ujumbe utakuwa umefika inshallah
Insha ALLAH kuanzia wiki ijayo utayaona
MashaAllah Mwenyezimungu akujaalie kila lenye kher
Mashallah jitahidi Sana na kua mkweli Allah atakuzidishia ameen
Masha Allah mwezimungu haziwajaala akuzidishe elmu apate kuyifikishia wangine inshaallah
Allah akulinde na maadui akupe umri wa maisha marefu innsha allah
Ma shaa Allah sauti yake inafanana kweli na sh othman maalim haswa anaposoma qur'an ma shaa Allah Allah azidi kumuongoza na vizazi vyetu in shaa Allah
Salut sana kwa Othman maalim Allah amjalie afya njema na umli mlefu sheikh wetu kipenzi Othman maalim
Amiin
Mashallwah Hongereni sana Riyadh TvZnz kwa kutuhabarisha habari zenye heri.
Mashaa Allah kijana mungu akulinde na husda na vijicho vya watu wabaya.... ((Ameen))
Mungu akuongeze innshaallah
Maashaallah ivi ndo adhari nzur zinazotakiwa kuziacha dunian sheikh othuman maalim hongera kwako una da'awa nzur kiasi kwamb adi kuongea anaongea uyu kijan anaongea kam sheikh maalim
Mashallah mashallah, mwenyezi mungu akuendeleze kakaangu, future sheikh othman 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kabisa mpaka raha Masha Allah
Allah amlipe kila LA kher katika kazi yake ya uhadhir
Yallah yarrab nijalie kizazi changu kiwe kumuogopa na kuncha mungu na uwanyalie wawe wenya kuhifadhi Quran
Masha Allah Masha Allah Thuma Masha Allah.Allah Akuhifadhi kakangu katika Uislamu🙏🙏🙏
Mashaall
MashaAllaah tabarakaAllaah
Allaah azidi kumuongoza na Neema zake na kuongoza vizazi vingine ....
Man'sha Allah man'sha Allahu jazak'um llah khayri👍 💞
Mashaallah kila mtu anapenda kumuiga shekh othman maalim
MASHA ALLAH.... MWENYEZI MUNGU AKUEPUSHE NA HASAD ZA WATU WABAYA... NA SISI WENGINE MUNGU ATUPE TWAUFIQ NA FAMILIA ZENU.... AMIIIN
Masha'Allah anaongea kiarabu vizuri Sana Kama muarabu vile
Hakika mm nampenda sana sheikh Othman Maalim na Allah atuwekee nuru yetu hii aihifadh na mabaya amuondoshee mazito amletee wepes Wa kila jambo.
Mashallah mungu akubariki na akuzidishie elimu amiiin
Mashaallah Mashaallah Mashaallah, Allah atupe wepesi nasi katika kutekeleza ya kheri .
Mashaallah Allah akuepushe na Mahasadi wa Kibinaadam na Majini.Allah akupe umri mrefu
Maa shaa Allah, mwenyez mungu akujaalie uzidi elimu zaidi na zaidi , Allah akujaalie afya njema , Allah akujaalie hekma na busara , hakika umejaaliwa .
Mie ni mkristo ila kiukweli hua nina Muelewa na kumpenda Sana SHK Othman Maalimu, Mungu amjelie kheri na umri mrefu 🙏
Ameena
Maashaallah Mungu azid kutuongoz vijan ktk uislam, Allah ampe kila la Kheri sheikh Othman Maalim
MashaAllah Mola akuhifadhi pamoja na waislamu wote.
Ameen
Amin
Mashaallah m/mungu akuongoze vyema
Maashallah mungu akuzidishie fahamu na akuepushe na husda za walimwengu
Aaaaamin
Allahumma amiin
Mashaaaaaaaaaaaaallaaaaa Allah akubaarik akuzidishie zaid nazaidiiiiiiii ahsante sanaaaaaaaaa
Masha allah
Mashallh mungu akuzidishie kheriii
MaashAllah Alhamdulilah Allah atuongeze katika njia ilonyoka shukran Sana
Mashaalah Mwenyezmngu atupe masheikh Athmani Maalim wengi inshaalah.
mashaAllah mashaAllah mashaAllah baraka Allahu fik ya Akhuyi Hapo kwa Qiraa Ipo sawa Kabisa Tabaraka Ar Rahman
Ahmdulillah ndugu nimependa kuaiga watuwema nimependa nami naiga mungu ainyanyue darjayako f dunia all akhera Allah human amin
MashaAllah,hao ndio Watoto wakujivunia sio mtoto alelewa na taraabu na wasanii. Allah akulipe kila la kher kijina na akuepushe na hasadi
Mashhaalah kweli ume muhusudu Othman maalim
Mash Allah tabarakallah sheikh othman mdogo Allah akuhifadhi
Mashaallah mashaallah, jazakha llahu khery
Mashalllah yupo vizuri. Na si yeye tu, hata wewe unaye muhoji upo vizuri.
Muna nafasi ya kuwa wazuri zaidi ya hapo na mimi nawaombea muzidi kuwa wazuri.
Mashaallah Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kufata nyendo mzr na kujifananisha na masheikhe wetu Hizi ndio nyendo na sifa na umaarufu na mambo mazuri yenye kuelimisha jamii waislam
Naam , hakika unakilasababu yakulinganishwa na Maalim, shekh Othamn. Allah awazidishie Maarifa zaid na zaid.
Maa Asha Allah mungu akuzidishie innsha Allah
Good ustaadh mdogo wangu mungu akuweke na ukuzidishiye elimu
ما شاء الله.
بارك الله فيك يا شيخ صادق.
أسأل الله أن يوفق مما تحب و ترضا .
كل سنة و انت طيب.
Mashallah allah akudhidishiye
mashallah tunamuomba sheikh Muswaddiq atupe namba yake tunamuhitaji maeneo ya Mfenesini huku aje atupe miski ya roho , sisi ni watu wake tunaomkubali kama tulivyomkubali sheikh othman maalim mashallah
Insha ALLAH asiliana nasi +255 772 854520
Manshallah Allah ampe pepo sheikh othman kwa kuwapa wanetu elim ya milele
Ma sha Allah mungu akuzidishie
Masha Allah mungu ambark kwa Rhma xake
Maashaallah Allah akupe wepesi ktk kutafuta ilmu zaidi...ila usimkate jina sheikh ukamwita Othman..muite kwa heshma...
mashaallah nakuombea kwa allah akuzidishie elim
Mashaallah tabarakallah kheri kwa binti utakayemuoa na kheri kwa atakayekuoza ila nakuombea kwa Allah aiweke nafsi yako mbali na matamanivo na shaitwani rajimu na aimarishe jina lako ki matendo in'shaallahu ta'ala natamani kupeana mkono na wewe live siku ya kiama baada yakuingia jana pamoja na huyo mpashaji habari karimu ambaye Allah amemfanya kisababu cha kukufahamu kimukhutasari allahumma amiina
MashaAllah
ma shaa allah. allah tubariki ss pamoja na vizazi vyetu utuongoze kufanya mema in shaa allah
Muswadkq hongera sana Allah akuzidixhie
Alhamdulih, kwakweli nimefurahi sana kwani sikuzote nilipo msikiza Othman maalim nilimuombea duwa aishi muda mrefu na usio na uzee mbaya na aishi daima ndani utaratibu wake huohuo wa Imani na huduma kwa waislam aishi kwawepesi WA rizki na kujitosheleza yeye familia yake pamoja na jamaa zake na mwishowe kama mwenyezi mungu akitaka kumchukuwa basi azidi kumtia kiu na hamasa ya kumpenda,kumtukuza Allah na kuineza elimu alieirith kutoka kwa mitume yetu na kiongozi wetu wa umma wa kislamu nabii wetu Mohamad sws, Onja yangu ya ujinga haitonikatisha tamaa kwakuambiwa ukweli nao ukweli nimsumeno nakila akuelimishae ujuwe nayeyepia alielimiswa kwa nijia tofauti tena wengine hupitia mazito zaidi, hivyo sitosita hasilani nasitojidhulumu nafsi yangu kwakujiekea kusema kuwa WEWE KIJANA NAKUPENDA SANA NA HUYO OTHMANI MAALIM , WALLAH MOLLA NDIE SHAHIDI JUU YA MAHABA YANGU KWENU NAWENGINE WOTE MNAOFANANA KATIKA ELIMU HIYO JQPO MIE SINA NA NIMIONGONI YAWALE WAZEE WALIOUTIA UJANA WAO KWENYE ONJO LA UJINGA NA KUZEEKA NAO; MWENYEZIMUNGU MWINGI WA REHMA ANIWEKE KARIBU NAMI PAMOJA NA WAJA WEMA.
Masha Allah kheri kaka yangu
Masha Allah hiyi ndio mfano mzuri inshallah mungu atujaaliye tuige mfano Kama huu inshallah.keeep going mungu Yuko nawewe inshallah
Allah atufanyie wepes Inshaallah kuwapata vijana wengi kama huyu.
We are so proud to be with u big up broo forever
Maa shaaa Allah umejitahidi Allah akujalie elimu zaidi. Amini
MashaAllah Tabarakallah Allah ihfadhak . Allah amjaze kheri ustadh wake MashaAllah hakuwa na khiyana ya kumkuza kijana huyu jazakallahu kheir ya ustadh
Nataman niwe ivo ila sidhan kama nitaweza kufikia ivo
maashaa Allah
Unaweza jitihada2 Akhy
Rashid Busanya unaweza kaka Rashid Busanya kwa nia na bidii ya kusoma kama unasoma
Usikate tamaa hakuna alozaliwa anaweza,Allah akuongoze nawe tia nia.
Muhimu nia kama unayo basii biidhnillah utafikia
Usijali kaka yangu jita idi utiyeniya allah atakura isishiya
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah awaongoze na watoto wetu pia wawe miongoni mwa watoto wema na muswadiq Allah amfikishe pale anapotaka kufikia ktk malengo yake
Mashaallah Allah ambariki na mola atufungulie milango ya elimu atulide na hasadi
Mashaa Allah, baraka llah fihi
Mashaa Allah tabarakallah Allah akijaalia afya njema
Bismilllah mashallah shekh muswaddiq mungu aniongoeze ktk njia iliyoonyooka anijaaliwe niwe na hof ya mungu na kumcha allah
Allah ajaalie vijana wengi waige shekh Othman yarab
Mashallah jazakallah kheir
ALLAH NASI ATUEZESHE ATUPE VIZAZ VYEMA KM HIV...
Allahumma Ameen
MashaAllah, Tabaraka Rahman👍👍👍
Mansha Allah i like that 😘😘😘
Mashaallah amjaalie kher sheikh Othman maalim
MashaAllah 😘😙💞💞👌👍
Allah akupe wingi wa dini in shaa Allah. Kwani na sisi twawaombea watoto wetu wawe wema.
saf kijana mwenzet mungu akujalie ivo ivo na sisi mungu atujalie tuongoze njia ilo nyooka
ماشالله جزكالله خير أختى
mashaa ALLAH ALLAH akubariki akupe ikhlas n thibat.uso wako una nour
Ya salam wallahi tena nimeipenda sana masha Allah ya ust
Duh ebwanae MASHAALLAH zawadi hizi ALLAH anatuletea
Siku nyingine tanguliza Mashaallaah na jitahid hiyo Duh ipotee katika ulimi wako.
Biidhnikallah hilo lina wezekana.
Amin Amin Amin Ya Rabal Enlamin
Yaarabbi nijaalie mtoto wa kiume nanimleevema awe mtoto mwema kamaivi mashaallah.
Allah akuzidishie ishaallah
Ridhwaan shukran sana kaka hakika mumeniliza
Mashallah
Mashaallah huna papara na unafahamika.Allah akuzidishieeeh
Maaa shaa Allah Allah Akupe afya na umri mref hakika ww ni mfan wa kuigwa
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAAAKALLAHUL KHAYRA
Mashaa Allah kweli kampatia mungu amzidishie
Mashaallah Allah azidi kumuongoza kwenye kheri Allah awaongoze nasie watoto wetu kwenye njia ya kheri kama hii
mashaallah hongera sana
والله انا مثلك ألفا
naomba namba zako kwamawasiliano
Maa Shaa Allah Allah Awape Afya Njema ❤️
Mashaallah Allah akuzidishie ktk elim yk
Aaaamin