MSTAAFU KIKWETE AFICHUA WALIOKATAA IKULU IJENGWE CHAMWINO, MBELE ya RAIS SAMIA AFUNGUKA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2023
- MSTAAFU KIKWETE AFICHUA WALIOKATAA IKULU IJENGWE CHAMWINO, MBELE ya RAIS SAMIA AFUNGUKA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 20 Mei, 2023
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Mama ongera kwa kazi nzuri kazi iendelee dodomaaa
Pamoja na porojo nyingi, JPM ni chanzo cha tukio lililowakusanya hapo! Nyerere mwenyewe aliishia kwenye idea tu miaka 20+ lakini ndani ya miaka 2 tu ya JPM akaanza kutenda badala ya kupiga porojo. Pumzika baba JPM!
Ni kweli!!!
Hii ni sherehe ya kuzindua Ikulu mpya ya Tanzania na Wala siyo Arobaini ya kumaliza
msiba hivyo siyo sahihi kila Jambo linaloendelea hapo kuwataja viongozi waliotangulia mbele ya haki wao wanasiku yao ya kukumbuka.🎉🎉
@@modestwenceslaus9 hahahahhahahahh
Viongozi wetu wote wamefanya kazi kubwa tena kubwa mno, Ila ninacho kupa tu dondoo Wengine wote wanafanya Maendeleo Kwa kuwa Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri mno na hatukupitia walio pitia wengi barani Africa 🌍 kwahiyo tuwape Heshima zao
@@ndukulusudikucho_ Sahihi kabisa Mkuu,tatazo Kuna baadhi ya Wantanzania wanajifanya kutokuona
mazuri mengi yaliyofanywa na viongozi walioongoza Nchi hii kabla ya awamu ya Tano,imefikia hatua baadhi yao kutoona umuhimu wa umoja wa Kitaifa aliousimamia Mwl J.K Nyerere ambao ndiyo chachu ya mafanikio yote haya tunayoyaona.
R.I.P Raisi wa TANZANIA JOHN JOSEPH MAGUFULI
Hatutaki sihasa Magufuli ndiye kajenga
Hongereni wapambanaji wetu wote kuanzia awamu ya kwanza hadi ya sita. Mungu awabariki kwa uzalendo muliofanya kwa Taifa letu.
Wee ulikua mra batatu akuna rorote mpe magufuli pongezi zake zita mfikia huko aliko pumzika
JPM lala salama, ww ndie simba wa Yuda. Polojo nyingi sana hapo. Alama zake JPM hazitofutika kwamwe, na ndie aliyewafumbua akili Watanzania.
Mtajipamba sanaaaa lkn wa tz hatutamsahau mwamba JPM❤
Utamsahau kwani sasa unamkumbuka kwa yapi kupotea kwa watu😅😅😅
Hahaha kwa hiyo hapo hatujakopa maana tabia zenu kila mkopo mnamtupia jpm usijitetee kikwete hukufanya chochote na hauna mchango ktk hiyo ikulu ifisi ya rais alijega jpm na alianza kuitumia ww ongelea chuo ila nishukulu umekili hela iliyojenga ikulu sio mkopo hii ni kuonyesha miradi yote jpm alijenga bila mkopo aibu yenu wote
Hongera sana JPM
Site tunaona na tunajua, we are not stupid!!!!
JPM ndiye aliyefanya yote haya.
Ideas za Nyerere katendea kazi.
Kuamua na kufanya those are two different ideas.
Kafanya kweli ni JPM!!!
RIP JPM!!!!
Hayo ni maono ya jpm mzalendo wa kweli ,wote mlio baki nyinyi wapigaji,
Wajinga tu na waliozaliwa juzi ndo wanafikiri hivyo
@@davidsimbeye1548 magu alikua asemi tu, anatenda, Kina Nyerere na wengineo, walikua maneno mengi vitendo akuna, Hakuna Rais kama magu miaka 5 tu kafanya mambo makubwa
ulierekeza ukashindwa magufuli kwa jina maarufu kwa wati huo akiitwa tingatinga akaanzisha kunjenga akaweza ivo apewe sifa zake katika tifa hili
Rest In Peace JPM
We miss you JPM!!!
GENIUS!!!
Sijasikia akitajwa jembe kwenye maraisi wastaafu ila sisi twakutaja jpm
Hongera sana jpm
Magufuri hii ni kazi yake wewe umekaa miaka 10 ukujenga.. JPM miaka miwili. tu kafanya mambo... sifa ziende kwa magu sio wewe.. wewe ulikuwa unakula bata tuuu..unajisifia tuu ukufanya lolote acha kupiga poyoyo.. kazi ni JPM
Uwe na nidhamu ww na viongozi wetu
Sio kila kichwa ndani kina madini, mzee anatafuta kujichomeka ktk historia hii hata kusema ukweli kwamba hujafanya kitu nakumsifia mwenzako hasa jpm ni historia, eti ktk kipindi changu niliamua .... Hii yeyote anaweza kuamua issue ni uthubutu ktk vitendo mzee hizo zingine ni story tu bila nyama ha ha ha ha
'Katika kila Awamu, kuna yaliyofanyika,,, maana uongozi ni kazi ya kupokezana kijiti ... Unafanya unamalizia, anakuja mwenzako anafanya anasogeza mbele, mpaka mnafika mwisho wa safari'... Jamhuri ya Muungano wa Tz, kazi iendelee!
Nyie ndio zao la LGBTQ,hivi kweli kuna mtanzania anaweza andika upumbavu dhidi ya Kikwete km vile hakufanya kitu?
Ni kweli hakuna mkamilifu lkn sio kufunika kila jambo zuri amefanya huyu mzee,
Sisi tulikuwepo na tumesoma kwa huyu mzee,tuliona mazuri yake na mabaya yake sio kumuandika km vile hakuna alichofanya kenge ww,
Huku ulipo lolote likukute,umbwa koko wewe
@@ahmadmpinzire5649 safi sana kaka! Mshenzi anachuki binafsi huyu umbwa
Daaah wewe bwana nooma umeongea point
@@ahmadmpinzire5649 Vijana hao hawajitambui na hawajui tulikotoka,tuko wapi na tunaelekea wapi.
Jpm
Jpm na nyerere
Makao makuu kuhamia
Dodoma..
Dodoma hoyeeee
Dodoma Hoyer
Mwenyeezi Mungu amrehemu Baraka
Mwishee...
Nchi hii unafki mwingi sana, aliyefanya vizuri anastahili sifa zake. Na ambaye hajafanya vizuri nae anastahili ambiwe ukweli.
SHERIA YA THE CAPITAL CITY ACT YA MWAKA 2018 ILISAINIWA NA MAGUFULI... IKULU YENYEWE IMEJENGWA NA MAGUFULI
Kwahiyo! Nonsense 😇
Wenzio wanangumzia mchakato mzima. Kuanzia maamuzi hadi ukamilifu wake
Mzee ulishindwa magufuli aka weza
Asanteee mama
Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤🎉
Mbona unamwita kama vile sijui ni nanii wako.......🏃🏃🏃🏃
I love ❤ TZ
JPM oyee
r.i.p Magufuri
Maneno mbali vitendo mbali, Jpm kafanya vitendo nyinyi blabla tu ata uyo mama ana lolote yy kajenga nn chake zaidi ya kuuza Nnchi,
Magufuli the great
JPM
Porojo na siasa sizitofautishi,ziko nyingi ameziongea ila ukweli...JPM ni mwamba. Kwanini mnashindwa kusema kwa ukubwa aoichofanya JIWE?.roho mbaya mnazo ninyi mnaoishi miaka mingi
Mpeni maua yake jpm mwamba ni dhahabu kwetu Tanzania
Powerful speech from former President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. 💯💯💯👏👏👏
Kwenda zako fisadi mkubwa ww
Anaongea nn uyu
Mama ni Muungwana sana
Hayo hupashwi kuongea wewe anapashwa aongee rais sio wewe
iliandikwa na magufuli mbona unaruka kumtaja magifuri
Hawezi kumtaja moyo unamusuta
Magufuri kidume .uwazi ulifanya Nini ?babwajababwaja tu utoke hapo. Ulikuwa mpigaji tu.
RIP chuma
Nmeskia tetesi limonti IPO msoga
Nikupoteza muda kumsikiliza jk, Tangu tanzania imepata uhuru marais ni wawili tuuu jpm na Nyerere
Mwalimu Nyerere alitamka "Mpumbavu ni yule asiyetaka kujifunza kutoka mataifa mengine"
Kwa Mhe kusema wamejifunza kutoka Malaysia kuijenga Ikulu, ndio usahihi wa ustaarabu wa mataifa yaliyoendelea.
China inasema imefanikisha kwa kufuata nyayo za waliopita.
Tanzania mnapendeza kwa kukamilisha ndoto za Mwalimu Nyerere na wale waliotutangulia.
Mungu awabariki Watanzania
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu kwa maneno mazuri ya kumpa moyo Rais wetu aliyepo marakan dr Samia Suluhu Hassan
Waendelee kutunyonya cndio
@@bakarimtange570 kwan ww una maziwa
Yote ni mazuri tu
Sio kazi yake mseme aliefanikisha hilo
Hawezi kumusema
Mhhhhh!
Bra magu nyinyi msinge weza
Sku nikiwa rais Mimi nitaweka mabago yenye picha ya jpm inchi nzima maana bra yeye kra kitu kingekuwa hakuna
Jk alikuwa poteza bovu he did nothing when he was a president
UJENZI WA IKULU YA DODOMA HILI JAMBO KILA KIONGOZI ANAINGIA KTK HISTORIA NA WATANZANIA WOTE ,JAPO KILA MTU ANASEHEMU YAKE KTK KUHAKIKISHA HILO LINATIMIA NA LEO LIMETIMIA japo nashangaa sana Kuna watu wanapenda kubagua viongozi KWAMBA huyu kafanya huyu hajafanya mnayatoa wapi
Jpm
Huyu delila na kiwete wa mzoga siwapendi, ila ipo siku na nyie mtanyamazishwa na Mungu
JPM
Jpm
Jpm
Jpm
Jpm
Jpm
Jpm
Jpm
Jpm
Jpm
Jpm