Hongera sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uchangamfu na kuwachangamsha wageni wetu. Hongera pia kwa Hotuba nzuri. Hongera sana pia kwa juhudi kubwa kuweza kumaliza Ikulu yetu ya Dodoma.
JAMAN NISIWE MNAFIKI MWENZENU KILA NIKIMUONAGA MAMA JANET MAGUFULI CHOZI LINANIDONDOKA WALLAH DAH SIJUI LINI NITACHA HII ROHO YA HURUMA KWA HUYU MAMA😢😢
Hivi kweli serekali haikuona umuhimu ya kuwaalika wanamuziki wa zamani waliokuepo wakati Baba WA taifa akiwepo na wakaimba wakimsifia kwauamuzi wake wa kufanya makao mkuu ya chama na serekali yawe Dodoma, mkawaita hao wanao imba nyimbo ambazo huwezi Angelia na watoto.
Poleni sana....!! Lakini hivi mnaamini kadari ya M/Mungu kwa udhati kweli. Hofu yangu imani yenu kwa Muumba mmoja ni ndogo. Kuna hatari ya kumkosoa hata Mungu mwingi rehema, ambapo sasa mtaingia dhambini, nakupeni pole tena.
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Hongera sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uchangamfu na kuwachangamsha wageni wetu.
Hongera pia kwa Hotuba nzuri.
Hongera sana pia kwa juhudi kubwa kuweza kumaliza Ikulu yetu ya Dodoma.
Nampenda sana mama Samia Mungu amuongoze ampe afya njema na maisha marefu In sha Allah
Hongera sana Mama, Dimpoz na Bella iyo Nyimbo iwe ndefu kwa Mama yetu nzuri sana muongeze Mashairi ❤❤
Haki Tanzania is blessed with great leaders the likes of Magufuli, samia and also powerful worsippers and musicians.
Nyimbooo kaliiii mpaka rahaaaah
❤❤❤❤❤❤❤
JAMAN NISIWE MNAFIKI MWENZENU KILA NIKIMUONAGA MAMA JANET MAGUFULI CHOZI LINANIDONDOKA WALLAH DAH SIJUI LINI NITACHA HII ROHO YA HURUMA KWA HUYU MAMA😢😢
Usiiache hiyo roho
Yeye ndo amemuua munewe huyo 🤣
@@zuheorsalim7759 Acha kuropoka basi ukilishwa yamini utakula?
Siyo wewe tu mm piaa nalia sana
Huruma ya nn sasa
INAKWAMA KWAMA ... AFU MKAIPOST HIVYO HVYO ... 😢
Wimbo wa mwaka huo
Tafuneni Nchi
Hivi kweli serekali haikuona umuhimu ya kuwaalika wanamuziki wa zamani waliokuepo wakati Baba WA taifa akiwepo na wakaimba wakimsifia kwauamuzi wake wa kufanya makao mkuu ya chama na serekali yawe Dodoma, mkawaita hao wanao imba nyimbo ambazo huwezi Angelia na watoto.
Yani hata mimi kwa kweli nikimuona mama janeti duu moyo wangu unajaa huzuni sana
Poleni sana....!! Lakini hivi mnaamini kadari ya M/Mungu kwa udhati kweli.
Hofu yangu imani yenu kwa Muumba mmoja ni ndogo.
Kuna hatari ya kumkosoa hata Mungu mwingi rehema, ambapo sasa mtaingia dhambini, nakupeni pole tena.
Mh
❤❤❤❤❤
Hongera mama yetu kwa mazuri unayotufanyia Asante Saba mama