KISA CHA BOB MARLEY / BANGI NA MUNGU / MAISHA YA MATESO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • #WasafiMedia #wasafiFm #TheStoryBook

ความคิดเห็น • 1.4K

  • @djrautz733
    @djrautz733 5 ปีที่แล้ว +1504

    Tunaomba na ya lucky dube
    Kama na ww unataka ya lucky naomba tujuane kwa like

    • @wangash6144
      @wangash6144 5 ปีที่แล้ว +13

      My favourite artist philip lucky dube

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 5 ปีที่แล้ว +8

      Lucky hahahahahaaaa .... Huyu hakuvuta ganja Wala sigara.... Urasta wake ulikuwa on his dread. Lkn kufuga dread cio ndio urasta jaman.... To be a Rasta one should be born again

    • @fideliskimati4619
      @fideliskimati4619 5 ปีที่แล้ว +2

      @@loner_wolf unajuwa rasta pray ya dube?

    • @zaimnyama7515
      @zaimnyama7515 5 ปีที่แล้ว +5

      Djrau Joseph 1989

    • @naftalykoome6984
      @naftalykoome6984 5 ปีที่แล้ว +3

      Djrau Joseph

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana9990 4 ปีที่แล้ว +189

    Jamani mbona Mimi hamunipi like zangu kwenye story book nimewakosea Nini 😂 😂😂 😂😂 😂

  • @diva_20162
    @diva_20162 7 หลายเดือนก่อน +4

    duh so painful 😭😭 but hakuna kukata tamaa kama Bob Marley kapitia magumu hv na bado alikuwa imara mm ni nan nishindwe hapana Mungu nipe nguvu 🙏🙏

  • @samuelypaulo7981
    @samuelypaulo7981 5 ปีที่แล้ว +769

    Kama nawewe unapenda story book Ya Bob Marley legend wa reggae dunian nipe like pls👑👑👑✌✌✌✌👍💖

  • @seedmbegu4567
    @seedmbegu4567 5 ปีที่แล้ว +32

    Wanasema kwenye ukweli Uongo hujitenga Sasa mbona hadi leo ukweli wa huyu Shujaa umekuwa FUMBO .Wadhungu sio watu Wazuri.

  • @DieumerciasendeAsende
    @DieumerciasendeAsende 9 หลายเดือนก่อน +4

    God a blessing him 😮

  • @thomastairo2021
    @thomastairo2021 5 ปีที่แล้ว +574

    Kama na ww ndio umejua leo Demu wa Bob alikua miss wa Dunia like hapa

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 5 ปีที่แล้ว +7

      Mke wa Bob Yuko hai , na jina lake NI Rita Anderson au Rita Marley .... Miss dunia wa Brazil alizaa tu na Bob mtoto mmoja naye akamwita Damian ambaye ndio anajiita junior gong....huyu jamaa kwa mix yke ya kibrazil na kijamaican half cast anadread zinagusa ardhi kwanyuma anapokuwa kasimama....

    • @rehema2018
      @rehema2018 5 ปีที่แล้ว +2

      Ali Ali
      Wabongo bhna ulishii nae?

    • @rehema2018
      @rehema2018 5 ปีที่แล้ว +3

      kulwa mapunda Kweli na mkewe ni mtuu mweusi

    • @hawa4968
      @hawa4968 5 ปีที่แล้ว +2

      @Ali Ali hahaha

    • @simonnjoroge7285
      @simonnjoroge7285 5 ปีที่แล้ว +2

      @Ali Ali alikuwa Anuka uliwai Kutana nayeye?

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 3 ปีที่แล้ว +2

    Ww jamaaa usingee ondoka wasafi maana unajuwa Sanaaa kusimulia

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 ปีที่แล้ว +11

    Money can't buy life and love...😭😭😭maskn Bob Marley. Roho imeniumaa.kafa bado kijana.ukiwa star ni shida kwakwel.bora uwe wa kawaida tu.

  • @ibrahimwiswa8141
    @ibrahimwiswa8141 5 ปีที่แล้ว +349

    Daaah!!! Inasikitisha sana😭😭😭........ kama umeguswa na hii story ya bob Marley gonga like twende pamoja

    • @athanaskipeto572
      @athanaskipeto572 5 ปีที่แล้ว +2

      Kweli hela hainunui uhai aliaza kama mchicha akakua akawa kama mubuyu japo hakuna mji wala mtaa uliopewa jina lake angewa aitembelea tanzania mtaa au balabala ingeitwa bobu male

    • @Wambui-pk8dc
      @Wambui-pk8dc 5 ปีที่แล้ว +1

      ibrahim wiswa

    • @josephusaboresanare5341
      @josephusaboresanare5341 4 ปีที่แล้ว

      Resten peace legend

    • @meditito9115
      @meditito9115 3 ปีที่แล้ว

      Medi Tito outs Kenya long live reality

    • @gordonrogorogo5386
      @gordonrogorogo5386 3 ปีที่แล้ว

      Ire

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 5 ปีที่แล้ว +33

    Nalielewa sana hili pindi konki la Stori Book limenifanya nianze kufatilia Nyimbo za Lejendari Bob Maree

  • @aaronntangalo8108
    @aaronntangalo8108 5 ปีที่แล้ว +43

    Thanks for this documentary maaan,,,though key and potential figures in bob's life are missing in ya narration ie Chris Blackwell,Ritha,Lee Perry/scratch,Claude Masoup,,Marcus Garvey(his role model),,H.I.M Selassie and his best friend lawyer Diane Jobson.....all in all I&I very grateful for the findings ,,Jah bless

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 4 ปีที่แล้ว +14

    "U got tired to see my face .... can't get me out of the race" 😂😂 Hakika maneno haya yanaishi to date..... Bob ni zaidi ya alivyo, walimuua but hawajafanikiwa kumzima yupo kizazi hata kizazi km tunavyoona kupitia Ziggy, Stephen, Julian, Kiman, Rohan, Damian, Jo Mersa, Skip Marley etc hii DNA si ya kitoto..... Rastafarian wanaamini mtu hafi bali anaishi ktk roho nataka kuamini hili kupitia kizazi cha Bob.... RIP Legendary.

  • @montanatonie1078
    @montanatonie1078 3 ปีที่แล้ว +1

    Kitu ambacho Bob Marley alinifurahisha zaidi ni pale alipoimba ule wimbo ambao ni #(Stiff Naked Fool )

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 5 ปีที่แล้ว +38

    Legend never die ... Rip. 3 little birds wimbo wa my Mum alipokuwa akipambania uhai wake ... RIP my lovely Mum Teddy...

  • @Chekanamimi_
    @Chekanamimi_ 4 ปีที่แล้ว +2

    Ukiwa unakula bangi lazima unatakiwa uwe unakula sana na kunywa maji sana,maana bangi ukiivuta inaingia kwenye ubongo na ubongo ni maji maji na damu,so bangi inapoingia kichwani ubongo unahitaji damu zaidi so ukiwa huli wala hunywi maji basi ndugu yangu utakuwa na shida mno

  • @rich-mondaugustin2036
    @rich-mondaugustin2036 5 ปีที่แล้ว +198

    Tunataka na ya Michael Jackson pamoja na lucky dube kama na ww ndugu mwenzangu unasubiri hizo gonga like apo

  • @moricemollel134
    @moricemollel134 5 ปีที่แล้ว +18

    Peace and love rest in peace king judah Rastafari ujafa unaishi tunamin faza kwa nafsi ilio moja 👊🏻.als-Pamoja sana umetangaz fresh sana

  • @mussabhai9059
    @mussabhai9059 5 ปีที่แล้ว +372

    Nawkubali saan wasafi mnatufny tujue mengi 🙌kam tuko weng tunay ikubali Wasafi gonga like tujuan.. The story book ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @princehenry4196
    @princehenry4196 5 ปีที่แล้ว +183

    Tunaoisubiri historia ya Luck Dube kama mm tulike hapa
    👍

  • @newdounreign7156
    @newdounreign7156 5 ปีที่แล้ว +219

    Marasta tugonge like hapa tujuane

  • @richardfrance5671
    @richardfrance5671 4 ปีที่แล้ว +11

    Fid Q kuitwa asha kama umesikia weka like apa

  • @RAUNATION
    @RAUNATION 5 ปีที่แล้ว +133

    Kama unaelewa hii stor book weka like

    • @allykitto508
      @allykitto508 5 ปีที่แล้ว +1

      Huyu ndiyo monogamist haki za wanyonge na hasa kwa watu weusi atakumbukwa daima na hasa nyinbo zake zenye jumbe zitozito

    • @ahil2654
      @ahil2654 5 ปีที่แล้ว +1

      Raunation VEVO enyewe ina kill

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 ปีที่แล้ว +19

    Nimependa hii stori japo inamapungufu mengi , lkn yaliyoelezwa NI yakweli ..... Summerised Sana hii stori...... Kunavitu vinapaswa viwekwe sawa ktk jamii ... Ok kunamaneno yanazagaa kwamba Bob aliuawa baada ya kuwageuka freemanson kitu ambacho cio kweli na kilipaswa kiwekwe sawa hapa, kunawatu wanadai nyimbo yake Africa United na Natural mystic kwamba anamkashifu mungu Jambo ambalo cio kweli na lilipaswa kuwekwa sawa, lkn pia tafsiri ya No woman no cry bado kunautata watu kws kutofahamu lugha wanafasiri zao ambazo si zakweli pia ilitakiwa iwekwe sawa.
    Kunamambo mengi Kuna nyimbo nyingi Sana ambazo zinamaana lkn kwakutofahamu lugha inayotumika watu wanachanganya na kuona Bob alipelekwa mbio na bangi..... Lkn kimsingi huyu jamaa alikuwa NI mwanaharakati aliyepambana peke yake kwa kutumia Guilter Kama alivyojipigapiga kifua mwenyewe ktk moja ya interview yke . Aliwah kusema yeye cio mwanasiasa ila NI mwanajeshi wa upande was Jah yaa n jehova kwa mashahidi was Uganda au mungu kwa kiswahili chetu...... Mtiga nitafute nikupe full stori nadhani Bob ,bunny na Peter tosh walipoonana na walipotengana pengne hujui na sababu ya kutengana pia huenda hujui.......ask me !!! Rita hukumtaja na The I three au wanawake watatu ambao NI back vocalists wanaosikika wakinung'unika kwambali ktk nyimbo za Bob hukuwagusia .... I have lots bro.....je wajua kuwa akiwa 36 years alikuwa na watoto thenashara yaan 12 na Kati yao NI watoto 4 tu ndio alizaa na mkewe wa ndoa ? Hapa ndipo ikaja ngoma Kama no woman no cry , lkn pia alipokufa Haile Selassie ndio Bob alipotoa ngoma yake Jah lives , yaan Jah hafi na akifa Mambo yke yatashi milele ..... But ktk mkutano wa kwsnza wa African Union (AU) ikiitwa O.A. Addis Ababa Ethiopia ulioitishwa na Haile Sellasie H.I.M aliongea maneno mazito yaliyomshawishi Bob Kuyarudia yote ktk nyimbo yake "War" ? .....Basi Kila nyimbo ya Bob inamaana Sana.......... Hapa nasikiliza "stiff necked fool" ikisha natia pimpers paradise ,jamin,wait in vain au acha play all;-) hahaha na ndio utamaduni wangu kusikiliza reggae Kila siku ndio huwa nafeel no pain when I hit reggae songs. Be blessed Mtiga One love

    • @benjaminjoel6225
      @benjaminjoel6225 5 ปีที่แล้ว +1

      hawajui pia kwenye tamasha la Bob la Zimbabwe walipigwa mabom ya machoz watu walikimbia lakin Bob alibaki jukwaani kuendelea kuimba

    • @victoruswazi3593
      @victoruswazi3593 5 ปีที่แล้ว +1

      Broh! Uko vizur sanaaaa... Nmependa mwendelezo wa hii story be blesse

  • @washastudio5408
    @washastudio5408 5 ปีที่แล้ว +11

    Nakubali sana wasafi mnatukosha kinyama kama unakubali kama mimi ngonga like hapa pls

  • @mhamedomary5818
    @mhamedomary5818 5 ปีที่แล้ว +324

    Heshima kwako mdogoangu
    Nigongeeni like Manigga juu ya huyu mtangazaji

  • @shaylulatz6702
    @shaylulatz6702 5 ปีที่แล้ว +154

    Robert Nesta Marley ,Nimejikuta nawaza mambo mengi sana ila yote kuhusu harakati za watu weusi...pumzika kwa amani Bob Marley...

  • @dreambeesafricalimited4831
    @dreambeesafricalimited4831 5 ปีที่แล้ว +2

    Ukikanyaga tu msumari mmoja unakufilia Mbaliii

  • @kidodosimichael349
    @kidodosimichael349 5 ปีที่แล้ว +7

    Hongera sana mr mtinga sema CHUMVI KALI SANA ILA CHAKULA KITAMU!!!!!!!
    RIP BOB.

  • @sylvanosilver3898
    @sylvanosilver3898 5 ปีที่แล้ว +9

    bonge mojaaa la stori ,,kama nawe umeikubaliiii hii stori na sauti ya mtangazaji gonga Like mpendwa

  • @zephaniahkinuno7473
    @zephaniahkinuno7473 5 ปีที่แล้ว +30

    Hahahahahaaa!!,, eti wengine tukifa tunazikwa haraka haraka ili watu waendelee na kazi zingine....hahahahaha kama nauona ukweli vilee hahahaha

  • @onlinetzmedia
    @onlinetzmedia 5 ปีที่แล้ว +11

    Alisee icho kibeat cha mwanzo ni hatariii icho kama cha kuhuzunishaaa safi sana sauti nzuri editings nzuriii nmeiangalia hii video mara ya tatu sasa 👏👏👏

  • @mawaidhatv8557
    @mawaidhatv8557 5 ปีที่แล้ว +309

    Leo nimekuwa wakwnza like pls

    • @jumayahaya4910
      @jumayahaya4910 5 ปีที่แล้ว

      Kwer kabxa

    • @rojawatanga7710
      @rojawatanga7710 5 ปีที่แล้ว

      Mawaidha Tv konk

    • @chachaomary859
      @chachaomary859 5 ปีที่แล้ว +1

      Mawaidha Tv chacha

    • @mackraptaila3153
      @mackraptaila3153 5 ปีที่แล้ว +1

      𝙺𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚕𝚒𝚔𝚎 𝚞𝚗𝚊𝚙𝚎𝚕𝚎𝚔𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒

    • @elishachenya6580
      @elishachenya6580 4 ปีที่แล้ว

      @@jumayahaya4910 pr br

  • @jamalalli5355
    @jamalalli5355 5 ปีที่แล้ว +77

    Huyujamaa kala life kama unamkubal like hapa

  • @kimaniwanyoike3965
    @kimaniwanyoike3965 2 ปีที่แล้ว +7

    thanks abdalla for this narration......watching from Kasarani Kenya

  • @zainabubakari3630
    @zainabubakari3630 4 ปีที่แล้ว +3

    Yaani nikisikiliza stori ya Bob Marley nachanganyikiwa sana maana ninajikuta km ndio mm japo sikupitia magumu sana km ya Bob Marley

  • @muhamadharun9432
    @muhamadharun9432 4 ปีที่แล้ว +10

    Huyu legend ataishi milele R.I.P BOB MARLEY💪👊

    • @cadbreezy4585
      @cadbreezy4585 3 ปีที่แล้ว +2

      Nigaaaa

    • @gjnbc2840
      @gjnbc2840 2 ปีที่แล้ว +3

      Ama kweli nampenda sana BOB MARLEY ata nikizaaga mtoto wangu ndamwitaga BOB MARLEY❤️

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA 5 ปีที่แล้ว +17

    Taff Gong King Of Reggae Music.....Rastafarai.......My secret LOVE

  • @kahindikombe9129
    @kahindikombe9129 2 ปีที่แล้ว +9

    Jah keep blessings rastafari Bob marley still a live in heart of rastafari who see millions mails away 🙏 jah love

  • @charzndembo8899
    @charzndembo8899 4 ปีที่แล้ว +24

    your voice makes story hotter, big up

  • @josephsamuel1073
    @josephsamuel1073 5 ปีที่แล้ว +90

    wa Africa tunaweza sanaa....Am.proud to Africanist ......God bless us and be with us..√√√√√√

  • @macyagervr5888
    @macyagervr5888 5 ปีที่แล้ว +20

    Talented people always die Young

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 5 ปีที่แล้ว +42

    Mtulete na story ya lucky dube

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 5 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana nmependa history ya Bob mumesimulia vizur Sana.. Tunaomba story ya 2pac Shakur tafadhali

  • @druumarley2159
    @druumarley2159 5 ปีที่แล้ว +237

    Bangi haimfany mtu asioge au awe mwizii izo ni tabia za mtuu...

  • @jifunzelughanapatrice5966
    @jifunzelughanapatrice5966 5 ปีที่แล้ว +14

    Simulizi nzuri sana kaka. One love

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 ปีที่แล้ว +13

    Tunaomba na ya 2pac aise

  • @ephantusmutharimi764
    @ephantusmutharimi764 3 ปีที่แล้ว +5

    Rest in peace our dad pole mwenye atalike 1000 atapata

  • @TonyMureithi
    @TonyMureithi 5 ปีที่แล้ว +13

    mtiga, masimulizi yako ni mazuri kabisa. Asante Sana!!

  • @ericmutwiri2522
    @ericmutwiri2522 3 ปีที่แล้ว +3

    Haaaaaaa vipi Abdallah we shujaa wa kutangaza haya makala. Napendezwa flow yako . Hongera💪

  • @mumbayeashata993
    @mumbayeashata993 5 ปีที่แล้ว +25

    Story kama hizi zimaweza kufanya Ulaya hata usiishi, Mzungu sio mtu Mzuri, wacha nikichange nirudi kitaani

  • @kipengeletvkipengeletv5788
    @kipengeletvkipengeletv5788 5 ปีที่แล้ว +16

    gonga like Kama unawakubali wasanii WA league

  • @tonythadei9608
    @tonythadei9608 5 ปีที่แล้ว +76

    Ira ww MTIGA unanikoshaga yani WASAFI Good sana

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 5 ปีที่แล้ว +6

    Ahsante Ee Jeah kwa zawadi hii ya Mwana Fasihi bora Bob Nester Marley kwa kutumia jukwa LA mziki kutujuza ukweli wako na UPENDO wako kwa Binadamu.

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 4 ปีที่แล้ว +6

    Hii mambo ya majina naona mtu akimpenda familoa yake dada au kaka. Mimi niliyaona nilipo njifungua mimi na mume wangu tulipanga tuite mtoto.jina fulani ila mume wangu nilipo tu jifungua kesho yake aliamka asubui sana aka eda kumpeleka clinical mwenywe kama sijui aka mwita jina la mama yake abalo tulishauriana tumwiti aka mwita lengi la dada yake na nyanya yake yote mume wangu mtoto wangu ana majina matatu rasim kwa cheti cha kuzaliwa na la baba yake sasa uko uniuliza mlikua amzaitena mkaona mwite mtoto majina yote ya familia lakini na mume wangu hakumaliza mika miwili aka fariki kama alijua hatawai zaha tena mtoto mwengine akahacha mtoto m moja na majina yaote ya uko

  • @fefenailsandmakeup1353
    @fefenailsandmakeup1353 4 ปีที่แล้ว +1

    Sio kila zawadi ni zawadi, rafiki anaweza kua adui...unapewa kiatu kumbe ndo wanakuua..Rip bob

  • @lightnessshayo1783
    @lightnessshayo1783 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamaniii wanadamu tuna roho ngumuu kusababisha mwenzio augue cancer adi afe ili wewe upate faida gani yaaani daaaaah inaumaa sanaaaaa ,R.I.P Bob marlay hakika kwa yote uliyoyafanyaa M Mungu atakulipiaa tu

  • @paulmuchoki446
    @paulmuchoki446 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hio handithii yafanya hata irie kwahuzuni kwahio thulma Bob arifanyiwa wario muua warimbeba thabi zake kwahivo Bob ataurithi ufalme wabinginii kwaheri Bob tuonanatena huko paradiso kwamungu wetuu Rip Bob Marley The King

  • @lupandesimukindje8170
    @lupandesimukindje8170 5 ปีที่แล้ว +41

    Duh Story Inatia Huzuni Na Huruma Sana. Repose En Paix . Que Dieu Reçoive Ton âme

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 ปีที่แล้ว +8

    RIP .... kabla hujafa Ulisema your music will grow bigger bigger and bigger to reach the right people as it got bigger......nakweli watu wanaupush automatically ....kwel ulikuwa mtabiri mzuri japo uliwahi kusema "you can't be a predictor' hahahaaaaaa

    • @emanuelgerad5927
      @emanuelgerad5927 5 ปีที่แล้ว +1

      dah kwel dunia uchsfu makaz mbingun

  • @ramamanyama2944
    @ramamanyama2944 5 ปีที่แล้ว +110

    Oi wngp huwa ni wagumu wa kuelewa lkn uyu jamaa tunamuelewa zaid gonga like hapa tujuane

    • @robertmainya5452
      @robertmainya5452 4 ปีที่แล้ว

      To hell this is what has spoiled our children, rest for ever birari devil

  • @annewachira4317
    @annewachira4317 4 ปีที่แล้ว +3

    Mtiga Abdalla ...Upo Saaaaaaana!🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @charitekato6283
    @charitekato6283 5 ปีที่แล้ว +5

    Historia huu umenifanya nilie nasikitika sana sisi wamaskini tunadharauliwa sana duniani nzima i love TZ from USA but Congolese

  • @tygatooraww6543
    @tygatooraww6543 3 ปีที่แล้ว +1

    Bob Marley Aka Tough Gong Marley Ni Zaidi

  • @lucianjr6807
    @lucianjr6807 5 ปีที่แล้ว +148

    Ati kwetu jua kali linafanya bangi ichemshe ubongo.. 😂

  • @hazzes
    @hazzes 3 ปีที่แล้ว +7

    Nimesikiliza story nzima na data zangu mmepata, kwa ushauri tu angalieni vizuri historia ya Bob Marley maana maisha ya Bob Marley huwezi kuyazungumzia bila ya Peter Tosh , peter Tosh ndio MTU aliemfanya Bob Marley kuwika na kua maarufu sana dunia kwa hiyo story haijakamilika bila Tosh na Bunny wailers!

    • @alexbeda151
      @alexbeda151 2 ปีที่แล้ว

      Real 👍👍👍👍👍

  • @thomastairo2021
    @thomastairo2021 5 ปีที่แล้ว +76

    Eti Fid Q aitwe Asha😂 ngosha akikuskia😂

    • @bonita329
      @bonita329 4 ปีที่แล้ว +3

      ndio tulivyokuwa tunamuita shule faridi bi asha .mwenyewe alikuwa akipenda sijui utoto 😄😄😄😂😂🤣

    • @phayphay8471
      @phayphay8471 4 ปีที่แล้ว

      Asha wapo wengi Jamaica majina ya kiume

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 5 ปีที่แล้ว +72

    Bob Marley alikuwa handsome jamaniii.... Km ningekuwepo enzi hzo ningemdangia mpka nimpate😘😋😋

  • @vancyhb5777
    @vancyhb5777 5 ปีที่แล้ว +196

    Huyu jamaa hii nyimbo ya No Woman No Cry alifikiria mbali sana rest in peace legend 🙏

    • @henrymwanuke4796
      @henrymwanuke4796 4 ปีที่แล้ว +7

      😭

    • @tylerjeff_ke3256
      @tylerjeff_ke3256 4 ปีที่แล้ว +4

      Henry Mwanuke

    • @hawaally7974
      @hawaally7974 4 ปีที่แล้ว +4

      No woman no cry......ooh little darling.. dont shed no tears

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 4 ปีที่แล้ว +7

      Unajua anachomaanisha lkn ...?
      "No woman no cry "NI kingereza Cha mtaani ambapo anamaanisha "woman don't cry " (mama usilie) .,....... Don't shed no tears maana yake dont shed tear ( usidondoshe machozi).... 😂😂😂 Inaitwa [double negiation]
      So hii nyimbo according to bob himself, anasema alikwenda kwa mshkaji wake ghetto, alikuta mshkaji wake yupo ndani alafu mlangoni kunakibint kidigo kinalilia kuingia ghetto kulipopigwa guitar alipokuwepo yule mshkaji, so bob akakashika mkono akaingia nako ndani, yule mshkaji akasema kanafujo kaache kaende nje, bob akasema katanyamaza acha kakae humu ndani, then akaanza kukabembereza kama mama anapombembereza mtoto asinzie.... Ndio nyimbo aliyoitunga hapo haraka ajiri ya yule mtoto anyamaze ni no woman no cry..... Idea ikawa nzuri, ikabidi aitengeneze nyimbo ambayo itatumika ajiri ya kuwanyamazisha wanawake wanaolia kote jamaica, kwabahati mbaya au nzuri, nyimbo hiyo ikawa ndio nyimbo ya kwanza kumtambulisha Bob internationally 😀😀😀

    • @benardnyabende2387
      @benardnyabende2387 4 ปีที่แล้ว +3

      Thanks Jah.

  • @chriskoech4993
    @chriskoech4993 2 ปีที่แล้ว +1

    Bob marley wewe ni legend

  • @darasahuruinfo4002
    @darasahuruinfo4002 5 ปีที่แล้ว +111

    like zote hap za mtangzajiiii 👍

  • @albrightmasese9790
    @albrightmasese9790 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakuletea soda Tanzania kwa kazi nzuri big up brother

  • @shukrankalugo1472
    @shukrankalugo1472 5 ปีที่แล้ว +14

    Waafrica adui zetu ni wazungu.

  • @Chekanamimi_
    @Chekanamimi_ 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwenye rasta hatuna Rastafarianism rastafari ni rastafari ukiweka nism inakuwa babilonic

  • @khadijaomar3299
    @khadijaomar3299 5 ปีที่แล้ว +87

    Napenda kuskiza nyimbo zake na kueka prf zake watu hua wananiuliza navuta bangi 😢

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 5 ปีที่แล้ว +54

    Money can't buy Love so heartbreaking R.I.P Bob Marley

  • @essauhoza3790
    @essauhoza3790 4 ปีที่แล้ว +5

    Zaburi 104 mstari 14 tuvute bangi duuuu!!!! ,

  • @williamalex4792
    @williamalex4792 5 ปีที่แล้ว +46

    Samahani ningependa kujua jarida hili lina rushwa kila juma ngapi

  • @mugishaclaude7020
    @mugishaclaude7020 5 ปีที่แล้ว +25

    Duh imenitooch kinoma vile

    • @hajisudi9113
      @hajisudi9113 5 ปีที่แล้ว

      Mugisha Claude Ni shujaa waki Afrika

    • @mugishaclaude7020
      @mugishaclaude7020 5 ปีที่แล้ว

      Kabisa yan afu hawa wuzungu sio watu wazuri kabisa

  • @mosestanzania2096
    @mosestanzania2096 5 ปีที่แล้ว +32

    Nakubali sana unacho kifanya kaka ombi tunaomba ya 2pac

  • @hamzarashid9705
    @hamzarashid9705 5 ปีที่แล้ว +20

    Leo nime enjoy na the story book

  • @giftkomba3724
    @giftkomba3724 5 ปีที่แล้ว +6

    Umejua kunifurahisha . one love Bob Marley

  • @froliananiceth8978
    @froliananiceth8978 5 ปีที่แล้ว +61

    Please chagua Kati ya jmos ama jpili ndo kuwe na kpnd kmoja

  • @zulfaabdallah4574
    @zulfaabdallah4574 4 ปีที่แล้ว +4

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭daaah inasikitisha Sana rip Bob Marley msema kweli😭

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 ปีที่แล้ว +41

    His music still leaves on... The legendary... RIP Bob

  • @hanifakimaro2179
    @hanifakimaro2179 5 ปีที่แล้ว +15

    R.I.P Bob Marley 😭😭😭

  • @benedictsumaili
    @benedictsumaili 5 ปีที่แล้ว +36

    Gonga like hapa kama ulikuwa na mkubali Lucky Dude Liquor
    Tafadhali tukutane kwenye gonga like au kwenye Comments pia pongezi kwa mtangazaji

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 5 ปีที่แล้ว +9

    dah! 😭😭😭 R.I.P legend inaumiza sana jamani.

  • @xaverysunday1886
    @xaverysunday1886 5 ปีที่แล้ว +49

    TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN OIOIOI OIOI KAMA WW NI TEAM BOB GONGA LIKE 2SEPE NA KIJIJIII

  • @wangash6144
    @wangash6144 5 ปีที่แล้ว +8

    Redemption song iko na messege mzito sana

  • @deearacemarg450
    @deearacemarg450 ปีที่แล้ว +5

    I love the way you narrate the story.Well done

  • @elitegeneration1613
    @elitegeneration1613 5 ปีที่แล้ว +9

    white men dont have permanent frnds lather than permanent interests🤔

  • @zweramore8324
    @zweramore8324 5 ปีที่แล้ว +12

    bob aliwah kwenda kusoma marekani hukusema,bob aliishi marekani hukusema na mpaka bob anakufa alikuwa yupo safarini akitokea germany kwenye matibabu akiwa anarudi USA ambapo ndo alikuwa anaishi kwa kipindi hiko pia hukusema...VITU VINGI VYA MSINGI HUKUTUAMBIA..

    • @gilbertjackson55
      @gilbertjackson55 5 ปีที่แล้ว +1

      Kwle asee

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 4 ปีที่แล้ว

      Huyu mbongo , anajua KICHWA Cha habari TU stori anatunga mwenyewe.... Hajaongelea vitu vya msingi kbsa .....sijui Kama anajua Bob , tosh na bunny walitengana kwa sababu ya bob kusndikisha wanawake watatu "I-three'' ktk kundi Kama back vocalists .....wana walitaka kundi libaki wanaume TU Kama mirambo sec......hahahaaaa

  • @yusuphmohammad1385
    @yusuphmohammad1385 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni baba angu mm yaani uananifanya kulia bila kupigwa na anaemfanananisha bob na dube ni sawa na kufananisha pilau na uji wa mchele

  • @drfocus7303
    @drfocus7303 5 ปีที่แล้ว +92

    _nakubali sana story zako ww jamaa uwa unatoa story za mana sana kuliko chanel zingine_

  • @babunizer
    @babunizer 5 ปีที่แล้ว +71

    Much Love From Kenya.Bob Is King!Tanzania Is The Best.

  • @mimizlove6992
    @mimizlove6992 5 ปีที่แล้ว +47

    Tujuane apa tulio enjoy story hii na utashi wa mtangazaji huyu💯

  • @Levi9035
    @Levi9035 5 ปีที่แล้ว +5

    🙄Ivi mnaoomba likes kwenye comment zenu mnieleze likes zinasaidia nini au mlike na comment yangu naweza nikaamuka kesho na hela za likes👌🐎😂😂😂

  • @mudimaarifa9394
    @mudimaarifa9394 5 ปีที่แล้ว +4

    Dah iyo stor bro iko good kwa mwenye moyo wakutafuta lazima utoke chozi🤦🏽‍♂️😭😭😭😭

  • @josephkimaro9300
    @josephkimaro9300 ปีที่แล้ว +1

    Who watching 2023 by Joseph dragon