MAWIFI WAVURUGA KITCHENPARTY YA WIFI YAO KISA STATUS ZA WHATSAPP/ACHAMBWA KWA KIGOMA CHA URUGWAI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Tukio hili lilitokea Kigogo jijini Dar es salaam ambapo mawifi waliamua kuharibu shughuli ya wifi yao yani Mke wa kaka yao kwa kuandaa shughuli yao ya kigoma cha urugwai na kumchamba wifi siku hiyohiyo ya Kitchenparty ya wifi yao.Sababu ya yote hayo inadaiwa wifi huyo aliwachamba wifi zake kupitia status za whatsapp.Lakini hilo pia halikuzuia wifoi huyo kufanya shughuli yake ya Kitchenparty.Tizama hapa kisa kizima
#Hekaheka #Geahhabibu #GeahTv
kama unasoma comments na kuangalia huu ujinga huku unacheka nipe like
miyeyusho tv 😂😂😂😂😂😂😂Yaniii
Hahaaaaaa kwakel huu ujinga
miyeyusho tv
Jmn
miyeyusho tv hahahahaa
Any Kenyan here 😂😂😂😂🙊🙊🙊 eeh ndo maana waume zao waja Kuowa Kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Niko apa✋
Balaa
Ushasema dada
Kabsa wadaa umbea tu
Wakenya tunaheshima zetu sio hawa walio jipara wakaa kma utumbo wa pweza 😂😂😂😂😂
Kwamba uswahilini huwa hamna stress, yani nyie mnavuruga tu mtu akikuletea zogo mnavuruga tu 😂😂😂nimeipenda hiyo...😍
Mmmmmmmh ndo maana ctaki kuwajua mawifi namjua mme tuu
Kwa hali hii ndio maana wanawake tuko wengi Motoni Allah atuongoze yarab
kucheza kwa kujimanua ivo izo uchi safi msijekuwa waumiza watu pua na sura kama mmepaka udogo wa uchindile
Inalillah waina ilaihi rajiun
uswahili kazi jamn kha ela siangefanyia maendeleo jmn
Duh wote matope.mana kwanza akili zao nadhani zimepungua. Yani wanamuonea wivu tu. Umeona walivyo wamepotea sana
Trending 1 imeangaliwa balaaa
Kama unaamini hao mawifi hawajaolewa kwahiyo huo ni wivu gonga laik twende sawa... kaulimbiu tokomeza wivu.
Saaana my
Nikweli kabisa hawajaolewa
Kabisaa
Iyo ni laana ya mke mkubwa km umemfatiria geah uyo bwana harusi ana mke tayari .kilicho fanyika hapo aho mawifi walimkuwadia kakao uyo shoga Yao. Shoga alivyo mnasa kaka mtu ushoga kwa bi mdada ukapungua na kumzibiti kaka wifi roho juu 😂😂😂😂mke mkubwa anachekaje
Tokomeza wivu.
Kama una hamu ya kujua status zenyewe zilikua zimeandikwaje gonga like
Niwivut kama unaamn mawifi waachisha ndoa zawat tujuane.🙏🙏🙏😂😂😂😂
walewenzangu n Mimi wa kusoma comment gonga n like hp
Hii yote huletwa na kutokumjua mungu na elimu pungufu ahsanteni
Jude Sammy you're right
Fact
Kwa kweli. Duh...!
Umenena sana
Kabisa ndugu
kama umeamini pombe si chai gonga like
Abdulfatah Juma wazalamu munakelasana
Abdulfatah Juma loioe
Saphia Ramadhani loioe
Amina Selemani hahaha Wazaramu sie hatuna jema
jamn
May Allah forgive you all n show you the ryt path ameen
Hawajamdhalilisha biharusi wamejidhalilisha wenyewe na upuuzi wao na hao ma mama watu wazima ovyoo hawana hawanani wakiulizwa hawaungani bora nikose Mali nipate akili duh ujinga mzigo ulimbukeni kazi
mnnnnnnh
Allah aniepush mashog kam hawa yarab
Ni roho mbaya tuu alishindwa kumtafuta mpaka amuaribie.Wanawake tutafute pesa tuachane na ujinga
Vivian Chawe muvi ya gabo
Kabisa
Vivian Chawe
Vivian Chawe swadakta
Yani jamani mawifi muwe naroho ya mungu nnahila kama nn kanipenda mwenyew vifu wa nn bs njooeni muolew nyie kama bafaidi sana
Mm napita tu kusoma coment km tupo pamoja gonga like twende sawa
Pamoja sana
Tusomeni dini nduguzangu. Hii Dunia tunapitia tu akhera ndiko makazi
kabsa asee
Kweli kabisa ndugu yangu, mwenye mungu akuongoze njia iliyo nyoka
Allah awaongoze coz hawajui watendalo
@@mariamuadam732 11qqq1100p1
@ZAWADI Dadzie hilo lilishasemwa kwenye hadithi wanawake ndiyo wa kwanza kwenda motoni
"The only weapon that can destroy a world is Education"
Ngoja niendelee kumsimamia mwanangu asome ili aondokane na huu ujinga kwa uwezo wa Muumba.
Daah....wachafu..sura hazina haya..ndio matokea ya kukosa kazi za kufanya..hapo kesho hata mbuni ya kuanzia kesho hawana.
We hujamsikia mmoja akisema muuza miguu ya kuku
😂😂
lol
@@bjzee1981 ahahaha 😂😂😂
Wenzangu #tokomeza wivu mko wapi jmn mgonge like zenu! Jaman tumkumbuke Mungu ndugu zangu haya yote ni mapito tuu
huyo mwenye msauti kama sufuria inakwaruzwa angejiona angejichamba mwenyewe Kwanza,watu wenyewe mikorogo imedunda waswahili bwana wamekosa kazi
Haaaaaaaa kabisa mikorogo imedunda haaaaaaaaaa
Haziwatoshi
mmejikoboa mkorogo imedunda hamna lolote
😆😆😆😆😆
Hhahaa
Biharusi aliempamba mungu anamuona akingia MBINGUNI naandamana sio kwakumpaka unga mwenzie
Lol! Mungu aniepushie mawifi km hawa
Kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama unaamini wifi anataka kutombwa na kaka yake gonga like hapa tujuane
Mawifi wameumbuka ni wivu tu unawasumbua 🤣🤣🤣🤣 walijua mwenzao hatopata watu, hatopata vitu sherehe haitofana kumpiga chura teke ni sawa na kumuongezea mwendo usikute mwenzao alijiandikia tu wao wakajishtukia mazero brain 😂😂
Mawifi km hawa wakija kwangu nawapikia chakula na pilipili tele
Tabia mbaya watu wazima hata haya hamna
wanaongea hao
Hawa mawifi nyumbu wa manyala , wanautindio wa ubongo,wanawaz kupga felf tu
AlAfu bora awakwenda wange aribu shuguli kulikua na watu na heshima zao
Makeup ya bi harusii hta bure c pakiii nikalalia🤣🤣🤣 mawifii nao mikorogo imedundaaa jmniii 😂😂😂😂 tafraniii tuu
Zena malela Hahaha nimecheka full mikorogo
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli mwenzangu
Judy sammy ubarikiwwwe hahaa
Bora serikali ilihamia Dodoma
Dar wamemwaachia Wazaramu wenye mji wao 😅😅😅😅
Saba Simba 😂😂😂😂😃😃😃
Saba Simba 😂😂😂😂😂😂
Umesema kweli
Unadhani hao wote wazaramo
Saba Simba 😀😀😀😀
Kheri ugeuze akili yako kua kamusi ya muongozo wa maisha yako...Mungu tetea kaka zangu wapate wake wema na sio kama hao
Mkorogo pia umewachanganya akili😂
iron lady
Hahahaha
Tru
iron lady mambo vipi
@@alaminabdallah8539 Poa
Hawa kweli wanajua Mungu na siku ya mwisho
Inna lillah wainailayhi rajion 😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪
Mungu Wang nisamehe ila hawa wamama n wachafu kila kitu tabia sura zao hao n wamama wa bar mwezie kaolewa shida nn
Ameena Alebri haswaaaa
Wachafu mpaka tabia
Wamejichubua kama nini sura zao mbaya
Atareeeh
Doh jamani wivu mbaya!! Ila makeup ya bi harusi hapana kwakweli
😂😂😂
Royce Katera mambo
Kweli Dar nimeamini ni ya Wazaramo! Wanaume wa Dar kwa wanawake hawa hakika wanapata tabu sana.
Loooh wanamidomo mirefu kama mikundu ya kuku msiyuuuuu....wanawake sie tunaroho mbaya sana ni wivu tuuu
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Aliye mpodoa bi harusi mbinguni atapaskiya kwangu😁😁😁😁😁
Hahahaha
😂😂
😂😂
Hahaaaaa
😂😂😂😂
Uswahilin hakuna wife material kwakwel wote mbona Ni Kama Malaya tu
😁😁
Subhanah Allkah
Watu wazima hovyo.Yote sababu ya kutomuhofu Mungu na kukosa la kufanya.
#Ni hovyo
Mambo YA kiswazi hayo. Ndugu wa mume ni wa kuishi nao kwa hekima sana Infact hapaswi kufanywa marafiki
Hakika ndg wamme hawana urafiki
Mi kweli kabisa huna undugu na sisi unajali tu wakwenu
Misungo hao atavitabu hawajui kusomba
Ndugu wa mume wanafikiri ulikotoka ni shida zilikutoa sijui hawa mbwa wapoje
Kikubwa ninachojiuliza pesa zinatoka wapi za kufanya haya yote na wanalalamika maisha magum? Mungu wafungue macho waja wako
Zuhura Mwalimu Shabani wanaangamia kwa kukosa maarifa
@@husnajohn7466 kweli
Zuhura Mwalimu Shabani jnapajua uswazi vizur weye au wapasikia...? Mtu yupo radhi alale njaa kwake lakin akapate kijora cha shughuli!
Mi mwenyewe najiulizaga sana
Wamefungwa ufahamu hhh
Geah nakupenda... Dada
mmmhhh!!! mbona ASHURA kazi anayo!!
😂😂😂
Costancia Peter Ashura maji ataita mma , kachokoza wakali wa hizi kazi , wamekodi kigoma kumchamba Ashura tu , uswahilini hakuna stress .
Chuma kobeko kaishiwa maneno uwiiiii dunia si mbaya
mambo hayooo
Yaan kama Wanalipwa upumbav m2pu
🤣🤣🤣🤣
Mmmh nilikuwa nasikiaga tuu kumbe hayo mambo yapo aiseee kosa vyote ila sio akili
kabisaaaa
Waislam haooi
Vidume wenzangu Kuoa uswahilini ni hatari kwa afya yako.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kinga ni bora kulko tiba
Pwahahahahaahahaah 254
Vijembe vimezua balaa!
izi pesa wangepeleka watoto shule
Dah wanawake wa Tanzania tujitahin kutulia bas ili tupate heshima ktk mataifa mbalmbal jamn ndyo maana Tanzania hatuendle I hv nyiee huwo mda mngeutumia kufanya kaz kuleta uchumi wa Nchi tungelalamika kwel maisha magumu hlf ooh hamna wanaume wa kuoaa mambo yenyew hvyo mhhh Allah tusitir ss wanawake na wasichana wa Tanzania roho inauma Sana dah
Aliyempaka make up bi harusi mungu anamuona
INNA LILLAHI WAINA ILAYHI RAJIUNI NDO SABABU TUNAAMBIWA WANAWAKE WANGI TUTAINGIA MOTONI NA HAKIKA KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI NA HAKITOMFAA MTU SIO WATOTO WALA MALI ZAKE WALA SI NYINYI MARAFIKI ZAKE ISPOKUWA LITALO MFAA YEYE NI AMALI ZAKE NJEMA HAKIKA FANYA UFANYA NA TENDA UTENDALO HAKIKA UTALIPWA KUTOKAKA NA MATENDO YAKO YAA ALLAH TUJAALIE MWSHO MWEMA NA UTUEPUSHE NA ADHABU YA KABUNI
Status tyu yote hayo yametokea, huo mji anakwenda kuishije hapa Sasa naanza kuamini kua yesu kweli anarud Kisha Anza safar
Najiulizaga hv hawa wanawake waswahil hv wanaume zao wakoje jmn,maana me navyomuona mume Wang alivyo hapendi uswahil nadhan hapo meno ya sebulen nisingekuwa nayo looh uswahilin shida
Jaman tubaki huku mikoan kwetu😂😂😂😂😂😂😂😂
ha ha ha,sisi mbona tunaishi nao kitaa,lakn tunaangalia tu yaliyo tuleteta mjini
Geah cha Umbea mamina mmh Dada hapitwi huyo duuh Kaz unayo japo unatupa raha mwenyewe nikiwa cna Kaz nakuja kwenye channel yako nione kuna jipya gan LA mtaa
siye tusiye kuwa na vibanda vya urithi tunacoment wap
Grace Chiledi hahaha
Grace Chiledi 😘
0678340043 nichek tsup
Grace Chiledi hello namba zako mrembo
Punguz sauti jmn we dada
mungu ninusuru muda huu bora nikafanye ibada kwa nini wamama tusibadilike
Mtihani
@@salmaalimusa547 kabisa salma
Allah atunusuru kwakweli sheitwani mbaya.
@@aishamrsmkunga2143 yani we acha tu ndugu watu tunasubili kiama wakati matendo yetu ndo kiama
Tuombe toba M/Mungu atunusuri
Kumlekebisha mtu nikumchamba, jaman yan mimama mikubwa af ishazeeka jaman Kaz kunywa mapombea kucheza uchi aiseee akuna watu hpo
Waah am Kenyan but this Swahili is too deep for me.
🤣🤣🤣
ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE
makubwa uswahilin kam unasoma koment kam mm gonga like😁😂
Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake 😭
Ashura Maharage 😃😃😃 utapata tabu sana.
Allah amstir Ashura inshaAllah,nawote waskilizane tuwe na mwisho mwema💕
Mawifi mnashida yani mbona tusiweke statas yakufurahisha roho
Sadia Abed mawifi yaan watapata tabu sana
Yaan hao wadada hawana hata aibu sura zimewakomaa kama dafu la 200 wadada hatupendani hata kidg wivu umetujaa mbona wakaka hawako hivyo
Yaan hao wadada hawana hata aibu sura zimewakomaa kama dafu la 200 wadada hatupendani hata kidg wivu umetujaa mbona wakaka hawako hivyo
Mikorogo kama yoteeee
Mungu niepushie mawifi kama hawa Inshallah
HIYO NI MEKP?AU BLUUBAND?
Hahaha!
Teresea Masawe duuuuuuu hatarrr
😃😃😃😃😃
jaman embu tumuogope mungu, sasa mwez mtukufu mambo hayo ya nn embu tusomeni dini
Siku zote yatupasa tutende yaliyo mema mbele za Mwenyezi Mungu na si kusubiri mwezi mtukufu tu peke yake.
@@tibekabaka8127 swadakt
ZAHARA MSAFIRI kila mwezi mtukufu
Ivi pesa zao znakua azina kaz jmn kaaah
Me mbona mzaramo na mndengeleko lkn mbona sipo ivyo jmn khaa 🤔🤔
Salhat Karimu hawajitambui Hawa tuwaache
Salhat Karimu acheni bangi
Salhat Karimu
Ata mama zangu ni wazaramu na wandengereko lakini mbona hawapo ivo
Na ukichunguza kimakini utakuta ao sio wazaramu ni wahamiaji tu wa Dar watu tuna uzaramu lakini hata kigodoro hatujawai cheza na shule tumeenda na maendeleo tumefanya mengi hatuendekezi ngoma
Bi harusi kama chid benz jaman au macho yangu yanaona vibaya 😂😂
Aweee kwelii 😂 nimecheka hadi bac 🙌
Namkubar gwajima tyu maana yeye hapendagi ujinga huo
Wee Ashura maharage 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
hahaha Wuwii
Illiteracy is a disease ...masomo ni muhimu..
Uliyempaka Bi harusi make-up mungu anakuona 🙂
😂😂😂😂😂
@@mmajonnhykenya5034 😆
Asante Yesu kwa kuzaliwa Moshi....woi Ngachokaaaa.....
Hahahaaa kwaaadeee kyoo
Watakatika viuono kwa hasira . Kina mange kimambi ni wengi 😂😂
😂😂😂
Moto unawasubir nyie wajinga san pumzi hizo ndo mnaringia subkhan llah
Moto unawasubiri kesho jehannamu nyie punda
Kuliko ukutane na mawifi kama hawa kaaa kwenu tu
@@catherineshirima3906 😁😁😁kabisaaaa
Kigogo Mburahati moja hyoooo 👌👌👌👌👌👌......
Ashuraaa eeee.... Huna pambe bibieeee 🤣🤣🤣...
Mm mzaramo lkn kwa ujinga huu wala sisapoti, pumbavu zao, ujinga mtupu
Roho mbaya tu hamjaolewa ndo maana mnapayuka
@@brayborahamisi9571 koma, ovyoo, ndo nyie mnaoendekeza dunia kuliko matendo ya mungu, sasa hapo kulikua na aja gani ya kuyaweka mtandaoni na kumdhihaki mwenzi wao, ww ndo unaepayuka usiejielewa
Huyo Ashura munamuonea wivu tu. Mwenzenu kaolewa nyie mnacheza ngoma na kunywa mabia fyuuuu
huhuhu namm naona status tu imewashtua roho
Huyu biharus konki fireee Sio Kwa makeup Hyo 😂😂😂😂
😂😂😂uswahilini kuna mambo
Acha tu 😂😂😂😂😂
Dia Matunu hahahahahahahah
Yani sura mbaya dawa yake makeup ila hii imegoma kupambika
😂😂😂😂
Kama wanaona Kaka Yao anafaidi basi waolewe wao😋😋😋😋😋
Nimeuza miguuu ya kuku ninunue sare!!! Khaaaaaaaa ufwalaaaaaaaa huo, kicheza uchiuchi
wAmekosa dini
Diamond Platnumz kamtaja mrithi wa Rich Mavoco WCB,Huyu hapa gusa link th-cam.com/video/ydmw6b3R-p8/w-d-xo.html
Wauswazi oyeeee Ashura maharage pole mwaya😂😂😂😂😂
Cwtt Nana hhhhhhhh
Dah! Iyo
Kali
Angalia jilivyojichubua ,rais wetu zuia basi mkologo tuwajue walembo hewa
Cwtt Nana umeona eeh uyo queen anajishaua mijino ileee
Ahhahahahaahahhaahhaahahah
Bora hizo pesa zakulipa watuy angepelekea watt yatim mungu wangu dunia imeisha sai mda wakujenga akhera yetu watuy wengine wana khagaika na dun8a mungu tusamehe wallah
Duh vituko uswahilini , mjini sikutaki kamwe wacha tu niendelee kulima huku kwetu kijijini
Farida Mkesso
Mimi nimeona ajabu kuyaona haya binadamu wanakoseyana na wanasehemeyana hiyo ndiyo dini na ndiyo ni tabiya nzuri kusameheyana na urafiki unazidi kuwa mzuri sisi ni binadamu ni kawaida kukoseya na kusameheyana kuna watu wanakufa na njaa na nyinyi munachezeya pesa kwa kumfurahisha shetani mungu awaongoze UAE
@@serbash4212 kweli kabisa usemayo binadamu tunajisahau sana , Mwenyezi Mungu atuepushe na kila balaa atujaalie mioyo ya upendo
Nilikuja mgeni na sasa nimeshazoea maisha ya uswahilini naitwa mama mangi jamani from Kilimanjaro
@@gloryavelin2583 Mama Mangi nikija mjini kushangaa nitakutafuta maana mie pia ni wa Arusha , ila kwa sasa niko Brussels Belgium
Inasikitisha sana kuona ss tunaoangalia huu upuuzi ,mbaka ikifika 2090 tutakua tumeshakufa ,
Tena mizoga kabsa
Mtihani sn kwetu tuliobahatika kubakiwa NA pumzi
mawifi uko na mabifu 😅😅😅😅😅😅 natakufa buree na bifu😈😈😈 wakenya ebu nipeni like zenu✋✋✋✋✋✋
Helimu duni ,na kutokumjuwa Mungu du hongereni. Uyo anaejifanya ndio waongeaji wakubwa sura zimewaparama kwa krimu .ni wivu tu umewajaa mwenzenu kupata hifathi
Janeth Bernady niwasungo
Hatariii
Misura ya mikorogo imekomaaaa
Vituko
Wanawake tunakwama wp??? Kwan mlishindwa kumfata mkakaa nae mkamkanya kuliko ayo mnayofanya so vizuri badiliken bhana status mbona watu wanaweka tu daaaah badilika bhana
Ukosefu wa elimu
Tunakwama kweny ktuo Cha wivu
Nikiwa na stress napenda kuicheki hii clip
Napenda mauno tu mengine nawaachia wenyewe. All the way from Kenya, MSA.
Luunda Moonhajj Luunda hahahahaha
😲😲Mume mtarajiwa popote ulipo nambie Dada ako mswahili😆😆😆😆😆hii hapana aseee
C dhani Kama kuna mtu Ana malinda, hapo kwenye hilo kundi
Hahahhahahhahahahahhahahaha