Hakuna mtihani unaozeoeleka Imani ndio ngunzo ya maisha kumwamini Allah na kumtegemea yeye ndo funguo ya maisha... usijutie kuzaliwa bali jivunie kuzaliwa no matter how your , sema Asante Mungu kwa kila jambo .
Jamani irene uwoya muoneni msanii mwenzenu anateseka sana kwa nn mnaenda kutupa pesa kwny starehe sizizo na faida mwenzenu anateseka msaidieni jamani mungu atawalipia na dhawabu mtazipata Kesho akhera kuliko starehe zisizo na faida
Pole sana baba yangu mungu yupo atakuponya, nanukuu msemo wa hayati Reginald mengi alisema hivi Kama umepoteza kiungo kimoja Cha mwili usililie like kilichopotea Bali jiulize hiki kilichobaki nitakifanyia Nini,? . hivyo Anza kufikirja namna ya kufanya kazi na huo mguu mmoja ulicbaki.mungu ni mwaninifu sana atakusaidia.
Mungu yupo nawe. Napenda sana mtu anayepata matatizo akasema hana wa kumlaumu. Kuliko mtu anaanza kurusha lawama kwa kila mtu..Maisha yetu ni wajibu wetu nimependa sana ulivopokea matokeo bila kurusha lawama kwa ndugu ama marafiki😍
Usijali Baba Mungu wetu ni mwaminifu sana....utakuwa sawa tu...Endelea kumtumainia Mungu...Yeye ndiye msaada tele wakati wa Mateso 🥰...Akupe Amani ya Moyo...umtumainie yeye pekeake....Itia Damu ya Yesu ikasafishe mfumo wako wa damu na kuua vimelea vyote vinavyochochea Kisukari
Mwezi wa pili jaman tulikuwa na safari tukashuka Geita kula sehemu tulokwenda kula kwa nje mlangoni alikaa huyu baba na vijana wawili, dada angu akasema oneni baba yao Banana Zoro tukasema sio mwenyewe ila kama huyu mtu sio mgeni tulikaa pale mda mrefu mana gari lilikuwa limeharibika pia kwahyo tukawa tumesubiri badae nikashangaa kuona anavuka barabara na kijana mmja huku anamguu mmoja tulisikitika ila hatukuwa na namna et leo ndo najua alikuwa ni Bambucha jamani Eeh Mwenyezi Mungu msaidie aweze pata msaada na umponye awe na matumaini tena, tusihukumu hatuijui kesho yetu, Nmeumia sana hasa nnapoona comment za watu, hamuwezi jua ni namna gani amepambana had kufika hapo kutokuwa na mke ya ngoswe mwachie ngoswe hujafa hujaumbika.
Kama unaangalia hii video na bado hujamkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako basi jifunze kupitia haya kwa Mr Bambucha, na ukimbilie sehemu salama kwa Kristo Yesu. Pia uweze kupokea ulinzi zaidi. Ni rahisi na niandikie chini hapo ili nikuongoze sala ya toba!
Daaaaaaah 😭😭😭😭 Alhamdulilah moyo umekosa nguvu ya kuvumilia mwenyezi mungu atakuafu alafu nachukia sana selikali ivi wanafanya nn jamani nachoka sana aseee
Serikali ina husika nini Sasa? Serikali inakujengea miundombinu ili huduma zipatikane kirahisi, Serikali imeleta bima ili kupunguza gharama pale mtu anapougua!! Ukilaumu Serikali kila kitu hata ukiwa na njaa utalaumu Serikali
Inaskitisha 😭 Allah akufanyie wepesi bambucha, kila apangalo Mungu hakuna binadamu anaeweza kulipangua, mitihani tuliumbiwa sisi binadamu cha muhimu ni kushkuru Mungu, asante milarda ayo kwa kutuletea habari hii bambucha 🇩🇴🇩🇴
Anahitaji saikolojist kwmba haupo peke yako na lazma maisha yasonge mbele baba polee sana badilisha mfumo wa kula kula vyakula ambavyo vitakujenga mwili poa
Pole sanaa umenikumbusha marehem baba angu alikatwa mkono wote Allah amrehem ila wasanii mkiwa na hela mnakula bata sanaa mpk kujisahau Allah atupe mwisho mwema sina maana mbaya Allah atakusaidia
Hao Bongo Movie ndiyo wamekugeuka, maana hata kama unamguu mmoja, unaweza kuwepo kwenye filamu yoyote ile. Maana vipengele ni vingi sana kwenye filamu.
Pole bambucha na ukae uswali kma kuna mambo ulikuwa unayafanya ambayo Allah hayapendi na ww ni muislamu uyaache umuombe Allah akufanyie wepes kwa kila jmbo
Nina mengi sana ya kusema kuhusiana na Mr Omar Babu (Bambucha) dhidi ya makosa yake kwani mungu anamuhukumu tena amuombe sana Mungu amsamehe, Omar Bambucha (BABU) unamkumbuka marehemu Nassir? Nikutakie siku njema na iwe pole kwako but muelekee mungu sana na ufanye istighfara.
Hakuna mtihani unaozeoeleka Imani ndio ngunzo ya maisha kumwamini Allah na kumtegemea yeye ndo funguo ya maisha...
usijutie kuzaliwa bali jivunie kuzaliwa no matter how your , sema Asante Mungu kwa kila jambo .
Daaah Mr dunia hii kwa hakika tumche mungu
Jamani irene uwoya muoneni msanii mwenzenu anateseka sana kwa nn mnaenda kutupa pesa kwny starehe sizizo na faida mwenzenu anateseka msaidieni jamani mungu atawalipia na dhawabu mtazipata Kesho akhera kuliko starehe zisizo na faida
Siku ukipata matatizo ndiyo utajua rafiki wa kweli!!! Marafiki wengi tulionao ni Feki!!!mtu anakupenda pale unapokuwa na msaada kwake!!!
Kweli kabisa 💔
Kweli kabisa....urafiki wa kinafiki
Fact
🤝chukua hyo
Ni kwl aisee, huwezi amini mpaka yakukute
Pole sana baba yangu mungu yupo atakuponya, nanukuu msemo wa hayati Reginald mengi alisema hivi Kama umepoteza kiungo kimoja Cha mwili usililie like kilichopotea Bali jiulize hiki kilichobaki nitakifanyia Nini,? . hivyo Anza kufikirja namna ya kufanya kazi na huo mguu mmoja ulicbaki.mungu ni mwaninifu sana atakusaidia.
Pole sana baba Mungu akutie nguvu
Hii ndio kazi ya media hongereni sana Wana wa Ayo kwamajukumu haya kuyafikisha kwa wananchi.
Oooh what sad ☹️ kweli Yesu pekee ndo njia ya haki na Kweli pole sana 😭😭😭
Mungu au yesu?
@@sturbbornvideoz8547 vyovyote vile ni sawa
Pole Mzee wangu,,Mwenyezi Mungu akutie nguvu
Pole sana BABA ujafa ujaumbika mshkuru MUNGU kwa kila jambo. Atakufanyia upenyo mwingine
Mungu yupo nawe. Napenda sana mtu anayepata matatizo akasema hana wa kumlaumu. Kuliko mtu anaanza kurusha lawama kwa kila mtu..Maisha yetu ni wajibu wetu nimependa sana ulivopokea matokeo bila kurusha lawama kwa ndugu ama marafiki😍
Daaahhh😭😭 Inaumiza Sanaa..
Inaumiza... Alhamdulillah😔
Usijali Baba Mungu wetu ni mwaminifu sana....utakuwa sawa tu...Endelea kumtumainia Mungu...Yeye ndiye msaada tele wakati wa Mateso 🥰...Akupe Amani ya Moyo...umtumainie yeye pekeake....Itia Damu ya Yesu ikasafishe mfumo wako wa damu na kuua vimelea vyote vinavyochochea Kisukari
Mwezi wa pili jaman tulikuwa na safari tukashuka Geita kula sehemu tulokwenda kula kwa nje mlangoni alikaa huyu baba na vijana wawili, dada angu akasema oneni baba yao Banana Zoro tukasema sio mwenyewe ila kama huyu mtu sio mgeni tulikaa pale mda mrefu mana gari lilikuwa limeharibika pia kwahyo tukawa tumesubiri badae nikashangaa kuona anavuka barabara na kijana mmja huku anamguu mmoja tulisikitika ila hatukuwa na namna et leo ndo najua alikuwa ni Bambucha jamani Eeh Mwenyezi Mungu msaidie aweze pata msaada na umponye awe na matumaini tena, tusihukumu hatuijui kesho yetu, Nmeumia sana hasa nnapoona comment za watu, hamuwezi jua ni namna gani amepambana had kufika hapo kutokuwa na mke ya ngoswe mwachie ngoswe hujafa hujaumbika.
Pole sana mzee wangu Mungu akusimamie na kukupigania mzee wangu🙏🤲
Pole sana kaka Mungu akutie nguvu kaka Mungu nimuaminifu kila Jambo lina kusudiwa na mwenyezi Mungu 🙏🏼🙏🏼😓
Kama unaangalia hii video na bado hujamkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako basi jifunze kupitia haya kwa Mr Bambucha, na ukimbilie sehemu salama kwa Kristo Yesu. Pia uweze kupokea ulinzi zaidi.
Ni rahisi na niandikie chini hapo ili nikuongoze sala ya toba!
😆😆😂
Amen ndugu
Amen
Amen
Tabola
Pole saan mzee wangu 😥😥 Eh MUNGU tunaomba utunusuru sisi waja wako na majaribu ya hii dunia .... anaitaji msaada bambucha
Daaah pole Sana
Uzuri moyo uko salama hakuna shida utaendelea kuishi tu
Pole mungu akupe wepes
Pole sana mzee bambucha mungu akusaidie na usiache kusali😥
Mungu amsaidiee kwayote yaliyotokea amen
Duh Mwenyenzi Mungu akufanyie uwepesi na akulinde kwenye maisha yako .
Daaaaaaah 😭😭😭😭 Alhamdulilah moyo umekosa nguvu ya kuvumilia mwenyezi mungu atakuafu alafu nachukia sana selikali ivi wanafanya nn jamani nachoka sana aseee
Serikali ina husika nini Sasa? Serikali inakujengea miundombinu ili huduma zipatikane kirahisi, Serikali imeleta bima ili kupunguza gharama pale mtu anapougua!! Ukilaumu Serikali kila kitu hata ukiwa na njaa utalaumu Serikali
@@rikekikonyo2265 ivi unajua maana ya msani ni nini
Pole sana
Pole sana Bambucha.Mwenyezi Mungu Akawe Mtetezi Wako.AMINA.
Pole dear pole sana
Pole Sana mungu ukusaidie
Pole Sana.
Pole sana mzee, mtumainie Bwana Yesu ndiye mfariji.
Pole sana mzee wetu,kabla hatujafa,,hatujaumbika.
MUNGU yupo pamoja nasi kila mahali na Lila kukicha
SASA TUMEAMUA ILE PESA TULIKUWA TUMCHANGIE DADA WEMA ANUNUE GARI
TUIELEKEZE KWA BABUCHA.
Ewaaaaaa
Ni kweli wabongo mlichangia ile ili mtu apate gari tu 😢😭🤣 Allaah anisamehe lkn watu wenye matatizo kama hivi ndio wa kuwasaidia starehe ni baadae sana
Pole sana mpendwa
Pole Sana mzee kwa umri huo inabidi upate msaidizi wa kukupa uangalizi wa karibu
Mungu akutunze baba, inauma Sana ila jipe moyo mkuu.
Inaskitisha 😭 Allah akufanyie wepesi bambucha, kila apangalo Mungu hakuna binadamu anaeweza kulipangua, mitihani tuliumbiwa sisi binadamu cha muhimu ni kushkuru Mungu, asante milarda ayo kwa kutuletea habari hii bambucha 🇩🇴🇩🇴
Pole sanaa
Pole sana uncle sema Mungu ni mwema na mm nakuombea kwake akufanyie wepesi katika huo mtihan uliokupata ndugu yang
Kuna namba yake ya MPESA inapita hapo chini. Ya video
Ukiguswa Tenda Kwa wema nawe Mungu atakubariki
Amen
MUNGU ndio Mueza WA yote Na nakuombea nikiwa Kenya Mombasa akupe njia na uwezo zaidi na maisha marefu na kila kitu kirudi Sawa amina
Pole sana 🙏
Dah so sad Mungu wetu ni mwaminifu utapona baba polee sanaaaaa
Anahitaji saikolojist kwmba haupo peke yako na lazma maisha yasonge mbele baba polee sana badilisha mfumo wa kula kula vyakula ambavyo vitakujenga mwili poa
Hakika hujafa hujaumbika hii ni safar yetu sote hapa dunian
Pole sana baba
Mungu akutie nguvu mzee wetu
Neema ni kitu cha thamani sana. Binadamu tupunguze kulalamika kwa Mungu, watu wana mitihani mikubwa sana.
Utapona baba Allah akusaidie🤲🤲😭
Pole sana Allah akufanyie wepesi
Pole sanaa umenikumbusha marehem baba angu alikatwa mkono wote Allah amrehem ila wasanii mkiwa na hela mnakula bata sanaa mpk kujisahau Allah atupe mwisho mwema sina maana mbaya Allah atakusaidia
Pole sana kakaanguu
Pole kakangu
Pole Sana father
Poleee sanaaa
Mungu akutie nguvu bambucha
Bingo move wamemchangia wema gari wanancha wenye matatizo
Mtihn kwakwl
Wema kapewa gari kumbe
@@faudhiasalum7279 keshapewa my
@@fetychina3273 www acha hbn duh ata cjui my wangu duh kweli wema kipenz za taif
Hao Bongo Movie ndiyo wamekugeuka, maana hata kama unamguu mmoja, unaweza kuwepo kwenye filamu yoyote ile. Maana vipengele ni vingi sana kwenye filamu.
Mungu akutunze
duuh aisee pole sana
Mungu akubariki baba
Polee sana baba
Pole kazi ya mungu haina makosa pole sana
Pole saana saana Mzee wetu Munqu aendee kukupa subra Munqu akupe nquvu Mzee wetu Amiini yarabi
Pole San Bab,, mungu yu mwema yupo upande wako
Mungu,wangu.tutetee.tusamehe.nakuombea Mungu akuponye,akutie nguvu na akufariji
Mungu wetu muaminifu azidi kukuimarisha baba yetu
Pole Sana mzee wngu.. Mwenyezimungu azid kukupa uvumilivu juu ya maumiv unayopitia..
Asante kwa taarifa kemkem
Sema AIhamdulillah baba 🙏🙏
Poleee saaana Mwenyenzi Mungu akupe ustahimilivu
polesana mzeee wetu
Nakumbusha tu: ukiwa na Afya basi tekeleza zilizoamrisha Allah Mwenyezi nakujitahidi kuyaepuka alizokataza Ili ufaulu. Nas alullaaha salaama.
Naam hakika nduguyangu maneno yako sadakta binadamu hasa hawa wasanii wanajisahau
Na huyo Mganga mkuu wa Nyasho amefariki juzi heri we uko hai,,pole sana
Pole sana mwenyezi Mungu atakuinulia watu wakukusaidia duh inauma sana
Pole sana jaman
Kumbe Charles Magari hayupo tena nchin? Kumbe Yuko America! Laaa pole sana Mzee wng Mungu akupe nafuu
Daaah pole sana mzee wetu
Pole Sana. Mungu ata kusaidia kwa kila Jambo
Pole bambucha na ukae uswali kma kuna mambo ulikuwa unayafanya ambayo Allah hayapendi na ww ni muislamu uyaache umuombe Allah akufanyie wepes kwa kila jmbo
Amyn
Nina mengi sana ya kusema kuhusiana na Mr Omar Babu (Bambucha) dhidi ya makosa yake kwani mungu anamuhukumu tena amuombe sana Mungu amsamehe, Omar Bambucha (BABU) unamkumbuka marehemu Nassir?
Nikutakie siku njema na iwe pole kwako but muelekee mungu sana na ufanye istighfara.
@@mussamsabah5163 subuhanallah
Amin thumma Amin
Pole saana msanii
Daaaahhh aiseee Pole xana Baba Allah azidi kukutia nguvu 🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Pole mzee Wangu mungu atakusaidia
Uswari Sasa umuombe Mola wako kwakilajambo saana kuomba mwishomwema kilammoja wetu. Inshallah Allah atusamee kwayoote
Pole san
Pole sana kaka Mungu azidi kukutunza zaidi katika kipindi hiki kigumu kwako
Mungu akusimamie baba pole sana
Pole sana bambucha
Pole sn Bab mung yupo nae
Mungu akusaidie, Mungu ni mwema atakupigania ,tunakuombea sana
Daaaaah maskin pole sana ..huruma
Pole Sana mzee wetu allah Akupe shufaa
Daa inauma sana
Pole sana bambucha hadi nimejikuta nalia mimi
Mungu akutie nguvu mzee wangu...!!
Pole baba Mungu akuinue
pole lkn kwny movie 300 hpo duuh hilo chaka sasa
Mungu atakuretea wa kukunyanyua babaangu
Pole baba mungu akutie nguvu
Pole saana jipe.moyo
Pole sn
Wasani jamani kueni na roho ya utu msaidieni mfungulieni ata duka kubwa awezi kujikimu na vitu vidogovidogo
Nawausia ndg zng tumche Allah ... Allah anamajeshi mengi muda wwt hali yk inaweza ikabadilika ukaikumbuka fursa uloichezea ilhali umeshachelewa.