Mwenyewe Mkenya sijawai Tembea Tz lakini Mawaka Kesho Majaliwa ya Mwenyezi Mungu naja huko....Mna baraka Sana kubarikiwa na Watumishi wa Mungu wa Kweli na Wenye Hofu ya Mungu.Ibarikiwe Tanzania Milele.
Gwajima anajielewa sana! Wachawi hawaja wahi kulishinda JINA LA YESU, tunawahesabia siku tu wanasiasa wanao pingana na NENO LA MUNGU! Corona sio ugonjwa ni njia ya wahalifu kuiba mali za watanzania!! Walaaniwe kwa Jina la YESU. Ameni
Askofu anasema...wakasema jitetee...NIKASEMA SWEZ KUJITETEA.. Saf sana HUU UJASIRI N BAB KUBWA. kukupenda sjakosea. Ilove u so much Askofu Dr Josephat Gwajima
Nakupenda sana wewe nakufananisha na Kipenzi chetu rahis wawanyonge JPMagufuli Mungu akulinde kila leo utufungue fahamu zetu na akili zetu .....Mungu akinde wewe na familia zetu
Oh! Uliye mwagiwa mafuta na upako wa Mungu kwa mzimu huu! Father in heaven I pray for your servant🙏Baba mviche kwenye mbawa zako! Ongeza moto wa Roho wako, Bishop Umetengwa for this season!! 🙏Nakupeda Milka from Kenya
Hakika sina chakusema zaidi ya kuku ombea baba wa imani ubarikiwe sana hakika ulipo tupo na Mungu hawezi kutuacha kamwe wabaya wako ote wata teketea katika jina la Yesu alie hai.
Asante Sana bishop Mungu Aendelee kukupa nguvu na ushindi maana wewe ni shujaa NB tuna omba Mungu Akupe maona ya kugombea urais 2025 kwa ajil ya kulikomboa taifa letu
I love people who stand with truth without fearing people but fearing our beutiful Jesus,,ubarikiwe san na Mungu unayemtumikia akutumie zaidi na zaidi mwisho wako ukawe heri zaidi ya yote Bwana akukaribishe katika makao yake aliyoenda kuandaa kwaajili ya wateule,
Askofu you are blessed. How I wish we had more ministers of God like you. Who are bold and ready to stand with what God says. And tell God's people the truth, Amen
*Miaka ya 2013 kuelekea uchaguzi mkuu wapo waliomuona Magufuli kama ni mtu tu wa kawaida, kuna waliosema siongei na mbwa naongea na mfuga mbwa! Mwisho wa siku walimpigia magoti, ni wenye akili ya Roho mt pekee ndo waliomtambua JPM kama ni mtu mkubwa sana badae, kama huamini ingia fb kwa jina la Ephraim E. Ndelwa, utaona nilichokitabiri juu ya Magufuli 2015, natabiri kwa Bshp Gwajima, Humphray polepole na Ole-Sabaya hawa ni viongozi wakubwa hapo badae! Na Mungu akabariki maono haya...*
To God be the Glory and honour. I love this and its what we need in our time. The truth in Boldness and Courage of God catapulted by the Holy Spirit, i love you Servant of God... Tanzanian and Africa in general is blessed to have such Voices of heaven
Barikiwa Sana mtumishi , wewe NDIYE mtu saa hii, rungu la bwana, songa mbele tuko nyuma yako tunakuombea Sana , tutashinda na zaidi ya kushinda kwa jina la yesu
Neno hili limetoka kwa Mwenyezi Mungu... Nani wa kuweza kulizuia... Walijaribu akina herode...kaisari... Pilato... Hawakuweza... Eti Ndugai anajipima nae kuzimisha sauti ya Mwenyezi Mungu... Anapiga mshale mteke .. ataumia Mwenyewe...Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Amen Amen Amen UZIDI KUTUOMBEYA BABA TUNGEPATA WA CHUNGAJI KUMI KAMAWEWE INCHIZOTE ZINGEPONA HILIJANGA LA CORONA LINGEZIMIKA HIYI NI UWONGO MTUPU LIMETUNGWA DUNIANZIMA MUNGU AWAONE HAWA WATU WALILOLITUNGA HILIJANGA UBARIKIWE ASKOFO KWA KUTUPIGANIA BLESSINGS
Yani asaivi mbaka nimejiwekea bateti ya kununua kifulushi kikubwa kila j.pili kwasababu ya ngwajima.yani mafundisho yake nimeyaelewa ile mbaya akuna kama ngwajima jamani huo ndo ukweli anaebisha amejaa chuki
Mungu anavyombo vyake na kila chombo kinabeba sehemu yake chombo hiki kinafaa kubeba makontena yote yaliyoshindikana , wewe hapo bungeni ni mpango kamili wa mungu,
Yani ngwajima sku hizi ww ndo unae kura mb zangu yani kra nikikuona nakua najihisi kuiona pepo barikiwa saana mtumishi 🙏🙏🙏 ngwajiboy oyeeeeee raisi wa 2025
Kama wewe jpili huwa unaandaa mb kwa ajili ya kumfuatilia Askofu Gwajima Gonga like tuendelee mbele
🤣😂
🤣🤣🤣
Aimeeeen
Yani atakama sina ela ya kifulushi nakopa ili nimsikilize uyu mwamba yani namuelewa ile mbaya
😃🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Askofu Josephat Gwajima, Eeee Mungu tunamuombee afya njema na kwenda kinyume na wote wasiomtakia mema Mtumishi wako
Shikamoo Askofu
Shikamoo Roho Mtakatifu
Mwenyewe Mkenya sijawai Tembea Tz lakini Mawaka Kesho Majaliwa ya Mwenyezi Mungu naja huko....Mna baraka Sana kubarikiwa na Watumishi wa Mungu wa Kweli na Wenye Hofu ya Mungu.Ibarikiwe Tanzania Milele.
karibu tena utafikia kwangu bure
Asante Sana nitatembea Mwaka Kesho kwa Neema ya Mungu.
Npo Dodoma Tanzania ila kila jumapili nilazima niandae bando kwa ajili ya kuungana na wewe Baba yangu wa kiroho. Asante kwa neno la leo 🙏🙏🙏🙏
Together too
Amen
Watching from Nairobi Kenya
Gwajima anajielewa sana! Wachawi hawaja wahi kulishinda JINA LA YESU, tunawahesabia siku tu wanasiasa wanao pingana na NENO LA MUNGU! Corona sio ugonjwa ni njia ya wahalifu kuiba mali za watanzania!! Walaaniwe kwa Jina la YESU. Ameni
Rais wng 2025 hakika unafaa Sana ,, Asante kwa somo hili hakika nimejifunza nisiyoyajua .
Mimi in pastor morris (kenya)nilieonyeshwa na mungu mambo yaliyokupata nilicoment kabla,Ila Bwana alikuficha kama alivyo nionyesha,glory to God.
mungu wako sie Mungu wa gwajima, ndio maana hata kwa maandishi umethibitisha hivyo, (mungu) wa Gwajima Ni (Mungu)
Nimekubali kumfata Yesu. Sitarud nyuma. Amina mtumishi.
Mwenyezi mungu akulinde askofu gwajima kwa uwepo wako magufuri bado anaishi
Amina
Huyu jamaa n genius hawawez kumhoji wakamshinda kivyovyote vile
Bishop gwajima nakukubari sana MUNGU wa mbinguni azidi kukulinda
Kelele za shangwe zitatokea juu ya kilele cha mlima KILIMANJARO, Tumepokea Unabii Huu Bishop Gwajima 💪💪
Hallelujah!!!
I just knew this in my heart some years back, I had a clear and strong msg about it, thank you Holy Spirit for this confirmation, Amen.
Askofu anasema...wakasema jitetee...NIKASEMA SWEZ KUJITETEA..
Saf sana HUU UJASIRI N BAB KUBWA.
kukupenda sjakosea.
Ilove u so much Askofu Dr Josephat Gwajima
Mr Gwajima your the best even TD Jakes is waiting i have been listening to him in the past ten year but you have me in the past 5 month your amazing
Huu ndio wakati wake
Reminding of TD Jakes He is the real deal
Nakukubari sana gwaji boy🙏
Baba napenda imani yako thabiti, may God keep you safe for long
Nakupenda sana wewe nakufananisha na Kipenzi chetu rahis wawanyonge JPMagufuli Mungu akulinde kila leo utufungue fahamu zetu na akili zetu .....Mungu akinde wewe na familia zetu
Nampendaga Sana huyu mwamba, ✊ Askofu Gwajima
Hii chuma iko Safi sanaa na imara
Wanapingana huyu si gwajima wanashindana na Mungu,wataaaibika vibaya
Asante mchungajiwangu kwamsimamo wako tunashangaa hata sisi kuondoka tu mwenda zake korona imepata nguvu too zimerudi.
Oh! Uliye mwagiwa mafuta na upako wa Mungu kwa mzimu huu! Father in heaven I pray for your servant🙏Baba mviche kwenye mbawa zako! Ongeza moto wa Roho wako, Bishop Umetengwa for this season!! 🙏Nakupeda Milka from Kenya
Askifu gwajima ni ni raisi wa tanzania baada ya samia
Si upige kelele haleluyaa
Baba tunakupenda
You're the icon of Tanzania
Hakika sina chakusema zaidi ya kuku ombea baba wa imani ubarikiwe sana hakika ulipo tupo na Mungu hawezi kutuacha kamwe wabaya wako ote wata teketea katika jina la Yesu alie hai.
Asante Sana bishop Mungu
Aendelee kukupa nguvu na ushindi maana wewe ni shujaa NB tuna omba Mungu
Akupe maona ya kugombea urais 2025 kwa ajil ya kulikomboa taifa letu
Wewe ni mtu wa Mungu gwajima nakupenda endelea mbele
Wabunge wanasikiliza kumkosoa ila wanagundua Mungu ndio amemtia nguvu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
sanaa hawawezi shindana na gwaji boy😂😂
Nimekuelewa kwa mafundisho yako mazuri, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu.
Watanzania tunakupenda Baba 🥰
Unatema madini sanaaa 👏
Ubarikiwe Baba,,umepanda mbegu njema kwenye mioyo yetu
Hakika This is the Glorius and Soulful Sunday service Ever
May Almighty God Our heavenly father Shield and bless U Bishop
Mungu akupe afya na nguv mm nipo pamoj na ww mtumish wa mungu jasusi LA mbingun
😂😂Nimefurah saaana% Yeye Akazid kupaza Saut Ee Yesu mwana Wa Daud Unirehemu.. Be BlesseDaddy
Asante sana askofu gwajima napanda sana unavyo fungua nafsi yang niko na ww njia moja
I love people who stand with truth without fearing people but fearing our beutiful Jesus,,ubarikiwe san na Mungu unayemtumikia akutumie zaidi na zaidi mwisho wako ukawe heri zaidi ya yote Bwana akukaribishe katika makao yake aliyoenda kuandaa kwaajili ya wateule,
Huyu mch. anafundisha na anaeleweka kabisa , God bless you
Askofu you are blessed. How I wish we had more ministers of God like you. Who are bold and ready to stand with what God says. And tell God's people the truth, Amen
Nakupenda sana Baba sijuwe nisemeje uwanabarikiwa sana nikikusikia
Mungu husimama na waliosimama.
Endelea kusimama mtumishi wa Bwana.
Amen! Bishop mungu akutetee tunakuelewa
Ahadi za YESU nikweli
Huyu Baba Bishop Gwajima Siku hizi nakuendelea Namkubali.
Mungu tusimamie twende na Msimamo wa Mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima
Mama akuachie 2025 unafaaa
Naona President 2025
*Miaka ya 2013 kuelekea uchaguzi mkuu wapo waliomuona Magufuli kama ni mtu tu wa kawaida, kuna waliosema siongei na mbwa naongea na mfuga mbwa! Mwisho wa siku walimpigia magoti, ni wenye akili ya Roho mt pekee ndo waliomtambua JPM kama ni mtu mkubwa sana badae, kama huamini ingia fb kwa jina la Ephraim E. Ndelwa, utaona nilichokitabiri juu ya Magufuli 2015, natabiri kwa Bshp Gwajima, Humphray polepole na Ole-Sabaya hawa ni viongozi wakubwa hapo badae! Na Mungu akabariki maono haya...*
I believe wat you say in Jesus name
Amina kwa Jina la Yesu
Amina na Iwe hivo kwa jina la Yesu kristo
Naiwe hivyo Mtumishi kwa damu ya Yesu, umenibariki sanaaa
Balikiwa sana
Wafyekwe haoo.
Mungu azidi kukulinda kweli ujasiri wako unanatufanya nasi kuwa Mshujaa kabisa.Tupo pamoja na ninakuombea & big support.
Baba Josephat G, Hakika wew ni Mlima sayuni!!!
Hakika kila kitu na wakati Mungu hutenda atavyo
Nayale mazombi yabungeni yamekuja kusikiliza Mutumish wa Mungu anavo hubiri iliyapate neno lakumushitaki washidwe kwajina la Yesu
Huyu gwajima ni magufuli ajae .huyo demu Bado katuwekea tozo kubwa natuma upepo wa kisuri kisuri upitie aka fie kuzimu Kwa jina la YESU 💪🔥
Thanks for your wonderful spiritual service. May our LORD JESUS CHRIST bless you abundantly.
May Lord Jesus protect you Bishop,We will never be shaken
Exactly!
Tumejengwa juu ya mwamba na mwamba uwo ni kristo, asante Yesu kwa neno ili,
I really appreciate, this is the man of Good, Human being will come and go
But the word of God will stand forever 🙏
The man of Almighty God in our country, Gwajima is a one of themselves
To God be the Glory and honour. I love this and its what we need in our time. The truth in Boldness and Courage of God catapulted by the Holy Spirit, i love you Servant of God... Tanzanian and Africa in general is blessed to have such Voices of heaven
Asante baba yetu kwa kutulisha chakula cha uzima WA milele
Jembe Sana hili Gwajima Mungu yupo na wewe Baba
Mungu wa mbingu na nchi tembea na mtumishi wako aspatwe na lolote kwa jina la yesu
Hakika, Yesu nakuamini kwakuwa AHADI ZAKO NI KWELI🙏
Amen!
Siku hiyo nilikufuatilia nikabarikiwa Sana, nimelikumbuka Tena hili Somo limenibariki sanasana Tena, hakika Mungu anatenda kazi ndani Yako.
It's only the spirit of God who can do this, this is a great service
Mungu akutunze mpendwa umekua mtetezi kwa taifa umefanyika baraka kwa kanisa umenipa ujasiri Mungu wa Mbinguni akutunze .
Ww ndie mtumishi niliekua namkusudia tangu nikiwa mdogo Mungu akubariki na akuinue zaidi na akulinde daily bishop gwagima. 🙏🙏🙏🙏
Amen amen I receive in the name of Jesus
Barikiwa Sana mtumishi , wewe NDIYE mtu saa hii, rungu la bwana, songa mbele tuko nyuma yako tunakuombea Sana , tutashinda na zaidi ya kushinda kwa jina la yesu
Neno hili limetoka kwa Mwenyezi Mungu... Nani wa kuweza kulizuia... Walijaribu akina herode...kaisari... Pilato... Hawakuweza... Eti Ndugai anajipima nae kuzimisha sauti ya Mwenyezi Mungu... Anapiga mshale mteke .. ataumia Mwenyewe...Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Amen Amen Amen
UZIDI KUTUOMBEYA BABA TUNGEPATA WA CHUNGAJI KUMI KAMAWEWE INCHIZOTE ZINGEPONA HILIJANGA LA CORONA LINGEZIMIKA
HIYI NI UWONGO MTUPU LIMETUNGWA DUNIANZIMA
MUNGU AWAONE HAWA WATU WALILOLITUNGA HILIJANGA
UBARIKIWE ASKOFO KWA KUTUPIGANIA
BLESSINGS
Brilliant work!
There is always a way to do the work of GOD!
..... May a Grace of God be with you Bishop!!!
Askofu haakika mungu typo nawe mtu wa mungu ni kusema kwelii
Mungu akulinde,usigope,hadui zako sasa wanapanga kukuteka na kukupoteza kabisa,Ila hawatasmama,wewe ni mboni ya jicho la Mungu.PST Morris (Kenya).
Amen PST from Kenya
Gwajima yupo very smart kchwan napat waswas wasio muelewa wana mttzo gan na ubongo wao
Ubarikiwe kwa jina Bwana wetu Yesu kristo mtumishi Gwajima
AMEEN tunakushukuru sana Mchungaji Mungu akubariki
More respect we really love you and I believe very soon we will meat together bcz your big heart that I wanna take from you
Mungu mlinde gwajima Bishop mungu tulinde watanzania
Amen
Stay blessed Bishop J.Gwajuma
Gwajima tunakuamini sana baba wewe ndio mwamba wetu ulio baki awo wengine hatuna imani nae mungu ibariki tz pamoja na Africa kwa ujumla
Prase The highest of high our living God. May Lord Jesus strengthen you Pastor.
Hakika baba ubarikiwe Sana Askofu J. M. Gwajima the Mbunge
Kweli.
Hiyo shule ya uongozi itamtangaza zaidi Kama hatazuiliwa.
Ee Bwana Yesu mwana wa Dawudi unilehemu. Amen Askofu go ahead
Kuna jambo gani lililo gumu la kumshinda bwana??
Gwajima boy for life
✅😂
Ubarikiwe mtumishi 2025 chukua fomu ya urais kura tunakupa
Kabsa huyu ni Rais mpya
Asante ascofu Leo nimekuswa moja kwa moja na neno la mungu kwamba yeye atawaponda watesi wetu
Najivunia kua na mtu kama ww Tanzania kwel Mungu hakutuacha wenyewe ametuinulia mtu mwingine ahsante Mungu kwa mtumishi wako huyu
Hakika. Ametupa faraja ya mioyo yetu baada ya kudhulumiwa Raisi wetu kipenzi, Dr Magufuli rest easy Baba!
Ndugai hatoboi mwakahu 🗣️👣🌩️
Naiwe ivyo
Tumwache Mungu ahukumu mwenyewe! Kwan hata wabaya wamewekwa kwa siku ya ubaya!
Yuda aliwekwa ili atimize kumsaliti Yesu!
@@valeriamtenga3384
Sisi tunahukumu pamoja na Mungu. Kwani Yuda mweyewe si alikufa kabla ya Yesu?????
Hallelujah sure your the real man of God may the Lord be with you Bishop msukuma
Hata tukiambiwa madhara ya chanjo ya mda mfupi wa kat na mda mref hatuchanjwi ng'ooo kw kuwa tunayo chanjo IMARA SANA
Yani asaivi mbaka nimejiwekea bateti ya kununua kifulushi kikubwa kila j.pili kwasababu ya ngwajima.yani mafundisho yake nimeyaelewa ile mbaya akuna kama ngwajima jamani huo ndo ukweli anaebisha amejaa chuki
Safiiii sana.
Mungu anavyombo vyake na kila chombo kinabeba sehemu yake chombo hiki kinafaa kubeba makontena yote yaliyoshindikana , wewe hapo bungeni ni mpango kamili wa mungu,
My next president
KUNA WATU HAWASHUKAGI AISEEE👌👍🏼💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen amen Bishop
Amina. Yote yawezekana katika bwana🙌🏾
Bwana yesu asifiwe mm nahitaji kitabu cha maombi ya kushindana
Yesu alipingwa akiwa kwenye njia sahihi kwahio mm sishangai na hii governement ya tz
Safi lazima tusimamie tunacho kiamini tuko pamoja mpakwa mafuta wa Jehovah@bishopgwajima🙏🙏💪💪
Yesu nimekuona dhabiti...ahadi zako kweli
wabunge wemejaza mabandoo leoooo wanangalia wanavokaaangwa😁😁😁😁
Yaan kama nawaona vile
Mungu ajuongoze tu
@@marumbamgeni4796 kaziwanayoo
Tumejengwa kwenye mwamba imara,,watakuelewa tu wewe Songa mbele,,ASKOFU MUNGU WETU NIMWAMINIFU.Amen
😁😁😁😁😁
Tupo nae kimafundisho bila kujal dini zetu. Hakika ukimwamin Mungu ndani yako kuna ushindi
Nilikuwa sijapata kukusikiliza vzr. Sasa ninakuelewa.
Walio upande wako ni wengi kuliko walio kinyume chako
Yani ngwajima sku hizi ww ndo unae kura mb zangu yani kra nikikuona nakua najihisi kuiona pepo barikiwa saana mtumishi 🙏🙏🙏 ngwajiboy oyeeeeee raisi wa 2025
Thanks a lot servant of Jesus were together with u.
Achanjwi mtu hapa,hao wote waloleta chanjo zao,wanaoipigia kampeni ,washindwe na kulegea kwa jina la Yesu,napitisha Moto kwa jina la Yesu.